Sunday , 19 May 2024

Biashara

Biashara

Biashara

Leseni uchimbaji madini ya ‘rare earth’ yatambulishwa rasmi, ajira 3000 zaja

WANANCHI wa Wilaya ya Songwe wametambulishwa uwepo wa leseni ya uchimbaji mkubwa wa madini ya Rare Earth Elements yanayotumika katika teknolojia ya kisasa....

BiasharaMichezo

NMB, Simba SC. waja na ‘Ukaribu wa Nguvu’ kusajili wanachama, jezi kuzinduliwa kileleni mwa Kilimanjaro

BENKI ya NMB na Klabu ya Simba, zimezindua ushirikiano wa kibiashara uliopewa jina la ‘Ukaribu wa Nguvu,’ kwa lengo la kuongeza ufanisi katika...

Biashara

Kilombero walilia miundombinu kilimo cha umwagiliaji

CHAMA  Cha Mapinduzi  (CCM)  Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro, kimeiomba serikali kujenga miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwa ajili ya kukuza uzalishaji wa...

Biashara

Vodacom yatoa tuzo ikitimiza miaka 11 bila vifo kazini ikitumia ubunifu

KAMPUNI ya Teknolojia na mawasiliano, Vodacom Tanzania PLC imewapongeza kwa kuwapatia tuzo mbalimbali washirika na watoa huduma wake kwa kuzingatia viwango vya usalama...

Biashara

NICOL yapeleka neema kwa wanahisa wake sabasaba

KAMPUNI ya Uwekezaji ya NICOL, imeendelea kufanya vizuri sokoni kwa kupata ongezeko ya faida ya shilingili bilioni 6.2 mwaka huu kulinganisha na faida...

Biashara

Mradi wa maegesho ya malori wazidi kuipaisha Tunduma

HALMASHAURI ya mji Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe imetumia kiasi cha Sh 1.7 bilioni kujenga mradi huo wa maegesho ya malori ili kukabiliana...

BiasharaMichezo

NMB kuanza kusajili wanachama Yanga Julai 10

BENKI ya NMB kupitia matawi yake yote nchini inatarajiwa kuanza rasmi Jumatatu tarahe 10 Julai 2023, kusajili na kutoa kadi za uanachama wa...

Biashara

Washindi 22 promosheni NMB “Bonge la Mpango”, wabeba zawadi zao  

JUMLA ya washindi 22 wa Kampeni ya uhamasishaji wa kuweka akiba ya Benki ya NMB ‘Bonge la Mpango’ wamekabidhiwa zawadi zao jijini Dar...

Biashara

Wafanyabiashara Kariakoo waibua mapya, Lissu atoa kauli

  BAADHI ya wafanyabiashara katika Soko la Kariakoo, jijini Dar es Salaam, wamedai changamoto wanazokabiliana nazo zinasababishwa na masuala mbalimbali, ikiwemo kisiasa. Anaripoti...

Biashara

Vodacom yazindua kampeni ya ‘Biashara Pamoja, Tuamini Sisi’, katika maonyesho ya Sabasaba

  KATIKA kutekeleza adhma yake ya kutumia ubunifu wa kidigitali kuongeza ufanisi kwenye shughuli mbali mbali ikiwemo zile za kibiashara, kampuni ya mawasiliano...

BiasharaTangulizi

Majaribio uzalishaji umeme Bwawa la Nyerere Februari-2024

Serikali kupitia Wizara ya Nishati imebainisha kuwa mpaka kufikia mwezi Juni 2024, Bwawa la Kufua Umeme la Julius Nyerere (JNHPP) litaanza kutoa huduma...

Biashara

TASAF yafaidisha kaya 160 Kondoa

KATIKA mwaka wa fedha wa 2021/23 jumla ya fedha kiasi cha Sh 102  milioni zimewanufaisha wakazi wa Kijiji cha Itundwi kata ya Mnina...

Biashara

Kampuni, taasisi Arusha zakoshwa na huduma ya NBC Connect

TAASISI na kampuni wateja za Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) mkoani Arusha, wameipongeza benki hiyo kwa kuwapelekea huduma ya malipo kidigitali inayojulikana...

Biashara

Wafanyabiashara Kariakoo waibua mapya, Lissu atoa kauli

BAADHI ya wafanyabiashara katika Soko la Kariakoo, jijini Dar es Salaam, wamedai changamoto wanazokabiliana nazo zinasababishwa na masuala mbalimbali, ikiwemo kisiasa. Anaripoti Mwandishi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Mramba atembelea banda la GGML sabasaba, akoshwa na miradi, rekodi za kampuni hiyo

KATIBU mkuu wa Wizara ya Madini, Mhandisi Felchesmi Mramba ametembelea banda la Maonesho la Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) katika maonesho...

Biashara

‘Bonge la Mpango’ ya NMB yafikia tamati, wateja wajishindia zawadi nono

KAMPENI ya uhamasishaji wa kuweka akiba ya Benki ya NMB iliyopewa jina la ‘Bonge la Mpango’ Msimu wa Tatu imefikia kilele tarehe 5...

Biashara

Kampuni 5,000 zashiriki sabasaba

  KAMPUNI 5666 za ndani na nje ya nchi zimeshiriki kwenye Maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam DITF)...

Biashara

Tawi la 229 la NMB lazinduliwa Buhigwe, Dk Mpango asema…

MTANDAO wa Matawi ya Benki ya NMB nchini umezidi kutanuka, baada ya Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango kuzindua Tawi la...

Biashara

Wafanyabiashara wamuanguakia Samia wasiondolewe Bandari kavu Jimbiza

WAFANYABIASHARA katika Bandari Kavu ya Jimbiza, iliyoko Kilwa Masoko, mkoani Lindi, wameiangukia Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan wakiitaka iingilie kati ili wasiondolewe...

BiasharaElimu

Teknolojia ya kidigitali kuleta mapinduzi ya elimu Kusini mwa Jangwa la Sahara   

TEKNOLOJIA za kidigitali na uunganishwaji ni ufunguo wa kuwawezesha vijana wa Afrika kuonyesha uwezo wao. Kwa kuwafungulia milango ya fursa kwa vijana wa...

Biashara

Wateja wa Vodacom kurudishiwa 10% wakilipa kwa simu bidhaa mbalimbali banda la Sabasaba

  KAMPUNI ya Vodacom Tanzania katika msimu huu wa sabasaba imetoa zawadi kwa watanzania kwa kuwarudishia mpaka 10% ya pesa watakapolipia bidhaa mbalimbali...

Biashara

NGO’s zatoa vilio vya kodi, TRA yaziita mezani

  MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imetakiwa kutatua changamoto za kodi zinazokabili Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), zisizoingiza faida. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Biashara

Wakala wa meli Tanzania waunga mkono ujio wa DP World

  CHAMA cha Wakala wa Meli Tanzania (TASAA) kimeunga mkono mpango wa Serikali wa kuleta uwekezaji wa kampuni ya DP World kwenye bandari...

Biashara

Waziri Nape aipongeza Vodacom, azindua ofisi ya kisasa Jijini Dodoma

  WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amepongeza jitihada za Vodacom Tanzania kwa kufungua ofisi ya kisasa katika makao...

Biashara

Wafanyabiashara Tunduma watoa dukuduku ujenzi soko la bilioni 1.9

WAFANYABIASHARA katika soko la Majengo halmashauri ya mji Tunduma wameio na Serikali iharakishe ujenzi soko jipya ili waweze kuendelea na zao katika maeneo...

BiasharaTangulizi

TLS yaishauri Serikali kufuta vifungu tata mkataba DP World, “vinakiuka masilahi ya Taifa”

CHAMA cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), kimeshauri Serikali kuondoa vifungu vinavyominya maslahi ya Taifa katika mkataba wa makubaliano ya kiserikali kati yake na...

Biashara

RC Chalamila azindua NMB Onja Unogewe, aiita akili kubwa

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Albert Chalamila ameipongeza Benki ya NMB  kwa kuzindua huduma mpya chini ya Mwamvuli wa Teleza...

Biashara

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Eliezer Feleshi atoa maneno mazito mjadala wa DP World

  MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Jaji Dkt. Eliezer Feleshi, amejitosa kwenye mjadala wa uwekezaji wa kampuni ya Dubai ya DP World unaotarajiwa kufanywa...

Biashara

NMB yatangaza neema Zanzibar, Rais Samia atoa neno

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameipongeza Benki ya NMB kwa jitihada zake za kuendelea kuiunga mkono Serikali kwa kuongeza ushirikishwaji wa kifedha...

Biashara

NBC Connect yabisha hodi Dodoma

KAMPUNI pamoja na taasisi mbalimbali  ambazo ni wateja wa Benki ya Taifa ya Biashara ya (NBC) mkoani Dodoma, sasa zinaweza kupata uzoefu mpya...

Biashara

BoT yaonya wananchi kuacha kukopa katika taasisi zisizo na leseni

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT), imewataka wananchi kuepuka kukopa au kufanya biashara na taasisi au watu wasiokuwa na leseni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Biashara

Wateja wa TotalEnergies kurudishiwa 10% kupitiaushirikiano na LIPA KWA M-PESA

KUPITIA dhamira yakuendeleza mfumo wa maisha wa kutotumia pesataslimu nchini, huduma ya M-Pesa ya Vodacom naTotalEnergies Marketing Tanzania Limited wamezinduaushirikiano wa kimkakati ili...

BiasharaTangulizi

Prof. Lipumba:Miradi isiyo na tija imedumaza uchumi Taifa

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba, ameitaka Serikali iachane na miradi ya maendeleo inayochukua muda mrefu bila kuleta tija kwa...

Biashara

CMSA yawekeza trilioni 35 katika masoko ya mitaji

MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji ya Dhamana (CMSA) imesema mpaka sasa thamani ya uwekezaji kwa masoko na mitaji imefikia  Sh 35 trilioni. Anaripoti...

Biashara

Vodacom yazindua mnara wa mawasiliano Makunduchi, Zanzibar

KATIKA kuunga mkono azma ya serikali ya kupanua na kuimarisha huduma za mawasiliano nchini kote, kampuni ya teknolojia na mawasiliano ya Vodacom Tanzania...

Biashara

Rostam, Kitila wamshukia vikali Mbowe kwa kauli za ubaguzi

  MFANYABIASHARA maarufu nchini Tanzania, Rostam Azizi, na mbunge wa Ubungo, Prof. Kitila Mkumbo, wamemshukia vikali Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, kwa kutoa...

BiasharaTangulizi

Lema, Zitto waishauri Serikali mkataba DP World “hatupingi uwekezaji bandari”

SERIKALI ya Tanzania, imeshauriwa kurekebisha baadhi ya vifungu vinavyolalamikiwa na wananchi katika mkataba wa ushirikiano wa kuendesha bandari ya Dar es Salaam, kati...

BiasharaTangulizi

Rostam, Kitila wamvaa Mbowe kwa kauli za ubaguzi

MFANYABIASHARA maarufu nchini Tanzania, Rostam Azizi, na Mbunge wa Ubungo, Prof. Kitila Mkumbo (CCM), wamemtaka Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, aombe radhi kutokana...

BiasharaTangulizi

Dk. Kitila aanika maeneo yatakayoendeshwa na DP World, Wassira achafukwa na ubaguzi

WAKATI mjadala wa mkataba wa ushirikiano kuhusu uendeshaji bandari, kati ya Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Dubai Port World (DP World), ukishika...

Biashara

NMB yatoa gawio la bilioni 45.5, Rais Samia apongeza

BENKI ya NMB imetoa gawio la Sh.  45.5 bilioni ikiwa ni gawio kubwa zaidi kuwahi kutolewa na taasisi ya kifedha kwa Serikali. Serikali inamiliki...

Biashara

Benki ya NBC yazindua akaunti maalum kwa ajili ya walimu

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) leo Alhamis imezindua akaunti mpya inayojulikana kama “Akaunti ya Mwalimu,” inayolenga kutoa suluhisho la huduma za kifedha...

Biashara

NMB yasherehekea safari ya mafanikio miaka 25 Zanzibar

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar, imeipongeza Benki ya NMB kwa safari yake ya mafanikio yaliyotukuka ya miaka 25! Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Hayo yamesemwa...

Biashara

SBL kuongeza kiwango cha malighafi kutoka kwa wakulima wadogo hadi 85%

   KAMPUNI ya Bia ya Serengeti, mmoja wa wazalishaji wakubwa wa bia nchini, amefichua kuwa analenga kuongeza vyanzo vyake vya malighafi kutoka kwa...

Biashara

Slaa aunga mkono uwekezaji, ashauri kurekebisha dosari mkataba wa DP World

  BALOZI Willibrod Slaa ameunga mkono uwekezaji kwenye Bandari ya Dar es Salaam, lakini ameishauri Serikali kurekebisha kasoro zinazolalamikiwa kwenye mkataba wa uwekezaji...

Biashara

  Wachimbaji dhahabu Kahama waunda ushirika, wapewa ujumbe mzito

WACHIMBAJI wa madini ya dhahabu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuwa mstari wa mbele kwa kushirikiana na Serikali katika kutatua changamoto mbalimbali ambazo...

Biashara

Wafanyabiashara, wasindikaji 600 wapigwa msasa kuhusu sumukuvu

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kutoa mafunzo ya udhibiti wa sumukuvu kwenye mahindi, karanga na bidhaa zake katika wilaya za Kiteto, Kongwa,...

Biashara

Infinix Note 30 yafanya kufuru sokoni, yauzika kwa wingi

KAMPUNI ya simu za mkononi Infinix mwanzoni mwa Mwezihuu ilizindua toleo la Infinix NOTE 30 Series nakusindikizwa na promosheni kubwa ya #Gusanishaijaekuvunja Record...

Biashara

DC Ileje aipongeza STAMICO kwa huduma za kijamii

MKUU wa wilaya Ileje mkoani Songwe, Farida Mgomi amelipongeza Shirika la Madini Taifa (STAMICO) kupitia mgodi wa Kiwira-Kabulo kwa kusaidia wananchi wanaozunguka mgodi...

Biashara

Zanzibar yazungumzia miaka 25 ya mafanikio ya NMB

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeipongeza Benki ya NMB kwa mafanikio yaliyotukuka katika kipindi cha miaka 25 ya kuhudumia Watanzania. Anaripoti Mwandishi...

BiasharaTangulizi

Bandari za Tanga na Mtwara hazihusiki uwekezaji DP World

Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesisitiza kwamba uwekezaji wa kampuni ya DP World kutoka Dubai hautahusisha bandari zote nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu...

error: Content is protected !!