Monday , 5 June 2023
Home Habari Mchanganyiko Mmoja afariki dunia, nane waokolewa baada ya kufunikwa machimboni
Habari Mchanganyiko

Mmoja afariki dunia, nane waokolewa baada ya kufunikwa machimboni

Spread the love

MTU mmoja amefariki duniani wakati nane wakinusurika kifo baada ya kufukiwa na kifusi katika machimbo ya madini wilayani Misungwi mkoa wa Mwanza. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea).

Tukio hilo limetokea asubuhi ya leo tarehe 10 Septemba 2019, ambapo watu 10 walikumbwa na mkasa huo na mmoja kupoteza maisha.

Kamanda Jumanne Murilo, kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Mwanza amethibitisha tukio hilo akisema kwamba juhudi za kumuokoa mtu mmoja aliyebaki zinaendelea.

“Tukio hilo limetokea kweli, mtu mmoja amepoteza maisha, nane wameokolewa, juhudi zinaendelea za kumuokoa mmoja aliyebaki katika machimbo hayo,” amesema Kamanda Murilo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Tunduma watenga 60 milioni kujenga machinjio ya kisasa

Spread the loveHALMASHAURI ya mji Tunduma Imetenga kiasi cha Tshs Miloni 60...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 17 kujenga bandari kavu Tunduma

Spread the loveHALMASHAURI ya mji Tunduma iliyopo wilayani  Momba mkoani Songwe imepatiwa...

Habari Mchanganyiko

Bandari ya Kigoma kuongezewa uwezo wa kutoa huduma zake

Spread the love  SERIKALI kupitia mamlaka ya Bandari nchini (TPA), imewekeza takribani...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kifo cha mwanafunzi UDOM: Tume yamsafisha naibu waziri

Spread the loveTUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini (THBUB),...

error: Content is protected !!