Friday , 26 April 2024

Habari za Siasa

Habari za Siasa

Maharagande ajitosa rasmi ubunge Segerea

MBARALA Maharagande, Katibu wa Idara ya Haki za Binadamu Taifa wa Chama cha ACT-Wazalendo, amechukua fomu ya kugombea ubunge wa Segerea jijini Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Esther Matiko alivyolichambua Bunge la Makinda, Ndugai

ESTHER Matiko, Mbunge wa Tarime Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amelichambua Bunge la 10 lililoongozwa na Anne Makinda na Bunge...

Habari za Siasa

Kumekucha CCM: Nani kupenya?

JUMLA ya makada 31 kati ya 32 waliochukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kugombea urais visiwani Zanzibar, wameanza kuingizwa...

Habari za Siasa

Chadema yafungua milango urais, uwakilishi Z’bar 

SHUGHULI ya uchukuaji na urudishaji fomu za kugombea urais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari za Siasa

Magufuli ampongeza Rais mpya wa Malawi

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amempongeza Dk. Lazarus Chakwera kuwa Rais mpya wa Malawi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge wengine kuondoka Chadema

TAKRIBANI wabunge wengine watano kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wako mbioni kukihama chama hicho. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...

Habari za Siasa

CUF yapata katibu mkuu mpya

BARAZA Kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi (CUF) limempitisha Haroub Shamis kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto amkaribisha Membe ACT-Wazalendo

KIONGOZI Mkuu (KC) wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, amemkaribisha rasmi mwanadiplomasia mashuhuri nchini Tanzania, Bernard Kamillius Membe, kujiunga na chama...

Habari za SiasaTangulizi

Urais Z’bar: Rais Magufuli atoa onyo kali wagombea 31, asema…

RAIS John Magufuli, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), ameonya wanachama wa chama hicho waliojitokeza kuwania urais Zanzibar kutochafuana na kuhakikisha wanaheshimiana na...

Habari za Siasa

Dk. Bashiru apuliza kipyenga ubunge, udiwani kuanzia kesho 

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Dk. Bashiru Ally amewatangazia wanachama wa chama hicho wanaotaka kuwania ubunge, uwakilishi na udiwani...

Habari za Siasa

Magufuli arejesha fomu, milioni 1.02 wamdhamini

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Magufuli amerejesha fomu za kuwania urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020....

Habari za SiasaTangulizi

Asasi za kiraia 272 Tanzania kushiriki uchaguzi mkuu 2020 

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imetoa vibali vya kushiriki shughuli za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, kwa Asasi za Kiraia...

Habari za Siasa

Mbowe: Tunaitafuta dola ili kuleta furaha, maisha bora

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema amesema, wanakwenda katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 kuitafuta dola ili...

Habari za Siasa

Chadema: Tunalichukua jimbo la Bukoba Vijijini

UONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza kulichukua Jimbo la Bukoba vijijini pamoja na halmashauri kwa kushinda kata zote za udiwani....

Habari za Siasa

DED alivyoomba radhi mara tatu mbele ya JPM

ASAJILE Mwambambale, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Mkoa wa Morogoro (DED), amemuomba radhi mara tatu, Rais John Magufuli, kwa kosa...

Habari za Siasa

Msanii Vitalis Maembe ajiunga ACT-Wazalendo, atangaza kugombea Bagamoyo

VITALIS Maembe, Mwanamuziki na Mwanaharakati nchini Tanzania, amesema amejiunga na Chama cha ACT-Wazalendo kwa kuwa chama hicho kina misingi ya  kudai haki  na...

Habari za Siasa

Profesa Kabudi ‘ajitosa’ kugombea ubunge Kilosa

PROFESA Palamagamba Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, ameonyesha nia ya kutaka kugombea ubunge jimbo la Kilosa mkoani...

Habari za Siasa

DC, DED Kilosa nusura ‘walale na viatu’

ASAJILE Mwambambale, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa na Mkuu wa Wilaya hiyo, Adam Mgoy nusura watumbuliwe. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Akizungumza...

Habari za Siasa

Lijualikali, Prof. J wapanda jukwaa la JPM

PETER Lijualikali, aliyekuwa Mbunge wa Kilombero (Chadema) na Joseph Haule (Prof. J), Mbunge wa Mikumi (Chadema), wamemwagia sifa Rais John Magufuli. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Chadema yatoa ratiba wagombea urais, ubunge na udiwani

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimefungua zoezi la uchukuaji fomu za kugombea Urais wa Tanzania, ubunge na udiwani, katika Uchaguzi Mkuu wa...

Habari za Siasa

Mgogoro wa ardhi: Rais Magufuli ampa siku 7 Waziri Lukuvi

RAIS wa Tanzania, John Magufuli, amempa siku saba William Lukuvi, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, amkabidhi  hati ya shamba lenye...

Habari za Siasa

Rais Magufuli ampigia kampeni ‘kiaina’ Profesa Kabudi

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amempigia chapuo Profesa Palamagamba Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, kwa wananchi...

Habari za Siasa

Nyalandu: Nitafanya mabadiliko Tanzania, Chadema

LAZARO Nyalandu, mtia nia wa urais wa Tanzania ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema, akipewa nafasi ya Rais wa Jamhuri...

Habari za Siasa

Mwanamke wa tano achukua fomu Z’bar kugombea urais  

MAUDLINE Cyrus Castico, Waziri wa Kazi, Uwezeshaji Wanawake, Wazee na Watoto Zanzibar, amekuwa mwanachama wa 32 kuchukua fomu ya kugombea urais wa Zanzibar,...

Habari za Siasa

Kigogo CUF yamemkuta, asimamishwa

BARAZA Kuu la Uongozi la Chama Cha Wananchi (CUF) limetangaza kumsimamisha uongozi, Makamu Mwenyekiti wake Zanzibar, Abbas Juma Muhunzi kwa kukiuka Maadili ya...

Habari za SiasaTangulizi

Wakili Alute: Hakuna kikwazo Lissu kugombea urais akiwa ughaibuni

TUNDU Antipas Lissu, makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), aweza kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano, “hata kama bado yuko...

Habari za SiasaTangulizi

Kugombea urais: Maalim Seif atua mzigo Z’bar

KITENDAWILI kwamba Maalim Seif Sharif Hamad, Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo atagombea urais visiwani Zanzibar, amekitegua leo. Anaripoti Faki Sosi, Zanzibar…(endelea). Amesema, kutokana...

Habari za Siasa

‘Ishu’ ya Jokate: JPM awapasua mbavu Kisarawe

RAIS John Magufuli amewataka wakazi wa Kisarawe ‘kuchangamkia fursa’ ya kumoa Jokate Mwegelo, Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Akizungumza katika...

Habari za SiasaTangulizi

Kali ya mwaka: JPM atumbua, ateua hapo hapo

RAIS John Magufuli amemtumbua hadharani Katibu Tawala wa Wilaya ya Kisarawe (DAS ), Mtela Mwampamba na kumteua Mwanana Msumi kushika nafasi hiyo hapo...

Habari za Siasa

Rais Magufuli ampigia simu Majaliwa, atoa maagizo kwa mkandarasi

RAIS wa Tanzania, John Magufuli amemuagiza mkandarasi wa Kampuni ya China Railway 15 Bureau Group Corporation kutoka China aliyesaini mkataba wa ujenzi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Naibu Spika ajitosa Urais Z’bar, wagombea wafikia 31

MGENI Hasaan Juma, Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, amechukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

NCCR-Mageuzi wajinoa Dodoma

CHAMA cha NCCR- Mageuzi, kimejifungia jijini Dodoma, tayari kunoa makada wake muhimu watakaoshriki uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani wa Oktoba mwaka...

Habari za Siasa

Urais Z’bar: 15 warejesha fomu CCM, waliojitosa 30

WANACHAMA 15 wa Chama cha Mapinduzi (CCM), wamerudisha fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar, katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

CUF: Chief Yemba ajitosa Urais Tanzania, sita wajitosa Z’bar

CHIEF Lutalosa Yemba, amejitosa katika mbio za urais wa Tanzania, kupitia Chama cha Wananchi (CUF) huku wanachama watano wa chama hicho, wakijitokeza upande...

Habari za Siasa

Mtoto wa Rais Jumbe ajitosa Urais Zanzibar, wagombea wafika 30

MUSSA Aboud Jumbe, amekuwa mwanachama wa 30 wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kuchuchukua fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar kupitia chama hicho katika...

Habari za Siasa

Kushambuliwa Lissu, Mbowe: Chadema ‘tumepoteza imani’

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema hakina imani na uchunguzi unaofanywa na Jeshi la Polisi kuhusu viongozi wake walioshambuliwa. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es...

Habari za Siasa

M/kiti, Katibu CCM mikononi mwa Takukuru

BAKARI Khatibu, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tawi la Maisaka Kati wilayani Babati na katibu wake Juma Swalehe, wanashikiliwa na Taasisi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yaeleza mashaka ya Lissu kurejea

TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), harejei nchini kwa kuwa, bado ana mashaka na maisha yake. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari za Siasa

Waziri Mkuu Majaliwa awaondoa hofu wakulima Tanzania

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amewataka wakulima wa mazao mbalimbali ya biashara wakiwemo wakulima wa ufuta waendelee na kilimo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

Mwandishi wa habari ajitosa Urais Zanzibar, wagombea wafika 29

SHAAME Simai Mcha ambaye kitaaluma ni mwandishi wa habari, amejitosa katika kinyang’anyiro cha Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye Uchaguzi...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali ya Tanzania yaipa THRDC siku saba kujieleza

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umepewa siku saba  na Serikali kujieleza kwa nini usichukuliwe hatua za kisheria, kutokana na...

Habari za SiasaTangulizi

Membe amkosoa Jaji Warioba

MWANADIPLOMASIA mashuhuri nchini Tanzania, Bernard Kamillius Membe, amekosoa utaratibu unaotumika na Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika kumtafuta mgombea wake wa urais. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Zitto na wenzake waachiwa, asema…

ZITTO Kabwe, Kiongozi wa chama cha siasa cha upinzania nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo na viongozi wengine waliokuwa wakishikiliwa na Polisi Mkoa wa Lindi...

Habari za Siasa

Mbatia ajibu ‘acheni umbea’

TUHUMA kwamba siasa za James Mbatia, Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, sasa hivi zimepoa, zimemsukuma kusema ‘acheni umbea.’ Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...

Habari za Siasa

Dk. Mwinyi arejesha fomu, asifu demokrasia CCM

WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk. Hussein Mwinyi amerejesha fomu za kuwania Urais wa Zanzibar ndani ya Chama Cha...

Habari za Siasa

Mbatia: Suluhu ya UKAWA 2015 haijapatikana

VYAMA vya upinzani vimetakiwa kuondoa manung’uniko yaliyojitokeza katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, kabla ya kuingia ushirikiano mpya kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti...

Habari za Siasa

Uchaguzi Mkuu 2020: Mbatia amtumia salamu bosi wa NEC

CHAMA cha NCCR-Mageuzi, kimetuma ujumbe wa Jaji Semistocles Kaijage,  Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuhakikisha watendaji wake wanatenda haki kwenye...

Habari za SiasaTangulizi

Wanawake washika kasi Urais Z’bar, wagombea wafika 26

MBIO za kuwania Urais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 zinazidi kushika kasi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya...

Habari za Siasa

IGP Sirro: Kama Mbowe kadanganya…

SIMON Sirro, Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) amesema, kama Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kadanganya kuhusu...

Habari za Siasa

Diwani Chadema kugombea ubunge NCCR-Mageuzi

MUSTAFA Muro, aliyekuwa Diwani wa Kinondoni, jijini Dar es Salaam kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameomba ridhaa ya kugombea ubunge katika...

error: Content is protected !!