Tuesday , 30 May 2023
Home Gazeti Habari za Siasa BREAKING NEWS: Kesi ya Ubunge: Mahakama yamzima Lissu
Habari za SiasaTangulizi

BREAKING NEWS: Kesi ya Ubunge: Mahakama yamzima Lissu

Spread the love

MAHAKAMA Kuu ya Dar es Salaam leo tarehe 9 Septemba 2019, imetupilia mbali maombi ya Tundu Lissu, aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, likiwemo ombi namba 3 la kutaka kuzuia kuapishwa kwa aliyekuwa Mbunge Mteule wa jimbo hilo kupitia CCM, Miraji Mtaturu. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Jaji Sirilius Matupa wa mahakama hiyo amesema, kama angeruhusu kesi hiyo ifunguliwe, mwishowe jimbo la Singida Mashariki lingekuwa na wabunge wawili yaani Lissu wa Chadema na Miraji wa CCM, hivyo kuvunja Katiba ya nchi.

Hata hivyo, Jaji Matupa amemtaka Lissu kubadilisha aina ya maombi yake na kufungua kesi mpya.

Ufafanuzi zaidi wa uamuzi huo unakujia…

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Uamuzi juu ya wakurugenzi kusimamia uchaguzi 13 Juni

Spread the love  MAHAKAMA ya Afrika ya Haki za Binadamu (ACHPR), imepanga...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jeshi la Polisi kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika utafiti

Spread the love  JESHI la Polisi Nchini limesema kuwa katika kukabiliana na...

KimataifaTangulizi

Mtuhumiwa wa mauaji ya halaiki ya Rwanda akamatwa Afrika Kusini

Spread the love  MMOJA wa watuhumiwa wakuu wa mauaji ya Kimbari ya...

Habari za Siasa

Musoma Vijijini waomba ujenzi wa barabara uanze haraka

Spread the loveJIMBO la Musoma Vijijini, mkoani Mara, limeomba Serikali kuhakikisha ujenzi...

error: Content is protected !!