SERIKALI imetakiwa kuhakikisha magari ya viongozi wa umma wakiwemo mawaziri, yanabadilishwa mfumo wa matumizi ya mafuta kwenda gesi ili kubana matumizi. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amesema licha ya Tanzania kuongeza jitihada za kuongeza ushiriki wa wanawake katika vyombo vya maamuzi, bado kuna ombwe...
By Regina MkondeMarch 15, 2024Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Stephen Byabato ametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2024CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimemhoji maswali nane Rais Dk. Hussein Mwinyi, kikimtaka atoke hadharani ayajibu, kuhusu madai yao ya kutaka kujiondoa katika Serikali ya...
By Regina MkondeMarch 15, 2024Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko leo Alhamisi amezindua mradi mkubwa wa umeme jua utakaozalisha megawati 150 katika Kijiji...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2024MKUU wa Mkoa mpya wa Songwe, Daniel Chongolo, amekabidhiwa jukumu la kudhibiti uhalifu wa kiuchumi unaotokea ndani ya mkoa huo hususan mpaka...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassana, amesema Serikali yake inakwenda kupunguza kukopa fedha kwa ajili ya utekelezaji huduma za kijamii kwa wananchi, kwa...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameonesha kutoridhishwa na baadhi ya wakuu wa mikoa na wilaya ambao wanashindwa kutatua changamoto za wananchi zilizokuwa...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2024WAKATI Chama cha ACT-Wazalendo kikitangaza nia ya kujiondoa kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa – Zanzibar (SUK), Rais Mstaafu wa Zanzibar Amani Abeid...
By Faki SosiMarch 12, 2024Tanzania na Pakistan zimeahidi kuendelea kushirikiana kuimarisha zaidi sekta za biashara na uwekezaji kwa maslahi ya pande zote mbili. Anaripoti Mwandishi Wetu …...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amekataa ombi la Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kurejea katika chama...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024SAKATA la mzabuni Maarifa Nampela aliyetoa vifaa kukarabati Hospitali ya wilaya ya Liwale na kisha kudhulumiwa malipo yake ya Sh 25 milioni, limechukua...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi kesho inatarajia kutoa uamuzi wa kukubali ama kuyakataa maombi ya Freeman Mbowe ya kutaka waandishi wa habari wanaodai...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024VIONGOZI wa vyama vya siasa vya upinzani nchini, wamelaani kitendo cha kiongozi wa chama kikuu cha upinzani Burundi cha National Pour la Liberty...
By Regina MkondeMarch 12, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na kuwahamisha viongozi 12, ikiwa ni siku chache tangu alivyofanya mabadiliko ya baadhi ya viongozi wa...
By Regina MkondeMarch 12, 2024KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika amesema kupungua kwa idadi ya wapiga kura katika uchaguzi kumetokana na watu...
By Faki SosiMarch 11, 2024Chama kikuu cha upinzani nchini Burundi kimekumbwa na mgawanyiko baada ya jana Jumapili kusema kuwa limemuondoa madarakani kiongozi wa chama hicho Agathon Rwasa...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2024MWENYEKITI wa Chama cha UDP, Mzee John Cheyo, amewaasa vijana wenye nia ya kuingia katika siasa kwa ajili ya kutafuta pesa, wasifanye hivyo...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2024MADUDU yaliyojitokeza katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na Uchaguzi Mkuu wa 2020, bado yanaendelea kuwatesa wanasiasa wa vyama vya upinzani,...
By Regina MkondeMarch 11, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemuondoa aliyekuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (UDART), Gilliard Wilson Ngewe na kumteua Waziri Kindamba, kuiongoza...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi amefanya uteuzi na kuwahamisha vituo wakuu wa mikoa na kuwaacha kando watatu. Anaripoti Mwandishi Wetu …...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na kuwahamisha vituo wakuu wa mikoa na wilaya, wakurugenzi pamoja na makatibu tawala. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeMarch 9, 2024Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM, Daniel Godfrey Chongolo kuwa mkuu wa mkoa wa Songwe. Chongolo amechukua nafasi ya...
By Gabriel MushiMarch 9, 2024MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Taifa(CHADEMA), Freeman Mbowe ameagiza uongozi wa chama hicho kuanzia ngazi ya taifa hadi shina kupitia mabaraza...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2024CHAMA cha ACT Wazalendo kimetangaza nia ya kujitoa kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam …...
By Faki SosiMarch 8, 2024MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe amekimbilia Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi kuinusuru nyumba iliyokamatwa kwa amri ya mahakama ili kulipa Sh 62.7 milioni...
By Mwandishi WetuMarch 7, 2024CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza kufanya maandamano katika makao makuu ya mikoa nchi nzima, hadi pale Serikali itakapotekeleza madai Yao ya...
By Mwandishi WetuMarch 6, 2024RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi amesema baba yake hayati Ali Hassan Mwinyi, hakuacha wosia kwamba akifa azikwe Mkuranga mkoani Pwani na kwamba...
By Mwandishi WetuMarch 5, 2024KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amesema kuna shuthuma nyingi zinaelekezwa kwake, lakini ameamua kukaa kimya kwa...
By Mwandishi WetuMarch 5, 2024MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amezishauri halmashauri zianzishe leseni maalum zitakazoruhusu wenye baa kufanya kazi usiku kucha ili kujiongezea...
By Regina MkondeMarch 5, 2024KATIBU wa Itadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amedai ziara yake aliyoifanya hivi karibuni katika mikoa kadhaa, imebainisha...
By Mwandishi WetuMarch 5, 2024BAADHI ya viongozi wa halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam, wamedai hatua ya aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dk....
By Mwandishi WetuMarch 5, 2024WATENDAJI wa Halmahauri ya Msalala, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuwa waadilifu na kutenda haki kwa wananchi wote wanaowahudumia, ili kujenga imani...
By Mwandishi WetuMarch 4, 2024BAADA ya kuibuka tetesi za kwamba Mwenyekiti anayemaliza muda wake wa Chama cha ACT-Wazalendo Taifa, Babu Juma Duni Haji, anashinikizwa asitetee tena kiti...
By Regina MkondeMarch 4, 2024Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, Tundu Lissu amesema aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Tanzania, Hayati Mzee...
By Regina MkondeMarch 4, 2024KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo anayemaliza muda wake, Zitto Kabwe amesema hofu ndizo zinazowafanya baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani...
By Mwandishi WetuMarch 4, 2024Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amejumuika na wananchi, viongozi mbalimbali wa Kitaifa akiongozwa na Rais...
By Mwandishi WetuMarch 2, 2024Mtoto wa Hayati mzee Mwinyi, Abdullah Ali Hassan Mwinyi ameshindwa kujizuia na kumwaga machozi mbele ya waombolezaji wakati akitoa shukrani katika uwanja wa...
By Gabriel MushiMarch 2, 2024Mtoto wa Hayati Ali Hassan Mwinyi, Abdullah Ali Hassan Mwinyi amesema baba yao alikuwa mwanademokrasia wa kweli lakini pia hakuwa akitishika na mawazo...
By Gabriel MushiMarch 2, 2024Rais Samia Suluhu hassan amesema Hayati rais mstaafu, Ali Hassan Mwinyi alikuwa ni maktaba inayotembea na iliyosheheni vitabu vyenye mafunzo ya uadilifu, uzalendo,...
By Mwandishi WetuMarch 2, 2024Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limeeleza kupokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Rais mstaafu wa Awamu ya Pili wa Tanzania, Ali Hassan...
By Mwandishi WetuMarch 1, 2024RAIS Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema atamkumbuka na kumshukuru Hayati Ali Hassan Mwinyi kwakuwa ndiye aliyemuanzishia safari yake ya kisiasa...
By Gabriel MushiMarch 1, 2024RAIS Mstaafu Jakaya Kikwete amesema atamkumbuka Hayati Ali Hassan Mwinyi kwa kuwa kiongozi msikivu na mwenye maamuzi magumu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....
By Gabriel MushiMarch 1, 2024WAZIRI Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba, amesema Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi, aliikuta nchi katika kipindi kigumu cha kiuchumi na kisiasa, lakini alifanikiwa...
By Regina MkondeMarch 1, 2024MAKAMU wa Rais, Dk. Phillip Mpango, amesema Hayati Ali Hassan Mwinyi, alikuwa na karama ya uongozi na kwamba viongozi vijana wanapaswa kuiga mfano...
By Regina MkondeMarch 1, 2024MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia, Freeman Mbowe amesema huwezi kuliacha jina la Ally Hassan Mwinyi unapotaja mageuzi nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....
By Mwandishi WetuMarch 1, 2024MCHANGO wa viongozi wa dini katika kuwashauri na kuwasimamia viongozi wa Serikali na kisiasa, ndiyo unaofanya nchi itawalike kwa amani. Anaripoti Mwandishi Wetuy,...
By Gabriel MushiMarch 1, 2024RAIS Mstaafu, Dk. Jakaya Kikwete, amesema amepokea kwa mshtuko kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, kwa kuwa alikuwa...
By Regina MkondeMarch 1, 2024SERIKALI imekiita mezani Chama cha Wenye Hospitali Binafsi (APHFTA), ili kutafuta suluhu ya mvutano wao kuhusu matumizi ya kitita kipya cha gharama za...
By Regina MkondeMarch 1, 2024VYAMA vya siasa nchini Tanzania, vimetuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi, kilichotokea tarehe 29 Februari 2024, akipatiwa...
By Mwandishi WetuMarch 1, 2024