Friday , 29 September 2023
Home Kitengo Michezo Fatuma Nyangasa awafagiria Corefa kuanzisha vituo vya michezo
Michezo

Fatuma Nyangasa awafagiria Corefa kuanzisha vituo vya michezo

Spread the love

MKUU wa wilaya ya Kisarawe, Fatuma Almas Nyangasa amesema amefarijika na kasi ya uongozi wa Chama cha Mpira wa Miguu mkoa wa Pwani (Corefa) chini ya Mwenyekiti wake Robert Munisi na Katibu mkuu wao, Mohamed Masenga. Anaripoti Mwandishi Wetu, Pwani … (endelea).

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kituo cha michezo wilayani humo jana kwenye uwanja wa Bomani na kuudhuriwa na vijana zaidi ya 258, mkuu wa wilaya huyo alisema “Nimefarijika kuona wilaya ya Kisarawe inakuwa kimichezo kama ilani ya CCM na serikali yake ya Rais Samia Suluhu Hassan inavyochagiza maendeleo ya michezo nchini hususani mpira wa miguu.”

Alisema Kisarawe watafanya makubwa katika kufanisha watoto wanakuwa wazuri kielemu na wenye vipaji hatakikisha anashirikiana na corefa pamoja na chama cha soka wilaya ya kisarawe(kidifa) kuendeleza na kukuza mpira wa miguu wilayani humo na kuwataka wadau kuwaunga mkono corefa kitimiza malengo yao.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Meridianbet yaibukia Tandika, yafungua duka jipya

Spread the love BAADA ya kupita maeneo mbalimbali hatimae kampuni yaMeridianbet imeibukia...

BiasharaMichezo

Ukiwa na Meridianbet ni rahisi kuwa milionea

Spread the love  CARABAO Cup raundi ya 3 Uingereza inaendelea na mechi...

Michezo

Jezi ya Samatta iliyoifunga Liverpool kuuzwa Genk

Spread the love  KLABU ya KRC Genk ya nchini Ubelgiji imeamua kuanza...

BiasharaMichezo

Hii ndio historia ya El-Clasico, derby bora zaidi duniani

Spread the love  KILA nchi ina vilabu viwili hasimu na pinzani nje...

error: Content is protected !!