Categorizing posts based on content
Afisa Mkuu wa masuala ya fedha (CFO) kutoka Kampuni ya AngloGold Ashanti inayomiliki Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), Gillian Doran wiki...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2024MERIDIANBET wameendelea kurejesha kwenye jamii kama ilivyo kawaida yao huku leo hii siku ya Jumamosi wamerudi tena Mbagala Rangi 3 kwaajili ya kugawa...
By Mwandishi WetuJanuary 27, 2024NDUGU mteja unajua kuwa sehemu sahihi ya wewe kupiga mkwanja ni moja tuu?. Basi mimi nataka kukujuza kuwa Meridianbet ndio wanaweza kukupatia mkwanja...
By Masalu ErastoJanuary 26, 2024HADITHI za kale zina mafundisho mengi sana ndani yake, baadhi ya tungo hizo zilikuwa na lengo la kubadili mitazamo ya watu na...
By Mwandishi WetuJanuary 26, 2024Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe, Nelson Chamisa ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na uanachama wa Chama cha Citizens Coalition for Change...
By Mwandishi WetuJanuary 26, 2024ULIMWENGU huu wenye matajiri wengi bado kuna watu wanatanua na kula maisha kwa namna tofauti. Huko nchini Australia kuna mfanyabiashara mmoja na...
By Mwandishi WetuJanuary 25, 2024WAKATI dunia ikijumuika pamoja kusherehekea Siku ya Kimataifa ya Nishati Safi Serengeti Breweries Limited (SBL), sehemu ya makampuni ya Diageo, inajivunia kuwa...
By Mwandishi WetuJanuary 25, 2024UNAAMBIWA bahari imebeba viumbe vingi vya ajabu, samaki, majini na madini, lakini pia rasilimali zenye utajiri mkubwa kama mafuta na gesi kwa...
By Mwandishi WetuJanuary 24, 2024KAMPUNI ya Vodacom Tanzania katika mwendelezo wake wa kuwajali wateja na watu wenye ulemavu, imezindua dawati maalum la huduma kwa wateja litakalohudumia...
By Mwandishi WetuJanuary 23, 2024ANAITWA Robyn Ronald Fenty wengi wanamfahamu kwa jina lake la kisanii Rihanna alizaliwa tarehe 20 Februari 1988, huko Saint Michael, Barbados. Ni...
By Mwandishi WetuJanuary 23, 2024Wajasiriamali wanawake mkoani Morogoro wamewaomba wadau wa ukuzaji wa biashara kutoishia mijini badala yake wafike pia vijijini kutoa elimu na usaidizi wa ukuzaji...
By Mwandishi WetuJanuary 23, 2024MECHO za AFCON zinaendelea hii leo kama kawaida na sisi kama meridianbet tunasema hivi ushindi ni muhimu kwa kila mtu hivyo weka...
By Masalu ErastoJanuary 22, 2024KAMA mdhamini rasmi wa Kombe la (AFCON) Afrika nchini Côte d’Ivoire, kampuni ya teknolojia , TECNO iliandaa mechi ya hisani iliyojaa nyota...
By Mwandishi WetuJanuary 22, 2024MMOJA wa wakulima katika Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, Machite Mgulambwa ameiomba serikali kupunguza masharti ya upatikanaji wa vibali vya kuuza mazao nje...
By Mwandishi WetuJanuary 22, 2024JUICY Fruits Multihold ni mchezo wa kasino ya mtandaoni kutoka kwa wataalamu ‘Pragmatic Play‘. Mchezo huu wa sloti, utakutana na alama za...
By Mwandishi WetuJanuary 22, 2024IKIWA leo hii ni siku nyingine kabisa, Jumapili ya maokoto basi mimi nakwambia chimbo lipo moja tuu, nalo ni meridianbet ambapo huku unaweza...
By Mwandishi WetuJanuary 21, 2024JUMAMOSI ya leo kampuni kubwa ya ubashiri Tanzania Meridianbet wamewatembelea waathirika wa dawa za kulevya Kigamboni MRC ( Muungano Recovery Community) licha ya kuwa...
By Mwandishi WetuJanuary 20, 2024MERIDIANBET wanakwambia hivi wikendi imeshafika hivyo usisubiri kuhadithiwa jinsi ambavyo wenzako wananufaika kwa kubashiri nao, ingia na wewe sasa uanze kusuka mkeka...
By Mwandishi WetuJanuary 19, 2024THE Money Men Megaways ni sloti iliyotengenezwa na Pragmatic Play. Mchezo huu wa kasino ya mtandaoni una bonasi nyingi, ili upate unatakiwa...
By Mwandishi WetuJanuary 19, 2024Jumla ya wateja 1,071 kutoka benki ya NMB wamepata zawadi mbalimbali ikiwemo fedha taslimu kufuatia benki hiyo kutenga zaidi ya Sh350 milioni kupitia...
By Mwandishi WetuJanuary 19, 2024Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Jamila Yusuf ameziagiza mamlaka za afya na maji kushirikiana ili kuainisha idadi ya visima vilivyopo ndani ya wilaya...
By Mwandishi WetuJanuary 19, 2024BENKI ya NMB imeanzisha kampeni kubwa ya kuhamasisha na kuwawezesha watu wengi kufungua akaunti ili waweze kunufaika na faida za kuwa sehemu ya...
By Mwandishi WetuJanuary 18, 2024KAMA kawaida mechi za AFCON zinaendelea hii leo kwenye mechi za raundi ya pili zikiwa zote zinapambanaia kupata ushindi, na wewe kama...
By Mwandishi WetuJanuary 18, 2024WAKATI unawaza kutembelea sehemu mbalimbali duniani kama vile kwenda Vakesheni Dubai, Uturuki na Paris kwenye Jiji la bata, nakupa chaka jingine ambalo...
By Mwandishi WetuJanuary 18, 2024MASHINDANO ya Mataifa ya Afrika AFCON yamenoga huko nchini Ivory Coast, leo Tanzania itasimama kushuhudia wajukuu wa Nyerere wakiwa kwenye dimba lenye...
By Mwandishi WetuJanuary 17, 2024Wizara ya Afya imefuta matokeo yote ya mtihani wa usajili na leseni wa wauguzi na wakunga kwa watahiniwa 1,330 wa Stashahada baada ya...
By Mwandishi WetuJanuary 16, 2024Wazazi wameaswa kufuatilia michezo ya watoto kwa karibu zaidi na kuwazuia kuweka vitu mdomoni, puani pamoja na maskioni ili kuwaepusha na madhara mbalimbali...
By Mwandishi WetuJanuary 16, 2024CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimeanza kutoa mafunzo kwa wahudumu wa kwenye mabasi ya abiria ili kuifanya kazi hiyo kuheshimika kama zilivyo...
By Kelvin MwaipunguJanuary 16, 2024IKIWA leo ni Jumatatu nzuri kabisa, au “Blue Monday” kama ambavyo watu wengi hupenda kuita hivyo na michuano mikubwa Barani Afrika AFCON...
By Mwandishi WetuJanuary 15, 2024MICHUANO ya mataifa ya Afrika yanayofahamika kamaAFCON kwa mwaka huu 2024 inaendelea tena leo namichezo kadhaa itakwenda kupigwa katika viwanja tofautitofauti. Baada ya sherehe...
By Mwandishi WetuJanuary 14, 2024NI Jumapili tulivu kabisa ambapo ukikaa na kutulia leo hii unaweza kuondoka na kitita cha mpunga wa maana kwani ligi mbalimbali Duniani leo...
By Mwandishi WetuJanuary 14, 2024Shirika la Bima la Zanzibar (ZIC) limezindua mpango wake mpya wa kubadili muonekano na taswira yake kijamii na kibiashara hatua ambayo inalenga kuakisi...
By Mwandishi WetuJanuary 14, 2024MICHUANO mikubwa ya soka ya mataifa ya Afrikayanayofahamika kama AFCON yataanza rasmi leo katikaardhi ya Ivory Coast ambao ndio haswa wenyeji wamichuano hiyo...
By Mwandishi WetuJanuary 13, 2024NDUGU mteja mechi mbalimbali Barani Ulaya zinaendelea hii leo, na wewe kama mteja wetu tunakuthamini sana kwa kuwa tayari tumeshakuwekea kile ambacho wewe...
By Mwandishi WetuJanuary 13, 2024JINA Kylian Mbappe sio geni kwa mwanasoka kindakindaki yani yule ambbae anapenda mpira sana. Mchezaji huyo alivuti wengi na anazidi kuvutia hasa...
By Mwandishi WetuJanuary 12, 2024MSHAMBULIAJI wa klabu ya Manchester City EarlingBraundt Haaland ambaye amekua mshambuliaji tishio zaididuniani kwasasa kutokana na uhodari wake wa kupachikamabao. Earling Haaland anazungumzwa...
By Mwandishi WetuJanuary 12, 2024KILA mtu amekuwa akiwa kupambana na maisha, vijanawengi wanawake kwa wanaume wako busy na harakati zamjini, kuna wengine ni wazee wa mishemishe yote...
By Mwandishi WetuJanuary 11, 2024Mkuu wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema mikusanyiko ya sikukuu za mwisho wa mwaka imesababisha kasi...
By Mwandishi WetuJanuary 11, 2024MIAMBA ya soka kutoka nchini Hispania ambao nimahasimu wakubwa katika soka la Hispania vilabu vya Real Madrid na Atletico Madrid leo watashuka dimbani kumenyana...
By Mwandishi WetuJanuary 10, 2024HUU ni mwaka wa hela tu ukiwa na Meridianbet basi umechagua kushinda kila siku, Cheza Kasino ya Mtandaoni bila hofu yeyote ya...
By Mwandishi WetuJanuary 10, 2024KLABU ya Chelsea chini ya kocha Mauricio Pochettinowanaonekana kama wameanza kujipata kutokana namatokeo yao ambayo wameanza kuyapata katika michezoyao ya hivi karibuni. Msimu...
By Mwandishi WetuJanuary 9, 2024NASIKIA kuna watu wamepagawa sana na mchezo wa AVIATOR yani huwaambii kitu, lakini kuna michezo mingi sana ya kupiga hela kirahisi kama...
By Mwandishi WetuJanuary 9, 2024HATIMAYE wale wapenzi wa kucheza magemu huu utawafaa, ni mchezo mzuri sana wa kasino ya mtandaoni una mandahari mazuri na wakati unaucheza...
By Mwandishi WetuJanuary 8, 2024Waziri wa Afya nchini Kenya, Wafula Nakhumicha amesema Serikali ya Kenya imeomba msaada kutoka Tanzania ili kukabiliana na uhaba wa dawa za Kifua...
By Mwandishi WetuJanuary 8, 2024MTEJA wa meridianbet kama ilivyo ada kutusua mkwanja ni jambo la lazima sana kama utachagua sehemu sahihi ya kuwekeza mkwanja wako wa meridianbet...
By Mwandishi WetuJanuary 7, 2024BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA), leo tarehe 7 Januari 2024, limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha pili na darasa la nne wa...
By Regina MkondeJanuary 7, 2024JUMAMOSI ya leo michuano ya kombe la FA itaendeleakupigwa nchini Uingereza na michezo mbalimbali itapigwakatika viwanja mbalimbali na kutoa fursa kwa wateja waMeridianbet kuweza...
By Mwandishi WetuJanuary 6, 2024Wizara ya sheria ya Afrika Kusini inatarajia kufungua tena jalada la uchunguzi wa mauaji ya wanaharakati wanne wapinga ubaguzi moja tukio baya ambalo...
By Mwandishi WetuJanuary 6, 2024MECHI za FA Cup nchini Uingereza kupitia meridianbet zimekupanga kukuacha ukiwa unajibweda na maokoto ya maana ukibashiri nao wakati huu kwani huku wamekuwekea...
By Mwandishi WetuJanuary 5, 2024Serikali ya Zambia imetangaza kuahirisha kuanza kwa muhula mpya ya masomo kwa wiki tatu zaidi kutokana mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu ambao umeshaua...
By Mwandishi WetuJanuary 5, 2024