Monday , 13 May 2024

Month: November 2020

Habari Mchanganyiko

Shule kumi bora, 10 za mwisho darasa la 7

BARAZA la Mitihani la Tanzania (Necta), limetangaza matokeo ya kumaliza elimu ya msingi uliofanyika tarehe 7 na 8 Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Elimu

Wanafunzi kumi  bora darasa la 7

BARAZA la Mitihani la Tanzania (Necta), limetangaza watahiniwa kumi bora Kitaifa katika matokeo ya kumaliza elimu ya msingi uliofanyika tarehe 7 na 8...

Habari Mchanganyiko

Jaji Warioba avinyooshea kidole vyombo vya habari  

WAZIRI Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Joseph Warioba, amekosoa utendaji wa vyombo vya habari nchini humo akisema vinasuasua kutoa habari zinazohusu masuala ya wananchi...

ElimuTangulizi

Matokeo Darasa la saba 2020 haya hapa  

BARAZA la Mitihani la Taifa (Necta) Jumamosi tarehe 21 Novemba 2020, limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Michezo

Kigwangalla aomba suruhu kwa MO Dewji

ALIYEKUWA Waziri wa Maliasili na Utalii kwenye Serikali ya awamu ya Tano, Dk. Hamis Kigwangallah ameomba kumaliza tofauti zake na mfanyabiashara maarufu nchini...

Habari za Siasa

Tanzania, Msumbiji mguu sawa kudhibiti ugaidi

JESHI la Polisi Tanzania na Msumbiji,  yametangaza operesheni ya kusaka kundi linalofanya uhalifu katika mpaka wa mataifa hayo mawili. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mtwara...

Michezo

Simba yajibu mapigo FCC, yatoa ufafanuzi wa Bil. 20

KLABU ya soka ya Simba imetolea ufafanuzi taarifa iliyotolewa na Tume ya Ushindani ya Kibiashara (FCC) na kueleza mwekezaji wao, Mohammed Dewji (MO)...

Habari Mchanganyiko

NEEC, GGML yawajengea uwezo wajasiriamali 500 Geita

WAJASIRIAMALI 500 Mkoa wa Geita ili wawe na fursa bora ya kufanya biashara na taasisi mbalimbali nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Mafunzo hayo...

Habari Mchanganyiko

Wananchi waombwa kushiriki miradi ya maji, afya na mazingira

MKUU wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Jamhuri William ametoa wito kwa wadau waliopo mkoani humo na halmashauri ya wilaya ya Mufindi kuendelea...

Michezo

Yanga waliamsha tena sakata la Morrison

MAKAMU Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Frederick Mwakalebela ameibuka tena na sakata la mchezaji Bernard Morrison katika kesi walizowasilisha mbele ya Shirikisho la...

Habari za Siasa

Majaliwa atoa siku 15 hospitali ya Uhuru ikamilike

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ametoa siku 15 kwa uongozi ya Wilaya ya Chamwino, Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) na Suma JKT...

Habari za Siasa

Sakata la Tz Ulaya: Balozi amvaa Zitto

SERIKALI ya Tanzania imesema, haijawekewa vikwazo na kunyimwa misaada na Jumuiya ya Umoja wa Ulaya (EU), kama inavyodaiwa na baadhi ya wanasiasa na...

Habari za Siasa

Lissu, Zitto ‘kumwaga mboga’ Ulaya

TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Zitto Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo wamepanga kuieleza dunia hali...

Habari za Siasa

Umeya, Uenyekiti: La mgambo limelia CCM

HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC-CCM), imefanya uteuzi wa wagombea nafasi za Meya wa Jiji, wenyeviti wa Halmashauri za Wilaya na Miji....

Habari za Siasa

Ugaidi: IGP Sirro kukutana na IGP wa Msumbiji

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania, IGP Simon Sirro anatarajiwa kufanya mazungumzo na Kamanda Mkuu wa Jeshi la Polisi Msumbiji, Bernadino Rafael...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif amjibu Dk. Mwinyi

MAALIM Seif Shariff Hamad, aliyekuwa mgombea urais visiwani Zanzibar kupitia Chama cha ACT – Wazalendo, amesema ‘chama hakijaamua’ kuingia kwenye Serikali ya Umoja...

Habari Mchanganyiko

Vigogo kampuni ya vinywaji kortini tuhuma za utakatishaji Bil.1.6

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) nchini Tanzania, imewafikisha Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam watuhumiwa watatu kati ya wanne...

Michezo

FCC yaikana Simba, kuifanyia uchunguzi

TUME ya Taifa ya Ushindani (FCC) imeleza kuwa haihusiki na kucheleshwa kwa mfumo wa mabadiliko wa uendeshaji wa klabu ya Simba bali kuchelewa...

Habari za Siasa

Mauaji Z’bar: IGP Sirro, Zitto wavutana

TAKWIMU za Jeshi la Polisi na Chama cha ACT – Wazalendo kuhusu mauaji yaliyotokea Zanzibar wakati wa uchaguzi mkuu wa tarehe 28 Oktoba...

Habari za Siasa

IGP Sirro: Walipanga nchi isitawalike

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro ameeleza kuwa, kuna watu walipanga wakati wa Uchaguzi Mkuu, nchi isitawalike. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari za Siasa

Dk. Mwinyi amsubiri Maalim Seif Ikulu

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema, anasuburi uamuzi wa Maalim Seif Sharif Hamad na chama chake cha ACT – Wazalendo katika...

Habari za Siasa

Baraza la Mawaziri la Dk. Mwinyi hili hapa

DAKTARI Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar ametangaza Baraza la Mawaziri huku wizara mbili na nafasi ya manaibu waziri akiziweka kiporo. Anaripoti Mwandishi...

Michezo

Rais Hussein Mwinyi: Nipo tayari kukaa na wadau wa michezo Z’bar

RAIS wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Hussein Alli Mwinyi amesema kuwa kuwa yupo tayari kukaa na wadau wa michezo visiwani humo...

Habari za SiasaTangulizi

IGP Sirro awaita Lissu, Lema

INSPEKTA Jenerali wa Polisi (IGP) nchini Tanzania, Simon Sirro amewataka wanasiasa waliokimbia nje ya nchi kwa madai ya kutishiwa usalama wa maisha yao...

Habari za Siasa

Majaliwa azindua uchepushaji maji mto Rufiji, Misri yatangaza fursa

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amezindua kazi ya uchepushaji maji ya mto Rufiji kwenda handaki ili kupisha ujenzi wa tuta kuu la...

Habari Mchanganyiko

Rais Mwinyi awatumbua vigogo 2 Z’bar

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Afya wa Wizara ya Afya, Dk. Jamala Adam Taib na...

Habari Mchanganyiko

Milioni 39 wapona corona duniani

MAAMBUKIZO ya virusi vya corona (COVID-19) duniani yamefikia milioni 56.1, waliopona milioni 39.1 na waliofariki kutokana na ugonjwa huo wakiwa milioni 1.3. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Wahamiaji 36 wa Ethiopia, Somalia wadakwa Dar

WAHAMIAJI haramu 36 raia wa Ethiopia na Somalia walioingia nchini Tanzania kinyume na taratibu, wamekamatwa. Anaripoti Mwandishi Wetu Wahamiaji hoa wamekamatwa na vyombo...

Habari Mchanganyiko

Rais Mwinyi kutangza mawaziri kesho

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi kesho Alhamisi tarehe 19 Novemba 2020, ataweka wazi sura ya baraza lake jipya la mawaziri. Anaripoti...

ElimuHabari Mchanganyiko

Klabu ya Udasa yafungwa

JUKWAA la wakufunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa) nchini Tanzania, limekana madai kuwa limefunga shughuli zake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Michezo

Kigogo Yanga asimamishwa kazi

KAMATI ya Utendaji ya klabu ya Yanga imemsimamisha kazi Kaimu Katibu Kkuu wa klabu hiyo, Wakili Simon Patrick ambaye pia alikuwa mkurugenzi wa...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yapata msiba Z’bar

KADA maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Visiwani Zanzibar, Zawadi Salehe Makame, amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Kwa mujibu wa...

Habari za Siasa

CCM yalia kuibiwa kura

ZAIDI ya wanachama 1,100 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Mwakizega, Uvinza mkoani Kigoma, wamerejesha kadi za chama hicho wakidai, mgombea wa...

Michezo

Tunisia yachungulia fainali za AFCON, Stars njia panda

TIMU ya Taifa wa Tunisia imejiweka pazuri kueleka katika Fainali za Mataifa Afrika (AFCON) baada ya kutoka sare katika mchezo wake wa ugenini...

Habari za Siasa

Polisi Z’bar wamwachia Mazrui

JESHI la Polisi Visiwani Zanzibar leo Jumanne tarehe 17 Novemba 2020, limemwachia kwa dhamana Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Nassor Ahmed...

Michezo

CECAFA vijana kupigwa 22 Novemba

MICHUANO ya Baraza la mashirikisho ya soka Afrika mashariki na kati ‘CECAFA’ kwa vijana chini ya umri wa miaka 20 yatafanyika 22 Novemba...

HabariTangulizi

Kigogo wa Polisi afariki dunia

DHAHIR Kidavashari (56), Aliyekuwa kaimu Kamishna wa fedha na lojistiki wa Jeshi la Polisi Tanzania amefariki dunia usiku wa kuamkia leo tarehe 17...

Habari Mchanganyiko

Mkurugenzi Jamii Forum ahukumiwa

MAXENCE Melo, Mkurugenzi wa Mtandao wa Jamii Forums,  amehukumiwa kutotenda kosa la kuzuia Jeshi la Polisi kutekeleza wajibu wao kwa mwaka mmoja. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari Mchanganyiko

Kiongozi wa waasi, wenzake 18 wahukumiwa kifo

SOULEYMAN Keita, kiongozi wa kundi la waasi la Ansar Dine la Iyad Ag Ghali nchini Mali na wenzake 18, mwishoni mwa wiki wamehukumiwa  kifo...

Habari Mchanganyiko

Mauaji ya diwani mteule CCM, tisa washikiliwa                             

WATU tisa wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Pwani kwa madai ya kuhusika katika mauaji ya Fatuma Ngozi, aliyekuwa diwani mteule wa Kata...

Habari Mchanganyiko

Abel & Fernandes, St. Laurent wajitosa kudhibiti kisukari

WATANZANIA wametakiwa kujitokeza kupima afya zao mara kwa mara ili kudhibiti magonjwa mbalimbali ikiwemo kisukari ambao hadi sasa umeathiri zaidi ya watu milioni...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli ataja mrithi wake 2025, Lukuvi na Kabudi ‘out’

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amesema, mtu atakayerithi mikoba yake baada kutoka madarakani mwaka 2025, hatakuwa na umri mkubwa zaidi yake. Anaripoti...

Habari za Siasa

Magufuli atoa sababu kumteua haraka Kabudi, Mpango

RAIS wa Taznania, John Pombe Magufuli ameeleza namna ‘alivyokoshwa’ na utendaji wa Prof. Palamagamba Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikian wa...

Michezo

TFF yaeleza sababu Stars Vs Tunisia kucheza saa 4 usiku

KATIBU Mkuu wa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania, (TFF) Wilfred Kidao amesema, haki za matangazo ya Televisheni ndio iliyosababisha mchezo kati ya...

Habari za Siasa

Magufuli amtisha Majaliwa

JOHN Pombe Magufuli, Rais wa Tanzania amemtahadharisha, Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Kassim Majaliwa kuwa endapo atashindwa kutekeleza wajibu wake ipasavyo atamwondoa. Anaripoti...

Habari za Siasa

JPM awaonya wanaosaka uwaziri kwa waganga

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amesema, atachelewa kuunda Baraza la Mawaziri, ili apate muda wa kuchagua mawaziri wenye sifa watakaomsaidia kutekeleza Ilani...

Habari za Siasa

Majaliwa: Mh. Rais, naanza na saruji

KASSIM Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania, ameagiza maofisa wa wizara yake na wakuu wa mikoa kwenda katika viwanda vya uzalishaji saruji, kujua sababu...

Habari za Siasa

Dk. Mpango ahofia vita ya kiuchumi ‘umasikini bado mkubwa’

DAKTARI Phillip Mpango, Waziri wa Fedha na Mipango wa Tanzania ameahidi kutumia vyema rasilimali zilizopo nchini kupunguza umasikini, badala ya kutegemea fedha za...

Habari za Siasa

Magufuli amuapisha waziri mkuu, mawaziri 2

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemuapisha, Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Majaliwa ameapishwa leo Jumatatu tarehe...

Michezo

MO Dewji: Chama kwenda Yanga? ‘tumemaliza naye’

MWENYEKITI wa Klabu ya Simba, Mohamed Dewji ‘MO Dewji’ amesema, mchezaji wao, Clatous Chama ataendelea kuhudumu klabuni hapo hadi mwaka 2022. Anaripoti Mwandishi...

error: Content is protected !!