SELEMANI Mashaka Haruna (31), Mkazi wa Majengo wilayani Urambo, Tabora anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumuuwa mtoto wake kwa sumu. Anaripoti...
By Regina MkondeApril 30, 2019SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imetegua kitendawili cha nani atakayecheza na timu ya Sevilla ya Hispania iliyoalikwa kuja kucheza na timu...
By Faki SosiApril 30, 2019JESHI la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam limekamata watu tisa kwa tuhuma za wizi wa mafuta ya transfoma na vifaa vyake....
By Regina MkondeApril 30, 2019KASSIM Majaliwa, Waziri Mkuu ametaka kampuni zinazotoa huduma za mawasiliano nchini, kuisaidia serikali kubaini wanaotumia simu vibaya. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....
By Danson KaijageApril 30, 2019RAIS wa Tanzania, Dk. John Magufuli amesema, Dk. Harrison Mwakyembe, Mbunge wa Kyela alinyweshwa sumu kutokana na utendaji kazi wake uliotukuka. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuApril 30, 2019CHAMA cha ACT-Wazalendo Mkoa wa Dar es Salaam, kimelitaka Bunge la Jamhuri kuthibitisha uimara wake katika kuisimamia serikali.Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Chama...
By Regina MkondeApril 30, 2019LICHA ya Dk. Harrison Mwakyembe, Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo kutaka watu kutomtafuta mwandishi wa Azory Gwanda aliyetoweka katika mazingira ya...
By Bupe MwakitelekoApril 30, 2019MBUNGE wa Kyadondo Mashariki nchini Uganda, Robert Kyagulanyi ‘Bobi Wine’ amewekwa rumande katika Kituo cha Polisi cha Naggalama, akituhumiwa kuandaa maandamano ya umma...
By Hamisi MgutaApril 30, 2019KAMBI Rasmi ya Upinzania Bungeni imelalamikia juhudi za serikali katika kuboresha elimu kwamba, bado ni finyu. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Kambi hiyo...
By Danson KaijageApril 29, 2019BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), inatarajiwa kutoa mikopo kwa wanafunzi 128,285 sawa na ongezeko la asilimia 4.5 ikilinganishwa...
By Danson KaijageApril 29, 2019HATUA ya wanaume wengi kudaiwa kutumia dawa za kuongeza nguvu za kiume, imegeuka mjadala bungeni huku wabunge wakiangua kicheko. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...
By Danson KaijageApril 29, 2019JANUARI Makamba, Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Mazingira na Muungano ametoa angalizo kwa watengenezaji wa vinywaji vya Enegy kwamba, chupa zake hazidhibitiki. Anaripoti...
By Faki SosiApril 29, 2019WAKATI serikali ikiendelea kufanya mchakato kuuchukua Mgodi wa Kiwira, umekutwa na madeni hewa zaidi ya bilioni 40. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mgodi...
By Mwandishi WetuApril 29, 2019SERIKALI ya Tanzania inajiandaa kuwasilisha bungeni, muswada wa mabadiliko ya Sheria ya Takwimu, ili “kuondoa kibano” cha kunyimwa fedha za maendeleo kutoka kwa...
By Saed KubeneaApril 28, 2019JINAMIZI la sera ya ubinafsishaji wa rasimali za nchi, ikiwamo viwanda, mashamba na mabenki, mradi ambao uliasisiwa wakati wa utawala wa Benjamin William...
By Regina MkondeApril 28, 2019MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba ameteua Wakurugenzi na Manaibu wakurugenzi wapya. Anaripoti Hamis Mguta…(endelea). Prof. Lipumba amesema uteuzi huo...
By Hamisi MgutaApril 28, 2019WATU 15 wanaoshukiwa kuhusika katika shambulio la kigaidi lililopoteza maisha ya watu 253 kwenye makanisa nchini Sri Lanka, wameuawa katika majibizano ya risasi. Inaripoti...
By Mwandishi WetuApril 27, 2019MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imewataka wananchi wa mikoa ya Lindi na Mtwara kuendelea na shughuli zao, huku ikiwatahadharisha kufuatilia utabiri...
By Mwandishi WetuApril 27, 2019WAKURUGENZI ambao halimashauri zao zimekusanya mapato chini ya asilimia 50, wametakiwa kujitathimini. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Halmashauri tano za mwisho kwa makusanyo...
By Danson KaijageApril 26, 2019RAIS John Magufuli, amemrudisha jukwaani Joseph Mbilini (Sugu), Mbunge wa Mbeya Mjini kumalizia hotuba yake licha ya kuondolewa na msimamizi wa shughuli. Anaripoti...
By Mwandishi WetuApril 26, 2019NAPE Nnauye, Mbunge wa Mtama na Hussein Bashe, Mbunge wa Nzega Mjini ni miongoni mwa wanasiasa vijana wanaomvutia Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu...
By Regina MkondeApril 26, 2019KIMBUNGA Keneth kimesababisha vifo vya watu watatu katika visiwa vya Comoro. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Vyombo vya habari vya kimataifa vimeripoti...
By Mwandishi WetuApril 26, 2019RAIS John Magufuli leo tarehe 26 Aprili 2019, ametoa msamaha kwa wafungwa 3, 530 pamoja na wenye maradhi mbalimbali. Anaripoti Faki Sosi …...
By Faki SosiApril 26, 2019SERIKALI imesitisha sherehe za kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 55 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Hayo amesema Waziri...
By Regina MkondeApril 25, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imeendelea kusikiliza kesi Na 327 ya 2018 ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Kigoma Mjini...
By Faki SosiApril 25, 2019WATANZANIA wametahadharishwa kuhusu mlipuko wa magonjwa ya kuambukiza kwa watoto ukiwemo ugonjwa wa surua, unaotajwa kuanza kuathiri nchi jirani. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Akizungumzia maadhimisho...
By Regina MkondeApril 25, 2019SPIKA wa Bunge, Job Ndugai, anamtuhumu Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Zuberi Kabwe, kujitafutia umaarufu wa kisiasa, kupitia Ripoti ya Mkaguzi na...
By Danson KaijageApril 25, 2019WATU ambao hawatasajili laini zao za simu kwa alama za vidole, hawatoweza kuzitumia baada ya tarehe 31 Desemba 2019. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....
By Mwandishi WetuApril 25, 2019WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, ametakiwa kujizuia kutoa kauli za kejeli, dhidi ya watu wanaotafuta taarifa za mahali...
By Mwandishi WetuApril 25, 2019HATUA ya Bajeti ya Elimu kupungua siku hadi siku, imelalamikiwa na wadau wa elimu nchini. Anaripoti Faki Sosi…(endelea). Akizungumza na waandishi wa habari...
By Hamisi MgutaApril 24, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeanza kusikiliza ushahidi kwenye kesi ya uchochezi inayomkabili Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama...
By Faki SosiApril 24, 2019SERIKALI imetoa kiasi cha Shilingi 688.6 bilioni, kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa umeme katika maporomoko ya Mto Rufiji. Anaripoti Regina Mkonde …...
By Regina MkondeApril 24, 2019MARIAM Rajab Mimbe (25), anayesumbuliwa na kidonda kikubwa kwenye mgongo, upande wake wa kulia, anaendelea vizuri na sasa yuko njiani kuelekea katika hospitali...
By Regina MkondeApril 24, 2019MCHEZO wa leo saa 4:00 usiku wa Ligi Kuu ya England kati ya Manchester United na Manchester City (Manchester Debby) kwenye uwanja wa...
By Yusuf AboudApril 24, 2019RAIS John Magufuli leo tarehe 24 Aprili 2019, anatarajia kuanza ziara ya kikazi ya siku mbili nchini Malawi. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea)....
By Kelvin MwaipunguApril 24, 2019MKUU wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) Profesa Tadeo Andrew Satta, ameteuliwa na Rais John Magufuli kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi...
By Regina MkondeApril 24, 2019JESHI la Polisi, Kitengo cha Kuzuia Kupambana na Dawa za Kulevya, limewatia mbaroni raia wawili wa Nigeria na Raia wawili wa Walativia wakiwa na kilogram...
By Faki SosiApril 23, 2019WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, amepuuza kilicho cha muda mrefu cha wadau wa habari nchini cha kutaka kuelezwa...
By Mwandishi WetuApril 23, 2019SERIKALI kupitia Jeshi la Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani limeandaa utaratibu wa kuwa na vituo maalum vya ukaguzi vya mabasi ya umma. Anaripoti Danson...
By Danson KaijageApril 23, 2019WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, amekana madai kuwa serikali imeliomba Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), kutochapisha taarifa yake ya...
By Regina MkondeApril 23, 2019JUMLA ya wanachuo 3,421 wamehitimu masomo yao katika Chuo cha Diplomasia tangu kuanzishwa kwake mwaka 1978. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Taarifa hiyo...
By Danson KaijageApril 23, 2019SERIKALI imesema iko katika taratibu za mwisho za kuwaajiri walimu 4,500 wa masomo ya sayansi kwa ajili ya kuwapeleka katika shule za sekondari...
By Danson KaijageApril 23, 2019AGREY Mwanri, Mkuu wa Mkoa wa Tabora ameomba radhi kufuatia kauli yake aliyoitoa mwanzoni mwa mwezi Aprili 2019 kwamba, Mungu amshukuru Rais John...
By Regina MkondeApril 22, 2019RITA Kabati, Mbunge wa Viti Maalum (CCM) mkoani Iringa amesema, mambo mengi anayozungumza Peter Msigwa, Mbunge wa Iringa Mjini, yanatekelezwa na serikali. Anaripoti...
By Hamisi MgutaApril 22, 2019MIILI ya watu waliopoteza maisha katika shambulio la kigaidi kwenye makanisa matatu na hoteli za kifahari nchini Sri Lanka, imefikia 290. Inaripoti Mitandao...
By Mwandishi WetuApril 22, 2019MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Frederick Shoo, amesema ya kuwa kuna watu duniani leo wanaotumia nguvu kuuficha ukweli,...
By Mwandishi WetuApril 22, 2019MWANGALIZI wa Makanisa ya Baptist mkoani Dodoma, Antony Mlyashimba, amemtaka Spika wa Bunge, Job Ndugai kutubu na kisha kukaa meza moja na Mkaguzi...
By Danson KaijageApril 21, 2019MKAGUZI na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof. Mussa Assad, amegoma kujiuzulu kutoka kwenye wadhifa wake. Anaripoti Saed Kubenea … (endelea)....
By Saed KubeneaApril 21, 2019ASKOFU wa kanisa la Anglikana Dayosisi ya Kati, Dk. Dikson Chilongani amesema kuwa licha ya kuwa serikali inapambana na rushwa lakini hali hiyo...
By Danson KaijageApril 21, 2019JOHN Heche, mbunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika jimbo la Tarime Vijijini, amedai kuwa hatua ya Rais John Magufuli, kuzuia...
By Regina MkondeApril 20, 2019