Friday , 26 April 2024

Kitengo

Categorizing posts based on content

Afya

Asilimia 86 wenye umri zaidi ya miaka 18 wapata dozi kamili ya Uviko-19

  KWA kipindi cha miezi sita kuanzia mwezi Julai hadi Desemba 2022 Wizara ya Afya kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya afya...

Michezo

Mchezaji Singida apoteza maisha mazoezini

  MCHEZAJI na kapteni wa timu ya vijana ya Singida Big Star (U17), Mohammed Banda leo tarehe 19 Januari, 2023 amefariki dunia baada...

Kimataifa

Focusing on 4T technologies, helping thousands of industries transform from energy consumers to energy producers

Huawei has demonstrated its commitment to Africa’s energy transition, while also showcasing the full range of its latest solar PV and green home...

Kimataifa

El Chapo aomba kurejeshwa Mexico

  RAIS wa Mexico, Andres Manuel Lopez Obrador amesema atazingatia ombi la mlanguzi wa dawa za kulevya Joaquin ‘El Chapo’ Guzman, anayetumikia kifungo...

Kimataifa

Rais Congo: M23 bado wapo, wamedanganya

  RAIS wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Felix Tshisekedi amesema waasi wa M23 bado hawajaondoka kikamilifu katika maeneo wanayoshikilia mashariki mwa...

Elimu

Wizara ya Elimu kuchunguza tuhuma vitendo vya ulawiti shuleni

  SERIKALI ya Tanzania kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imetuma timu maalum kwenda mkoani Kilimanjaro kuchunguza tuhuma za wanafunzi kufundishwa vitendo...

Michezo

GGML yaongeza udhamini kwa Geita Gold FC msimu wa 2022/2023

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeongeza mkataba wa udhamini kwa Klabu ya Geita Gold Football Club (GGFC) wenye thamani ya  Sh...

Kimataifa

Bosi wa mafia akamatwa baada kujificha kwa miaka 30

  BOSI wa kikundi cha mafia maarufu kama Cosa Nostra anayesakwa zaidi nchini Italia, Matteo Messina Denaro amekamatwa huko Sicily baada ya kutoroka...

Kimataifa

 Maelfu wafariki dunia kwa UVIKO-19 China

  WATU karibu 60,000 wamefariki dunia nchini China kwa Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19), kati ya tarehe 8 Desemba 2022 hadi tarehe...

Kimataifa

25 wafariki dunia katika shambulizi Ukraine

  RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy amesema idadi ya vifo kutokana na shambulio la kombora la Urusi kwenye jengo la ghorofa tisa katika...

Afya

Waziri anusa ufisadi matumizi fedha za UVIKO-19

  NAIBU Waziri wa Afya, Dk. Godwin Mollel, ameagiza uchunguzi ufanyike dhidi ya matumizi ya fedha za kukabiliana na athari za Ugonjwa wa...

Kimataifa

Iran yamnyonga waziri aliyedaiwa kutoa siri Uingereza

  Serikali ya Irani, imemnyonga aliyekuwa Naibu Waziri wa Ulinzi wa Irani,Alireza Akbari, kwa kosa la kutoa siri za nchi hiyo na kufanya...

Afya

Serikali yaikana TANNA sakata la watumishi wa afya Tabora

  WIZARA ya Afya imesema maoni yaliyotolewa na Chama cha Wauguzi Tanzania (TANNA), kuhusu sakata la watumishi wa afya katika Zahanati ya Ishihimulwa...

Kimataifa

M23 wakubali kuachia ngome yao, wakutana na Uhuru Kenyatta

  VIONGOZI wa kundi la waasi la M23 wamekutana na msuluhishi wa kanda rais wa zamani wa Kenya, Uhuru Kenyatta, mjini Mombasa, ambapo...

Afya

Chanzo mzozo wa muuguzi, mtaalamu wa maabara Uyui chabainika

  CHAMA cha Wauguzi Tanzania (TANNA) kimetoa taarifa ya uchunguzi wa tukio la watumishi wa kada ya Afya wa Zahanati ya Ishihimulwa wilaya...

HabariMichezo

Mandonga atimba Kenya na ngumi ‘Sugunyoo’ kutoka Ukraine

  BONDIA mcheshi nchini Karim Mandonga maarufu kama ‘Mtu Kazi’ amempiga mkwara mzito mpinzani wake Daniel Wanyonyi raia wa Kenya kwamba amekwenda na...

Kimataifa

Putin amtumbua Jenerali aliyeongoza vita Ukraine

RAIS wa Urusi, Vladimir Putin amemuondoa Kamanda mkuu wa nchi hiyo, Sergei Surovikin aliyekuwa anaongoza vita nchini Ukraine ikiwa ni miezi mitatu tu...

Afya

Mwongozo wa kudhibiti UKIMWI, magonjwa yasiyoambukizwa kuhuishwa

  SERIKALI ya Tanzania, imewataka wadau wa afya kutoa maoni yao juu ya maboresho ya Mwongozo wa Kudhibiti Virusi vya Ukwimwi (VVU), Ugonjwa...

Kimataifa

Mahakama Uganda yafuta sheria ya tata ya mawasiliano

  MAHAKAMA ya Katiba nchini Uganda jana tarehe 10 Januari, 2023 imefuta sehemu ya sheria ya mawasiliano ambayo imekuwa ikitumika kuwashtaki wakosoaji wa...

Kimataifa

Kagame ataja wanaotaka kuipindua Serikali yake

  RAIS wa Rwanda, Paul Kagame amesema kwamba kundi la waasi la Democratic Forces for Liberation of Rwanda – FDLR, linaloshutumiwa na serikali...

Kimataifa

Rais aidhinisha sheria inayotoa adhabu miezi sita jela kwa wauguzi wanaogoma

  SERIKALI ya Zimbabwe jana tarehe 10 Januari, 2023 imepitisha muswada wa sheria inayopiga marufuku maandamano yaliyoandaliwa na wafanyakazi wa afya nchini humo...

Elimu

Walimu tuache kufundisha kwa mazoea: Rais Samia

  RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa walimu wote nchini kuacha kufundisha kwa mazoea na badala yake wajifunze mbinu mpya...

Kimataifa

Kufunguliwa mipaka ya China na Hong Kong yazua hofu

  HOFU imetanda kwa raia wa Hong Kong juu ya uwezekano wa kuingia kwa aina virusi vya Covid-mutant kutoka China baada ya mpaka...

Kimataifa

Mchezaji wa zamani wa Taifa Zambia, Kaizer Chiefs afariki kwa kushambuliwa na mbwa wake

  NYOTA wa zamani wa Chipolopolo, Philemon Mulala amefariki dunia baada ya kuumwa na mbwa wake watatu nyumbani kwake Lichtenburg Afrika Kusini. Yameripoti...

Kimataifa

Kagame agomea nchi yake kupokea tena wakimbizi wa DR Congo

  RAIS wa Rwanda Paul Kagame anasema nchi yake haitatoa tena hifadhi kwa watu wanaokimbia migogoro katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Mashirika...

Kimataifa

Nyaraka za siri zakutwa katika ofisi ya zamani ya Rais Biden

  IDARA ya haki ya Marekani inachunguza nyaraka za siri zinazodaiwa kupatikana katika ofisi ya zamani ya Rais Joe Biden, Ikulu ya Marekani...

Michezo

Vincent Aboubakar ampisha Ronaldo Al-Nassr, anukia Man United

KLABU ya Al-Nassr inayoshiriki Ligi Kuu ya Saudi Arabia imesitisha mkataba wa mshambuliaji wa Cameroon, Vincent Aboubakar ili kumpisha straika mpya raia wa...

Kimataifa

Kisa video iliyomuumbua Rais akijisaidia haja ndogo hadharani, waandishi habari 6 mbaroni

WAANDISHI habari kadhaa wamekamatwa nchini Sudan Kusini baada ya kusambaa video inayomuonesha Rais wa nchi hiyo Salva Kiir yumkini akishindwa kujizuia haja ndogo...

HabariKimataifa

M23 wakabidhi kambi ya kijeshi ya Rumangabo, mashariki mwa Kongo

KUNDI la waasi la wanamgambo la M23, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), wameirudisha kambi ya kijeshi mashariki mwa nchi hiyo. Anaripoti...

Kimataifa

Dawa mpya bora ya Ukimwi yaidhinishwa, matumaini yarejea

  MAMLAKA inayoshughulika na uidhinishaji Dawa na Chakula nchini Marekani (FDA) imeidhinisha dawa inayoweza kutibu ugonjwa wa Ukimwi miongoni mwa watu wazima kwa...

MichezoTangulizi

TFF: Fei Toto mchezaji halali wa Yanga

  KAMATI ya Sheria na Hadhi za Wachezaji wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeamua kuwa Feisal Salum bado ni mchezaji...

Kimataifa

29 wauawa operesheni ya kumkamata mtoto wa El Chapo

  TAKRIBANI watu 29 nchini Mexico wameuawa wakati wa operesheni ya umwagaji damu ya kumkamata mtoto wa kinara wa biashara haramu ya dawa...

Kimataifa

Marekani yapata Spika baada ya kura kurudiwa mara 15 kwa siku 4

  KEVIN McCarthy amechaguliwa kuwa Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani huku kukiwa na majibizano makali ambayo karibu yashuhudiwe wawakilishi wa chama...

Afya

Watumishi wawili Uyui waliobishania vifaa vilivyoisha muda, wasimamishwa

  WATUMISHI wawili wa kada ya afya katika Halmashauri ya wilaya ya Uyui kutoka Zahanati ya Ishihimulwa waliokuwa wakijibizana kuhusu vifaa vilivyoisha muda...

Kimataifa

Huawei and partners share how technology enables digital inclusion & sustainability at MWC Barcelona 2023

  AFTER launching the TECH4ALL initiative at Mobile World Congress (MWC) Barcelona four years ago, Huawei and its partners shared the latest insights...

MichezoTangulizi

Kesi ya Fei Toto kusikilizwa kwa saa 3 TFF

  KESI ya kimkataba kati ya Feisal Salum (Fei Toto) dhidi ya klabu ya Yanga itasikilizwa kwa saa 3 na kamati ya Sheria...

Kimataifa

Aua mke, watoto watano na yeye mwenyewe baada ya kudaiwa talaka

  MWANAUME mwenye umri wa miaka 42 amewapiga risasi watu saba wa familia yake kabla ya kujiua katika jimbo la Utah nchini Marekani...

Kimataifa

Uchaguzi Spika Bunge Marekani bado ngoma ngumu

Mrepublican Kevin McCarthy wa California ameshindwa katika duru ya nne, ya tano na ya sita ya uchaguzi wa kuwa spika wa Baraza la...

ElimuHabari

Wanafunzi 14 kidato cha pili wafutiwa matokeo kwa kuandika matusi

BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) limefuta matokeo yote ya wanafunzi 14 walioandika matusi katika mtihani wa Upimaji wa Kitaifa wa kidato cha pili...

Kimataifa

Burkina Faso wamtimua Balozi Ufaransa

WIZARA ya mambo ya nje nchini Ufaransa, imethibitisha kupokea barua kutoka serikali ya Burkina Faso, inayomtaka balozi wake nchini humo Luc Hallade kuondoka....

Kimataifa

Mama, bintiye wahukumiwa kwa kuuza viongo vya miili ya marehemu

MMILIKI wa zamani wa Chumba cha kuhifadhu maiti na mama yake wamehukumiwa kifungo cha jela huko Colorado baada ya kupasua mamia ya miili...

ElimuHabariTangulizi

Tazama matokeo ya kidato cha pili hapa

BARAZA la Mitihani Tanzania (Necta) leo tarehe 4 Januari, 2023 limetangaza matokeo ya kidato cha pili na darasa la nne mwaka 2022. https://matokeo.necta.go.tz/ftna2022/ftna.htm

Kimataifa

2022 Mwaka ulioitikisa China

MWAKA 2022 ulikuwa mwaka wenye changamoto kwa Serikali ya China hasa wakati inakabiliana na kudhibiti ugonjwa wa Uviko-19. Imeandikwa na chombo cha habari...

Kimataifa

Prince Harry atamani kurudiana na baba, kaka yake

  MWANAMFALME Harry anasema “Ningependa kurudiana na baba yangu, ningependa kuwa na kaka yangu,” kwenye utangulizi wa mahojiano kabla ya kutolewa kwa kumbukumbu...

Michezo

Pele kuzikwa ghorofa ya 9 auone uwanja uliompa umaarufu

  MFALME na muasisi wa soka la kisasa kutoka Brazil, mkongwe Pele aliyefariki wiki iliyopita atazikwa katika ghorofa ya 9 ya makaburi ya...

Kimataifa

Wakatoliki waanza kuuaga mwili wa Papa mstaafu Benedict

  WAUMINI wa kanisa Katoliki leo tarehe 2 Januari, 2023 wameanza kutoa heshima zao mjini Vatican kwa papa mstaafu Benedict XVI, ambaye mwili...

Kimataifa

Dubai yafuta ushuru wa pombe kuvutia watalii

DUBAI imefuta ushuru wa asilimia 30 kwenye bidhaa za pombe ili kuvutia zaidi watalii watembelee jiji hilo. Pia imepanga kuacha kutoza leseni za...

Elimu

Serikali yapiga marufuku wanafunzi waliopangiwa shule za kutwa kuhamia bweni

  SERIKALI imepiga marufuku wanafunzi wa kidato cha kwanza 2023 waliochaguliwa kujiunga na shule za kutwa, kuhamia shule za bweni, hadi zitakapotokea nafasi...

MichezoTangulizi

Barack Obama alilia Pele

RAIS wa mstaafu wa Marekani, Barack Obama  ameeleza namna alivyoguswa na kifo cha Mfalme wa Soka duniani, Edson Arantes do Nascimento maarufu kama...

MichezoTangulizi

Mfalme wa Soka duniani – Pele afariki dunia

GWIJI wa soka raia wa Brazil – Edson Arantes do Nascimento maarufu kama Pele amefariki dunia leo tarehe 29 Disemba, 2022 akiwa na...

error: Content is protected !!