Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Chadema yalizwa Njombe
Habari Mchanganyiko

Chadema yalizwa Njombe

Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Njombe, Edwin Swale
Spread the love

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinaugulia maumivu baada ya mwenyekiti wake katika Mkoa wa Njombe, Edwin Swale kutimkia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Tukio la Swale kuhamia CCM limefanyika tarehe 6 Oktoba 2019, katika ofisi chama hicho Wilaya ya Njombe ambapo mwanachama huyo mpya amekabidhiwa kadi.

Wakati akitimkia CCM, Swale amedai kwamba amevutia na kazi zinazofanywa na Rais John Magufuli hivyo amwekenda CCM kuungana naye.

Mwanachama huyo mpya wa CCM, mwaka 2015 aliwahi kugombea ubunge katika Jimbo la Lupembe kupitia Chadema

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Puma Energy Tz: Watanzania tudumishe amani kuvutia uwekezaji

Spread the loveKAMPUNI ya Mafuta ya Puma Tanzania imewakutanisha wadau mbalimbali katika...

Habari Mchanganyiko

DAWASA waanza utekelezaji agizo la Samia

Spread the loveMamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam...

Habari MchanganyikoKimataifa

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the loveTUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa...

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

error: Content is protected !!