KATIBU Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius Kahyarara ameiagiza Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kutangaza mafanikio ya taasisi yanayopatikana kikanda,...
By Mwandishi WetuDecember 5, 2023Waathirika wa maporomoko ya tope Wilayani Hanang, mkoani Manyara, waliopoteza ndugu zao, makazi, pamoja na mali, wamepatiwa misaada ya kibinadamu na Benki ya...
By Mwandishi WetuDecember 5, 2023MTANDAO wa Polisi wanawake wa Arusha kuelekea siku 12 za kupinga ukatili umeendelea na kutoa elimu kwa makundi mbalimbali ambapo wametoa elimu...
By Mwandishi WetuDecember 5, 2023TAASISI ya Mwalimu Nyerere (MNF) imesaini mkataba wa miaka 10 wa dola za Marekani milioni tatu (Sh bilioni 7.4) na Kampuni ya Greyhorse...
By Seleman MsuyaDecember 5, 2023ASKARI wa kikosi cha usalama barabarani mkoani Songwe wametakiwa kuendelea kufanyakazi kwa kuzingatia haki, weledi na uadilifu hatua ambayo itachangia kudhibiti vitendo vya...
By Mwandishi WetuDecember 4, 2023Mahakama ya wilaya ya Songwe imemtia hatiani na kumhukumu kifungo cha maisha gerezani mshtakiwa Dickson Mbadame (32) – mchimbaji wa madini kwa kosa...
By Mwandishi WetuDecember 4, 2023KANISA la Mlima wa Moto Mikocheni jijini Dar es Salaam, limezindua kongamano liitwalo SHILO kama sehemu ya kumuenzi mwanzilishi wa Kanisa hilo, Hayati...
By Mwandishi WetuDecember 4, 2023MVUA za vuli zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini zimeleta madhara katika mkoa wa Manyara baada ya kuripotiwa vifo 20 vilivyosababishwa na mafuriko katika...
By Mwandishi WetuDecember 3, 2023Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, amewashauri vijana nchini Tanzania kunoa ujuzi wao wa karne ya 21 ili kufanikiwa katika...
By Mwandishi WetuDecember 3, 2023Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imejipanga kujenga madaraja 189 kwa kutumia teknolojia ya mawe katika mikoa yote 26 nchi nzima...
By Mwandishi WetuDecember 2, 2023Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) pamoja na wadau wengine kwa kuiunga mkono Serikali kwa mchango wa...
By Mwandishi WetuDecember 2, 2023Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka wadau mbalimbali wanaohusika na mapambano dhidi ya UKIMWI nchini kwa kushirikiana na...
By Mwandishi WetuDecember 1, 2023MAHAKAMA ya Hakimu Mfawidhi, wilaya ya Igunga, mkoani Tabora imemhukumu kifungo cha miaka mitatu gerezani, Jesca Jones Yegera (60) baada ya kupatikana na...
By Mwandishi WetuDecember 1, 2023WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameiagiza Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kushirikiana na Taasisi ya Wahandisi Tanzania (IET) kuweka utaratibu endelevu wa...
By Danson KaijageDecember 1, 2023MWENYEKITI wa Mawakili Vijana Tanzania kutoka Chama cha Mawakili wa Tanganyika (TLS), Edward Heche, amewataka wanachama wake kuchukua hatua pindi watakapoona sekta ya...
By Mwandishi WetuNovember 30, 2023MWANAHARAKATI huru, Bihimba Mpaya ametoa msaada wa mahitaji mbalimbali ikiwemo chakula, katika Kituo cha Watoto Yatima Msongola, kilichopo Ilala jijini Dar es Salaam,...
By Regina MkondeNovember 30, 2023ASKARI wawili wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, wanashikiliwa kwa tuhuma za kumuua kwa kumpiga risasi aliyekuwa mlinzi wa...
By Mwandishi WetuNovember 30, 2023JUMLA ya watu 13 wakiwamo wanawake sita na wanaume saba wamefariki dunia baada ya basi la kampuni ya Ally’s Star Bus kugonga kichwa...
By Mwandishi WetuNovember 29, 2023JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha limekuja na mbinu mpya ya kukabiliana na matukio ya uhalifu katika Mkoa huo ambapo wamewapanga askari...
By Mwandishi WetuNovember 29, 2023MAGEUZI makubwa yanatarajiwa kuhusu uendeshaji wa mashirika ya umma na wwkala za serikali kufuatia kuja kwa sheria mpya ya Mamlaka ya Uwekezaji...
By Mwandishi WetuNovember 28, 2023JUMLA ya abiria 30, marubani wawili na mhudumu mmoja wamenusurika kifo katika ajali ya ndege iliyotokea leo saa 3:40 asubuhi katika Hifadhi ya...
By Mwandishi WetuNovember 28, 2023Askofu Kanisa la Kiinjili, Kilutheri Tanzani (KKKT), Dayosisi ya Morogoro, Jacob Mameo ametoa wito kwa viongozi wenye tabia ya kutumia vibaya madaraka yao...
By Mwandishi WetuNovember 28, 2023SERIKALI imejipanga kuifanya nchi kuwa kitovu cha tiba utalii, kwa kuweka mikakati itakayosaidia utoaji huduma za afya kwa wagonjwa maalum wa ndani na...
By Mwandishi WetuNovember 28, 2023NAIBU Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile amezitaka mamlaka na taasisi za serikali zinazotekeleza miradi ya ujenzi wa miundombinu na vyombo vya usafirishaji majini kwenye...
By Mwandishi WetuNovember 28, 2023Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imetangaza nauli mpya ya mabasi ya mijini na masafa marefu ambapo safari ambazo hazizidi kilomita 10 gharama...
By Mwandishi WetuNovember 27, 2023Benki ya NMB imeibuka mshindi wa jumla kitaifa katila kundi la mlipa kodi mkubwazZaidi Tanzania lakini pia katika kundi la mlipa kodi bora...
By Mwandishi WetuNovember 25, 2023Makatibu wakuu wa wizara za kisekta leo ijumaa wametembelea kijiji cha Msomera wilayani Handeni mkoani Tanga kujionea hatua mbalimbali za ujenzi wa miundombinu...
By Mwandishi WetuNovember 24, 2023Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imeendelea kufanya majaribio ya utafiti wa jiosayansi kwa kutumia njia ya High Resolution Airborne...
By Mwandishi WetuNovember 24, 2023WATANZANIA wametakiwa kujenga desturi ya kujitetea wenyewe, badala ya kutegemea taasisi mbalimbali, hususan vyama vya siasa na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali (NGO’s), zisimame...
By Regina MkondeNovember 24, 2023Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian ambapo...
By Mwandishi WetuNovember 24, 2023KATIKA kujenga uwezo kwa kampuni ndogondogo zinazojishughulisha masuala ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Tume ya Tehama (ICTC) inatarajia kujenga vituo katika...
By Gabriel MushiNovember 23, 2023UMOJA wa Mataifa (UN), pamoja na Umoja wa Ulaya (EU), zimeahidi kuendelea kushirikiana na Serikali pamoja na wadau mbalimbali, katika ukuzaji na ulinzi...
By Regina MkondeNovember 23, 2023MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umesema hali ya utetezi wa haki za binadamu nchini katika kipindi cha miaka ya...
By Regina MkondeNovember 23, 2023JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha limesema linawashikilia watuhumiwa watano kwa tuhuma za kujifanya maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na...
By Mwandishi WetuNovember 23, 2023KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na shirika la CCBRT imetoa msaada wa viti mwendo na vifaa saidizi 55 kwa...
By Mwandishi WetuNovember 23, 2023Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Dk. Doto Biteko amewataka viongozi wa dini kutochoka kuunganisha watu ili kujenga Taifa lenye umoja, amani...
By Mwandishi WetuNovember 22, 2023Benki ya NMB imezindua Programu Endelevu ya Ugawaji Mizinga ya Nyuki 500 kwa vikundi 17 vyenye wafugaji zaidi ya 300, katika mikoa ya...
By Mwandishi WetuNovember 22, 2023WATAKWIMU wa halmashauri, wizara, idara na taasisi za umma wametakiwa kuhakikisha wanatoa takwimu za kweli badala ya kutoa takwimu za kupika. Pia wametakiwa...
By Danson KaijageNovember 22, 2023Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imewapongeza wahitimu bora wa Chuo Kikuu cha Kilimo Cha Sokoine (SUA) cha Morogoro kwa kuwapatia zawadi...
By Mwandishi WetuNovember 22, 2023Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Solomon Itunda amesimamisha shughuli za utafiti wa madini ya dhahabu zinazofanywa na Kampuni ya Gold Valley Company Limited...
By Mwandishi WetuNovember 21, 2023IMEELEZWA kuwa ujenzi wa nyumba 5,000 utawezesha kaya 10,000 kuhama kwa hiari kutoka Ngorongoro kuelekea katika kata za Msomera, Saunyi (Tanga) na Kitwai...
By Gabriel MushiNovember 20, 2023JAMII imetakiwa kufanya kazi ambazo zitawaingizia kipato kwa ajili ya kuinua uchumi wao badala ya kujenga fikra ya kupata miujiza kwa kununua udogo,...
By Danson KaijageNovember 20, 2023BENKI ya NMB imetoa zaidi ya Sh1.8 trilioni kwa wanawake 168,600 wa biashara ndogo na za kati (SMEs) katika kipindi cha miezi 10...
By Gabriel MushiNovember 19, 2023MAOFISA wanne wa Idara ya Uhamiaji wilayani Kakonko mkoani Kigoma wametiwa mbaroni na jeshi Polisi mkoani humo kwa tuhuma za mauaji ya Enos...
By Mwandishi WetuNovember 18, 2023JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limefanikiwa kuzima tukio la ujambazi uliopangwa kufanyika katika eneo la Kampuni ya Kijiji Park,...
By Mwandishi WetuNovember 17, 2023Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amemtaka Msajili wa Hazina nchini kufikia Jumanne asubuhi awasilishe maelezo ya kwa nini...
By Mwandishi WetuNovember 17, 2023MWANAHARAKATI huru, Bihimba Mpaya, amechangia ujenzi wa msikiti katika Madrasa ya Muhajirina, iliyoko Mtaa wa Kigezi Chini, wilayani Ilala, Jiji la Dar es...
By Regina MkondeNovember 17, 2023MKUU wa mkoa wa Kagera, Fatma Mwasa amewaonya wananchi wa Kijiji cha Nyakanazi wilayani Biharamulo na wilaya jirani kuacha kusambaza taarifa za uongo...
By Mwandishi WetuNovember 17, 2023Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dk. Damas Ndumbaro ameagiza Watumishi wa wizara hiyo kuitumikia wizara hiyo kwa kuzingatia falsafa ya kujitambua,...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2023MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge na Uwekezaji wa Mitaji ya Umma na Mbunge wa Kwela, Deus Sangu amepongeza kamati hiyo kwa...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2023