Thursday , 28 March 2024
Home Gazeti Tangulizi Magufuli athibitishwa kwa asilimia 100 kugombea urais Tanzania
Tangulizi

Magufuli athibitishwa kwa asilimia 100 kugombea urais Tanzania

Spread the love

WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamemthibitisha Dk. John Pombe Magufuli kuwa mgombea Urais wa Tanzania kwa asilimia 100 katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea).

Shughuli hiyo ya upigaji kura imefanyika leo Jumamosi tarehe 11 Julai 2020 jijini Dodoma.

Akitangaza matokeo hayo, Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema, wajumbe wa mkutano huo ni 1822 na waliopiga kura walikuwa 1822.

Spika Ndugai amesema, hakuna kura hata moja iliyoharibika.

Amesema, kura halali zilikuwa 1822, “kura halali ni 1822. Kura za ndiyo ni 1822 ambayo ni sawa na asilimia 100 ya kura zote. Hakuna kura ya hapana.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

Habari za SiasaTangulizi

CAG aibua madudu halmashauri 10, TANESCO na MSD

Spread the loveRIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...

error: Content is protected !!