Saturday , 27 April 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za Siasa

JPM: Asante sana Dk. Shein

RAIS John Magufuli amemshukuru Dk. Ali Shein, Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), anayemaliza muda wake kwa ushirikiano aliompa katika utekelezaji wa...

Habari za Siasa

JPM apiga kijembe Chadema

RAIS John Magufuli na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), ‘amerusha dongo’ kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akisema, ‘kukimbia changamoto ni...

Habari za Siasa

Rais Magufuli: Uchaguzi utakuwa huru kwa vyama vyote lakini…

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amesema, Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 utafanyika kwa amani, huru na haki huku akionya yeyote atakayethubutu kuuvuruga...

Habari za SiasaTangulizi

Shule zote Tanzania kufunguliwa Juni 29

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli ameagiza shule zote nchini humo zifunguliwe tarehe 29 Juni 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea), Rais...

Habari za Siasa

Awamu ya Tano: Watumishi 32,555 ‘waisoma namba’

JUMLA ya watumishi 32,555 wamechukuliwa hatua mbalimbali za kinidhamu ikiwemo kufukuzwa kazi, kushushwa vyeo na kushushwa mishahara katika serikali inayoongozwa na Rais John...

Habari za Siasa

Zanzibar imepumua – Rais Magufuli

MIONGONI mwa mambo ambayo Rais John Magufuli anayojivunia katika uongozi wake wa miaka mitano, ni amani visiwani Zanzibar. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....

Habari za Siasa

Rais Magufuli: Tumefanikiwa

TANZANIA imetajwa kuwa nchi ya kwanza kwa utulivu na amani katika Ukanda wa Afrika Mashariki, pia imeshika nafasi ya saba katika nchi zilizo...

Habari za Siasa

Spika Ndugai: Rais amesaini miswada sita

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesaini miswada sita iliyopitishwa na Bunge la 11. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Miswada hiyo ni Muswada wa...

Habari za Siasa

Vigogo wamiminika bungeni, JPM kulifunga Bunge

RAIS wa Tanzania, John Magufuli leo Jumanne tarehe 16 Juni 2020 analihutubia Bunge la 11 na kulivunja jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea),...

Habari za Siasa

Rais Magufuli kuhitimisha Bunge leo

SAFARI ya Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyoanza siku 1670 zilizopita inahitimishwa leo Jumanne tarehe 16 Juni 2020. Anaripoti...

Habari za Siasa

Urais Chadema: Mbowe ‘kuwavaa’ Lissu, Nyalandu na Dk.Maryrose

FREEMAN Mbowe, amejitosa katika kinyang’anyiro cha kutia nia kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Demokarsia na Maendeleo (Chadema)....

Habari za Siasa

Majaliwa ahitimisha mkutano wa Bunge kwa kueleza mafanikio makubwa

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli katika kipindi cha miaka mitano...

Habari za Siasa

Idadi ya wapiga kura Tanzania waongezeka

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema idadi ya wananchi waliojiandikisha kupiga kura imeongezeka ambapo wapiga kura halali kwa mwaka 2020 ni 29,804,992 ikilinganishwa...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge Tanzania lafanya mabadiliko makubwa ya kanuni

BUNGE la Tanzania, limepitisha mabadiliko makubwa ya kanuni zake ambazo zitaanza kutumika katika Bunge la 12 ikiwemo kubadili jina la Kambi Rasmi ya...

Habari za Siasa

Wabunge watatu Chadema watimkia CCM

WABUNGE watatu wa Viti Maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wametangaza kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari za Siasa

Mbunge upinzani akimbilia CCM

REHEMA Migira, Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Wananchi (CUF), amekimbilia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi Wetu, Tabora…(endelea). Akitangaza kwenye sherehe ndogo...

Habari za SiasaTangulizi

Familia ya Karume Z’bar yataka kurudi Ikulu

FAMILI ya Sheikh Abeid Aman Karume, Rais wa Kwanza wa Zanzibar, inataka kurejea Ikulu ya Zanzibar. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea)....

Habari za Siasa

Mbunge Bwege atangaza kutimkia ACT-Wazalendo

SELEMAN Bungara maarufu ‘Bwege,’ Mbunge wa Kilwa Kusini kupitia Chama cha Wananchi (CUF) amesema, kuanzia kesho Jumanne Juni 16 2020 baada ya Bunge...

Habari za Siasa

Urais Z’bar: Mbwana afungua pazia CCM

MBWANA Bakari Juma amefungua pazia la uchukuaji wa fomu za kuomba kupitishwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwania Urais wa Zanzibar katika Uchaguzi...

Habari za Siasa

Bunge lapitisha bajeti, wapinzani wapiga kura ya ndio…

BUNGE la Tanzania, limepitisha Bajeti ya Serikali ya mwaka 2020/21 ya Sh.34.87 trilioni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Bajeti hiyo iliwasilishwa bungeni...

Habari za Siasa

Serikali ‘yagomea’ wapinzani bungeni

SERIKALI ya Tanzania imepingana na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, kuhusu kufeli kwa hatua za Mpango wa Pili wa Taifa wa Maendeleo wa...

Habari za Siasa

Bunge lakabidhi serikalini shule, Majaliwa awaonya wahadhiri

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, Serikali itaendelea kuchukua hatua kali kwa watu wote watakaothibitika kufanya vitendo vya kuwakatisha watoto wa kike ndoto...

Habari za SiasaTangulizi

Urais Chadema: Nyalandu kutekeleza mambo 26 akiwa Rais 

LAZARO Nyalandu, ametangaza kutia nia ya kugombea Urais wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) huku akibainisha vipaumbele 26...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto Kabwe, ‘azitoboa ’ Bajeti 5 za Rais Magufuli 

KIONGOZI wa chama cha siasa cha ACT- Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, amekosoa Bajeti kuu ya serikali na kusema, kila bajeti inapaswa kutafsiri maono,...

Habari za Siasa

Mch. Msigwa: Nina dhamira ya kweli ya urais

MCHUNGAJI Peter Msigwa, Mbunge wa Iringa Mjini ametangaza nia ya kuwania urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), na kwamba ana dhamira...

Habari za Siasa

Mbowe aruhusiwa kutoka hospitalini

FREEMAN Mbowe, Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni nchini Tanzania, ameruhusiwa kutoka Hospitali ya Aga Khani jijini Dar es Salaam alipokuwa amelazwa...

Habari za Siasa

Tukio la Mbowe, Chadema wapinga taarifa ya Polisi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limepinga taarifa ya Jeshi la Polisi kuhusu matokeo ya awali ya uchunguzi wa tukio la Freeman Mbowe,...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea: Siondoki Chadema, nitagombea tena Ubungo

SAED Kubenea, Mbunge wa Ubungo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema atagombea tena jimbo hilo kupitia chama hicho, katika Uchaguzi Mkuu...

Habari za Siasa

Wananchi walivyozungumzia miaka mitano Ubunge wa Kubenea

WADAU katika Jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam, wamezungumzia miaka mitano ya utumishi wa Saed Kubenea, mbunge wa jimbo hilo. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Kilichozungumzwa kati ya Magufuli na Rais mteule wa Burundi

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amezungumza kwa njia ya simu na Rais Mteule wa Jamhuri ya Burundi, Evariste Ndayishimiye na kumpongeza kwa...

Habari za Siasa

Chadema yapewa somo la wagombea uchaguzi mkuu 

CHAMA cha Demokrasia na Mwendeleo (Chadema) nchini Tanzania, kimepewa mbinu za ushindi kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Wabunge, Madiwani na Rais Oktoba 2020. Anaripoti...

Habari za Siasa

Dk. Lwaitama: Tunapita kipindi kigumu

MWANAZUONI Dk. Azaveli Lwaitama amesema, Taifa linapita katika kipindi kigumu kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, kutokana na wananchi wengi kukata tamaa ya...

Habari za Siasa

Msajili aipa siku saba ACT- Wazalendo ijieleze

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania, imekitaka Chama cha ACT-Wazalendo, kutoa maelezo ya ufafanuzi kuhusu mazungumzo yake na Ubalozi wa...

Habari za Siasa

Rais Magufuli ateta na Waziri Mkuu wa India, amwomba…

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amefanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya India, Narendra Modi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Habari MchanganyikoTangulizi

Polisi Tanzania yazungumzia tukio la Mbowe

JESHI la Polisi Tanzania, limetoa taarifa za uchunguzi wa awali wa tukio linalodaiwa kushambuliwa kwa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na...

Habari za Siasa

Wabunge CCM wajaa hofu kutemwa

BAADHI ya wabunge kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), wameingia hofu ya kutorudi bungeni, kutokana na muundo wa mchakato wa kuteuliwa ndani ya chama...

Habari za Siasa

Ratiba kugombea Urais Bara, Z’bar CCM yawekwa hadharani

CHAMA CHA Mapinduzi (CCM) kimetangaza ratiba ya mchakato wa kupata wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za Siasa

Kinyang’anyiro cha Urais Chadema: Nyalandu kumkabili Lissu

ALIYEKUWA mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu, ameanza kupata upinzani mkali katika mbio zake za kutaka kuwania urais, kupitia Chama cha Demokrasia...

Habari za Siasa

Mbunge CCM amkaribisha Waziri Mpango ulingoni, asema…

ALBERT Obama, Mbunge wa Buhigwe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kigoma, amemjibu Dk. Phillip Mpango, Waziri wa Fedha, kufuatia kauli yake...

Habari za Siasa

Mdee amvaa Dk. Mpango bungeni, Spika Ndugai amtetea

HALIMA Mdee, Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni katika Wizara ya Fedha na Mipango, amemvaa Dk. Phillip Mpango, Waziri wa wizara...

Habari za Siasa

Bunge la Tanzania lashauri TRA isikusanye mapato ya utalii 

KAMATI ya Bunge ya Bajeti imeishauri Serikali ya Tanzania kuacha utaratibu wa sasa wa ukusanyaji wa mapato yote yanayotokana na shughuli za utalii...

Habari za Siasa

Mbunge CCM azichongea halmashauri bungeni

GOODLUCK Mlinga, Mbunge wa Ulanga kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), amezichongea halmashauri bungeni, kwamba zina tatizo kubwa la matumizi mabaya na ubadhirifu wa...

Habari za Siasa

Waziri Mpango kugombea jimbo la Mbunge wa CCM

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango ametangaza ‘kiaina’ kuwania Ubunge wa Buhigwe mkoani Kigoma kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi...

Habari za Siasa

Mbowe apewa saa 72 za uangalizi

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), yuko chini ya uangalizi wa kawaida kwa siku tatu katika Hospitali ya Aga...

Habari za Siasa

Bajeti 2020/21: TRA kukusanya mapato ya utalii Tanzania

SERIKALI  ya Tanzania imependekeza mfumo wa ukusanyaji wa mapato yanayotokana na sekta ya utalii na mazao ya misitu nchini humo kufanywa na Mamlaka...

Habari za Siasa

Serikali kukusanya, kutumia Tril 34.88 bajeti 2020/21

SERIKALI ya Tanzania, inatarajia kukusanya na kutumia jumla ya Sh. 34.88 trilioni, katika Mwaka wa Fedha 2020/21. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam …...

Habari za Siasa

Bajeti 2020/21: ‘Blueprint’ kupangua ada, tozo 60 Tanzania

SERIKALI ya Tanzania imependekeza kufuta au kupunguza ada na tozo 60 zinazotozwa na wizara, idara na taasisi zinazojitegemea ili kuondoa kero na urasimu...

Habari za Siasa

Nchi Jumuiya Afrika Mashariki zakubaliana kupunguza tozo

NCHI zinazounda Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), zimependekeza viwango vipya na kuondoa tozo za ushuru wa pamoja wa forodha. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Hayo...

Habari za Siasa

Miradi mikubwa: Serikali ya JPM yatamba bungeni

SERIKALI ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais John Magufuli, imejigamba kutekeleza miradi mikubwa tangu iliopanza kuwatumikia wananchi mwaka 2015. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Kodi zilizofutwa, ongezwa Bajeti 2020/21 

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango amewasilisha Bungeni Bajeti ya Serikali ya Tanzania ya mwaka 2020/21 ya Sh. 34.87 Trilioni. Anaripoti...

error: Content is protected !!