Sunday , 28 April 2024
Home mwandishi
8737 Articles1254 Comments
Habari Mchanganyiko

Vituo vya huduma kwa jamii vyaanza kutumika Dar

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) imekamilisha ujenzi wa vituo 30 vya huduma kwa jamii (Public Sanitary Service...

Biashara

Zama baharini kusaka utajiri kwenye kasino ya Lucky Dolphin

  UNAAMBIWA bahari imebeba viumbe vingi vya ajabu, samaki, majini na madini, lakini pia rasilimali zenye utajiri mkubwa kama mafuta na gesi kwa...

Habari za Siasa

Ugumu wa maisha watawala maandamano ya Chadema

Ugumu wa maisha unaotokana na kupanda kwa gharama za bidhaa muhimu, umeteka maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari Mchanganyiko

Wanafunzi 50 wapatiwa mafunzo kazini, 15 waula mgodini

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imewaaga na kuwapatia vyeti wanafunzi 50 kutoka vyuo vikuu waliokuwa wanafanya kazi katika mgodi huo kupitia...

Biashara

Vodacom yazindua dawati maalum la kuwahudumia wasioona

  KAMPUNI ya Vodacom Tanzania katika mwendelezo wake wa kuwajali wateja na watu wenye ulemavu, imezindua dawati maalum la huduma kwa wateja litakalohudumia...

Habari za Siasa

Waziri mkuu akutana na Naibu Waziri Mkuu wa China

WAZIRI WA MKUU Kassim Majaliwa leo Jumanne amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Watu wa China, Liu Guozhong...

Michezo

Wanaume 29 waliotoka kimapenzi na Rihanna, Benzema yumo cheza kasino 

  ANAITWA Robyn Ronald Fenty wengi wanamfahamu kwa jina lake la kisanii Rihanna alizaliwa tarehe 20 Februari 1988, huko Saint Michael, Barbados. Ni...

Habari Mchanganyiko

Mtoto atolewa skrubu iliyokwama kwenye mapafu

Mtoto mwingine ametolewa Skrubu (Screw) kwenye mapafu yake kwa kutumia kifaa chenye kamera kilichokwenda kuinasa na kisha kuitoa. Mtoto huyo anadaiwa alikua akiichezea...

Habari Mchanganyiko

NMB yazipiga jeki shule sita mkoani Ruvuma

BENKI ya NMB imekabidhi madawati yenye thamani ya zaidi ya Sh 25 milioni kwa shule sita mkoani Ruvuma ikiwa ni utekelezaji wa dhamira...

Habari Mchanganyiko

DAWASA yawatoa hofu wananchi maeneo yaliyoathiriwa na mvua

Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA), Kiula Kingu ametembelea na kukagua miundombinu ya...

Biashara

Wajasiriamali Morogoro waomba kuwezeshwa kumudu soko la ushindani

Wajasiriamali wanawake mkoani Morogoro wamewaomba wadau wa ukuzaji wa biashara kutoishia mijini badala yake wafike pia vijijini kutoa elimu na usaidizi wa ukuzaji...

Michezo

TECNO yagusa hisia: Mchezo wa hisani wachochea hamasa ya kuboresha viwanja vya jamii Afrika

  KAMA mdhamini rasmi wa Kombe la  (AFCON) Afrika nchini Côte d’Ivoire, kampuni ya teknolojia , TECNO iliandaa mechi ya hisani iliyojaa nyota...

Habari Mchanganyiko

Mama (53) atolewa ganda la pipi kwenye pafu, aliishi nalo miaka 11

Watalaam wa Magonjwa ya Mfumo wa Mapafu na Upumuaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, leo Jumatatu wamemtoa mama mwenye umri wa miaka 53,...

Habari za SiasaTangulizi

Polisi yaruhusu maandamano ya Chadema

MAANDAMANO yasiyo na kikomo yaliyoandaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwa ajili ya kupinga miswada ya marekebisho ya sheria za uchaguzi...

Habari za Siasa

Dk. Nchimbi aanza na wapinzani

KATIBU Mkuu mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Emmanuel Nchimbi, ameanza kazi kwa kutuma salamu kwa vyama vya siasa vya upinzani, akiwataka...

Biashara

Mkulima alia urasimu vibali vya kuuza mazao nje

MMOJA wa wakulima katika Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, Machite Mgulambwa ameiomba serikali kupunguza masharti ya upatikanaji wa vibali vya kuuza mazao nje...

Biashara

Kasino yenye njia nyingi za ushindi, bonasi kibao| Juicy Fruits Multihold 

  JUICY Fruits Multihold ni mchezo wa kasino ya mtandaoni kutoka kwa wataalamu ‘Pragmatic Play‘. Mchezo huu wa sloti, utakutana na alama za...

Habari za Siasa

CDF aonya ongezeko vijana kujiunga vikundi vya kigaidi, wakimbizi kuingia serikalini

MKUU wa Majeshi nchini (CDF), Jenerali Jacob Mkunda, amesema kuna tishio la ongezeko la vijana wa kitanzania kujiunga na vikundi vya kigaidi katika...

Habari za Siasa

Kilowati 100 mradi wa Bwawa la Nyerere zaingizwa gridi ya Taifa

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameeleza kuridhishwa na kazi inayofanywa na wakandarasi pamoja na Shirika la Umeme Tanzania...

Habari za Siasa

Diplomasia ya Tanzania yazidi kung’ara kimataifa

Diplomasia ya Tanzania imezidi kung’ara kimataifa kufuatia viongozi wakuu kutoka mataifa mbalimbali kufanya ziara nchini kwa lengo la kuimarisha na kudumisha uhusiano na...

Habari za SiasaTangulizi

Papa Francis amualika Rais Samia Vatican

Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu – Papa Francis amemualika Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kuitembelea...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Malasusa asimikwa rasmi mkuu KKKT, aweka msimamo ukaribu wake na Serikali

HATIMAYE  Mkuu wa Kanisa la Kiinjili  na Kilutheri Tanzani (KKKT) Askofu Dk. Alex Malasusa amesimikwa rasmi leo Jumapili na kubainisha msimamo wake kwamba...

Michezo

Je, unajua kuwa leo hii ni siku yako ya kupiga mkwanja?

IKIWA leo hii ni siku nyingine kabisa, Jumapili ya maokoto basi mimi nakwambia chimbo lipo moja tuu, nalo ni meridianbet ambapo huku unaweza...

Habari MchanganyikoTangulizi

TMA yatoa ufafanuzi wa mvua wa kubwa zinazoendelea kunyesha

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inapenda kutoa taarifa ya vipindi vya mvua kubwa vilivyojitokeza katika baadhi ya maeneo nchini. Anaripoti Mwandishi...

Biashara

Meridianbet yawafikia MRC, yatoa msaada wa vyakula

JUMAMOSI ya leo kampuni kubwa ya ubashiri Tanzania Meridianbet wamewatembelea waathirika wa dawa za kulevya Kigamboni MRC ( Muungano Recovery Community) licha ya kuwa...

Habari Mchanganyiko

Mawe, miamba ya barafu yasababisha kipande cha njia Mlima Kilimanjaro kufungwa

Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limefunga kipande cha njia cha ‘ARROW GLACIER” ambacho hutumika na baadhi ya wageni wanaopanda mlima Kilimanjaro...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu: Nitakuwepo Dar kushiriki maandamano ya amani

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) – Bara, Tundu Lissu ametangaza kushiriki maandamano ya amani yaliyoitishwa hivi karibuni na mwenyekiti...

Habari za SiasaTangulizi

Bashe: Mvua za El-nino zimesababisha upungufu wa sukari, tani 100,000 zimeagizwa

WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema hali uzalishaji wa sukari katika viwanda saba nchini imeshuka hadi kufikia tani 1,000 kwa siku kutokana na...

Michezo

Anza wikendi yako kwa kubashiri na Meridianbet mechi zote

  MERIDIANBET wanakwambia hivi wikendi imeshafika hivyo usisubiri kuhadithiwa jinsi ambavyo wenzako wananufaika kwa kubashiri nao, ingia na wewe sasa uanze kusuka mkeka...

Tangulizi

Dk. Biteko aanika sababu gharama za uletaji mafuta kushuka

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema juhudi zinazofanywa na Wizara ya Nishati, Wakala wa Uagizaji wa Mafuta kwa...

Biashara

Cheza The Money Men Megaways kasino mpya ya Meridianbet 

  THE Money Men Megaways ni sloti iliyotengenezwa na Pragmatic Play. Mchezo huu wa kasino ya mtandaoni una bonasi nyingi, ili upate unatakiwa...

Biashara

NMB mastabata yazidi kutoa zawadi kwa washindi

Jumla ya wateja 1,071 kutoka benki ya NMB wamepata zawadi mbalimbali ikiwemo fedha taslimu kufuatia benki hiyo kutenga zaidi ya Sh350 milioni kupitia...

Afya

DC Mpanda aagiza maji ya visima yapimwe kudhibiti kipindupindu

Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Jamila Yusuf ameziagiza mamlaka za afya na maji kushirikiana ili kuainisha idadi ya visima vilivyopo ndani ya wilaya...

Habari Mchanganyiko

Papa Francis: Starehe ya tendo la ndoa ni zawadi kutoka kwa Mungu

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis amesema kwamba furaha ya tendo la ndoa ni zawadi kutoka kwa Mungu ambayo inapaswa kutendwa kwa...

Habari Mchanganyiko

Umeme wa jotoardhi kuzalishwa 2025

SERIKALI imesema inaendelea na utekelezaji wa miradi ya kipaumbele ya umeme itokanayo na nishati jadidifu ya jotoardhi katika maeneo mbalimbali nchini kupitia Kampuni...

Habari Mchanganyiko

TEF yafariji waathirika mafuriko Kilosa

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) leo Alhamisi limekabidhi msaada wa kiutu kwa waathirika wa mafuriko wilayani Kilosa mkoani Morogoro yaliyotokea hivi karibuni. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Kisa kusalimia wanaume, Mwanakwaya daiwa kuua mkewe, anaswa

MWIMBAJI maarufu wa kwaya kwenye kanisa moja la kiroho kijiji cha Ikulu kata ya Ipinda wilayani Kyela mkoani Mbeya, Aliko Mwakalibule (38) aliyekuwa...

Habari Mchanganyiko

Nathwani na Sangita mahakamani kwa kujeruhi jirani

KESI inayowakabili mkazi wa Dar es Salaam, Bharat Nathwani (57), maarufu kwa jina la Chiku na mke wake Sangita Bharat Nathwani (54) inatarajiwa...

Biashara

NMB yazindua mchakato wa “NMB Pesa Haachwi Mtu”

BENKI ya NMB imeanzisha kampeni kubwa ya kuhamasisha na kuwawezesha watu wengi kufungua akaunti ili waweze kunufaika na faida za kuwa sehemu ya...

Michezo

Tusua mapene kibabe na mechi za leo ndani ya Meridianbet

  KAMA kawaida mechi za AFCON zinaendelea hii leo kwenye mechi za raundi ya pili zikiwa zote zinapambanaia kupata ushindi, na wewe kama...

Habari Mchanganyiko

Mradi wa Julius Nyerere (JNHPP) wafikia asilimia 95.8

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameeleza kuwa Serikali imeamua kuwekeza katika miradi ya nishati ili kuhakikisha upatikanaji umeme...

Biashara

Cheza ushinde x3,000 kwenye sloti ya Jaguar Treasures kasino

  WAKATI unawaza kutembelea sehemu mbalimbali duniani kama vile kwenda Vakesheni Dubai, Uturuki na Paris kwenye Jiji la bata, nakupa chaka jingine ambalo...

Habari Mchanganyiko

515 wahama Ngorongoro kwenda Msomera

Kundi lenye kaya 72 za wananchi 515 na mifugo 2,206 limeagwa leo Alhamisi baada ya kujiandikisha na kuamua kuhama kwa hiyari kutoka katika...

Habari za SiasaTangulizi

CUF, ACT-Wazalendo hapatoshi, Bwege acharuka

MGOGORO wa kugombania mali za chama kati ya Chama Cha Wananchi (CUF) na ACT-Wazalendo, umeibuka upya baada ya kusababisha vurugu kati ya wafuasi...

Habari MchanganyikoTangulizi

TRC yasitisha kwa muda safari za treni

Shirika la Reli Tanzania-TRC limesitisha kwa muda huduma ya safari za treni kutoka Dar es Salaam kuelekea mikoa ya Morogoro, Dodoma, Singida, Tabora,...

Michezo

Kamata ushindi wako leo AFCON, FA, Copa Del Rey & Kasino

  MASHINDANO ya Mataifa ya Afrika AFCON yamenoga huko nchini Ivory Coast, leo Tanzania itasimama kushuhudia wajukuu wa Nyerere wakiwa kwenye dimba lenye...

Habari Mchanganyiko

Visima 27 vyakutwa na vimelea vya kipindupindu

Visima 27 vya maji kati ya 34 vilivyopimwa katika wilaya za Kahama na Kishapu mkoani Shinyanga vimebainika kuwa na vimelea vya ugonjwa wa...

Habari Mchanganyiko

Kipindupindu champonza bibi afya, RC atoa maagizo

MKUU wa mkoa wa Songwe, Dk. Fransisi Michael amemuagiza Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mbozi, Abdallah Nandonde kumhamisha kituo cha kazi...

Habari za Siasa

Tanzania, Angola zasaini hati za makubaliano kuongeza ushirikiano

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Angola zimesaini hati tatu za Makubaliano ya Ushirikiano (MoUs) katika sekta...

Habari Mchanganyiko

Nishati Jadidifu yapawa ajira vijana Afrika

  MATUMIZI ya Nishati jadidifu yatajwa kuwa chanzo kipya cha ajira kwa vijana nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Licha...

error: Content is protected !!