TUNDU Lissu mbunge wa Singida Mashariki (Chadema) amefanyiwa operesheni ya mwisho na imemalizika salama. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Lissu ambaye alifanyiwa operesheni...
By Mwandishi WetuJune 5, 2018JOSEPH Mbilinyi ‘Sugu’ Mbunge wa jimbo la Mbeya Mjini (Chadema) ameing’ang’ania serikali kwenye suala la mustakabali wa mafao ya askari Magereza. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJune 4, 2018Mbunge wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea amemtaka Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi kulieleza Bunge majadiliano baina ya Serikali na Kampuni...
By Mwandishi WetuJune 1, 2018MWALIMU Kasuku Kasuku Bilago (54), mbunge wa Buyungu, wilayani Kakonko, mkoani Kigoma (Chadema), aliyefariki dunia Jumamosi iliyopita na kuzikwa jana Jumatano. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJune 1, 2018SPIKA wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, amekituhumu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kufuatia hatua yake ya kulizuia Bunge, kumzika mbunge wa...
By Mwandishi WetuJune 1, 2018SERIKALI imetakiwa kutoa taarifa ya uhakika juu ya sakata la kutofanyakazi kwa Mashine za Kieletroniki (EFD’s) huku ikidaiwa kuwa kitendo cha mashine hizo...
By Danson KaijageMay 30, 2018From Tundu Lissu in Belgium Kuhusu hoja ya Thadei Ole Mushi juu ya mabadiliko ya CCM Mimi sio mwanachama wa CCM lakini kwa...
By Mwandishi WetuMay 30, 2018JANA serikali ilpitisha bajeti ya Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi ya mwaka wa fedha 2018/19 kiasi cha Sh. 73,071,273,638. Anaripoti...
By Danson KaijageMay 30, 2018GOGORO kubwa limeibuka kati ya ofisi ya Spika wa Bunge la Jamhuri kwa upande mmoja na familia ya aliyekuwa mbunge wa Buyungu, Mwalimu Kasuku...
By Mwandishi WetuMay 29, 2018Anaandika Tundu Lissu Sheria ya Uendeshaji wa Bunge, 2008, inasema Bunge litagharamia matibabu ya mbunge ndani na nje ya nchi. Aidha, Bunge litaweka...
By Mwandishi WetuMay 29, 2018MWALIMU Kasuku Bilago, mbunge wa Buyungu, wilayani Kakonko, mkoani Kigoma (Chadema), amefariki dunia. Anaripoti Saed Kubenea kutoka Dodoma…(endelea). Mwalimu Bilago amekutwa na mauti...
By Mwandishi WetuMay 26, 2018ZITTO Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini amefichua siri nzito iliyijifichika katika ununuzi wa ndege mpya ya Dreamliner 787-8. Anaripoti Mwandushi Wetu … (endelea)....
By Mwandishi WetuMay 24, 2018BAADA ya kupiga kambi hapa wilayani Kakonko, kwa wiki mbili sasa, uchunguzi wangu umebaini pasipo shaka, kwamba, Idara ya Uhamiaji, Dar-Es-Salaam; imewatuma maafisa...
By Mwandishi WetuMay 23, 2018SERIKALI imesema hakuna mfanyakazi aliyeondolewa kazini kimakosa katika zoezi la uhakiki wa vyeti feki, zaidi ya kurudishwa kazini. Anaripoti Dany Tibason … (endelea). Kauli hiyo...
By Danson KaijageMay 23, 2018MBUNGE wa Chadema katika jimbo la Moshi Vijijini, Anthony Bahati Komu, ametinga nchini Ubelgiji ili kumjulia hali mbunge mwenzake wa Singida Mashariki, Tundu Lissu....
By Mwandishi WetuMay 23, 2018SERIKALI imekubali kuufanyia kazi ushauri uliotolewa na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu,’ (Chadema) kuhusu uboreshaji wa jeshi la magereza nchini. Anaripoti...
By Danson KaijageMay 22, 2018MBUNGE wa Chadema katika jimbo la Buyungu, mkoani Kigoma, Mwalimu Kasulu Bilango, yuko mahututi. Anasumbuliwa na tatizo la kujikunja kwa utumbo wake. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMay 22, 2018MBUNGE wa Viti Maalum, Suzana Mgonukulima (Chadema) amesema anasikitishwa na serikali kutoweza kujibu maswali kwa ufasaha na badala yake wanajibu kisiasa. Anaripoti Dany...
By Danson KaijageMay 21, 2018MBUNGE wa Ubungo Saed Kubenea (Chadema) ameitaka serikali ieleze ni lini itapeleka bungeni muswada wa kuifanyia marekebisho sheria ya makosa ya mtandao kutokana...
By Danson KaijageMay 21, 2018KISHINDO cha Joseph Mbilinyi (Sugu) Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), kimesimamisha shughuli za Bunge kwa muda wa takribani dakika sita ikiwa ni mapokezi yake...
By Danson KaijageMay 21, 2018MBUNGE wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea, ameweka rehani mshahara wake wa mwezi huu, ikiwa Leo jioni wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wataweza...
By Mwandishi WetuMay 18, 2018MBUNGE wa Monduli (CHADEMA), Julius Karanga, ametuhumu serikali kuwanyonya wafugaji nchini na kusema, “wakati wengine (Chama Cha Mapinduzi), wakifikiri mifugo ni chakula, wao...
By Mwandishi WetuMay 17, 2018BAJETI ya Wizara ya Kilimo iliyowasilishwa bungeni mjini Dodoma jana Jumanne, ni mzigo kwa wananchi na imelenga kuwanyonya wakulima. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....
By Faki SosiMay 16, 2018MBUNGE wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe ameishika vibaya Serikari ya Rais John Magufuli kwa kuichambua bajeti ya Wizara ya Kilimo ambayo imeonyesha imekuwa...
By Mwandishi WetuMay 15, 2018BADO nasisitiza, Sugu ametoka gerezani kwa msamaha wa rais. Lakini nakana kuwa Sugu amesamehewa na rais. Anaandika Saed Kubenea … (endelea). Kuna tofauti...
By Saed KubeneaMay 11, 2018MBUNGE wa Ubungo (CHADEMA), Saed Kubenea, amehoji hatua ya serikali ya kulipa mamlaka ya mwisho ya kupeleka mahujaji nchini Saudia, Baraza Kuu la...
By Mwandishi WetuMay 7, 2018MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam, zimesababisha madhara makubwa katika baadhi ya maeneo, ikiwamo watu kupoteza maisha na kutokuwa na makazi....
By Mwandishi WetuMay 5, 2018MKURUGENZI wa mashitaka ya jinai nchini (DPP), amemfutia mashitaka yaliyokuwa yanamkabili mahakamani, mbunge wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Akiwasilisha...
By Mwandishi WetuMay 2, 2018KWA mara nyingine Mahakama imehoji sababu ya Mwendesha Mashtaka wa Serikali kutoa kauli nyepesi za kushawishi kutoendelea kwa kesi ya tuhuma za uchochezi...
By Danson KaijageApril 30, 2018JUMLA ya Mabalozi 63 wameshakabidhiwa maeneo ya kujenga ofisi zao Katika Jiji la Dodoma lakini Ubalozi wa Zambia tayari umeshaanza mchakato huo kwa...
By Danson KaijageApril 30, 2018WAZIRI wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, amesema kuanzia Julai mwaka huu, serikali itasitisha uagizaji wa mita za luku ya umeme kutoka nje ya...
By Mwandishi WetuApril 30, 2018CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoa wa Iringa kimemvua uanachama Dady Igogo aliyekuwa diwani wa Kata ya Gangilonga na Naibu Meya wa...
By Mwandishi WetuApril 28, 2018RAIS John Magufuli ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha vinawachukulia hatua kali watu wote waliohusika katika kufanya ubadhilifu wa zaidi ya Sh....
By Danson KaijageApril 27, 2018MDOGO wa Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche aitwaye Chacha Heche Suguta, adaiwa kuuwawa akiwa chini ya Jeshi la Polisi baada ya kukutwa...
By Mwandishi WetuApril 27, 2018JESHI la Polisi Mkoani Arusha limemkamata Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kwa kile kinachodaiwa “uchochezi” dhidi ya Rais kuhusiana na ndoto aliyowahi...
By Mwandishi WetuApril 27, 2018RAIS John Magufuli jana katika sherehe za Muungano, ametumia sherehe hizo kutangaza Dodoma kuwa jiji badala ya kuwa Manispaa na kumtangaza aliyekuwa Mkurugenzi...
By Danson KaijageApril 27, 2018JULIUS Mtatiro, Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya CUF ameandika ujumbe mzito wenye kufikirisha wengi juu ya msiba wa Agnes Gerrald “Masogange.’ Mtatiro...
By Mwandishi WetuApril 23, 2018MBUNGE wa Chadema katika jimbo la Rombo, Joseph Selasini, naye ameanza kuonja “machungu ya utawala wa Rais John Magufuli.” Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...
By Mwandishi WetuApril 22, 2018CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeeleza kuwa uchambuzi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) juu ya ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kimepotosha...
By Faki SosiApril 19, 2018VIJANA sita wa kijiji cha Mtambwe Mtambuuni, wilayani Wete Pemba, waliokuwa wametekwa mapema mwezi huu na watu wanaodhaniwa ni wa dola, wamepatikana. Anaripoti...
By Jabir IdrissaApril 18, 2018JANUARY Makamba, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano na Mazingira ametoa madai mazito kwa chama chake, kuwa Chama cha Mapinduzi...
By Mwandishi WetuApril 16, 2018MBUNGE wa Bunda Mjini, Ester Bulaya (Chadema) ameshikiliwa katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam (Central) kwa madai amebakishwa kwa ajili ya...
By Mwandishi WetuApril 13, 2018TUNDU Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), muda huu atafanyiwa upasuaji mwingine katika mguu wake wa kulia, ikiwa ni mara ya 20 tangu alipoanza kutibiwa...
By Mwandishi WetuApril 11, 2018MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa amesema yupo tayari kujiuzuru ubunge wake kama itathibitika kuwa amemtelekeza mtoto kwa mwanamke mmoja jijini Dar...
By Mwandishi WetuApril 11, 2018MBUNGE wa Chemba, Juma Nkamia (CCM) ameihoji serikali na kutaka ieleze ni lini itaana ujenzi wa kituo cha polisi na nyumba za askari....
By Danson KaijageApril 10, 2018MBUNGE wa Iringa Mjini, Peter Msigwa (Chadema) amedai Tanzania kwa sasa kuna msongamano mkubwa wa wafungwa ambapo amehoji Serikali inachukua hatua gani kupunguza...
By Danson KaijageApril 9, 2018MBUNGE wa Tarime Mjini, Ester Matiko (Chadema) amehoji serikali ni kwanini Mnada wa Magena umefungwa licha ya kuwa na miundombinu yote. Anaripoti Dany...
By Danson KaijageApril 9, 2018RAIS John Magufuli ametengua uteuzi wa mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa, Mohamed Maje kuanzia leo kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake. Anaripoti...
By Danson KaijageApril 6, 2018MAHAKAMA ya Hakim Mkazi mkoani Dodoma imemuagiza naibu waziri wa utamaduni, Sanaa na michezo, Juliana Shonza, kufika mahakamani kwa “hiari kesho” Ijumaa, vinginevyo...
By Mwandishi WetuApril 5, 2018MWENYEKITI wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo ameitwa Makao Makuu ya Uhamiaji kwa ajili ya kuhojiwa kuhusu uraia wake. Anaripoti Faki...
By Faki SosiApril 4, 2018