Friday , 26 April 2024
Home danson
968 Articles60 Comments
Elimu

CWT waja juu, wagomea bodi mpya

  CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), kimegomea uanzishwaji wa Bodi ya Kitaaluma ya Walimu kwa madai, imelenga kumkandamiza mwalimu. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...

Habari za Siasa

Hayati Magufuli atetewa bungeni

  LIVINGSTON Silinde, Mbunge wa Mvumi (CCM), ameeleza kukerwa na watu wanaomsema vibaya Hayati John Magufuli. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Amesema, anashangazwa...

Habari za Siasa

Ndege tatu mpya kutua nchini

  NDEGE tatu zitatua nchini muda wowote baada ya Serikali ya Tanzania, kukamilisha malipo ya ununuzi wa ndege hizo tatu. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....

HabariTangulizi

Katiba mpya: Wazazi CCM yaonya wanaompelekesha Rais Samia

  JUMUIYA ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imewataka wananchi wasimpelekeshe Rais Samia Suluhu Hassan, hasa wale wanaotaka mchakato wa katiba mpya...

Habari za Siasa

Mbunge CCM aliyenusurika kifo kwa ajali, afariki kwa ajali

  MBUNGE wa Muhambwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Kigoma, Mhandisi Atashasta Nditiye, amefariki dunia leo asubuhi Ijumaa tarehe 12 Februari...

Habari

Mbunge ahoji mashamba kutaifishwa, Lukuvi amjibu

  MBUNGE Viti Maalumu Mkoa wa Arusha, Cecilia Pareso, amehoji Serikali itataifisha lini mashamba ya wawekezaji yasiyoendelezwa, ili yakabidhiwe kwa wananchi kwa ajili...

Habari za Siasa

Mdee, wenzake wamchokonoa Lissu

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tanzania Bara, Tundu Antipas Lissu, amekosoa hatua ya Spika wa Bunge, Job Ndugai,...

Habari Mchanganyiko

Jiji Dodoma laonya machinga

JAMES Yuna, Ofisa Masoko wa Jiji la Dodoma, amewataka wafanyabiashara ndogondogo (wamachinga) kuacha kufanya biashara kwenye maeneo yasiyo rasmi. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...

Afya

Serikali yalaani askari aliyemtwanga makofi raia hospitali

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeeleza kuumizwa na hatua ya askari wa ulinzi (SUMA – JKT)...

AfyaHabari za Siasa

Waziri Gwajima asimamisha watano Ukerewe

WAZIRI wa Afya nchini Tanzania, Dk. Dorothy Gwajima, amewasimamisha watumishi watano wa Hospitali ya Wilaya ya Nansio Ukerewe jijini Mwanza, kupisha uchunguzi wa...

Habari Mchanganyiko

Mafunzo ya kujitolea JKT 2020/21 yasitishwa

JESHI la Kujenga Taifa (JKT) nchini Tanzania, limesitisha mafunzo ya JKT kundi la kujitolea kwa mwaka 2020-2021. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

‘Kada wa Chadema’ akabidhiwa na CCM kuongoza Kamati ya Bunge ya PAC

HATIMAYE Naghenjwa Kaboyoka, aliyekuwa mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), amerejeshwa tena kuongoza nafasi hiyo. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yampa uongozi wa LAAC aliyefukuzwa Chadema

ALIYEKUWA katibu mkuu wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), nchini Tanzania, Grace Tendega, amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa Kamati...

Habari za Siasa

Mhagama ataka ripoti mabaraza ya kazi

JENISTA Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Sera, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu amemwagiza Msajili wa Vyama vya Wafanyakazi na...

Habari Mchanganyiko

Kitabu kinachoelezea utendaji wa Magufuli chazinduliwa

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amesema Serikali inaendelea na mapamba dhidi ya wala rushwa na haitawaacha salama viongozi wala rushwa na mafisadi...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 3 za Benki ya Dunia kujenga machinjio ya kisasa Dodoma

BENKI ya Dunia (WB), inatarajia kutoa kiasi cha Sh.3 bilioni kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa machinjio tatu za kisasa jijini Dodoma. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Daladala za sabasaba Dodoma zagoma

MADEREVA na wamiliki wa Daladala, stendi ya Sabasaba jijini Dodoma, wamegoma kutoa huduma ya usafirishaji kwa madai eneo ni dogo, miundombinu mibovu licha...

Habari Mchanganyiko

RC Sh’nga awapigania wakulima wa choroko, atoa maagizo

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga (RC), Zainab Telack, ameagiza maafisa kilimo mkoani humo, kutoa elimu ya mfumo wa stakabadhi gharani kwa wakulima wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mvua yaelezwa chanzo ajali ya treni iliyoua, kujeruhi

WATU watatu, wamefariki dunia na wengine 66, kujeruhiwa katika ajali ya treni iliotokea jana Jumamosi jioni tarehe 02 Januari 2021, maeneo ya Kigwe...

Habari Mchanganyiko

Wizara Afya kuzindua mpango mpya wa usafi

WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inatarajia kuzindua Mpango Mkakati wa Kitaifa wa Afya na Usafi wa Mazingira (2021-25). Anaripoti...

Habari za Siasa

Dk. Bashiru ateta na Balozi wa Ufaransa

UBALOZI wa Ufaransa nchini Tanzania, umefanya makubaliano na Serikali ya Tanzania kuanzisha ushirikiano wa maendeleo ya vijana hususan utoaji wa ajira. Anaripoti Danson...

Tangulizi

Utafiti rushwa ya ngono: Watumishi 68.6% wakiri

UTAFITI  wa rushwa ya ngono katika taasisi za elimu ya juu uliohusisha vyuo vikuu viwili vya  Dar es Salaam na Dodoma, umewasilishwa leo...

Habari za Siasa

Mgombea Chadema amwangushia jumba bovu mgombea CCM

CONCHESTA Rwamlaza, mgombea ubunge katika Jimbo la Bukoba vijinini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amemtuhumu Jason Rweikiza, mgombea mwenzake kupitia Chama...

Habari za Siasa

Mgombea Chadema Dodoma Mjini ahidi afya, elimu, maji

AISHA Madoga, mgombea ubunge katika Jimbo la Dodoma mjini kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameahidi kuboresha sekta ya elimu, afya na...

Habari za Siasa

Mgombea udiwani aahidi ujenzi Daraja la Nzuguni

ALOYCE Luhega, mgombea udiwani wa Kata ya Nzuguni, jijini Dodoma kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameahidi kusimamia ujenzi wa daraja linalounganisha Nzuguni C...

Habari za Siasa

Polisi yawadaka wagombea wanaofuatilia rufaa NEC

JESHI la Polisi Mkoa wa Dodoma limewakamata wagombea ubunge na udiwani kutoka Chama cha Demokraaia na Maendeleo (Chadema) waliokuwa wanakwenda Ofisi ya Tume...

Habari za SiasaTangulizi

Mnyika: NEC turudishieni wagombea ili tupimane ubavu

JOHN Mnyika, Katibu Mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Chadema, ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwarejesha wagombea wao wa...

Habari Mchanganyiko

Watumishi waliogombea ubunge wakashindwa warejeshwa kazini, waonywa

WATUMISHI wote wa umma waliokuwa wametangaza nia kugombea ubunge na kushindwa katika kura za maoni, wametakiwa kurudi kazini kuanzia kesho Jumanne tarehe 1...

Habari za Siasa

CCM yateua wagombea uwakilishi Z’bar

KAMATI Kuu Chama Cha Mapinduzi (CCM) imefanya uteuzi wa wagombea Uwakilishi katika Baraza la Wawakilish (BLW) Zanizbar katika majimbo 50 kwa kuzingatia uwezo,...

Habari

Waziri Jafo: Hakuna binadamu aliyekamilika, lazima tuvumiliane

KUELEKEA Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano 28 Oktoba 2020, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Selemani...

Habari Mchanganyiko

Wahariri Tanzania wawaonya wanasiasa

JUKWAA  la Wahariri Tanzania (TEF) limewataka wanasiasa nchini humo kutokutoa matamshi ya kuwachochea wananchi kujenga chuki dhidi ya wanahabari na vyombo vya habari...

Habari Mchanganyiko

Askofu ataka vijana kuondoka vijiweni

ASKOFU wa Kanisa la Mlima wa Moto, Jimbo la Dodoma na Nyanda za Juu Kusini, Sylvanus Komba amewataka vijana kuacha kukaa vijiweni na badala...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Mkuu TAG ataka kura uchaguzi mkuu zihesabiwa hadharani

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Dk. Barnabas Mtokambali ameiomba Serikali nchini humo kuhakikisha Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe...

Habari za Siasa

Rais Magufuli: Msichague wenye kuhubiri chuki

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amewataka Watanzania kutochagua wanasiasa wanaohubiri chuki na k6utoa maneno ya vitisho. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Kiongozi huyo...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu achukua fomu urais Tanzania, asindikizwa kwa msafara NEC

TUNDU Antiphas Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema amekabidhiwa fomu za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano 28 Oktoba 2020 na...

Habari za Siasa

Lissu kupokelewa kifalme Dodoma

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kati, kimeandaa mapokezi ya aina yake pindi Tundu Lissu atakapokanyaga ardhi ya jiji hilo. Anaripoti Danson...

Habari Mchanganyiko

Tujali, tuitunze miundombinu – Waziri Jafo

SERIKALI imetoa wito kwa Watanzania kutunza miundombinu nchini ili fedha zielekezwe kwenye maeneo mengine ya maendeleo. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Wito huo umetolewa...

Habari za Siasa

Msitu wa wanaCCM Nkenge haunitishi – ‘mgombea’ Chadema

JIMBO la Nkenge lililopo katika Wilaya ya Misenye, Kagera linawindwa na makada 19 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mmoja kutoka Chama cha...

Habari za Siasa

Uchaguzi Mkuu: Bukoba Vijijini ‘ngoma inogile’

WAKATI watia nia wanane kutoka CCM katika Jimbo la Bukoba Vijijini wakichuana kuwania kuteuliwa kugombea, Conchester Rwamlaza, aliyekuwa mbunge wa Viti Maalum (Chadema)...

Habari za Siasa

Uchaguzi Mkuu: Jimbo la Ngara wagombea CCM, Chadema ‘kupasuana’

ZAIDI ya watia nia 30 kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamejitokeza kutaka kugombea Jimbo la Ngara, Kagera kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba Mwaka...

Habari Mchanganyiko

DC Katambi amsimamisha afisa  kitengo cha ardhi, aagiza uchunguzi

MKUU wa Wilaya (DC) ya Dodoma mjini nchini Tanzania, Patrobasi Katambi ametangaza kumsimamisha kazi, Hadson Magomba, afisa kitengo cha mipango miji katika Jiji...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali ya Tanzania: Kila mtu alimiliki mil 2.5 mwaka 2019

SERIKALI imesema, mwaka jana (2019) pato la taifa kwa mtu mmoja mmoja lilikuwa Sh. 2,577,967 kutoka Sh. 2,452,406 mwaka 2018, sawa na ongezeko...

Habari za Siasa

JPM: Mungu kajibu maombi 

RAIS John Magufuli amesema, Mungu amejibu maombi ya Watanzania kuepusha ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virisi vya corona (COVID-19) nchini. Anaripoti...

Habari za Siasa

Matiko aambiwa ‘Watumishi waliokuwa ardhi, wamehamishwa’

WIZARA ya Nchi Ofisi wa Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imeeleza, watumishi wa sekta ya ardhi waliokuwa chini...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia ‘amwita’ Mbowe, Zitto mezani

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Zitto Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, ‘wamealikwa’ kwenye meza ya mazungumzo...

Habari Mchanganyiko

Rushwa ya 100,000 yamponza muuguzi

RICHARD Zablon, muuguzi katika Zahanati ya Chamwino, jijini Dodoma, leo tarehe 3 Juni 2020 amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi jijini humo, kwa...

Habari za Siasa

Mbunge ahoji wanafunzi Veta kukosa mikopo, waziri amjibu

MBUNGE wa Viti Maalum (Chadema), Zubeda Sakuru, ametaka kujua kwa nini wanafunzi wanaojiunga na vyuo vya ufundi stadi (Veta) kukosa mikopo. Anaripoti Danson...

Habari Mchanganyiko

Dereva wa IT aliyewapa lifti watu wane, nusura auawe

JESHI la Polisi jijini Dodoma limeeleza, kuwa dereva wa gari namba T.237 DSJ aina ya Subaru (IT), aliyewapa lifti watu wawili waliokuwa wakienda...

AfyaHabari za Siasa

Majaliwa azungumzia hali ya corona Tanzania

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amewataka Watanzania kuendelea kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa COVID-19 ambao umeanza kupungua nchini humo. Anaripoti Danson Kaijage,...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabiashara kutoa elimu ya Corona minadani

UONGOZI wa Umoja wa Wafanyabiashara waendao minadani Mkoani Dodoma (UWABIMIDO) umesema kuwa pamoja na kufanya shughuli zao za kujiingizia kipato lakini wanatoa elimu...

error: Content is protected !!