Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Milioni 39 wapona corona duniani
Habari Mchanganyiko

Milioni 39 wapona corona duniani

Spread the love

MAAMBUKIZO ya virusi vya corona (COVID-19) duniani yamefikia milioni 56.1, waliopona milioni 39.1 na waliofariki kutokana na ugonjwa huo wakiwa milioni 1.3. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Mtandao wa worldometer hadi leo jioni Jumatano tarehe 18 Novemba 2020 umeripoti, Marekani inaongoza kwa kuwa na maambukizo milioni 11.69 kati yao, milioni saba wamepona na waliofariki wakiwa 254,315.

India inafuatia nafasi ya pili ikiwa na maambukizo milioni 8.92, waliopona milioni 8.3 na waliofariki dunia kutokana na virusi hivyo wakiwa 131,114.

Taifa la Brazil linashika nafasi ya tatu likiwa na maambukizo milioni 5.9, kati ya hao waliopona milioni 5.3 na waliofariki dunia wakiwa 166,743.

China ambako ugonjwa huo unaelezwa ulianzia mwishoni mwa mwaka 2019, inashika nafasi ya 65 duniani ikiwa na maambukizo 86,369, kati ya hao, waliopona ni 81,411 na vifo vikiwa 4,634.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

error: Content is protected !!