Saturday , 20 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Wakatoliki waanza kuuaga mwili wa Papa mstaafu Benedict
Kimataifa

Wakatoliki waanza kuuaga mwili wa Papa mstaafu Benedict

Spread the love

 

WAUMINI wa kanisa Katoliki leo tarehe 2 Januari, 2023 wameanza kutoa heshima zao mjini Vatican kwa papa mstaafu Benedict XVI, ambaye mwili wake umewekwa katika kanisa la Mtakatifu Petro kwa siku tatu kabla ya mazishi yake.

Kiongozi huyo wa kidini Mjerumani, aliyefariki dunia Jumamosi akiwa na umri wa miaka 95, aliliongoza kanisa katoliki kwa miaka minane kabla ya kuwa papa wa kwanza katika karne sita kujiuzulu mwaka wa 2013.

Mrithi wake Papa Francis ataongoza mazishi Alhamisi wiki hii katika uwanja mkubwa wa Mtume Petro, kabla ya mwili wake kuzikwa katika makaburi yaliyoko chini ya kanisa kuu la Mtume Petro.

Uongozi wa kanisa katoliki mjini Vatican ulitoa jana picha za maiti ya Benedict XVI, akiwa amevalishwa mavazi mekundu ya maombolezo ya upapa na akiwa na kilemba chenye ncha za dhahabu kichwani

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!