Categorizing posts based on content
81 Crystal Fruits ni sloti ya kasino mtandaoni kutoka Meridianbet inayojumuisha nguzo nne zilizopangwa katika mistari mitatu na una mistari ya malipo...
By Mwandishi WetuNovember 21, 2023KAMPENI ya kuitangaza bandari ya Dar es Salaam kimataifa imetajwa kuanza kuzaa matunda baada ya wafanyabiashara na wakazi wa Zimbabwe kuichagua bandari hiyo...
By Gabriel MushiNovember 20, 2023KUGUNDULIWA kwa makaburi mapya ya halaiki katika msitu Shakahola huko Kilifi nchini Kenya kumetajwa kuchangia uamuzi wa kurejesha mchakato mpya wa ufukuaji wa...
By Mwandishi WetuNovember 20, 2023JUMLA ya wagombea urais 26 wanatarajiwa kuanza kampeni leo Jumatatu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ambazo zinatarajiwa kudumu kwa mwezi mmoja...
By Mwandishi WetuNovember 20, 2023Kampuni kubwa ya Saruji ya Uswizi imetangaza mpango wa kuuza kampuni yake tanzu Pan African Cement, ambayo inashikilia asilimia 65 ya Kampuni ya...
By Mwandishi WetuNovember 20, 2023BENKI ya NMB imetoa zaidi ya Sh1.8 trilioni kwa wanawake 168,600 wa biashara ndogo na za kati (SMEs) katika kipindi cha miezi 10...
By Gabriel MushiNovember 19, 2023KATIKA kuendeleza utamaduni wa Uwajibikaji wa kampuni kwa jamii (CSR), Benki ya NMB imekabidhi msaada wa mabati 600 yenye thamani ya Sh28.2 milioni...
By Mwandishi WetuNovember 18, 2023MANCHESTER United hawajashinda kombe la Ligi Kuu yaUingereza (EPL) tangu mwaka 2013 lakini bado ni timuyenye mafanikio zaidi tangu ligi hiyo ilipoanzishwa upyamwaka...
By Mwandishi WetuNovember 18, 2023KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake Tanzani (UWT), Jokate Mwegelo amesema hatua ya wanafunzi walioruhusiwa kufanya mitihani ya kidato cha nne mwaka 2023...
By Mwandishi WetuNovember 18, 2023KIONGOZI anayeondoka madarakani nchini Liberia, George Weah, anaweka historia nchini humo kwa kuwa rais wa kwanza kushindwa katika kinyang’anyiro cha kuwania muhula wa...
By Mwandishi WetuNovember 18, 2023Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema hospitali zimekuwa na mifumo mingi ambayo haisomani kiasi ambacho imechangia kuongezeka kwa...
By Mwandishi WetuNovember 18, 2023KATIKA jitihada za kuandaa wahitimu wanaoendana na soko la ajira duniani, Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kimeanzisha ushirikiano na kampuni ya RSM...
By Mwandishi WetuNovember 18, 2023SIKU mpya kabisa na adhwim ya Ijumaa, timu nzima ya Meridianbet imepiga hodi katika eneo la Kimara na Mbezi na kutoa Reflectors...
By Mwandishi WetuNovember 17, 2023Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amemtaka Msajili wa Hazina nchini kufikia Jumanne asubuhi awasilishe maelezo ya kwa nini...
By Mwandishi WetuNovember 17, 2023Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetoa elimu ya masuala ya kibenki na umuhimu wa kujijengea utamaduni wa uwekaji akiba kwa wanafunzi wa...
By Mwandishi WetuNovember 17, 2023Benki ya NMB imesema imeanza kuzingatia kwa karibu masuala ya uhifadhi wa mazingira katika uendeshaji wake na kufadhili miradi mbalimabli kutokana na umuhimu...
By Mwandishi WetuNovember 17, 2023Shirika la afya duniani WHO limewalipa limewalipa fidia ya Dola 250 (Sh 624.3) wanawake 104 waathiriwa wa dhulma za kingono nchini Jamhuri ya Kidemokrasia...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2023MERIDIANBET kwa kushirikiana na Expanse studio wanakuja na vitu vipya, michezo mipya ya kasino mtandaoni itakayozinduliwa kwenye maonyesho ya SiGMA World Europe....
By Mwandishi WetuNovember 16, 2023Jeshi la Israel limesema limeyashambulia makazi ya kiongozi wa kisiasa wa kundi la Hamas, Ismail Haniyeh katika Ukanda wa Gaza. Inaripoti Mitandao ya...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2023SERIKALI kupitia Mpango wa Kuboresha Mazingira ya Biashara (MKUMBI) imefuta na kupunguza jumla ya tozo, ada na faini zisizopungua 232 kati ya 380...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2023Wakazi wa Arusha na miji ya jirani wana sababu za kutabasamu zaidi kufuatia uzinduzi mpya wa Dar Ceramica Centre Tawi la Arusha,...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2023MWENYEKITI wa Shirikisho la Wajasiriamali wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Josephat Rweyemamu ametoa wito kwa wanachama shirikisho hilo kushiriki kwa wingi kwenye maonyesho...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2023WAKATI kukiwa bado kuna mjadala unaoendelea juu ya nani alistahili kutwaa Ballon D’or ya mwaka huu 2023, kuna baadhi wanasema Erling Haaland...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2023MAKOFI kwa Mr Eazi! Staa wa Afropop, Mr Eazi ameachia albamu yake ya kwanza inayokwenda kwa jina la ‘The Evil Genius’ iliyokuwa ikisubiriwa...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2023STAA ambaye alitambulishwa na ngoma maarufu, Afrowave ‘Drogba’, Afro B, ameachia video yake mpya ya kibao “Wo Wo Wo (Ebony)” – ikiwa ni...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2023CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimeingia makubaliano na Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) ya kuwapa mafunzo ya vitendo wanafunzi...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2023HUENDA siku zinazidi kwenda mwaka unaisha lakini kila malengo yako hayatimii, kila njia umefanya lakini bado mambo ni magumu. Leo nataka kunena...
By Mwandishi WetuNovember 14, 2023GEITA Gold Mining Limited (GGML) imeibuka kuwa kampuni inayoaminika zaidi kwenye sekta ya madini katika tuzo za mlaji (Consumer’s Choice Awards Africa) zilizotolewa...
By Mwandishi WetuNovember 14, 2023BENKI ya NMB imewanoa wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini kuhusu matumizi ya huduma mpya za bima ya afya pamoja na bima...
By Gabriel MushiNovember 13, 2023Waziri Mkuu Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amelipongeza Shirika la Madini la Taifa STAMICO kuendelea kuhamasisha matumizi ya nishati Mbadala ...
By Gabriel MushiNovember 13, 2023SAKATA la wafanyabiashara ndogondogo (wamachinga) eneo la Kivule kuvunjiwa na vibanda vyao Kisha mali kuchukuliwa na mgambo limechukua sura mpya baada ya kuzifuatilia...
By Mwandishi WetuNovember 13, 2023FUNGA mwaka kibingwa na Meridianbet nyumba ya mabingwa wa odds kubwa na machaguo mengi lukuki. Zikiwa zimebaki siku chache mwaka kuisha Meridianbet...
By Mwandishi WetuNovember 13, 2023NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati wa Tanzania, Dk. Doto Biteko amezindua kituo cha kwanza cha kujaza gesi asilia (CNG) kinachojulikana...
By Mwandishi WetuNovember 13, 2023Kituo cha Jemolijia Tanzania (TGC) kimedhamiria kuhuisha mitaala ya mafunzo yake ili kutengeneza Watanzania matajiri kupitia tasnia ya Uongezaji Thamani Madini. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2023MICHEZO kabambe ya kasino mtandaoni kutokaExpanse itakufanya kuvuna bonasi kuanzia TZS 100,000/= kwenye mgao wa TZS 800,000/= Mwezi huu wa Novemba. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2023JE unazijua timu zenye maokoto mengi leo hii?. Basi ungana nami ukaone nani na nani anataka kukupa pesa yako leo hii endapo...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2023BENKI ya NMB imeazimia kuwa na ushirikiano wa kimkakati na taasisi za kisheria nchini kutokana na umuhimu wa tasnia ya sheria katika maisha...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2023WANAFUNZI wa shule ya msingi Hazina ya Magomeni jijini Dar es Salaam wameonyesha vipaji vya aina yake walipokuwa kwenye mahafali ya darasa la...
By Kelvin MwaipunguNovember 12, 2023SHULE ya Msingi Hazina imeahidi kuendelea kuwa juu kitaaluma kwa kuhakikisha inakuwa na walimu mahiri na wenye wito wa kazi ya ualimu. Anaripoti...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2023MAOKOTO ni ya kutosha wikiendi hii na mabingwa wa michezo ya kubahatisha Meridianbet ambapo ligi mbalimbali zitarejea huku zikikupa nafasi kujipigia maokoto...
By Mwandishi WetuNovember 11, 2023Baadhi ya Walimu wa shule za msingi na sekondari katika Halmashauri ya Wilaya ya Ileje mkoani Songwe ‘wamemvamia’ Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa...
By Mwandishi WetuNovember 11, 2023CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimesema kuanzia mwakani kitaanza kufundisha baadhi ya kozi zake kwa njia ya mtandao ili kuwawezesha watu wengi...
By Kelvin MwaipunguNovember 10, 2023SERIKALI imevitaka vyuo vikuu kuwa na program atamizi na zile za uanagenzi ili kuzalisha wataalamu wenye uwezo wa kujiajiri na kuajiri wengine badala...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2023MOJA kati ya vitu vyenye thamani kubwa duniani kwa rasilimali za asili ukiachana na mafuta kuna hii kitu inaitwa dhahabu, Tanzania imejaliwa...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2023HII ni kwa kila mtu anayejua kucheza kasino mtandaoni na kwawasiojua lolote, mchongo mkubwa kabisa wa kufungia mwakahuku ukipata maokoto ni kuwa rubani...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2023MBUNGE Viti Maalum, Janejelly Ntate, amehoji mkakati wa Serikali katika kumaliza mashtaka ya kikodi yaliyoko kwenye bodi ya rufani za kodi na baraza...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2023Serikali imesema hali ya upatikani umeme nchini imeimarika na sasa upungufu wa umeme umebakia 218 MW. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Hayo yameelezwa na...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023ALHAMISI ndiyo hii hapa na Meridianbet inasema hivi mechi za Europa ndio hizi hapa na wewe ndio nafasi yako ya kujiokotea kwanja imefika....
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023UKIACHANA na ugumu wa maisha unavyokwenda kasi, kuna inshu nyingine inaweza kuwa kilainishi cha maisha ni kuzungusha gurudumu la bahati la Wheel...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023Wananchi wa kijiji cha Mbembati kata ya Lubanda wilaya ya Ileje mkoani Songwe wamejenga zahanati ya Kijijini hapo kwa nguvu zao ili kupunguza...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023