Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Sherehe za Muungazo zapigwa ‘stop’
Habari za Siasa

Sherehe za Muungazo zapigwa ‘stop’

Spread the love

SERIKALI imesitisha sherehe za kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 55 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Hayo amesema Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akizungumza ofisini kwake jijini Dodoma leo tarehe 25 Aprili 2019.

Waziri Majaliwa amesema kiasi cha fedha Sh. 988.9 milioni ambazo zilitengwa kwa ajili ya sherehe hizo ambazo zilitarajiwa kufanyika tarehe 26 Aprili 2019, zimeokolewa na kwamba zitapangiwa matumizi mengine.

Waziri Majaliwa amesema tarehe 26 Aprili 2019 itakuwa ni siku ya mapumziko kwa ajili ya kuadhimisha muungano huo, na hakutakuwa na shamrashamra za aina yoyote ile.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

error: Content is protected !!