Saturday , 27 April 2024
Home mwandishi
8722 Articles1244 Comments
Habari za SiasaTangulizi

500 kujadili ripoti ya kikosi kazi, demokrasia, hali ya siasa

ZAIDI ya watu 500 kutoka taasisi za kisiasa, dini, asasi za kiraia na wengine watakutana kwa siku tatu jijini Dar es Salaam kupokea...

Habari Mchanganyiko

Mabadiliko ya tabia ya nchi, shughuli za kibinadamu zahatarisha Bwawa la Ning’hwa

MKURUGENZI Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA), Mhandisi Yusuph Katopola, amesema jitihada kubwa zinahitajika katika kutoa elimu juu...

Michezo

Taifa Stars yatua salama, yapokelewa kwa shangwe na mashabiki

TIMU ya Taifa ya Mpira wa Miguu (Taifa Stars) imetua salama alfajiri ya leo tarehe 9 Septemba 2023 katika Uwanja wa Ndege wa...

Biashara

NMB yawa benki ya tatu kwa faida Afrika Mashariki

Benki ya NMB imeshika nafasi ya tatu kwa ukubwa wa faida katika ukanda wa Afrika Mashariki ikiwa ni kutokana na mafanikio yake kiutendaji...

Biashara

Cary Purry Sloti mpya rahisi kushinda Meridianbet

  HUENDA umewahi kuona au kusikia stori nyingi kuhusu paka, Meridianbet kasino ya mtandaoni inakuletea mkutano na paka wa kuvutia wanaowapa wachezaji zawadi...

Habari Mchanganyiko

Vitambulisho vya NIDA hadi Machi 2024

SERIKALI imesema wananchi waliokwisha kuandikwa na kutambuliwa kwenye mfumo wa Kitambulisho cha Taifa, watapatiwa vitambulisho vyao ifikapo Machi 2024. Anaripoti Isaya Temu, TUDARCo…...

Biashara

Piga Pesa na Crayz Jelly Sloti ya MeridianbetKasino

  Meridianbet Kasino ya mtandaoni inakupa nafasi ya kupatapesa za kutosha wakati ambapo ukijivinjari mtandaoniukicheza Crayz Jelly, mchezo wenye nguzo 5 zeye mistari...

Habari za Siasa

Madiwani, wenyeviti wa vijiji watengewa posho bilioni 22.5

SERIKALI imesema katika mwaka wa fedha 2023/ 2024 imetenga kiasi cha Sh 22.5 bilioni kwa ajili ya kulipa posho za madiwani na wenyeviti...

Habari za Siasa

Wastaafu 1,744 EAC walipwa bilioni moja

SERIKALI imesema katika mwaka wa fedha 2023/24 hadi kufikia Septemba, 2023 imelipa jumla ya Sh bilioni moja wastaafu 1,744 wa iliyokuwa Jumuiya ya...

Habari za SiasaTangulizi

Uhaba wa dola, Serikali yaanza kubana matumizi

WAZIRI wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imechukua hatua ya kubana matumizi ya ndani hasa katika maeneo ya matumizi ya kawaida ili...

MichezoTangulizi

Taifa Stars yawaduwaza Mbweha wa Jangwani, watinga fainali AFCON

TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imeandika historia baada ya kufuza kwa mara ya tatu kushiriki fainali za Kombe la Mataifa ya...

Habari Mchanganyiko

Wasiojiweza waishukuru SHUWASA kuwapatia huduma ya maji bure

WATU wasiojiweza wakiwemo vikongwe, wameishukuru Serikali kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Shinyanga(SHUWASA), kwa kuwapatia huduma ya maji bure kila mwezi...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu afufua matukio ya wasiojulikana, ambana Rais Samia

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia (Chadema) Bara, Tundu Lissu, amedai bila ya wahanga wa vitendo vya watu wasiojulikana kupatiwa haki zao, falsafa...

Habari za Siasa

Mdee, wenzake wamvaa Mwigulu sheria ya manunuzi ikisubiri kupitishwa

WAKATI muswada wa Sheria ya Ununuzi wa Umma ya 23, ikisubiri kupitishwa bungeni jijini Dodoma, baadhi ya wabunge wamedai bila Serikali kuweka mikakati...

Biashara

Pirates Legacy kasino ya mtandaoni yenye Jackpot kubwa

  Ni siku nyingine tena njema na bora zaidi ya kukufungulia dunia ya michongo, Leo nakupata siri kwenye mchezo wa kasino mtandaoni ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Tanzania yapigwa kumbo tuzo ya Chakula Afrika, Kikwete awaibia mbinu…

RAIS mstaafu Jakaya Kikwete, amezishauri taasisi za utafiti wa kilimo nchini, kuwasilisha tafiti zao kwenye Kamati ya Tuzo ya Chakula Afrika (AFP), ili...

Biashara

Njia 40 za ushindi kwenye Jackpot Lab ya Meridianbet

  HABARI zinazopendwa na wengi ni kuhusu michezo ya kasino mtandaoni ambapo mchezaji anakutana na maajabu mengi. Mtashuhudia mchawi, vitabu vyenye uchawi na...

Habari za SiasaTangulizi

Majaliwa ampa Biteko mfupa ulioshinda Makamba, atoa siku 7

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amemuagiza Naibu wake, Dotto Biteko, kutafuta muarobaini wa changamoto ya uhaba wa mafuta ndani ya siku saba. Anaripoti...

Elimu

Profesa UDSM ataka shule ziige ubunifu kwa shule za St Mary’s

MHADHIRI wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, Profesa Goodluck Urassa amesema ili shule ziweze kufanya vizuri kitaaluma, walimu wanapaswa kufanya kazi yao...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Ulega: Kaya milioni 2.2 zinajihusisha na ufugaji

WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amesema kaya milioni 2.2 nchini Tanzania zinajihusisha na sekta hiyo na kuchangia ukuaji wa uchumi. Anaripoti...

Biashara

Sloti ya Lobster Bobs Kasino ya Meridianbet inalipa zaidi

  TUNAKULETEA mchezo mwingine wa kasino mtandaoni wa Meridianbet unaofanyika chini ya maji. Wakati huu, wahusika wakuu ni kaa, na miongoni mwao, Bob...

Habari za Siasa

 Bashe aanika mikakati ya kumuinua mkulima

WAZIRI wa Kilimo Hussein Bashe amesema mradi wa kuchimba visima 67,500 na wa kumpatia kila mkulima hekari 2.5 za umwagiliaji bure na tenki...

Habari za Siasa

Jerry Silaa awageukia wakuu wa mikoa migogoro ya ardhi

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amewataka wakuu wa mikoa kutekeleza maagizo yaliyotolewa na kamati ya mawaziri nane, kwa...

Habari za Siasa

Dotto Biteko afunguka uteuzi wa Rais Samia

NAIBU Waziri Mkuu, Dotto Biteko, amesema Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, amempa jukumu kubwa baada ya kumteua kushika wadhifa huo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yabainisha mikakati ya kuwakwamua wakulima wadogo

Wakulima wadogo wana mchango mkubwa katika kuhakikisha utoshelevu na uhakika wa chakula nchini jambo ambalo Benki ya NMB imeahidi kuendelea kulifadhili na kuliunga...

Elimu

Tanzania ina maprofesa 63

SERIKALI imesema hadi kufikia mwaka 2022 Tanzania ilikuwa na jumla ya maprofesa 226 kati yao 163 wakiwa ni maprofesa washiriki (Associate Professors) na...

Habari za Siasa

Makatibu wakuu SADC wakutana kujadili usalama DRC

KATIBU Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dk. Samwel Shelukindo ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa...

Habari Mchanganyiko

Akamatwa kwa tuhuma za kuhujumu miundombinu na kuiibia maji SHUWASA

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, imemkamata Michael George Clement, mkazi wa Ndala Manispaa...

Biashara

Shaolin Power yatoa njia 50 za malipo katika kasino ya mtandao

  HUWAJAHI kushuhudia mambo ya ndani kwenye hekalu la Budha? Kama hujawahi, mchezo mpya wa kasino mtandaoni Shaolin Power utakupa nafasi ya kufanya...

Biashara

Fahamu kuhusu Rocket Blast kutoka kasino ya Meridianbet

  LEO tunakupa maelezo mafupi ya mchezo wa kasino mtandaoni wenye kufurahisha sana, ambao utakupatia bonasi za kasino na ushindi mwelele. Chukua nafasi...

BiasharaMichezo

Wakuu wa Majeshi Tanzania, Malawi waipongeza NMB udhamini CDF Trophy

WAKATI Wakuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Malawi (MDF), Jenerali Jacob Mkunda na Jenerali Vicent Nundwe...

Habari za Siasa

Wakili Mwabukusi, wenzake watoa siku 30 kwa Serikali kuvunja mkataba DP World

SERIKALI ya Tanzania na Bunge, imepewa muda wa siku 30 kuuvunja mkataba wa ushirikiano wa kiserikali kati yake na Imarati ya Dubai, kuhusu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wananchi watakiwa kuondoka mabondeni kujiepusha na mvua za El Nino

  SERIKALI imewatahadharisha wananchi kuacha kujenga na kufanya shughuli za kijamii kwenye maeneo ya bondeni ili kuepukana na athari za mafuruko zinazoweza kutokea...

Burudika

Mr. Eazi aachia Advice ikiwa ni ujio wa albam mpya

STAA wa muziki kutoka nchini Nigeria, Mr.Eazi ni gwiji linapokuja suala la kuachia rekodi tamu yenye burudani ya kipekee kwa jamii na sasa ameachia...

Habari Mchanganyiko

Wabunge waibana Serikali kero ya popo Dar

WABUNGE wameitaka serikali kuondoa popo waliopo maeneo ya Upanga jijini Dar es Salaam ili kulinda afya za wakazi wa maeneo hayo. Anaripoti Mlelwa...

Kimataifa

Mrithi wa Ali Bongo aapishwa, aahidi kurejesha madaraka kwa raia

JENERALI Brice Nguema, aliyemng’oa madarakani Rais wa Gabon, Ali Bongo katika mapinduzi ya kijeshi  yaliyofanyika wiki iliyopita, ameapishwa kuwa Rais wa mpito wa...

Habari za Siasa

Tanzania kuiunga mkobo Saudi Arabia Expo 2023

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeahidi kuiunga mkono Saudi Arabia kuwa mwenyeji wa Maonesho ya Kimataifa ya Biashara mwaka 2030 (EXPO...

Biashara

Kasino ya Princess of Birds inavyokupa ushindi wa uhakika

  HII ni hadithi ya kasino mtandaoni yenye kuvutia ambayo itakukutanisha na mwanamfalme/Princess. Lakini, huyu sio princess wa kawaida, ni princess wa kutoka...

Biashara

Kutana na mabinti wa msituni wanaomwaga maokoto kwa Sloti ya Fairy Forest

  ILI kupata maokoto mengi tunakushauri kuanza safari fupi kwenda kwenye msitu wa kichawi kwenye sloti hii utakutana na mabinti wa msituni. Ingia...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Polisi jipangeni kwa uchaguzi 2024, 2025

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Polisi nchini kujipanga katika kuhakikisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2024 na Uchaguzi Mkuu...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo yaanika mapendekezo mkataba DP World

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimetoa mapendekezo namna ya kuboresha mkataba wa ushirkiano wa kiserikali (IGA), kati ya Serikali ya Tanzania na Imarati ya Dubai,...

BiasharaHabari Mchanganyiko

BetPawa, Polisi waungana kutoa mafunzo  ya usalama barabarani kwa bodaboda

ZAIDI ya waendesha bodaboda 250 mkoani Dar es Salaam wamenufaika na mafunzo ya usalama barabarani yalioandaliwa na kutolewa na Kampuni ya BetPawa kwa...

Biashara

Las Vegas Kasino ilipoanzia, fahamu haya machache

    JE, umewahi kutembelea mji mkuu wa tamaduni za kasino, Las Vegas? Ikiwa hujawahi, sasa hii ndio fursa kamili kwako! Karibu mahali...

Elimu

Shule ya East Africa yaahidi kufanya maajabu kitaaluma

MWENYEKITI wa Wazazi (CCM) Mkoa wa Morogoro, Dk. Rose Rwakatare, ameishukuru serikali kwa kuendelea kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji wazawa. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yawatwisha vijana zigo la ugumu wa maisha

  VIJANA wametakiwa kushirikiana katika kuleta uhuru wa kiuchumi, ili kuondoa changamoto ya ugumu wa maisha. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Wito...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kanisa Katoliki Ngara lafungwa baada ya wasiojulikana kuvunja, kulinajisi

KANISA Katoliki la Mt. Bernadetha wa Lurdi, lilioko Parokia ya Nyakati Buzirayombo, Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara, limefungwa kwa muda wa siku 30, kwa...

Elimu

Wanafunzi shule ya East Africa Dodoma waonyesha vipaji

KATIKA kukimarisha afya ya akili na mwili kwa wanafunzi shule ya Awali na Msingi ya East Africa iliyoko Kikuyu jijini Dodoma, imeanzisha somo...

Michezo

Fatuma Nyangasa awafagiria Corefa kuanzisha vituo vya michezo

MKUU wa wilaya ya Kisarawe, Fatuma Almas Nyangasa amesema amefarijika na kasi ya uongozi wa Chama cha Mpira wa Miguu mkoa wa Pwani...

BiasharaMichezo

Hot Spin Deluxe inakupa uwezo wa kuchagua malipo kwenye mistari 20

  MCHEZO wa kasino mtandaoni wenye nguvu wa Hot Spin Deluxe kutoka kwa watoa huduma wa iSoftBet unakuleta ulimwengu wa kipekee wa bonasi...

Habari za SiasaTangulizi

Majaliwa amkaribisha Biteko ofisini, ampongeza kwa kuaminiwa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo tarehe 2 Septemba 2023 amemkaribisha Naibu Waziri Mkuu Dkt. Doto Biteko katika ofisi ndogo ya Waziri Mkuu zilizopo...

error: Content is protected !!