MBARALA Maharagande, Katibu wa Idara ya Haki za Binadamu Taifa wa Chama cha ACT-Wazalendo, amechukua fomu ya kugombea ubunge wa Segerea jijini Dar...
By Regina MkondeJuly 1, 2020ESTHER Matiko, Mbunge wa Tarime Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amelichambua Bunge la 10 lililoongozwa na Anne Makinda na Bunge...
By Regina MkondeJuly 1, 2020JUMLA ya makada 31 kati ya 32 waliochukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kugombea urais visiwani Zanzibar, wameanza kuingizwa...
By Mwandishi WetuJuly 1, 2020SHUGHULI ya uchukuaji na urudishaji fomu za kugombea urais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
By Mwandishi WetuJuly 1, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amempongeza Dk. Lazarus Chakwera kuwa Rais mpya wa Malawi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)....
By Mwandishi WetuJuly 1, 2020TAKRIBANI wabunge wengine watano kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wako mbioni kukihama chama hicho. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...
By Masalu ErastoJuly 1, 2020BARAZA Kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi (CUF) limempitisha Haroub Shamis kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...
By Mwandishi WetuJune 30, 2020KIONGOZI Mkuu (KC) wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, amemkaribisha rasmi mwanadiplomasia mashuhuri nchini Tanzania, Bernard Kamillius Membe, kujiunga na chama...
By Faki SosiJune 30, 2020RAIS John Magufuli, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), ameonya wanachama wa chama hicho waliojitokeza kuwania urais Zanzibar kutochafuana na kuhakikisha wanaheshimiana na...
By Mwandishi WetuJune 30, 2020KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Dk. Bashiru Ally amewatangazia wanachama wa chama hicho wanaotaka kuwania ubunge, uwakilishi na udiwani...
By Mwandishi WetuJune 30, 2020MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Magufuli amerejesha fomu za kuwania urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020....
By Mwandishi WetuJune 30, 2020TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imetoa vibali vya kushiriki shughuli za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, kwa Asasi za Kiraia...
By Regina MkondeJune 30, 2020FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema amesema, wanakwenda katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 kuitafuta dola ili...
By Mwandishi WetuJune 30, 2020UONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza kulichukua Jimbo la Bukoba vijijini pamoja na halmashauri kwa kushinda kata zote za udiwani....
By Mwandishi WetuJune 30, 2020ASAJILE Mwambambale, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Mkoa wa Morogoro (DED), amemuomba radhi mara tatu, Rais John Magufuli, kwa kosa...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020VITALIS Maembe, Mwanamuziki na Mwanaharakati nchini Tanzania, amesema amejiunga na Chama cha ACT-Wazalendo kwa kuwa chama hicho kina misingi ya kudai haki na...
By Faki SosiJune 29, 2020PROFESA Palamagamba Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, ameonyesha nia ya kutaka kugombea ubunge jimbo la Kilosa mkoani...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020ASAJILE Mwambambale, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa na Mkuu wa Wilaya hiyo, Adam Mgoy nusura watumbuliwe. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Akizungumza...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020PETER Lijualikali, aliyekuwa Mbunge wa Kilombero (Chadema) na Joseph Haule (Prof. J), Mbunge wa Mikumi (Chadema), wamemwagia sifa Rais John Magufuli. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimefungua zoezi la uchukuaji fomu za kugombea Urais wa Tanzania, ubunge na udiwani, katika Uchaguzi Mkuu wa...
By Regina MkondeJune 29, 2020RAIS wa Tanzania, John Magufuli, amempa siku saba William Lukuvi, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, amkabidhi hati ya shamba lenye...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amempigia chapuo Profesa Palamagamba Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, kwa wananchi...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020LAZARO Nyalandu, mtia nia wa urais wa Tanzania ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema, akipewa nafasi ya Rais wa Jamhuri...
By Faki SosiJune 29, 2020MAUDLINE Cyrus Castico, Waziri wa Kazi, Uwezeshaji Wanawake, Wazee na Watoto Zanzibar, amekuwa mwanachama wa 32 kuchukua fomu ya kugombea urais wa Zanzibar,...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020BARAZA Kuu la Uongozi la Chama Cha Wananchi (CUF) limetangaza kumsimamisha uongozi, Makamu Mwenyekiti wake Zanzibar, Abbas Juma Muhunzi kwa kukiuka Maadili ya...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020TUNDU Antipas Lissu, makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), aweza kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano, “hata kama bado yuko...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020KITENDAWILI kwamba Maalim Seif Sharif Hamad, Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo atagombea urais visiwani Zanzibar, amekitegua leo. Anaripoti Faki Sosi, Zanzibar…(endelea). Amesema, kutokana...
By Faki SosiJune 28, 2020RAIS John Magufuli amewataka wakazi wa Kisarawe ‘kuchangamkia fursa’ ya kumoa Jokate Mwegelo, Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Akizungumza katika...
By Mwandishi WetuJune 28, 2020RAIS John Magufuli amemtumbua hadharani Katibu Tawala wa Wilaya ya Kisarawe (DAS ), Mtela Mwampamba na kumteua Mwanana Msumi kushika nafasi hiyo hapo...
By Hamisi MgutaJune 28, 2020RAIS wa Tanzania, John Magufuli amemuagiza mkandarasi wa Kampuni ya China Railway 15 Bureau Group Corporation kutoka China aliyesaini mkataba wa ujenzi wa...
By Mwandishi WetuJune 27, 2020MGENI Hasaan Juma, Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, amechukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti...
By Mwandishi WetuJune 27, 2020CHAMA cha NCCR- Mageuzi, kimejifungia jijini Dodoma, tayari kunoa makada wake muhimu watakaoshriki uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani wa Oktoba mwaka...
By Mwandishi WetuJune 27, 2020WANACHAMA 15 wa Chama cha Mapinduzi (CCM), wamerudisha fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar, katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....
By Mwandishi WetuJune 27, 2020CHIEF Lutalosa Yemba, amejitosa katika mbio za urais wa Tanzania, kupitia Chama cha Wananchi (CUF) huku wanachama watano wa chama hicho, wakijitokeza upande...
By Regina MkondeJune 27, 2020MUSSA Aboud Jumbe, amekuwa mwanachama wa 30 wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kuchuchukua fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar kupitia chama hicho katika...
By Mwandishi WetuJune 26, 2020CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema hakina imani na uchunguzi unaofanywa na Jeshi la Polisi kuhusu viongozi wake walioshambuliwa. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es...
By Hamisi MgutaJune 25, 2020BAKARI Khatibu, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tawi la Maisaka Kati wilayani Babati na katibu wake Juma Swalehe, wanashikiliwa na Taasisi ya...
By Mwandishi WetuJune 25, 2020TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), harejei nchini kwa kuwa, bado ana mashaka na maisha yake. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeJune 25, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amewataka wakulima wa mazao mbalimbali ya biashara wakiwemo wakulima wa ufuta waendelee na kilimo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuJune 25, 2020SHAAME Simai Mcha ambaye kitaaluma ni mwandishi wa habari, amejitosa katika kinyang’anyiro cha Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye Uchaguzi...
By Mwandishi WetuJune 25, 2020MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umepewa siku saba na Serikali kujieleza kwa nini usichukuliwe hatua za kisheria, kutokana na...
By Regina MkondeJune 25, 2020MWANADIPLOMASIA mashuhuri nchini Tanzania, Bernard Kamillius Membe, amekosoa utaratibu unaotumika na Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika kumtafuta mgombea wake wa urais. Anaripoti Mwandishi...
By Hamisi MgutaJune 24, 2020ZITTO Kabwe, Kiongozi wa chama cha siasa cha upinzania nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo na viongozi wengine waliokuwa wakishikiliwa na Polisi Mkoa wa Lindi...
By Masalu ErastoJune 24, 2020TUHUMA kwamba siasa za James Mbatia, Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, sasa hivi zimepoa, zimemsukuma kusema ‘acheni umbea.’ Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...
By Regina MkondeJune 24, 2020WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk. Hussein Mwinyi amerejesha fomu za kuwania Urais wa Zanzibar ndani ya Chama Cha...
By Mwandishi WetuJune 24, 2020VYAMA vya upinzani vimetakiwa kuondoa manung’uniko yaliyojitokeza katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, kabla ya kuingia ushirikiano mpya kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti...
By Regina MkondeJune 24, 2020CHAMA cha NCCR-Mageuzi, kimetuma ujumbe wa Jaji Semistocles Kaijage, Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuhakikisha watendaji wake wanatenda haki kwenye...
By Hamisi MgutaJune 24, 2020MBIO za kuwania Urais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 zinazidi kushika kasi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya...
By Mwandishi WetuJune 24, 2020SIMON Sirro, Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) amesema, kama Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kadanganya kuhusu...
By Hamisi MgutaJune 24, 2020MUSTAFA Muro, aliyekuwa Diwani wa Kinondoni, jijini Dar es Salaam kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameomba ridhaa ya kugombea ubunge katika...
By Regina MkondeJune 24, 2020