Friday , 26 April 2024

Month: September 2019

Habari Mchanganyiko

Mmoja afariki dunia, nane waokolewa baada ya kufunikwa machimboni

MTU mmoja amefariki duniani wakati nane wakinusurika kifo baada ya kufukiwa na kifusi katika machimbo ya madini wilayani Misungwi mkoa wa Mwanza. Anaripoti...

Habari za Siasa

Uamuzi wa mahakama: Lissu aibuka na hoja nzito

Nimewasiliana na wakili Peter kibatala kuhusu uamuzi wa Jaji Matupa wa leo. Huu ndio aina ya uamuzi unaotolewa na Mahakama iliyoingiwa na hofu...

Habari za Siasa

Spika Ndugai: Lissu amejitakia mwenyewe

JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri amesema, Tundu Lissu, aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki amejitajia mwenyewe ‘kuvuliwa ubunge.’ Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). “Kwa...

Tangulizi

Ubunge wa Lissu: Hoja kuu 2 za mahakama, Mbowe ajitosa

MAHAKAAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetupilia mbali maombi ya Tundu Lissu, aliyekuwa mbunge wa jimbo la Singida Mashariki kutaka kufungua kesi...

Habari za Siasa

Kubenea ahoji vibali vya sukali kutoka nje

MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), ameihoji serikali na kutaka ieleze kama kitendo cha kutoa kibali cha viwanda vya sukari kuagiza sukari nje...

Habari za SiasaTangulizi

BREAKING NEWS: Kesi ya Ubunge: Mahakama yamzima Lissu

MAHAKAMA Kuu ya Dar es Salaam leo tarehe 9 Septemba 2019, imetupilia mbali maombi ya Tundu Lissu, aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, likiwemo...

Kimataifa

Ratiba mazishi ya Mugabe

MWILI wa Robert Mugabe, aliyekuwa Rais Mstaafu wa Zimbabwe unatarajiwa kuwasili nchini mwake tarehe 11 Septemba 2019, ukitokea Singapore alikofariki dunia wakati anapatiwa...

Habari za Siasa

TRA inakwama kukusanya kodi Mbagala-Mbunge

ISSA Mangungu, Mbunge wa Mbagala ameishauri serikali irudishe mamlaka ya kukusanya kodi ya majengo kwa halmashauri, akidai kwamba Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),...

Habari Mchanganyiko

Balozi Ndobho afariki dunia

BALOZI Paul Ndobho, aliyewahi kuwa Mbunge wa Musoma vijijini kupitia NCCR-Mageuzi, amefariki dunia katika Hospitali ya Bugando, jijini Mwanza. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....

Habari za Siasa

Alichiandika Lissu, kuadhimisha miaka mwili tangu kupigwa risasi

SEPTEMBA 7, 2017 – SEPTEMBA 7, 2019: MIAKA MIWILI YA MATESO, MATUMAINI Tundu AM Lissu, MB Ndugu na marafiki zangu popote mlipo, Wananchi...

Habari za SiasaTangulizi

Ujio wa Lissu ‘bab kubwa’

UJIO wa Tundu Lissu, aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, utakuwa wa kipekee. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Lissu ambaye anaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya...

AfyaHabari Mchanganyiko

Bugando yaokoa Bil 2 matibabu ya Saratani 

PROFESA Abel Makubi, Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa Bugando (BMC) amesema, hospitali hiyo imefanikiwa kuokoa zaidi ya Sh. 2 Bilioni kwa wananchi wa...

Habari Mchanganyiko

Kilosa wapewa elimu ya kusimamia rasilimani za umma

WAKAZI wilayani Kilosa wametakiwa kufuatilia na kusimamia kikamilifu matumizi ya rasilimali za Umma hasa kwenye sekta ya elimu ili kuboresha miundombinu ya shule...

Habari za Siasa

Mtatiro atuliza polisi Tunduru

JULUS Mtatiro, Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma amelitaka Jeshi la Polisi wilayani humo kutotumia nguvu katika kushughulikia madereva wa pikipiki ‘Bodaboda’ wanaovunja...

Habari Mchanganyiko

TLS yalaani utawala wa mabavu

CHAMA cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimelaani kauli zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa umma, zinazochochea watu kuchukua sheria mikononi dhidi ya watuhumiwa. Anaripoti...

Michezo

Afisa Mtendaji mpya wa Simba aja na ahadi ‘bab kubwa’

KLABU ya Simba imemtangaza Senzo Mazingiza kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, akirithi mikoba ya Crescentius Magori, aliyemaliza muda wake, huku akitoa...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto azungumzia kumbukumbu ya miaka 2, kushambuliwa Lissu

ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo amezungumzia miaka miwili tangu Tundu Lissu, aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki ashambuliwe na risasi jijini...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kwanini serikali inalipisha fedha maiti?-Mbunge ahoji

MBUNGE wa upinzani ameitaka serikali ieleze, ni lini itaacha kulipisha fedha maiti? Anaripoti Danson Kaijage … (endelea). Ni kutokana na mgonjwa kufia hospitalini...

Habari za Siasa

Zogo bungeni, wapinzani wafura

HATUA ya Bunge la Jamhuri kupitisha Mswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria mbalimbali (Na.5) wa mwaka 2019, imetibua wapinzani. Anaripoti Danson Kaijage...

Habari za SiasaTangulizi

Mugabe aliishi shujaa, amekufa ‘dikteta’

ALIYEKUWA Rais wa Zimbabwe, Robert Gabriel Mugabe (95), amefariki dunia, nchini Singapore. Rais wa sasa wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, amethibitisha kifo cha mwanasiasa...

Kimataifa

Rais Robert Mugabe afariki dunia

ROBERT Mugabe, aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zimbabwe, amefariki dunia. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Taarifa kutoka ndani ya familia ya gwiji...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mashambulizi Afrika Kusini: Tanzania yasitisha safari zake 

SERIKALI imesitisha safari za Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) kwenda Afrika Kusini, kufuatia vurugu zinazoendelea nchini humo. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Raia...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe alianzisha; AG, Waitara wamtuliza

SUALA la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Mwaka 2019, limeibuka bungeni na kusababisha mabishano baina ya Mwita Waitara, Naibu Waziri Ofisi ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mkulima wa ndege kujipanga upya?

NDEGE ya shirika la ndege la Tanzania (ATCL), iliyokuwa inashikiliwa kwa siku kadhaa katika uwanja wa ndege ya Oliver Tambo, hatimaye imerejeshwa nyumbani....

Habari za SiasaTangulizi

Airbus A220-300 iliyokamatwa Afrika Kusini yatua Tanzania

NDEGE ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), iliyokuwa imeshikiliwa nchini Afrika Kusini, tayari imetua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius...

Habari za Siasa

‘Matukio kutupa watoto yameongezeka’

BUNGE limeelezwa, katika kipindi cha Januari hadi Juni 2019, kumekuwa na jumla ya matukio 66 ya watoto waliotupwa. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Wafugaji kuku watakiwa kufuata maelekezo ya wataalam

WAFUGAJI wa kuku nchini wameshauriwa kufuata maelekezo ya wataalam na kuongeza uzalishaji ili bei ya kuku kuweza kushuka na jamii kununua na kula...

Habari za Siasa

JPM: Nimewasamehe Makamba, Ngeleja

RAIS John Magufuli amewasamehe January Makamba, aliyekuwa Waziri wa Mazingira na Muungano na Willium Ngeleja, Mbunge wa Sengerema baada ya kumwomba radhi. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

Mikoa inayoongozwa kwa ukatili hii hapa

UKATILI wa kijinsia dhidi ya watoto, umeongezeka kwa asilimia 7.7 kutoka matukio 13,457 mwaka 2017 hadi 14,419 mwaka 2018 huku mikoa mitano ikiongoza. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mahakama Afrika Kusini yaamuru ndege ya Tanzania iachwe huru

NDEGE ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), aina ya Air Bus A220-300 iliyoshikiliwa nchini Afrika Kusini kwa amri ya mahakama, imeachwa huru. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto, Lissu wamkosha Maalim Seif

MAALIM Seif Sharif Hamad, Mshauri Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo anatarajia mwelekeo mpya wa vyama vya upinzani nchini baada ya Zitto Kabwe na...

Habari Mchanganyiko

Sekondari Ugombolwa, Migombani, Zawadi zaifurahia UBA Tanzania

TABIA ya kujisomea hujengwa, kwa kutambua hivyo Benki ya UBA Tanzania imekuwa ikishiriki kutoa mchango wa vitabu kuhakikisha inajenga tabia hiyo kwa wanafunzi...

Habari Mchanganyiko

TCRA yashusha nyundo kwa Global TV, EATV

KITUO cha Runinga cha EATV, Global TV na Le Mutuzi Online, vimepewa onyo na Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA),...

AfyaHabari za Siasa

Mbunge ataka mazingira rafiki kwa madaktari bingwa

SONIA Mgogo, Mbunge wa Viti Maalum (CUF), ameitaka serikali kueleza mpango wake wa kuwawezesha madaktari bingwa ili wafanye kazi nchini. Anaripoti Danson Kaijage, Ddodoma …...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mbunge Chadema ahoji miradi ya maji kutokamilika

SERIKALI imetakiwa ieleze, ni lini itahakikisha miradi ya maji ambayo inatakiwa kutekelezwa, inatekelezwa kwa wakati. Anaripoti Dandon Kaijage, Dodoma … (endela). Pia imetakiwa...

Habari za Siasa

Spika Ndugai atangaza mfumo mpya kazi za Bunge 

JOB Ndugai, Spika wa Bunge ametangaza kusitisha kutoa karatasi zinazoonesha orodha ya vikao vya shughuli za Bunge. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Ametoa...

Habari za SiasaTangulizi

Kuapishwa mrithi wa Lissu: Wapinzani wasusa, Ndugai apiga kijembe

MIRAJI Mtaturu ameapishwa rasmi kuwa Mbunge wa Singida Mashariki, akirithi mikoba ya Tundu Lissu aliyevuliwa ubunge wa Jimbo hilo. Anaripoti Regina Mkonde …...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yamweka Lissu njia panda

MAHAKAMA Kuu nchini Kanda ya Dar es Salaam, imesitisha kutoa uamuzi wa kuapishwa ama kutoapishwa kwa Mbunge Mteule wa Singida Mashariki, Miraji Mtaturu....

Habari MchanganyikoMichezo

Vipaji vya watoto kusakwa Leaders Club

KAMPUNI ya kuandaa filamu nchini Tanzania (J FILM 4 LIFE), imeanza utaratibu wa kutafuta vipaji vya kuigiza kwa watoto ili kushiriki kwenye vilamu...

Habari za Siasa

Rais Magufuli: Nyinyi watendaji ndio waamuzi

RAIS John Magufuli amesema, yeye ni mpangaji wa muda pale Ikulu, na kwamba watendaji kata na Watanzania ndio wanaoamua nani awe mpangaji wa jengo...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yanyang’anywa halmashauri Karatu

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), tayari kimepoteza uongozi wa moja ya ngome yake kuu iliyokuwa inaishikilia kwa takribani miaka 25 mfululizo. Ni...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto, Lissu wateta mazito Ubelgiji

MBUNGE wa Kigoma Mjini, kupitia chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, yuko nchini Ubelgiji, alikokwenda kumjulia hali mwanasiasa mahiri nchini, Tundu Antipas Lissu....

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Bashiru aivimbia CCM

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Bashiru Ally, amepingana utamaduni ulioanza kujengwa ndani ya chama wa kupachika majina ya wagombea kwenye...

Habari Mchanganyiko

Ajali ya gari Kibiti: Watano wateketea, MNH kufanya DNA

WATU watano waliofariki kwenye ajali ya gari iliyotokea jana usiku tarehe 31 Agosti 2019, Kibiti mkoani Pwani sasa kufanyiwa uchunguzi wa vinasaba (DNA)....

error: Content is protected !!