Saturday , 27 April 2024

Kimataifa

Kimataifa

Kimataifa

Trump ajitetea mahakamani kesi ya ngono, alia kuhujumiwa urais

  RAIS wa zamani Marekani, Donald Trump jana Jumanne amefikishwa mahakamani kwa mashtaka ya kumlipa mwanamke mmoja nyota wa filamu za ngono kabla...

Kimataifa

Kenya kurusha satelaiti yake ya kwanza ya uchunguzi wa dunia

  KENYA inajiandaa kurusha satelaiti yake ya kwanza kabisa ya uchunguzi wa dunia katika kile kinachoelezwa kuwa mafanikio ya kihistoria katika juhudi za...

Kimataifa

Benki ya Dunia yaonesha wasiwasi juu mikopo ya China kwa Afrika

  RAIS wa Benki ya Dunia (WB), David Malpass amesema ana wasiwasi kuhusu baadhi ya mikopo ambayo China imekuwa ikitoa kwa nchi zinazoendelea...

Kimataifa

Marekani yatia mguu maaandamano Kenya, yatoa maagizo kwa Rais Ruto, Odinga

  Mabalozi kutoka nchi sita za Magharibi, zikiongozwa na Marekani, zimeonesha wasiwasi kuhusu maandamano yanayoendelea nchini Kenya na kutaka kuwepo kwa maridhiano kati...

Kimataifa

Papa Francis alazwa hospitali kutokana na maambukizi ya mapafu

  KIONGOZI wa Kanisa katoliki duniani, Papa Francis jana Jumatano amelazwa hospitali kutokana na maambukizi ya mapafu baada ya kukabiliwa na matatizo ya...

Kimataifa

Nyumba ya babu yake Makamu wa Rais wa Marekani yatafutwa Zambia

  KAMALA Harris, makamu wa rais wa Marekani, amepanga kutembelea nyumba ambayo aliwahi kuishi yeye na babu yake miaka ya 1960, jambo ambalo...

Kimataifa

Benki ya Uswizi mbioni kuziwekea vikwazo akaunti za siri za Wachina

  WAKATI Serikali na Benki ya Uswizi ikichukua hatua kali kwa kuzifungia akaunti za watu wa Urusi kutokana na operesheni zake za kijeshi...

Kimataifa

Netanyau asitisha mipango yenye utata marekebisho mfumo wa sheria

  WAZIRI Mkuu wa nchini Israel, Benjamin Netanyahu amesema atachelewesha sehemu muhimu ya mipango yenye utata ya kurekebisha mfumo wa sheria ambao umefanya...

Kimataifa

Raila ahutubia waandamanaji, mabomu yarindima

MSAFARA wa kiongozi wa Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga umepita katika eneo la Kawangware jijini Nairobi nchini Kenya na kupata fursa ya...

Kimataifa

Sheria ya kudhibiti maandamano yaandaliwa kumfunga Odinga ‘speed governor’

WIZARA ya mambo ya ndani ya Kenya inapendekeza mabadiliko ya sheria za usalama ambayo yatafanya iwe vigumu kwa watu kufanya maandamano. Anaripoti Mwandishi...

Kimataifa

Washirika wa Odinga wapokonywa walinzi

SERIKALI ya Kenya imedaiwa kuwaondoa walinzi wa washirika wa kinara wa muungano wa upinzani nchini humo unaofahamika kama ‘Azimio la Umoja’ wanaoshiriki maandamano...

Kimataifa

Makamu wa Rais wa Marekani awasili Ghana

MAKAMU wa Rais wa Marekani Kamala Harris, amewasili hii jana tarehe 26 Machi 2023 mjini Accra nchini Ghana ambako amesema ana matumaini na...

Kimataifa

Rwanda kufanya uchaguzi wa rais na wabunge kwa pamoja

BARAZA la mawaziri la Rwanda limesema ofisi ya waziri mkuu imeamua kuoanisha tarehe za uchaguzi wa rais na wabunge nchini humo. Inaripoti Mitandao...

Kimataifa

Mpinzani mkuu wa Rais Kagame aachiwa huru

  PAUL Rusesabagina, aliyewahi kuripotiwa kama ‘shujaa’ katika filamu ya Hollywood “Hotel Rwanda,” baadaye akahukumiwa kifungo cha miaka 25 gerezani na serikali ya...

Kimataifa

Rais Tshisekedi amteua kiongozi wa wanamgambo kuwa Waziri wa Ulinzi

  RAIS wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Felix Tshisekedi, amemteua aliyekuwa kiongozi wa wanamgambo wa DR Congo kuwa waziri wa ulinzi. Anaripoti...

Kimataifa

Raila Odinga: Tutafanya maandamano makubwa mara mbili kwa wiki

KIONGOZI wa upinzani nchini Kenya, Raila Amollo Odinga ametangaza kuwa muungano wa Azimio la Umoja (One Kenya), sasa utafanya maandamano makubwa mara mbili...

Kimataifa

Magharibi kuwekeza silaha Indo-Pacific, China yachochea

KUVUNJIKA ushirhikiano wa China na Magharibi uliodumu kwa takribani kwa miaka 20 katika mkoa wa Bahari ya China Kusini, umechochea kupanda kwa matumizi...

Kimataifa

Ruto amlaumu Odinga kujaribu kuanzisha mgogoro kwa mara ya pili

  RAIS wa Kenya William Ruto amesema kwamba hatakubali “kutoijali nchi” baada ya maandamano ya ghasia kukumba mji mkuu, Nairobi na mji wa...

Kimataifa

Putin, Xi Jinping kujadili mpango kumaliza vita nchini Ukraine

  Vladimir Putin amesema atajadili mpango wenye vipengele 12 wa Xi Jinping wa “kusuluhisha mgogoro mkubwa nchini Ukraine”, wakati wa ziara inayotarajiwa mjini...

Kimataifa

Xi Jinping awasili Urusi, kufanya mazungumzo na Putin

  RAIS wa uchini Xi Jinping amewasili sasa nchini Urusi, na kulingana na Shirika la habari la Urusi TASS news , Xi Jinping...

Kimataifa

Maandamano Kenya, Afrika Kusini yashika kasi, wapinzani wakishikiliwa

  MAANDAMANO ya kupinga serikali zilizoko madarakani nchini Kenya na Afrika Kusini, yameendelea kushika kasi katika mataifa hayo, huku baadhi ya walioandamana wakitiwa...

Kimataifa

Maandamano Afrika Kusini: Tanzania yatahadharisha raia wake

  WAKATI maandamano yaliyoitishwa na Chama cha upinzani Afrika Kusini, Economic Freedom Fighters, yakiendelea kufanyika katika maeneo mbalimbali , Ubalozi wa Tanzania nchini...

Kimataifa

ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa rais Vladmir Putin wa Urusi

  MAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu wa kivita (ICC) imetoa hati ya kukamatwa kwa Rais wa Urusi Vladimir Putin. Vinaripoti Vyombo vya Habari...

Kimataifa

Puto la kijasusi la China halikuleta tishio la usalama Marekani, lilifichua udhaifu wa ulinzi

  PUTO la kijasusi la China limetajwa kuwa halikuweza kusababisha tishio la usalama nchini Marekani badala yake limeweza kugundua udhaifu wa kijeshi Marekani...

Kimataifa

Mwanaye Museveni: Nimechoka kusubiri, nitagombea urais 2026

MTOTO wa kiume wa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, Jenerali Muhoozi Kainerugaba amesema  akiwa kama kijana amechoka kusubiri na sasa atagombea kiti cha...

Kimataifa

Raia wa Kongo zaidi ya 2000 waomba hifadhi Tanzania

Zaidi ya raia 2000 kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wameingia nchini kuomba hifadhi ya ukimbizi kufuatia machafuko yanayoendelea katika mikoa ya...

Kimataifa

Idadi ya vifo Malawi, Msumbiji yafikia 200

  IDADI ya vifo vilivyotokana na Kimbunga Freddy nchini Malawi na Msumbiji imeongezeka na kuzidi watu 200 baada ya dhoruba hiyo iliyovunja rekodi...

Kimataifa

Kimbunga Freddy chaua 100 Malawi, Msumbiji

  KIMBUNGA Freddy, kilichoambatana na upepo mkali na mvua kubwa, kimerejea kusini mwa Afrika na kuua watu takriban 100 katika nchi za Malawi...

Habari za SiasaKimataifa

Marekani yataja sababu Kamala Harris kutua nchini

SERIKALI ya Marekani imesema ziara ya Makamu wa Rais wa Taifa hilo, Kamala Harris kwa nchi za Afrika ikiwamo Tanzania, ni kujadili vipaumbele...

Kimataifa

Xi afanya mabadiliko makubwa baraza mawaziri

Baraza Kuu la Chama cha Kikomunisti cha China limeidhinisha baraza jipya la mawaziri linaoundwa na marafiki wa karibu wa Rais Xi Jinping katika...

Kimataifa

India, China hatarini kuingia katika mzozo wa kijeshi

RIPOTI ya Jumuiya ya Kijajusi ya Marekani imebaini kuna uwezekano wa kuwepo wa hatari ya kuibuka mzozo wa kijeshi kati ya India na...

Kimataifa

Gavana na watu wengine 5 wauawa kwa risasi Ufilipino

  ROEL Degamo (56), Gavana wa jimbo la katikati mwa Ufilipino pamoja na watu wengine watano, wameuawa jana Jumamosi, tarahe 4 Machi, kwa...

Kimataifa

Wanahabari wa kigeni nchini China walionja joto ya jiwe 2022

VYOMBO vya habari vya kigeni nchini China vilipitishwa kwenye hali ngumu wakati taifa hilo linatekeleza sera yake ya kupambana na Uviko-19 ambapo inadaiwa...

Kimataifa

Uchaguzi Nigeria: Tinubu wa chama tawala aongoza matokeo ya awali

  MGOMBEA wa chama tawala Bola Ahmed Tinubu anaongoza uchaguzi mkuu wenye ushindani mkali zaidi nchini Nigeria tangu nchi hiyo irejee kwa demokrasia...

Kimataifa

Sababu Elon Musk kurejea kuwa tajiri namba moja duniani

  ELON Musk amerejea katika nafasi ya kuwa mtu tajiri zaidi duniani, baada ya kupoteza kwa muda mfupi taji kwa Bernard Arnault wa...

Kimataifa

Kamati ya Bunge la Marekani yaiagiza FBI kujibu uwepo wa vituo polisi vya China nchini humo

MWENYEKITI wa Kamati teule ya Baraza la Wawakilishi la Marekani inayoangazia China, ametuma barua kwa Shirika la Upelelezi (FBI) akitaka majibu kuhusu madai...

Kimataifa

Ujumbe wa Bunge la Marekani wafanya ziara nchini Taiwan

  MWAKILISHI wa Marekani, Ro Khanna ameongoza msafara wa wajumbe wa Bunge la nchi hiyo nchini Taiwan wikiendi hii kwa lengo la kuimarisha...

Kimataifa

Eric Omondi mbaroni kwa kuongoza maandamano Kenya

  MCHEKASHAJI maarufu kutoka nchini Kenya Eric Omondi ametiwa mbaroni na jeshi la polisi nchini humo, kwa tuhuma za kuongoza kundi la vijana...

Kimataifa

Mwili wa Mwai Kibaki huenda ukafukuliwa, kupimwa DNA

MWILI wa aliyewahi kuwa Rais wa Kenya, Mwai Kibaki, huenda ukafukuliwa kwaajili ya kufanyiwa vipimo vya DNA endapo Mahakama Kuu nchini humo itakubaliana...

Kimataifa

Tetemeko jingine la ardhi laua watatu

TETEMEKO la ardhi lenye kipimo cha 6.4 limeua watu watatu jana tarehe 20 Februari 2023 na kujeruhi wengine zaidi ya 200 katika baadhi...

Kimataifa

Viongozi kanisa la kianglikana duniani wamkataa askofu mkuu anayeunga mkono wapenzi wa jinsia moja

  KUNDI la viongozi wa kanisa la kianglikana kutoka sehemu mbalimbali duniani wamemkataa Askofu Mkuu wa Canterbury, Justin Welby, kuwa kiongozi wao baada...

Kimataifa

Biden afanya ziara ya kushtukiza Ukraine

RAIS wa Marekani Joe Biden amewasili Kyiv – ziara yake ya kwanza nchini Ukraine tangu Urusi ilipovamia karibu mwaka mmoja uliopita. Imeripoti Mitandao...

Kimataifa

Bajeti ya India ya 2023 inawezaje kuongeza fursa kwa viwanda vya Taiwan?

  BAJETI ya India ya mwaka 2023 iliyosomwa tarehe 1 Februari ambayo imeelezwa kuwa itafungua dirisha la ushirikiano wa nchi mbili kati ya...

Kimataifa

Nikki Haley ajitosa kumvaa Trump urais Marekani

GAVANA wa zamani wa jimbo la South Carolina, Nikki Haley amesema kwamba atawania uteuzi wa mgombea urais wa Marekani kupitia chama cha Republikan....

Kimataifa

Tetemeko la ardhi laangamiza watu 24,000, mjamzito aokolewa

WAOKOAJI nchini Uturuki na Syria wameendelea na kazi ya kupekua vifusi kuwatafuta manusura au kuopoa miili ya watu waliopoteza maisha kutokana na tetemeko...

Kimataifa

Puto la Kijasusi la China latia mashaka mahusiano yake na Marekani

  PUTO la Kijajasusi la China liliorushwa kwenye anga ya Marekani limetajwa kuwa chanzo cha kuteteresha mahusiano ya nchini hizo mbili. Imeripoti Mitandao...

Kimataifa

Waziri wa mambo ya ndani Kenya matatani, Raila amkingia kifua

ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya, Fred Matiang’i, anasakwa na Jeshi la Polisi nchini humo, huku sababu za hatua hiyo kutowekwa...

Kimataifa

Raia Pakistan walilia haki siku ya Mshikamano Kashimir

RAIA wa Pakistani waishio nchini Tanzania wameadhimisha siku ya Mshikamano wa Kashmir (Kashmir Solidarity Day) inayoadhimishwa kila mwaka tarehe 5 Februari huku wakiomba...

Kimataifa

Ramaphosa akiri tatizo la umeme Afrika Kusini kuathiri sekta ya madini

  RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa amesema tatizo la umeme limeathiri kwa kiwango kikubwa sekta ya madini ambayo ni nguzo muhimu ya...

Kimataifa

Idadi ya vifo tetemeko la ardhi yafikia 9000

  IDADI ya vifo vilivyotokana na tetemeko la ardhi lililotokea Jumatatu wiki hii nchini Syria na Uturuki vimefikia 9,000. Inaripoti Mitandao ya Kijamii...

error: Content is protected !!