Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Mmoja afariki dunia, nane waokolewa baada ya kufunikwa machimboni
Habari Mchanganyiko

Mmoja afariki dunia, nane waokolewa baada ya kufunikwa machimboni

Spread the love

MTU mmoja amefariki duniani wakati nane wakinusurika kifo baada ya kufukiwa na kifusi katika machimbo ya madini wilayani Misungwi mkoa wa Mwanza. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea).

Tukio hilo limetokea asubuhi ya leo tarehe 10 Septemba 2019, ambapo watu 10 walikumbwa na mkasa huo na mmoja kupoteza maisha.

Kamanda Jumanne Murilo, kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Mwanza amethibitisha tukio hilo akisema kwamba juhudi za kumuokoa mtu mmoja aliyebaki zinaendelea.

“Tukio hilo limetokea kweli, mtu mmoja amepoteza maisha, nane wameokolewa, juhudi zinaendelea za kumuokoa mmoja aliyebaki katika machimbo hayo,” amesema Kamanda Murilo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

Spread the loveJACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza,...

error: Content is protected !!