Tuesday , 7 May 2024

Biashara

Biashara

Biashara

Uhuru wa vyombo vya habari: NMB yaipa TEF milioni 25

BENKI ya NMB Tanzania imetoa Sh.25 milioni kwa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) kwa lengo la kufadhiri siku ya uhuru wa vyombo vya...

Biashara

Jinsi mfumo uagizaji pamoja mafuta ulivyoepusha bei kupaa zaidi

LICHA ya Taifa kupitia changamoto ya ongezeko la bei ya mafuta ya petrol na dizeli inayotokana na ongezeko la bei ya nishati hiyo...

Biashara

Ushirikiano NMB, ZTC wamvutia Rais Dk. Mwinyi

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imevutiwa na ushirikiano baina ya Benki ya NMB na Kamisheni ya Utalii Zanzibar (ZTC), ambao umekuwa chachu...

Biashara

GGML yaibuka mshindi maonesho ya afya na usalama mahala pa kazi

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeibuka mshindi wa jumla katika maonesho ya afya na usalama mahala pa kazi jijini Dodoma. Anaripoti...

Biashara

NMB yashiriki Mei Mosi Dodoma

BENKI ya NMB nchini Tanzania ni miongoni mwa taasisi zilizoshiriki sherehe za Mei Mosi kitaifa jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu Sherehe hizo zimefanyika...

Biashara

Benki ya NBC yaing’arisha Kariakoo Derby

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara, (NBC Premiere League) jana tarehe...

Biashara

GGML yalipa billioni 4 kwa halmashauri mbili Geita

KATIKA kuunga mkono  na kutimiza wajibu wake wa kulipa kodi na tozo mbalimbali kwa Serikali, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imelipa...

Biashara

NMB Jasiri yaorodheshwa DSE

AFISA Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna amesema benki hiyo imejipanga kuwainua wanawake kiuchumi na kutambua shughuli zao za uzalishaji mali...

Biashara

NMB yaahidi makubwa sekta elimu, afya Geita

BENKI ya NMB nchini Tanzania, imeahidi kuendelea kushirikiana na Serikali kuhakikisha wakazi wa Mkoa wa Geita wanazidi kupata huduma bora hasa katika sekta...

Biashara

Benki ya Exim yafuturisha wateja wake Tanga

IKIWA ni muendelezo wa utaratibu wake wa kuandaa futari kwa ajili ya wateja na wadau wake katika mikoa mbalimbali nchini kipindi hiki cha...

Biashara

NMB yatangaza ufadhili wa wanafunzi 2022

BENKI ya NMB nchini Tanzania inatarajia kutoa ufadhili kwa wanafunzi 200 ambapo wanafunzi 150 ni wa kidato cha tano na sita huku 50...

Biashara

Benki ya Exim yafuturisha wateja wake Zanzibar

KATIKA kuadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhan, Benki ya Exim Tanzania imefuturisha wateja wake visiwani Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hafla ya futari...

Biashara

Benki ya NBC yazindua kampeni kuhamasisha kilimo cha ufuta Lindi

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua kampeni maalum kwa wakulima wa zao la Ufuta katika mkoa wa Lindi inayofahamika kama ‘Jaza Kibubu...

Biashara

Wizara ya Kilimo, NMB zatangaza neema sekta ya kilimo

WIZARA ya Kilimo na Benki ya NMB za nchini Tanzania, wameingia makubaliano ya kukuza sekta ya kilimo nchini humo ambapo benki hiyo imetenga...

Biashara

NMB yashiriki uzinduzi SGR Tabora

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi nchini Tanzania, Profesa Makame Mbarawa amezindua ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kipande cha Makutupora- Tabora kitakachogharimu Sh...

Biashara

Airtel Tanzania yailipa Serikali Bil. 143

KAMPUNI ya Airtel Tanzania inayomilikiwa kwa ubia kati ya Serikali na sekta binafsi imetoa gawio la Sh 143 bilioni kwa Serikali kama faida...

Biashara

Serikali yaanzisha mfumo ufuatiliaji bei za bidhaa

SERIKALI ya Tanzania, imeanzisha mfumo wa ufuatiliaji bei za bidhaa, ambao utawawezesha wananchi kutoa taarifa pindi watakapoona mabadiliko ya bei ya bidhaa sokoni,...

BiasharaTangulizi

Serikali yasema bei ya bidhaa Tanzania zipo chini

LICHA ya kuwepo kwa mfumuko wa bei za bidhaa duniani Serikali ya Tanzania imesema bei za bidhaa nchini mwake zipo chini ikilinganishwa na...

Biashara

Tanzania inaagiza asilimia 57 ya ngano Urusi, Ukrenia

WAZIRI wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dk. Ashatu Kijaji amesema asilimia 57 ya ngano inayoagizwa kutokanje inatoka Urusi na Ukrenia. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Biashara

NMB yazindua teleza kidigitali, Majaliwa awapa heko

BENKI ya NMB nchini Tanzania, imefanya mapinduzi makubwa ya kibenki kwa kuzindua huduma kubwa tatu kupitia kampeni yake ya ‘Teleza Kidigitali.’ Anaripoti Mwandishi...

Biashara

Serikali kupunguza kodi kwenye sukari, mafuta

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itapunguza kodi ya sukari itakayoingizwa nchini kwa hadi asilimia 10 ili kupata unafuu...

Biashara

Wenye viwanda watakiwa kuacha urasimu utoaji bidhaa

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk. Ashatu Kijaji amewataka wamiliki wa viwanda vya saruji na sukari kupunguza urasimu katika utoaji wa bidhaa hizo....

Biashara

NMB yatoa mabati kwa shule Serengeti, yatangaza neema

KATIKA kuthibitisha uwajibikaji wao kwa jamii, Benki ya NMB nchini Tanzania imetoa vifaa vya ujenzi vyenye thamani ya zaidi ya Sh.8 milioni kwa...

Biashara

NBC waja na ‘Jaza Kibubu Tusepe’

  BENKI ya NBC imezindua Kampeni ya ‘Jaza Kibubu Tusepe’ itakayojikita kwenye utoaji wa elimu kwenye masuala ya kifedha itakayoambatana na zawadi mbalimbali...

Biashara

Mshindi kampeni ya NMB akabidhiwa pikipiki, yeye atoa neno

MJASIRIAMALI mkazi wa Same mkoani Kilimanjaro nchini Tanzania, Ally Athuman Mnyone ameibuka na ushindi wa pikipiki ya miguu mitatu maalumu kwajili ya kubebea...

Biashara

NMB yageukia wakulima, Rais Samia awapongeza

JUMLA ya Sh78. 8 bilioni zimeshatolewa na Benki ya NMB nchini Tanzania kwa wakulima kati ya Sh.100 bilioni walizotengewa kwa ajili ya kukopeshwa...

Biashara

NMB yashiriki uzinduzi mbio za Mwenge

MBIO za Mwenge wa Uhuru Kitaifa zimezinduliwa Jumamosi ya tarehe 2 Aprili 2022 na Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango mkoani...

Biashara

NMB yawaibua wakulima Dodoma, watoa ushuhuda

MABADILIKO makubwa yaliyofanywa na Benki ya NMB nchini Tanzania yamewaibua wakulima kufungua milango ya kukimbilia mikopo ya benki hiyo ili kujiimarisha kiuchumi. Anaripoti...

Biashara

NMB yazindua wakala wa simu mkononi, ajira 100,000 zanukia

BENKI ya NMB nchini Tanzania imezindua huduma maalumu ya kuweka na kutoa fedha kirahisi kupitia wakala watakao tumia simu zao za mkononi tu....

Biashara

Kishindo fainali NMB MastaBata, 30 wajinyakulia Mil. 90

MIEZI mitatu ya Kampeni ya ‘NMB MastaBata – Kivyako Vyako,’ iliyoendeshwa na benki hiyo, imefikia tamati kwa washindi 30 kujinyakulia Sh.3 milioni kila...

Biashara

Benki ya Exim yakabidhi madawati 100 Mbeya

Benki ya Exim Tanzania imekabidhi msaada wa madawati 100 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 20 mkoani Mbeya ikiwa ni mwendelezo wa...

Biashara

NMB, eGovernment Z’bar zakubaliana makubwa

BENKI ya NMB na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), kupitia Wakala wa Serikali Mtandao ‘eGovernment Zanzibar’ wamesaini makubaliano ya ushirikiano, yatakayowezesha mifumo...

BiasharaUjasiriamali

Mikopo ya bajaji Mbeya gumzo kwa vijana, washindana kujiimarisha kiuchumi

VIONGOZI na wanachama wa kikundi cha Vijana Waendesha Bajaji (Viwaba) eneo la Mbalizi, katika halmashauri ya wilaya ya Mbeya mkoani hapa wameeleza namna...

Biashara

Tanzania yaweka rekodi mauzo ya madini

WAZIRI wa Madini, Dk. Doto Biteko amesema sekta ya madini imevunja rekodi katika mauzo yake kwenye masoko mbalimbali, ambayo yamekua hadi kufikia thamani...

Habari MchanganyikoUjasiriamali

TFS wapigia chapuo asali – Gairo, wavuna tani moja

KUTOKANA na juhudi za uhifadhi wa mazingira, Wilaya ya Gairo kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) mwaka jana imefanikiwa kuvuna tani...

Biashara

Exim yaungana na dunia kuadhamisha Siku ya Wanawake

Benki ya Exim Tanzania leo tarehe 8 Machi, 2022 imeungana na dunia kwa ujumla katika kusherehekea Siku ya Wanawake Duniani kwa kubainisha namna...

Biashara

Huawei, TTCL zasaini makubaliano kuboresha teknolojia ya mawasiliano

KAMPUNI ya Mawasiliano Tanzania (TTCL) na Kampuni ya Teknolojia ya Huawei, wametia saini hati ya makubaliano ya ushirikiano wa kiutendaji utakaoziwezesha pande hizo...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yamkabidhi Rais Samia vifaa vya mamilioni vya elimu kwa wenye uhitaji

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameishukuru na kuipongeza Benki ya NMB kwa mchango unaoenda kufanikisha uboreshaji elimu kwa makundi maalum. Anaripoti Mwandishi...

Biashara

NMB yatoa vifaa vya milioni 29 hospitali ya Amana, Shule 3 Dar

HOSPITALI ya Rufaa ya Amana na Shule tatu za msingi za Buguruni Kisiwani, Kivule na Airwing zilizoko Wilaya ya Ilala jijini Dar es...

BiasharaHabari

Zawadi NMB MastaBata zabaki milioni 100

KAMPENI ya NMB MastaBata inayoelekea ukingoni imebakiwa na zawadi ya Sh.100 milioni baada ya Sh.140 milioni kati ya Sh.240 milioni kunyakuliwa na washindi...

Biashara

GGML yabeba tuzo kampuni bora katika sekta ya madini 2021

KAMPUNI ya uchimbaji madini ya dhahabu Geita (GGML) imetunukiwa tuzo ya kuwa kampuni bora inayoendesha shughuli za uchimbaji wa madini nchini kwa mwaka...

Biashara

Wajasiriamali 825 wanaufaika na mkopo Morogoro

KATIKA kuunga mkono juhudi za wajasiriamali na kuhakikisha wanajikwamua kiuchumi na kujiongezea kipato, Halmashauri ya Morogoro imetoa mkopo wa Sh  milioni  340 kwa  ...

Biashara

GGML yashinda tuzo ya usalama duniani kwa mwaka wa tatu mfululizo

KAMPUNI ya Uchimbaji madini ya dhahabu Geita (GGML) imetunukiwa tuzo ya Usalama ya Dunia ya 2021 kwa mwaka wa tatu mfululizo na kuifanya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

GGML wamwaga Sh milioni 90 mkutano wa madini

KAMPUNI ya uchimbaji wa madini ya dhahabu mkoani Geita (GGML) imetoa msaada wa Sh milioni 90 kudhamini Mkutano wa nne wa Uwekezaji wa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

TANESCO kuvuna bilioni 5 mapato ya mwezi kutoka GGML

KUKAMILIKA kwa mradi wa kupeleka umeme kwenye Kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kunatarajiwa kutaliwezesha Shirika la...

Biashara

Benki ya Exim yakabidhi zawadi ya gari kwa mshindi wa kampeni ya ‘Weka Mkwanja tukutoe’

BENKI ya Exim imekabidhi gari aina ya Toyota Vanguard kwa taasisi ya Work of Mary (Focolare Movement Tanzania) ya mkoani Iringa iliyoibuka mshindi...

Biashara

Nyumba 50 ndani ya jengo la Uhuru Heights kuuzwa

Kampuni ya Cosmos Properties ya jijini Dar es Salaam, ambayo ni mmiliki wa nyumba 50 katika jengo la Uhuru Heights iko matatani baada...

Biashara

Benki ya Exim yatangaza mshindi wa jumla “Weka Mkwanja Tukutoe!”

BENKI ya Exim Tanzania imetangaza washindi wa promosheni yake inayojulikana kama “Weka Mkwanja tukutoe!” ambapo taasisi ya Work of Mary (Focolare Movement Tanzania)...

error: Content is protected !!