Friday , 26 April 2024
Home danson
968 Articles60 Comments
Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mawio yamponza Mwendesha Mashtaka

KWA mara nyingine Mahakama imehoji sababu ya Mwendesha Mashtaka wa Serikali kutoa kauli nyepesi za kushawishi kutoendelea kwa kesi ya tuhuma za uchochezi...

Habari za Siasa

Mabalozi nao kuhamishiwa Dodoma

JUMLA ya Mabalozi 63 wameshakabidhiwa maeneo ya kujenga ofisi zao Katika Jiji la Dodoma lakini Ubalozi wa Zambia tayari umeshaanza mchakato huo kwa...

Habari Mchanganyiko

Makao Makuu ya Mahakama Dodoma yaiva

JAJI Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma amezindua zoezi la upandaji miti katika kiwanja ambacho itajengwa Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania mkoani...

Habari za Siasa

Waliokula Bil 1.5 kukiona cha moto

RAIS John Magufuli ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha vinawachukulia hatua kali watu wote waliohusika katika kufanya ubadhilifu wa zaidi ya Sh....

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli atangaza Dodoma kuwa jiji

RAIS John Magufuli jana katika sherehe za Muungano, ametumia sherehe hizo kutangaza Dodoma kuwa jiji badala ya kuwa Manispaa na kumtangaza aliyekuwa Mkurugenzi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wadau, wawekezaji watakiwa kutoilalamikia Serikali

SERIKALI imewataka wawekezadi na wadau mbalimbali kuachana na tabia ya kulalamika serikali na badala yake watoe ushauri kwa serikali ni jinsi gani ya...

Habari Mchanganyiko

TCAA watakiwa kufuata kanuni za kazi

SERIKALI aimeitaka Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) kufanya kazi kwa kuzingatia kanuni na sheria za nchi katika utendaji wake wa kazi. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mbunge wa CCM aikaba serikali

MBUNGE wa Chemba, Juma Nkamia (CCM) ameihoji serikali na kutaka ieleze ni lini itaana ujenzi wa kituo cha polisi na nyumba za askari....

AfyaTangulizi

Vifaa tiba visivyofaa vyakamatwa mitaani

SERIKALI imesema kuwa imefanikiwa kukamata vifaa mbalimbali ambavyo ni dawa na vifaa tiba ambavyo havifai kwa matumizi ya binadamu, katika vituo vya tiba...

Habari za SiasaTangulizi

Mch. Msigwa ayamwaga bungeni aliyoyaona Segerea

MBUNGE wa Iringa Mjini, Peter Msigwa (Chadema) amedai Tanzania kwa sasa kuna msongamano mkubwa wa wafungwa ambapo amehoji Serikali inachukua hatua gani kupunguza...

Tangulizi

Mfungwa mmoja kutumia laki moja kwa siku

WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi imesema gharama za chakula kwa mfungwa mmoja kwa siku ni wastani wa shilingi 1,342. Anaripoti Dany...

Habari za Siasa

Mbunge Chadema amvaa waziri wa mifugo

MBUNGE wa Tarime Mjini, Ester Matiko (Chadema) amehoji serikali ni kwanini Mnada wa Magena umefungwa licha ya kuwa na miundombinu yote. Anaripoti Dany...

ElimuTangulizi

Wanachuo waaswa kutotegemea kuajiriwa na Serikali

VIJANA wengi wanaomaliza elimu ya juu wanatakiwa kuachana na fikra za kutaka kuajiriwa na serikali na badala yake wafikirie kutumia elimu yao kwa...

Habari za Siasa

Rais Magufuli amtumbua Mkurugenzi

RAIS John Magufuli ametengua uteuzi wa mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa, Mohamed Maje kuanzia leo kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake. Anaripoti...

Elimu

Shule, Vyuo binafsi walalamikiwa rushwa ya ngono

SERIKALI imesema kuwa baadhi ya Mameneja, Wakurugenzi pamoja na wamiliki wa shule binafsi na vyuo wanalalamikiwa kwa vitendo vya rushwa ya ngono hasa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Bakwata acheni kugombania vyeo

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Kasimu Majaliwa, amewataka viongozi na waumini wa dini ya Kiislamu nchini kuacha kugombania vyeo na misikiti...

Habari Mchanganyiko

Waganga wamtuhumu Katibu kutumia madaraka vibaya

BAADA ya kufanyika kwa mkutano mkuu wa Umoja Chama Waganga wa Tiba Asilia, Wakunga (UWAWATA “T”) kukutana na kufanya mageuzi kwa kuondoa uongozi...

Habari Mchanganyiko

Wakulima watakiwa kutowaogopa maofisa ugani

AFISA kilimo wa mkoa wa Dodoma, Benard Abraham amewataka wakulima kuwasiliana na maofisa ugani pale wanapoona mimea yao au mazao inashambuliwa na wadudu....

Habari Mchanganyiko

Watengeneza pombe feki, wakwepa kodi wagunduliwa

IMEBAINIKA kuwa hadi sasa kuna kampuni 11 ambazo zinadaiwa kujihusisha na utengenezaji pombe kali zisizokuwa na viwango ambazo zimekuwa zikisambazwa sokoni kinyume na...

Habari Mchanganyiko

Wafuasi wa Mange Kimambi waanza kuwekwa mbaroni

JESHI la polisi mkoa wa Dodoma linawashikilia watu wawili kwa makosa ya kutumia vibaya mitandao ya kijamii kwa madai ya kuchochea maandamano ya...

Habari Mchanganyiko

Kuuza na kununua kemikali mpaka cheti

MKEMIA Mkuu wa Serikali Prof. Samwel Manyele ameagiza kuwa kila mtu atakayeuziwa au kununua kemikali lazima aoneshe cheti cha usajili kwa kuwa sheria...

Habari Mchanganyiko

Dodoma waomba muda vitambulisho vya Taifa

WAKAZI wa kata ya Kizota Manispaa ya Dodoma ambao kwa hivi sasa wapo kwenye zoezi la uandikishaji wa vitambulisho vya taifa, wameomba muda...

Habari za SiasaTangulizi

Kingwangalla kumshitaki Mwigulu kwa Magufuli

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangwalla ametoa siku saba kwa jeshi la polisi kuwakamata vigogo ndani ya jeshi hilo waliopanga njama...

Habari MchanganyikoTangulizi

Nabii wa Ngono mbaroni Dodoma

JESHI la polisi mkoani Dodoma, limemkamata Onesmo Machibya (44), maarufu kwa jina la Nabii Tito, kwa madai ya kinachoitwa, “kueneza chuki ya kidini...

Habari za Siasa

Rais Magufuli awashangaa wabunge wa upinzani wanaohamia CCM

HUKU vikao cha Chama cha Mapinduzi (CCM) vikiendelea, Mwenyekiti wa chama hicho, John Magufuli, ameoneshwa kushtuka kwa wimbi la wapinzani wanaotoka katika vyama...

Habari MchanganyikoTangulizi

JPM uso kwa uso na walimu

RAIS John Magufuli anatarajiwa kuwa ngeni rasimi katika mkutano Mkuu wa kwanza wa Chama Cha Walimu Tanzania (CWT) Desemba 14 mwaka huu., anaandika...

Habari za Siasa

UVCCM wamkera Rais Magufuli kwa rushwa

LICHA ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kujipambanua kuwa kinapambana na vitendo vya rushwa na ufisadi, bado baadhi ya  jumuiya ndani ya chama hicho ziimeonekana kukumbwa...

Habari za SiasaTangulizi

Wateule wa Rais Magufuli wagonganishwa Dodoma

WAKULIMA wa Songambele “B ” wilaya ya Kongwa, Dodoma wamemtaka mkuu wa mkoa wa huo, Dk. Binilithi Mahenge kuingilia kati mgogoro kati ya...

Habari Mchanganyiko

Vituo vya utayari vyaongeza wanafunzi mashuleni

MPANGO wa Kuboresha Elimu Tanzania kwa shule za msingi (EQUIPT TANZANIA) kwa kuanzia vituo vya utayari umechangia kwa kiasi kikubwa wanafunzi kuongezeka mashuleni,...

Habari Mchanganyiko

Wanaofelisha watoto wapewa somo

WAZAZI na walezi wilayani Bahi mkoani Dodoma wametakiwa kuwekeza elimu kwa watoto wao wanaohitimu shule ya msingi na sekondari, kwa kuwaendeleza kimasomo zaidi...

Habari Mchanganyiko

Wajasiliamali wapigwa msasa kuzalisha bidhaa bora

MENEJA Mkuu wa Kampuni ya Chef Asili Co.LTD mkoani Dodoma Lupyana Chengula, amesema kuwa ili wajasiriamali waweze kufanikiwa kwenye fursa zao za biashara...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea ataka wanasiasa waliofilisi TTCL wakamatwe

MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea, ameitaka serikali kuwakamata na kuwafikisha mahakamani, watumishi wa umma na wanasiasa waliochangia kufilisika kwa shirika la simu la...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yaanza kumsulubu Nyalandu

SIKU chache baada ya aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kujivua uanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na nafasi yake ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge wa CCM aikosoa serikali ya JPM

MBUNGE mstaafu wa Chama cha Mapinduzi, Omar Mjaka Ali, amesema serikali inayoongozwa na Rais John Magufuli inahitaji kuokolewa kwa sasa imepotea na kupoteza...

Kimataifa

Mimba, ndoa za utotoni pasua kichwa

MIMBA na ndoa katika umri mdogo bado vinaitesa wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, ingawa serikali haina takwimu sahihi za wasichana wanaokumbwa na matatizo...

Elimu

EXIM benki yawafuata wasomi Udom

TAASISI za kifedha zikiwamo benki zimetakiwa kupunguza riba katika mikopo yao ili kuwasaidia wananchi wanyonge, anaandika Dany Tibason Ombi hilo limetolewa leo na...

Michezo

Edwin achomoka na milioni 60 tatu mzuka

EDWIN Kawito(25), mkazi wa Manispaa ya Dodoma amekabidhiwa Sh. milioni 60 alizojishindia katika droo ya 10 ya mchezo wa bahati nasibu ya tatu...

Habari za Siasa

Waziri Jafo aanza kazi na tambo

WAZIRI wa Nchi ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo amewataka watumishi wa Wizara hiyo kujipima na...

Habari za Siasa

Chadema watakiwa kuacha ‘ujanja ujanja’ wajenge ofisi

KATIBU wa Kanda ya Kati wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Alphonce Mbassa ameuagiza uongozi wa jimbo la kilombero kuhakikisha wanajenga ofisi...

Habari za SiasaTangulizi

Jukwaa la Katiba ‘wajivisha mabomu’ kwa Rais Magufuli

JUKWAA la Katiba Tanzania wamempa Rais Dk. John Magufuli kwa kumtaka ajiandae kupokea maandamano ya amani kwa ajili ya kumpongeza pamoja na kumtaka...

Habari Mchanganyiko

Msomi asema Tanzania haina dira

WADAU wa Jukwaa la Katiba Tanzania wamesema kuwa taifa haliwezi kuwa na maendeleo kama halitakiwa na dira ya maendeleo inayoeleweka,” anaandika Dany Tibason....

Habari Mchanganyiko

Hospitali ya Dodoma yatakiwa kuimarisha wodi ya wazazi

NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Selemani Jaffo ameuangiza uongozi wa hospital ya rufaa ya mkoa...

Habari za Siasa

Wagombea CCM ‘matumbo joto’ Dodoma

KATIKA kuelekea uchaguzi wa ndani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), baadhi ya wanachama waliochukua fomu kugombea nafasi mbalimbali matumbo yamezidi kupata joto, anaandika...

Habari za Siasa

Tanzania haina amani ya kweli-Askofu

ASKOFU mkuu wa Kanisa la Endtime Harvest (EHC) lenye Makao Makuu Mkoani Dodoma, Dk. Elia Mauza amesema Tanzania haina amani ya kweli badala...

Habari Mchanganyiko

Serikali yataka Ma  RC ,  Ma  Dc wasijione  ‘miungu watu’

WAKUU wa Mikoa pamoja na Wakuu wa Wilaya nchini wametakiwa kutumia vizuri sheria ya kwaweka ndani watu ndani ya saa 48 na wasitumie...

Habari Mchanganyiko

Naibu Waziri atoa neno kuhusu amani nchini

NAIBU  Waziri  Nchi,Ofisi ya Rais (TAMISEMI) , Selemani Jaffo amewataka viongozi wa dini kulinda amani ya nchi na kutotumia nafasi zao kutengeneza migogoro...

Habari za SiasaTangulizi

Kamati ya Bunge yashindwa kumhoji Kubenea, alazwa kliniki ya Bunge

KAMATI ya Haki, Kinga, Maadili na Madaraka ya Bunge, imeshindwa kumhoji mbunge wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea, baada ya kuona hali yake ya...

Habari Mchanganyiko

Mchungaji atoa neno ‘watu wasiojulikana’

KANISA la Wabaptist Tanzania limewataka viongozi wa serikali pamoja na vyama vya siasa kuhakikisha wanakuwa mabalozi wa kulinda amani ya nchi, anaandika Dany...

Habari Mchanganyiko

Tanzania na Afrika Kusini zakumbushia uhusiano

SERIKALI ya Afrika Kusini imesema inatambua mchango wa nchi ya Tanzania katika harakati za kuipatia uhuru nchi hiyo kupitia program ya urithi wa...

Habari za Siasa

Bunge lafanya vioja, ripoti ya Lissu yayeyuka

TAARIFA iliyotarajiwa kuwasilishwa bungeni leo na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ulinzi, Usalama na Mambo ya Nje, Adadi Rajabu kuhusu...

error: Content is protected !!