Friday , 26 April 2024

Habari za Siasa

Habari za Siasa

Tanzania, Angola zasaini hati za makubaliano kuongeza ushirikiano

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Angola zimesaini hati tatu za Makubaliano ya Ushirikiano (MoUs) katika sekta...

Habari za Siasa

CUF yataka marekebisho ya Katiba kuzipa nguvu sheria za uchaguzi

CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeshauri marekebisho madogo ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977, ili kuzipa nguvu sheria za uchaguzi...

Habari za SiasaTangulizi

Chongolo ampa ujumbe mzito Dk. Nchimbi uteuzi CCM

ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo amepongeza Balozi Dk. Emanuel Nchimbi kwa kuteuliwa kurithi nafasi yake na kusisitiza imani ya Halmashauri Kuu...

Habari za Siasa

Chadema yamjibu Makonda

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kiko tayari kufanya mdahalo na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul...

Habari za Siasa

ACT yamkaalia kooni Bashe, yamtwisha zigo la wakulima

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema atawasilisha kwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, changamoto zinazowakabili wakulima wa...

Habari za SiasaTangulizi

Balozi Dk. Nchimbi amrithi Chongolo CCM

KAMATI ya Halmshauri Kuu ya CCM leo Jumatatu imemteua Balozi Emmanuel John Nchimbi (53) kuwa Katibu Mkuu wa CCM akichukua nafasi ya Daniel...

Habari za Siasa

Wakazi Kivule wambana Silaa

  BAADHI ya wananchi wa Kata ya Kivule, wamembana mbunge wao (Ukonga), Jerry Silaa, kuhusu utatuzi wa changamoto sugu zinazowakabili ikiwemo ubovu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda: Mbowe mnufaika namba 1 wa maridhiano ya kisiasa

Katibu wa NEC – Itikadi na Uenezi (CCM) Paul Makonda amesema Mwenyekiti wa Chadema, Freema Mbowe ni mnufaika mkubwa wa maridhiano ya kisiasa...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo yalia na machinga Arusha

CHAMA Cha ACT-Wazalendo kimeitaka Serikali kuwawekea mazingira mazuri wafanyabiashara ndogondogo maarufu ‘machinga’ yatakayowawezesha kufanyabiashara zao na si kuwakimbiza na kuwamwaga bidhaa zao. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mkutano wa ushirikiano Tanzania, Angola waanza Zanzibar

Mkutano wa pili wa Tume ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Angola umeanza tarehe...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Wanaotabiri mpasuko Chadema watasubiri sana

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe, amesema wanaotegemea chama hicho kipasuke kutokana na migogoro watasubiri sana. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe atangaza maandamano kupinga miswada ya uchaguzi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza maandamano ya amani bila kikomo nchi nzima, hadi pale Serikali itakapofanyia kazi maoni na mapendekezo ya...

Habari za Siasa

UN-Women ya yachambua miswada ya uchaguzi, yapendekeza

UMOJA wa Mataifa (UN), chini ya kitengo cha wanawake, umechambua miswada ya maboresho ya sheria za uchaguzi na kutoa mapendekezo yake juu ya...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mwinyi: Mafanikio miaka 60 ya Mapinduzi yametokana na waasisi, viongozi waliotangulia

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Zaraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema mafanikio waliyoyapata miaka 60 tangu Mapinduzi ya mwaka 1964,...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo: 2024 tutapigania maisha ya heshima kwa watanzania

BARAZA la Mawaziri Kivuli la Chama cha ACT-Wazalendo, limeahidi kupigania maisha ya heshima kwa watanzania wanyonge, huku likianisha vipaumbele itakavyofanya 2024. Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yataka mambo 4 marekebisho sheria za uchaguzi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimewasilisha mapendekezo makuu manne mbele ya Kamati ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, juu ya miswada...

Habari za Siasa

Maaskofu Katoliki wataja sababu kuwa mbogo marekebisho sheria za uchaguzi

BARAZA la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limesema kwa mara ya kwanza limeamua kutoka mstari wa mbele kutoa mapendekezo yake juu ya uboreshaji sheria...

Habari za Siasa

DP World mbioni kuanza kazi Bandari ya Dar es Salaam

KAMPUNI ya Dubai Port  World kutoka Imarati ya Dubai, inatarajiwa kuanza uendeshaji wa maeneo waliyokodishwa katika Bandari ya Dar es Salaam, kwenye robo...

Habari za Siasa

Rais Samia awataka wakulima wa karafuu kuacha biashara za magendo

WAKULIMA wa karafuu visiwani Zanzibar, wametakiwa kuacha kuuza kwa magendo zao hilo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa...

Habari za Siasa

Akina Dk. Slaa wataka uchaguzi serikali mitaa usogezwe mbele kupata katiba mpya

TAASISI ya Sauti ya Watanzania imeshauri uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajia kufanyika mwaka huu, usogezwe mbele hadi uchaguzi mkuu wa 2025, ili...

Habari za Siasa

Marekebisho sheria za uchaguzi: Chadema, ACT-Wazalendo watinga bungeni

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), pamoja na Chama Cha ACT-Wazalendo, vimewasilisha maoni na mapendekezo Yao kwenye Kamati ya Kudumu ya Bunge ya...

Habari za Siasa

Mchinjita ajitosa kuwania makamu mwenyekiti ACT Wazalendo

MWENYEKITI wa Chama cha ACT Wazalendo Mkoa wa Lindi, Isihaka Mchinjita amesema anatarajia kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho upande wa...

Habari za SiasaTangulizi

CCM wapanga kumuongezea muda Rais Mwinyi kukaa madarakani

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kinakusudia kupeleka hoja ya mabadiliko ya 13 ya Katiba ya Zanzibar ili kuwezesha kuongezewa muda wa muhula wa uongozi...

Habari za Siasa

Wakongwe viti maalumu watakiwa kwenda majimboni

JUKWAA la Wanawake Viongozi wa Jumuiya za Vyama vya Siasa nchini (ULINGO), limeshauri wanawake waliopata nafasi ya viti maalum zaidi ya mara moja,...

Habari za Siasa

Dk. Semesi ateuliwa kuwa mkurugenzi mpya NEMC

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemteua Dk. Immaculate Sware Semesi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa...

Habari za Siasa

Lugangira: Matumizi ya mitandao katika uchaguzi yaingie kwenye sheria

MBUNGE wa Viti Maalumu, Neema Lugangira (CCM) ameshauri mswada wa sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi uwe na ibara inayozungumzia masuala ya matumizi...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi aipongeza NMB kuchangia maendeleo Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi ameipongeza Benki ya NMB kwa kuendelea kuunga mkono ajenda ya...

Habari za Siasa

Mbunge agawa mitungi 107 kwa makada wa CCM Ileje

Mbunge wa Ileje ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya amekabidhi mitungi 107 kwa wajumbe wa halmashauri kuu ya CCM...

ElimuHabari za Siasa

NBC yaunga mkono ufaulu somo la hesabu Ubungo

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imeendelea kuunga mkono jitihada za serikali katika kuboresha sekta ya elimu nchini, kwa kufadhili mpango wa kuchochea...

Habari za Siasa

Ado amuangukia Samia uwakili wa Fatma Karume, amtaja Magufuli

KATIBU Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, amemuomba Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, aingilie kati ili Fatma Karume arejeshewe leseni yake ya...

Habari za Siasa

Rais Samia ampongeza Tshisekedi kuchaguliwa tena DRC

RAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amempongeza Rais Mteule wa Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC), kwa kuchaguliwa tena kuliongoza taifa hilo...

Habari za SiasaTangulizi

Samia: 2023 ulikuwa wa mageuzi, 2024 ni utekelezaji na matokeo zaidi

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameainisha mipango ya serikali kwa mwaka mpya wa 2024, ikiwemo agizo la kuanzisha safari za SGR kati...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Viongozi wenye roho ngumu waombewe

MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amewataka watanzania kutumia nyumba za ibada kuwaombea viongozi wa kisiasa wenye roho ngumu...

Habari za Siasa

Miswada sheria za uchaguzi zamuibua Prof. Lipumba, alilia katiba mpya

MWENYEKITI wa Chama Cha Wananchi (CUF), ameitaka Serikali kupeleka muswada wa mabadiliko madogo ya katiba ili kupata tume huru ya uchaguzi kabla ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mtuhumiwa mauaji ya Beatrice adakwa, anywa sumu

HATIMAYE Jeshi la Polisi limemkamata Lucas Paul Tarimo anayetuhumiwa kumuua kwa kumchoma visu 25 Beatrice James Minja, akiwa amejificha katika kijiji cha Jema...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo yamuita Mdee na wenzake

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimefungua milango kwa wabunge viti maalum 19 waliofukuzwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wajiunge nacho. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yajivunia mambo manne 2023

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimetaja mambo manne kilichofanikiwa kuyafanya ndani ya mwaka 2023 unaolekea ukingoni, huku kikitaja mikakati yake mipya kuelekea 2024. Anaripoti Regina...

Habari za Siasa

Felix aongoza kwa 77%, Katumbi 15%

Wakati zoezi la kuhesabu kura likiendelea nchini Kongo, Rais Felix Tshisekedi ameendelea kuongoza kwa asilimia 77 na mpinzani wake wa karibu Moise Katumbi...

Habari za Siasa

Kipyenga uchaguzi ACT-Wazalendo mikoa chapulizwa

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimefungua rasmi kinyang’anyiro cha uchaguzi wa viongozi wake ngazi ya mikoa upande wa Tanzania Bara, unaotarajiwa kufanyika kati ya tarehe...

Habari za Siasa

Umoja wa Mabalozi Afrika wakabidhi msaada Hanang

Umoja wa Mabalozi wa nchi za Afrika wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania wamekabidhi msaada wa mifuko 1,000 ya saruji kwa ajili ya kusaidia ujenzi...

Habari za Siasa

Kigogo CCM: Hatuwezi kushinda uchaguzi kwa mabavu

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Idara ya Oganaizesheni, Issa Gavu, amesema chama hicho hakiwezi kushinda kwa...

Habari za SiasaTangulizi

DPP afuta kesi ya Gekul, Madeleka kukata rufaa

OFISI ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), imeondoa mahakamani kesi ya jinai Na. 179/2023, iliyofunguliwa na Hashim Ally dhidi ya aliyekuwa Naibu Waziri...

Habari za SiasaKimataifa

Tshisekedi aongoza kwa 81%, Katumbi 15% uchaguzi DRC

TUME ya Uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, CENI, imetoa matokeo zaidi ya awali ya uchaguzi wa rais, yakionesha rais Felix Tshisekedi...

Habari za SiasaTangulizi

Malasusa: Kujilimbikiza mali, rushwa imerejea kwa kasi

KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania limeonya watu kuacha tabia ya kujilimbikizia mali na kula rushwa kwa kuwa matendo hayo yamepigwa vita na...

Habari za SiasaKimataifa

Askofu Mkuu: Uchaguzi DRC umekuwa wa machafuko

Katika misa yake ya Krismasi, Askofu Mkuu wa Kinshasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Kardinali Fridolin Ambongo ameelezea jana Jumapili jioni...

Habari za SiasaTangulizi

Siku 100 za Silaa, atangaza mageuzi ardhi, atumbua vigogo

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa amesema Wizara yake inakusudia kufanya mageuzi makubwa ya kimfumo wa utendaji katika...

Habari za Siasa

Wizara ya ardhi yazindua “ardhi app” kuwahudumia wananchi

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imezindua mfumo rasmi wa kuwahudumia wananchi popote walipo kupitia simu ya kiganjani “Ardhi App” wa...

Habari za Siasa

CCM yataka wananchi washiriki marekebisho sheria za uchaguzi

WANANCHI wametakiwa kushiriki marekebisho ya sheria za uchaguzi, kwa kuwasilisha mapendekezo yao bungeni jijini Dodoma, kwa ajili ya maboresho ya miswada ya sheria...

Habari za SiasaTangulizi

Salamu za Christmas: Askofu Bagonza atema nyongo

ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera, Dk. Benson Bagonza, amelia na kitendo cha mmomonyoko wa...

Habari za Siasa

Sakata la kina Mdee: Chadema kumchongea Spika Tulia IPU

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kitakwenda kumchongea Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, katika Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), ili avuliwe...

error: Content is protected !!