RAIS John Magufuli, ameanza kupanga matumizi ya mabilioni ya fedha zinazorudishwa na watuhumiwa wa uhujumu uchumi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akizungumza katika ziara...
By Mwandishi WetuOctober 9, 2019KUFUATIA mvua zinazoendelea kunyesha, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewataka wakazi wa mkoa wake kuwa na tahadhari ili kuhepuka mafuriko....
By Kelvin MwaipunguOctober 9, 2019MABADILIKO kamili katika siasa, uchumi na kijamii hayawezi kufikia iwapo wananchi watasita kwenda kujiandikisha ili kupiga kura. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Kauli...
By Regina MkondeOctober 9, 2019MBUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika jimbo la Rombo, mkoani Kilimanjaro, Joseph Selasini, ameonya kuwa hatua yeyote ya kuminya demokrasia...
By Yusuph KatimbaOctober 8, 2019RAIS John Magufuli amemaliza mvutano wa ardhi uliokuwepo kati ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), wananchi na Kituo cha Utafiti wa Kilimo (Uyole)...
By Mwandishi WetuOctober 8, 2019UPANDE wa utetezi kwenye kesi inayowakabili viongozi tisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), umeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kuwa mshtakiwa...
By Faki SosiOctober 7, 2019KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, Mwita Waitara ambaye ni Mbunge wa Ukonga pia Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Tamisemi, ameanza kupiga...
By Regina MkondeOctober 7, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo tarehe 7 Oktoba 2019, imekwama kuendelea na kesi ya uchochezi inayomkabili Zitto Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini...
By Faki SosiOctober 7, 2019JOTO la uchaguzi wa viongozi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), tayari Cecil Mwambe ambaye ni Mbunge wa Ndanda ameanza kumtingisha...
By Faki SosiOctober 7, 2019KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Vincent Mashinji amesema, ‘tayari tumemjibu msajili.’ Anaandika Regina Mkonde…(endelea). Amesema, chama hicho kimejibu...
By Regina MkondeOctober 7, 2019CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinaugulia maumivu baada ya mwenyekiti wake katika Mkoa wa Njombe, Edwin Swale kutimkia Chama Cha Mapinduzi (CCM)....
By Mwandishi WetuOctober 7, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga kuanza kusikiliza utetezi wa viongozi tisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), siku tano mfululizo kuanzia...
By Faki SosiOctober 6, 2019RAIS John Magufuli amewataka Watanzania kuwaombea mawaziri, akisema kwamba wanafanyakazi kwa mateso makubwa. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Rais Magufuli ametoa wito huo leo tarehe...
By Mwandishi WetuOctober 5, 2019DAKTARI Mwele Malecela, Mkurugenzi wa Vituo vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika vya Shirika la Afya Duniani (WHO), amesema ‘hatumiki’. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....
By Mwandishi WetuOctober 5, 2019RAIS John Magufuli amepuuza tuhuma zilizotolewa na Janeth Mbene, Mbunge wa Ileje kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) dhidi ya Haji Mnasi, Mkurugenzi Mtendaji...
By Mwandishi WetuOctober 5, 2019WAZAZI wenye watoto waliozaliwa na tatizo la mdomo wazi (Mdomo Sungura), wametakiwa kuwapeleka hospitali kwa ajili ya upasuaji. Anaripoti Hamis Mguta…(endelea). Akizungumza leo...
By Hamisi MgutaOctober 4, 2019HATUA ya Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kuchapa viboko wanafunzi 14 wa Shule ya Sekondari ya Kiwanja na kurudisha nyumbani wanafunzi...
By Mwandishi WetuOctober 4, 2019TAASISI ya Kinamama na Kinababa kwa Mageuzi ya Jamii (MPFCR), imewataka vijana kuacha matumizi ya mihadarati kutokana na madhara yake. Anaripoti Kamote Martin …...
By Kelvin MwaipunguOctober 4, 2019RAIS John Magufuli amewambia wananchi wa Kata ya Mahenge wilayani Mbozi, Songwe kwamba angekuwa mbunge wao, asingeruhusu kuwachangishwa. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Amewaambia wananchi hao...
By Mwandishi WetuOctober 4, 2019PASCHAL Haonga, Mbunge wa Mbozi (Chadema), amemweleza Rais John Magufuli namna matumizi ya fedha za mfuko wa jimbo zinavyofanya kazi katika kutekeleza shughuli...
By Mwandishi WetuOctober 4, 2019KITENDO cha Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kuingilia majukumu ya walimu wa Shule ya Sekondari Kiwanja, Chunya kwa kuchapa viboko vitatu...
By Mwandishi WetuOctober 4, 2019ALBERT Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya amewarudisha nyumbani wanafunzi wa kidato cha tano na sita wa Shule ya Sekondari Kiwanja, hadi tarehe...
By Mwandishi WetuOctober 4, 2019KOCHA mkuu wa klabu ya Simba Patrick Aussems na mshambuliaji wake, Miraji Athuman wameibuka vinara wa tuzo za mwezi Septemba za Ligi Kuu...
By Kelvin MwaipunguOctober 4, 2019SERIKALI ya Tanzania imeeleza kushangazwa na kauli ya Shirika la Afya Duniani (WHO) kwamba ilikugoma kutoa taarifa kuhusu kuwepo kwa ugonjwa wa Ebola. Anaripoti...
By Faki SosiOctober 3, 2019TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amekwenda Marekani na baadaye Ulaya. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Nchini Marekani, Lissu...
By Mwandishi WetuOctober 3, 2019MWALIMU wa shule ya msingi Chazungwa, wilayani Mpwapwa, Dodoma, Rose Mgulambwa amesema anashangazwa na Afisa Elimu Msingi, Mery Chakupewa kwa kumnyima uhamisho kwa...
By Danson KaijageOctober 3, 2019OFISI ya Msajili wa Jumuiya za Kijamii na Taasisi za Kidini, kufanya uhakiki wa taasisi na jumuiya hizo, zilizopo katika mikoa ya Kanda...
By Regina MkondeOctober 3, 2019ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo ameungana na serikali dhidi ya Dezydelius Mgoya (mkulima), aliyefungua kesi ya kikatiba kupinga ibara ya 40 (2)....
By Faki SosiOctober 2, 2019KULUTHUM Mansoor, aliyekuwa Mkurugenzi wa Mipango, Ufuatiliaji na Tathimini wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), amekiri kosa na kutaka yaishe. Anaripoti...
By Faki SosiOctober 2, 2019SIRI juu ya mauaji ya mwandishi wa habari wa kimataifa raia wa Saudia, Jamal Khashoggi, zimeanza kufichuka. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Taarifa kutoka...
By Mwandishi WetuOctober 2, 2019WAZEE mkoani Morogoro wameiomba Mamlaka ya maji safi na maji taka mkoa (MORUWASA) kuhakikisha huduma ya maji inafika kila eneo ili kuwasaidia wazee...
By Christina HauleOctober 1, 2019JESI la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeeleza kufanikiwa kuzima tukio la ujambazi, Mbezi Msakuzi, njia panda ya Mpiji Magoe. Anaripoti...
By Mwandishi WetuOctober 1, 2019MAKAMU wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan amewapongeza viongozi mbalimbali walioteuliwa na Rais John Magufuli, na kuwatahadharisha kwamba kazi ipo. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea)....
By Regina MkondeOctober 1, 2019MADEREVA wa vyombo vya moto vinaovamia barabara ya mabasi ya mwendakasi, hawatotozwa faini badala yake watapelekwa mahakamani. Anaripoti Martin Kamote…(endelea). Jeshi la Polisi, Kanda...
By Kelvin MwaipunguOctober 1, 2019ERICK Kabendera, mwandishi wa habari za uchunguzi, mtafiti na mshauri wa kimataifa wa masuala ya siasa, habari na uchumi, ameomba msamaha kwa Rais...
By Kelvin MwaipunguOctober 1, 2019HATUTAFUMBIA macho watu, taasisi na vyama vya siasa vitakavyokiuka sheria. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Kauli hiyo imetolewa leo tarehe 1 Oktoba 2019 na...
By Regina MkondeOctober 1, 2019RAIS John Magufuli amesaini sheria nne zilizopitishwa katika mkutano wa 16 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....
By Regina MkondeOctober 1, 2019RAIS John Magufuli, amemteua Wilson Charles kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Anaripoti Faki Sosi…(endelea). Charles amechukua nachukua nafasi ya...
By Faki SosiOctober 1, 2019