WABUNGE watatu wa Viti Maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wametangaza kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).
Uamuzi huo wametangaza uamuzi huo ndani ya Bunge jijini Dodoma leo Jumatatu tarehe 15 Juni 2020.
Wabunge hao ni; Dk. Immaculate Semesi, Anna Gidarya na Lathifah Chande.
Endelea kufuatilia MwanaHALISI ONLINE & MwanaHALISI TV kwa habari zaidi
Parliament under Ndugai made a lousy House ever in history of Tanzania!!!