WAJUMBE wa mkutano mkuu wa jimbo la Vunjo Mkoa wa Kilimanjaro wamempendekeza, mbunge wa viti maalum (Chadema), Grace Kiwelu kupeperusha bendera ya ubunge...
By Mwandishi WetuJuly 15, 2020KATIBU Mkuu wa Wizara ya Maji, Profesa Kitila Mkumbo amechukua fomu ya kuomba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimpitishe kuwania ubunge Ubungo jijini Dar...
By Mwandishi WetuJuly 15, 2020KATIBU mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John John Myika, “ameutema rasmi” ubunge wake, katika jimbo la Kibamba jijini Dar es...
By Hamisi MgutaJuly 14, 2020WAKATI Timu ya Maalim Seif Sharif Hamad ‘ikishangilia’ uteuzi wa Dk. Hussein Mwinyi, kuwania urais Zanzibar, mwenye amesema ‘atateleza.’ Anaripoti Regina Mgonde, Dar es...
By Regina MkondeJuly 14, 2020MAALIM Seif Sharif Hamad, Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, visa vinavyofanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ni sawa na ‘kumpiga teke...
By Mwandishi WetuJuly 14, 2020MAKADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jimbo la Moshi Mjini wamefurika kwenye ofisi ya chama hicho wilaya kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa kugombea...
By Mwandishi WetuJuly 14, 2020KURA za maoni ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Jimbo la Ubungo, zimeacha mpasuko. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Baadhi...
By Regina MkondeJuly 14, 2020ALIYEKUWA mbunge wa Momba kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), DAVID Silinde amechukua fomu ya kugombea ubunge Tunduma Mkoa wa Songwe kupitia...
By Mwandishi WetuJuly 14, 2020TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imehamia rasmi katika ofisi zake mpya zilizopo Njedengwa jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea) Kuhamia...
By Mwandishi WetuJuly 14, 2020MHADHIRI wa Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM), Dk James Jesse amechukua fomu kuwania ubunge jimbo la Segerea kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)....
By Mwandishi WetuJuly 14, 2020ZITTO Kabwe, Kiongozi Chama cha ACT-Wazalendo, amewataka wananchi kutoipa kura CCM kwa kuwa, imeshindwa kutimiza ahadi zake za mwaka 2015. Anaripoti Faki Sosi,...
By Faki SosiJuly 14, 2020MWANDISHI wa habari nchini Tanzania, Tumain Msowoya amechukua fomu ya kuwania ubunge viti maalum kupitia Umoja wa Wanawake Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi...
By Mwandishi WetuJuly 14, 2020FREDRICK, mtoto wa waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amechukua fomu ya kugombea ubunge Monduli, mkoani Arusha kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika...
By Mwandishi WetuJuly 14, 2020MRISHO Gambo, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, amechukua fomu kuwania Ubunge Arusha Mjini ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuJuly 14, 2020GODBLESS Lema, Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini na Mbunge wa Arusha Mjini anayemaliza muda wake, amesema sheria ingeruhusu, angetaka wagombea wote wa CCM...
By Mwandishi WetuJuly 14, 2020WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM), kikiwakumbatia waandishi wa habari, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Pwani kinawapuuza. Anaandika Mwandishi Wetu…(endelea). Jana Jumatatu...
By Mwandishi WetuJuly 14, 2020MAKADA zaidi ya 10 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwemo Askofu Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, wamechukua fomu ya kuomba...
By Faki SosiJuly 14, 2020AGNESTA Lambert, Mratibu wa Uhamasishaji wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha) ameshinda kura za maoni za mgombea ubunge...
By Hamisi MgutaJuly 14, 2020SHIRIKISHO la mpira wa miguu barani ulaya (UEFA) imeifungulia klabu ya Manchester city kutoka kwenye kifungo cha kutoshiriki michuano ya klabu bingwa barani...
By Kelvin MwaipunguJuly 13, 2020CHAMA cha Demokraia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Pwani kimesema, ni zamu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kudondosha chozi. Anaripoti Hamisi Mguta, Dar...
By Hamisi MgutaJuly 13, 2020SUSAN Lyimo, Mbunge Viti Maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ameshinda kura za maoni za kuwania kupitishwa kugombea Ubunge Kinondoni jijini...
By Mwandishi WetuJuly 13, 2020KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humprey Polepole ameitaka mikutano ya majimbo na wilaya ya kura za maoni ya...
By Mwandishi WetuJuly 13, 2020CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania kimesema, mwanachama wa chama hicho anayetaka kuwania udiwani, ubunge au uwakilishi katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 2020 asilazimishwe...
By Mwandishi WetuJuly 13, 2020VIONGOZI wa dini mkoani Iringa wameombwa kuiombea timu ya Lipuli FC ili isiweze kushuka daraja, katika kipindi cha siku 14 ambapo timu hiyo...
By Mwandishi WetuJuly 13, 2020WANACHAMA wanne wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamejitosa katika kinyang’anyiro cha kugombea Ubunge Kinondoni jijini Dar es Salaam katika Uchaguzi Mkuu...
By Regina MkondeJuly 13, 2020JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limetoa pongezi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuruhusu kurushwa moja kwa moja (live) kwenye vyombo vya habari,...
By Kelvin MwaipunguJuly 13, 2020WAGONJWA milioni 7.58 waliokuwa wameambukizwa virusi vya corona (COVID-19) duniani wamepona. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kwa mujibu wa mtandao wa Worldometer, hadi kufikia leo...
By Mwandishi WetuJuly 13, 2020CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeeleza ‘kufurahishwa’ na wepesi uliofanya na Chama Cha Mapinduzi (CCM), ngazi ya urais Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Akizungumza na MwanaHALISI...
By Mwandishi WetuJuly 13, 2020SHEIKH Ponda Issa Ponda, Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini, amekamatwa na polisi. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam…(endelea). Tukio la kukamatwa...
By Faki SosiJuly 13, 2020SASA ni dhahiri kuwa Bernard Kamilius Membe, waziri wa zamani wa mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa nchini Tanzania, yuko mbioni kujiunga...
By Mwandishi WetuJuly 12, 2020ATIMAYE Donald Trump, Rais wa Marekani amevaa barakoa hadharani tangu janga la corona (COVID-19) liteke Marekani. Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea). Trump ameonekana akiwa...
By Mwandishi WetuJuly 12, 2020SUSAN Lymo, aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ni miongoni mwa wanasiasa wanaonyatia Jimbo la Kinondoni. Anaripoti...
By Kelvin MwaipunguJuly 12, 2020RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemteua Dk. Maduhu Isaac Kazi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania...
By Mwandishi WetuJuly 12, 2020RAIS John Pombe Magufuli, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ametuma salamu kwa vyama vya siasa vya upinzani, kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba...
By Mwandishi WetuJuly 11, 2020RAIS John Pombe Magufuli, ameonesha kukerwa na tabia ya baadhi ya watoto wa viongozi wa ngazi za juu ‘wakubwa’ wanaojikweza kutokana na nyazifa...
By Mwandishi WetuJuly 11, 2020RAIS John Pombe Magufuli amemchagua Samia Suluhu Hassan, kuwa mgombea mweza katika Uchaguzi wa Urais wa Tanzania, Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea)....
By Mwandishi WetuJuly 11, 2020MKUTANO Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), umepitisha marekebisho ya katiba ya chama hicho, ili iendane na Sheria mpya ya vyama vya siasa,...
By Regina MkondeJuly 11, 2020Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kilimanjaro imemhoji Mbunge wa Same Magharibi (CCM), Dk.Mathayo David Mathayo kwa tuhuma za...
By Mwandishi WetuJuly 11, 2020ABDULRAHMAN Kinana, Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amewataka wanachama wa chama hicho, kushikamana katika kumtafutia kura za ushindi Rais John...
By Mwandishi WetuJuly 11, 2020WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamemthibitisha Dk. John Pombe Magufuli kuwa mgombea Urais wa Tanzania kwa asilimia 100 katika...
By Regina MkondeJuly 11, 2020DAKTARI Hussein Ali Mwinyi, Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Uchaguzi Mkuu wa Rais wa Zanzibar, Oktoba 2020, ameahidi kufuata nyayo...
By Mwandishi WetuJuly 11, 2020ALI Hassan Mwinyi, Rais mstaafu wa awamu ya pili, ameshauri matumizi ya Katiba ya Tanzania yasitishwe kwa muda ili kumpa nafasi Rais John...
By Regina MkondeJuly 11, 2020EDWARD Lowassa, Waziri Mkuu wa zamani, amemtaka Rais John Pombe Magufuli aendelee kufinya katika uongozi wake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Lowassa ametoa kauli...
By Mwandishi WetuJuly 11, 2020PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amemuomba Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, ahakikishe mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba...
By Mwandishi WetuJuly 11, 2020WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania, imewaagiza wathibiti ubora wa shule kuhakikikisha shule zote za msingi na sekondari zinakuwa na kamati...
By Mwandishi WetuJuly 11, 2020MKUTANO Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania umeanza leo Jumamosi tarehe 11 Julai 2020 ukiwa na agenda mbalimbali ikiwemo kuwathibitisha wagombea...
By Mwandishi WetuJuly 11, 2020WAJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), leo Ijumaa tarehe 10 Julai 2020, wameonesha kwa kiwango kikubwa jinsi wanavyomuamini Dk. Hussein...
By Mwandishi WetuJuly 10, 2020MALALAMIKO ya wanasiasa wa upinzani wanaohamia Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwazidi kete ‘wazawa’ katika fursa za uteuzi, yameibuliwa katika Mkutano wa Halmashauri Kuu...
By Mwandishi WetuJuly 10, 2020KAZI ya kuutafuta ushindi kwenye uchaguzi mkuu visiwani Zanzibar ni ngumu. Anaripoti Hamis Mguta … (endelea). Hiyo ni kauli ya Dk. Hussein Mwinyi, mgombea...
By Hamisi MgutaJuly 10, 2020HALMASHAURI Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), imeridhia uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho kumfukuza uanachama Bernard Membe. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuJuly 10, 2020