Tuesday , 23 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Ndugai alalamikia Chadema kumficha Bilago
Habari za SiasaTangulizi

Ndugai alalamikia Chadema kumficha Bilago

Viongozi wa Chadema wakiweka shada la maua katika kaburi la Marehemu, Mwalimu Kasuku Bilago. Picha ndogo Spika wa Bunge, Job Ndugai
Spread the love

SPIKA wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, amekituhumu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kufuatia hatua yake ya kulizuia Bunge, kumzika mbunge wa Buyungu, Mwalimu Kasuku Bilago. Anaripoti Mwandishi Wetu kutoka Dodoma… (endelea).

“Nimefadhaishwa na kusikitishwa sana na uamuzi wa wabunge wa Chadema kunizuia mimi na Bunge, kutimiza wajibu wake wa msingi wa kumzika mbunge wake, Mwalimu Kasuku Bilago,” ameeleza Ndugai katika mazungumzo yake na mbunge mmoja kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), ofisini kwake mjini Dodoma.

Amesema, “hawa watu ni wa ajabu sana. Hakukuwa na sababu yeyote ya msingi ya kugombana katika jambo hili. Lakini haya yametokea kutokana na kutokuwapo tu kwa mawasiliano.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

Habari za Siasa

Rais Samia aridhishwa utendaji mabalozi, awapa neno

Spread the loveRais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amewapongeza mabalozi  wanaowakilisha ...

error: Content is protected !!