Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa  Maelfu wafariki dunia kwa UVIKO-19 China
Kimataifa

 Maelfu wafariki dunia kwa UVIKO-19 China

Spread the love

 

WATU karibu 60,000 wamefariki dunia nchini China kwa Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19), kati ya tarehe 8 Desemba 2022 hadi tarehe 12 Januari mwaka huu. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo tarehe 14 Januari 2023 na Mkuu wa Tume ya Kitaifa ya Afya China (NHC), Jiao Yahui, watu 5,503 walifariki dunia kwa kushindwa kupumua, huku 54,435 walipoteza maisha kutokana na kuwa na magonjwa mengine tofauti na UVIKO-19.

Mitandao ya kimataifa imeripoti kuwa, vifo hivyo vimeongezeka baada ya China kusitisha utekelezaji wa sera yake ya kutokomeza ugonjwa huo ulioibuka 2019.

Akitoa taarifa hiyo, Yahui amesema asilimia 90.1 ya watu waliopoteza maisha walikuwa na umri wa miaka 65.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!