Saturday , 20 April 2024

Habari za Siasa

Habari za Siasa

Tanzania kunufaika na trilioni 14 za miradi Italia

Tanzania imechaguliwa kuwa moja ya nchi nane za Afrika zitakazopewa kipaumbele na Italia kupitia mpango mpya wa kimkakati wa Mattei (Mattei Plan) ambapo...

Habari za Siasa

Bawacha wamng’ang’ania Spika Tulia sakala la kina Mdee

Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema (Bawacha), limesema iwapo Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk....

Habari za Siasa

Makamba amwakilisha Samia mkutano wakuu wa nchi Italia

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amewasili Roma, Italia kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yajifungia kuchagua watendaji wa mikoa, majimbo

IKIWA umesalia takribani mwezi mmoja kwa Chama cha ACT-Wazalendo kufanya uchaguzi wake mkuu, chama hicho kimefanya kikao cha kuteua makatibu wa mikoa na...

Habari za Siasa

Gekul aitwa mahakamani, Nondo mkalia kooni

MAHAKAMA Kuu Tanzania Masjala ndogo ya Manyara imetoa wito kwa aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria na  Mbunge wa Babati Mjini, Pauline...

Habari za Siasa

Rais Samia aadhimisha ‘birthday’ kwa tukio hili

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameadhimisha kumbumbuku ya siku ya kuzaliwa (Birthday) kwa kushiriki kupanda miti inayotarajiwa 4720, katika eneo la ekari 35.7...

Habari za Siasa

Prof. Lipumba asema upatikanaji katiba mpya mfupa mgumu

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amesema mapambano ya kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi bado ni mfupa...

Habari za Siasa

Biteko akagua mtambo wa Umeme Pangani, atoa maagizo TANESCO

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dk. Doto Biteko amefanya ukaguzi wa mitambo ya umeme inayokarabatiwa katika kituo cha umeme cha...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mwinyi apangua baraza la mawaziri

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amefanya mabadiliko ya Baraza la Mapinduzi kwa kuteua mawaziri wapya...

Habari za Siasa

Waziri mkuu atoa agizo wasimamizi mji wa serikali

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wasimamizi na wataalamu wa ujenzi wa Mji wa Serikali jijini Dodoma wahakikishe matarajio ya ujenzi huo yanafikiwa kama...

Habari za Siasa

Maimamu Tz waipongeza Afrika Kusini kwa kuishtaki Israel ICJ

SHURA ya Maimamu Tanzania, imewasilisha pongezi zake kwa Serikali ya Afrika Kusini, kufuatia uamuzi wake wa kuishtaki Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya...

Habari za Siasa

Kinara wa mtandao wa dawa za kulevya akamatwa Boko

Mamlaka ya Kupambana na Kudhibiti Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA) imemkamata kinara wa mtandao wa wafanyabiashara wa dawa za kulevya aina ya Cocaine....

Habari za Siasa

Tanzania, Indonesia zasaini mikataba minne ya ushirikiano

JAMHURI ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Indonesia zimesaini mikataba minne ya ushirikiano kati ya mataifa hayo mawili. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za Siasa

RC Mongela awaaga 818 wanaohama Ngorongoro

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella amewahakikishia wananchi wanaohama kwa hiari kutoka ndani ya hifadhi ya Ngorongoro kwenda maeneo mengine nje ya...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema watinga UN, RPC Dar ampa maelekezo Lissu

HATIMAYE Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetinga katika ofisi za Umoja wa Mataifa (UN), jijini Dar es Salaam, baada ya kuandamana Kwa...

Habari za Siasa

Ugumu wa maisha watawala maandamano ya Chadema

Ugumu wa maisha unaotokana na kupanda kwa gharama za bidhaa muhimu, umeteka maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yaisimamisha Buguruni

Chama cha Chadema kimeibua shangwe kwa baadhi ya wananchi waliokuwa maeneo ya Buguruni jijini Dar es Salaam, huku Mwenyekiti wake Freeman Mbowe akiteka...

Habari za SiasaTangulizi

Mamia wajitokeza maandamano ya Chadema, Mbowe afunguka

MAMIA ya watu wamewasili katika maeneo ya Buguruni Sheli jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kushiriki maandamano ya amani yaliyoratibiwa na Chama...

Habari za SiasaTangulizi

RC Chalamila: Samia ameruhusu maandamano Chadema

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewataka wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kufanya maandamano yao kwa amani...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wamuonya Chalamila

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemuonya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, asivuruge maandamano yao ya amani wanayofanya kupinga...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema waanza kuwasili vituo vya maandamano, Mbowe kuongoza Buguruni

BAADHI ya viongozi na wafuasi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wameanza kuwasili maeneo ya Buguruni Sheli jijini Dar es Salaam, kwa...

Habari za Siasa

Waziri mkuu akutana na Naibu Waziri Mkuu wa China

WAZIRI WA MKUU Kassim Majaliwa leo Jumanne amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Watu wa China, Liu Guozhong...

Habari za SiasaTangulizi

Polisi yaruhusu maandamano ya Chadema

MAANDAMANO yasiyo na kikomo yaliyoandaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwa ajili ya kupinga miswada ya marekebisho ya sheria za uchaguzi...

Habari za Siasa

Dk. Nchimbi aanza na wapinzani

KATIBU Mkuu mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Emmanuel Nchimbi, ameanza kazi kwa kutuma salamu kwa vyama vya siasa vya upinzani, akiwataka...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge wa zamani Chadema atimkia CCM

MBUNGE wa zamani wa viti maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Upendo Peneza, amejiunga rasmi na Cha Mapinduzi (CCM), akidai chama...

Habari za SiasaTangulizi

Samia aipa kibarua JWTZ kuelekea chaguzi, aeleza ilivyomweka madarakani

AMIRI Jeshi Mkuu wa nchi na Rais, Dk. Samia Suluhu Hassan, amelitaka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na vikosi vingine vya ulinzi...

Habari za Siasa

CDF aonya ongezeko vijana kujiunga vikundi vya kigaidi, wakimbizi kuingia serikalini

MKUU wa Majeshi nchini (CDF), Jenerali Jacob Mkunda, amesema kuna tishio la ongezeko la vijana wa kitanzania kujiunga na vikundi vya kigaidi katika...

Habari za Siasa

Kilowati 100 mradi wa Bwawa la Nyerere zaingizwa gridi ya Taifa

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameeleza kuridhishwa na kazi inayofanywa na wakandarasi pamoja na Shirika la Umeme Tanzania...

Habari za Siasa

Diplomasia ya Tanzania yazidi kung’ara kimataifa

Diplomasia ya Tanzania imezidi kung’ara kimataifa kufuatia viongozi wakuu kutoka mataifa mbalimbali kufanya ziara nchini kwa lengo la kuimarisha na kudumisha uhusiano na...

Habari za SiasaTangulizi

Papa Francis amualika Rais Samia Vatican

Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu – Papa Francis amemualika Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kuitembelea...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Malasusa asimikwa rasmi mkuu KKKT, aweka msimamo ukaribu wake na Serikali

HATIMAYE  Mkuu wa Kanisa la Kiinjili  na Kilutheri Tanzani (KKKT) Askofu Dk. Alex Malasusa amesimikwa rasmi leo Jumapili na kubainisha msimamo wake kwamba...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu: Nitakuwepo Dar kushiriki maandamano ya amani

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) – Bara, Tundu Lissu ametangaza kushiriki maandamano ya amani yaliyoitishwa hivi karibuni na mwenyekiti...

Habari za SiasaTangulizi

Bashe: Mvua za El-nino zimesababisha upungufu wa sukari, tani 100,000 zimeagizwa

WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema hali uzalishaji wa sukari katika viwanda saba nchini imeshuka hadi kufikia tani 1,000 kwa siku kutokana na...

Habari za SiasaTangulizi

Mdee, wenzake wakata rufaa kupinga hukumu ya Jaji Mkeha

HATIMAYE Mbunge wa Viti Maalumu Halima Mdee na wenzake 18 wamekata rufaa katika Mahakama ya Rufaa nchini Tanzania kwa kutoridhishwa na hukumu iliyotolewa...

Habari za SiasaTangulizi

CUF, ACT-Wazalendo hapatoshi, Bwege acharuka

MGOGORO wa kugombania mali za chama kati ya Chama Cha Wananchi (CUF) na ACT-Wazalendo, umeibuka upya baada ya kusababisha vurugu kati ya wafuasi...

Habari za Siasa

Tanzania, Angola zasaini hati za makubaliano kuongeza ushirikiano

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Angola zimesaini hati tatu za Makubaliano ya Ushirikiano (MoUs) katika sekta...

Habari za Siasa

CUF yataka marekebisho ya Katiba kuzipa nguvu sheria za uchaguzi

CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeshauri marekebisho madogo ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977, ili kuzipa nguvu sheria za uchaguzi...

Habari za SiasaTangulizi

Chongolo ampa ujumbe mzito Dk. Nchimbi uteuzi CCM

ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo amepongeza Balozi Dk. Emanuel Nchimbi kwa kuteuliwa kurithi nafasi yake na kusisitiza imani ya Halmashauri Kuu...

Habari za Siasa

Chadema yamjibu Makonda

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kiko tayari kufanya mdahalo na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul...

Habari za Siasa

ACT yamkaalia kooni Bashe, yamtwisha zigo la wakulima

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema atawasilisha kwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, changamoto zinazowakabili wakulima wa...

Habari za SiasaTangulizi

Balozi Dk. Nchimbi amrithi Chongolo CCM

KAMATI ya Halmshauri Kuu ya CCM leo Jumatatu imemteua Balozi Emmanuel John Nchimbi (53) kuwa Katibu Mkuu wa CCM akichukua nafasi ya Daniel...

Habari za Siasa

Wakazi Kivule wambana Silaa

  BAADHI ya wananchi wa Kata ya Kivule, wamembana mbunge wao (Ukonga), Jerry Silaa, kuhusu utatuzi wa changamoto sugu zinazowakabili ikiwemo ubovu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda: Mbowe mnufaika namba 1 wa maridhiano ya kisiasa

Katibu wa NEC – Itikadi na Uenezi (CCM) Paul Makonda amesema Mwenyekiti wa Chadema, Freema Mbowe ni mnufaika mkubwa wa maridhiano ya kisiasa...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo yalia na machinga Arusha

CHAMA Cha ACT-Wazalendo kimeitaka Serikali kuwawekea mazingira mazuri wafanyabiashara ndogondogo maarufu ‘machinga’ yatakayowawezesha kufanyabiashara zao na si kuwakimbiza na kuwamwaga bidhaa zao. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mkutano wa ushirikiano Tanzania, Angola waanza Zanzibar

Mkutano wa pili wa Tume ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Angola umeanza tarehe...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Wanaotabiri mpasuko Chadema watasubiri sana

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe, amesema wanaotegemea chama hicho kipasuke kutokana na migogoro watasubiri sana. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe atangaza maandamano kupinga miswada ya uchaguzi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza maandamano ya amani bila kikomo nchi nzima, hadi pale Serikali itakapofanyia kazi maoni na mapendekezo ya...

Habari za Siasa

UN-Women ya yachambua miswada ya uchaguzi, yapendekeza

UMOJA wa Mataifa (UN), chini ya kitengo cha wanawake, umechambua miswada ya maboresho ya sheria za uchaguzi na kutoa mapendekezo yake juu ya...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mwinyi: Mafanikio miaka 60 ya Mapinduzi yametokana na waasisi, viongozi waliotangulia

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Zaraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema mafanikio waliyoyapata miaka 60 tangu Mapinduzi ya mwaka 1964,...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo: 2024 tutapigania maisha ya heshima kwa watanzania

BARAZA la Mawaziri Kivuli la Chama cha ACT-Wazalendo, limeahidi kupigania maisha ya heshima kwa watanzania wanyonge, huku likianisha vipaumbele itakavyofanya 2024. Anaripoti Regina...

error: Content is protected !!