Saturday , 27 April 2024

Habari za Siasa

Habari za Siasa

Utumbuaji sasa wapiga hodi kwa vikosi vya SMZ

MAOFISA kadhaa wa ngazi ya juu, kutoka vikosi vya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za matumizi mabaya ya ofisi...

Habari za Siasa

Mhagama ataka ripoti mabaraza ya kazi

JENISTA Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Sera, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu amemwagiza Msajili wa Vyama vya Wafanyakazi na...

Habari za Siasa

Profesa Jay: Mimi ni mbunge nje ya Bunge, Bob Wine… 

JOSEPH Haule, maarufu Profesa Jay amesema, yeye ni mbunge nje ya Bunge. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Amesema hayo leo...

Habari za Siasa

CCM wabanana mbavu

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Iringa kimetengeneza utaratibu mpya wa kuwapima madiwani na wabunge wake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Iringa … (endelea). Sasa...

Habari za SiasaTangulizi

JPM amwangukia Maalim Seif

DAKTARI John Magufuli, Rais wa Tanzania amemwomba Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar kumsaidia Dk. Hussein Ali Mwinyi, rais...

Habari za SiasaTangulizi

Alichokisema Rais Mwinyi miaka 57 ya Mapinduzi

RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi, amewaomba Wazanzibar kushirikiana na Serikali yake kufanya mageuzi ya kiuchumi, ili kuyaenzi mapinduzi matukufu ya tarehe 12 Januari...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi asamehe wafungwa 49

RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi, ametoa msamaha kwa wafungwa 49, waliokuwa wakitumikia magereza ya Unguja na Pemba. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli aizungumzia Chato

RAIS wa Tanzania, John Magufuli amesema Wilaya ya Chato iliyoko mkoani Geita, ilianza kujengwa na Baba wa Taifa, Hayati Julius Nyerere. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli, Nyusi waweka jiwe la msingi hospitali ya Kanda Chato

MARAIS John Magufuli wa Tanzania na Filipe Nyusi wa Msumbiji, wametoa maagizo kwa watendaji wanaosimamia ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif aripoti ofisini kwake, atoa maagizo

MAALIM Seif Sharif Hamad, Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, amewataka watumishi wa ofisi yake, wanakuwa nadhifu kuanzia mavazi mpaka maeneo yao...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Bashiru ‘amshambulia’ Mbowe

DAKTARI Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amekinzana na kauli aliyoitoa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari za Siasa

JPM ateta na kigogo wa China, aomba msamaha

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Mjumbe wa Baraza la Taifa na Waziri wa Mambo ya Nje wa...

Habari za SiasaTangulizi

SUK ni ‘sherehe’ Z’bar

UAMUZI wa Chama cha ACT-Wazalendo kushiriki katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa visiwani Zanzibar (SUK), unaonekana kuwa wa busara. Anaandika Mwandishi Wetu, Zanzibar…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Upinzani una faida kubwa kwa Nchi – Aman Karume

DK. Aman Abeid Karume, rais mstaafu wa Zanzibar amesema, kukosekana kwa wawakilishi wa vyama vya upinzani bungeni na  Baraza la Wawakilishi, kunachochea Serikali...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif aeleza tiba ajira za ubaguzi Z’bar

MAALIM Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, ameeleza kuanzishwa kwa mfumo mpya wa ajira ikiwa ni hatua za kutibu ubaguzi...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Karume, azungumzia muungano wa Maalim Seif na Dk. Mwinyi

RAIS mstaafu wa Zanzibar, Aman Abeid Karume, amesifu hatua ya Maalim Seif Sharif Hamad, kukubali kujiunga katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa visiwani...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Msiogope

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amewataka Watanzania waliosimama na upinzani katika uchaguzi mkuu uliopita mwaka 2020, wasiogope. Anaripoti Mwamdishi...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo: Membe ametupa funzo  

HATUA ya Bernard Membe, aliyekuwa mshauri mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, kukitelekeza chama hicho, imekera viongozi wake. Anaripoti Brigthness Boaz, Dar es Salaam...

Habari za Siasa

Maalim Seif aanza kuwakamua sumu Wazanzibari

MAALIM Self Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, ameeleza athari  zinazotokana na siasa za mivutano. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar …...

Habari za Siasa

Mbatia aanza mwaka kwa maneno mazito

JAMES Mbatia, Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi amesema, uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 2020, umelivua nguo Taifa. Anaandika Yusuph Katimba, Dar es Salaam…(endelea). Katika...

Habari za Siasa

Lissu: Tusishiriki tena uchaguzi hadi…

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara nchini Tanzania, Tundu Lissu, amevishauri vyama vya siasa vya upinzani nchini humo, kutoshiriki...

Habari za SiasaTangulizi

Membe aimwaga ACT-Wazalendo

ALIYEKUWA mgombea urais kupitia chama cha ACT Wazalendo, Bernard Membe ametangaza rasmi kujiuzulu uanachama na na nafasi ya mshauri mkuu wa chama hicho....

Habari za SiasaTangulizi

TRA yaweka historia, yakusanya Trilioni 2 Desemba

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imeweka historia ya makusanyo ya mapato kwa Desemba 2020, kwa kukusanya Sh.2.088 trilioni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari za Siasa

Vigogo hospitali za serikali kikaangoni, Waziri Gwajima…

SERIKALI ya Tanzania, imeagiza mamlaka husika kuzifanyia uchunguzi hospitali zote za umma, ili kubaini sababu za kukwama kwa mfumo wa utoaji huduma za...

Habari za Siasa

Taasisi 20 za Serikali zapewa siku 30 kulipa bilioni 30 za TTCL

WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk. Faustine Ndugulile amezipa siku 30 taasisi za umma zinazodaiwa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL)...

Habari za SiasaTangulizi

Masharti yatolewa kuuaga mwaka 2020, mwisho saa 6:30 usiku

WAZIRI wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene amepiga marufuku, makongamano ya dini au mikutano ya mikesha inayofanyikia viwanja vya wazi usiku...

Habari za SiasaTangulizi

Takukuru yaiokoa Tanesco, yawaonya wakandarasi 16

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) nchini Tanzania, imerejesha vifaa ghafi vya umeme vya zaidi ya Sh.1.2 bilioni kwa Shirika la...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Mwinyi abaini ufisadi taasisi za umma ‘tutawagusa wote’

RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi amesema, katika kipindi kifupi alichokaa madarakani, amebaini ubadhirifu wa fedha za umma katika taasisi za Serikali. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi ateua Ma DC

RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi, amefanya uteuzi wa wakuu wa wilaya (DC) kumi visiwani humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Uteuzi huo...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli asimulia alivyonusurika kifo, atua Chato

RAIS wa Tanzania, John Magufuli, amekagua maendeleo ya ujenzi wa daraja la Kigongo – Busisi, lililopo jijini Mwanza, litakalokuwa na urefu wa 3.2...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee waanzisha vita mpya Chadema

HATUA ya Halima James Mdee na wenzake 18, kushitaki Kamati Kuu (CC) ya (Chadema, mbele ya Baraza Kuu la taifa (BKT), yaweza kuwa...

Habari za Siasa

Rais Magufuli amtumbua DED

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora, Revocatus Kuuli. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Majengo chakavu Z’bar kufungwa, Dk. Mwinyi atoa maagizo  

RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi ameagiza Tume ya Uchunguzi wa Majengo ya Kihistoria yaliyoko katika Mji Mkongwe, atakayoiunda, kuwahi kutoa orodha ya majengo...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kisa bando la intaneti, TCRA yapewa siku 90

WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (Tehama) nchini Tanzania, Dk. Faustine Ndugulile, ameipa miezi mitatu (siku 90), Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA),...

Habari za SiasaTangulizi

Vigogo TPA wasimamishwa, bandari tano kuchunguzwa na CAG

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amemuagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kufanya ukaguzi maalum Bandari za Dar es Salaam, Mwanza,...

Habari za Siasa

Rais Magufuli amwokoa Sugu

RAIS John Magufuli ameagiza Hoteli ya Desderia inayomilikiwa na aliyekuwa Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, isivunjwe. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Taarifa hiyo...

Habari za Siasa

Mauaji mkesha wa Krismas

WATU kadhaa wameuawa Kaskazini Mashariki mwa Nigeria baada ya wanamgambo wa Boko Haram kushambulia vijiji vya Wakristo na kuteketeza Kanisa wakati wa Mkesha...

Habari za Siasa

Zitto, Mdee washinda tuzo ya mwanasiasa bora mtandaoni

KIONGOZI wa Chama Cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe na aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), Halima Mdee,  wameshinda tuzo za...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yaibwaga CCM, ACT-Wazalendo

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeshinda Tuzo ya Watu, Taasisi na Chapa, zinazoongoza mtandaoni (Tanzania Digital Awards), kwenye kipengele cha chama bora cha...

Habari za Siasa

Kanisa Anglikana: Tuepushe visasi

VYAMA vya siasa nchini, vimetakiwa kumaliza tofauti zao kwa kukaa meza moja na kuzungumza ili kuweza kufikia mwafaka wa kupata amani badala ya kutunishiana...

Habari za Siasa

Rais Magufuli awatakia Watanzania Heri ya Krismas

RAIS wa Tanzania, Dk. John Magufuli ameungana na Watanzania kuadhimisha siku ya kuzaliwa Yesu Kristo, kwa kusali Misa Takatifu ya Krismasi. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Lissu aeleza machungu ya 2020

TUNDU Lissu, aliyekuwa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 28 Oktoba 2020, amesema...

Habari za Siasa

Polepole arusha vijembe upinzani

HUMPHREY Polepole, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameeleza kuwashangaa wapinzani kwa kudhani kampeni nzuri zinaweza kuwapa ushindi. Hamis Mguta,...

Habari za Siasa

Jecha aibuka, amtuhumu Maalim Seif kuiba kura

JECHA Salim Jecha, aliyekuwa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), ameibuka upya. Safari hii anasema, aliyekuwa mgombea urais wa Zanzibar, katika uchaguzi...

Habari za Siasa

Rais Magufuli ahofia udukuzi nyaraka za Serikali

RAIS wa Tanzania, Dk. John Magufuli ameiagiza Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, kutoendesha shughuli zake kwa njia ya mtandao, ili kudhibiti...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Bagonza: Amani hailetwi kwa majeshi

ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania  (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera, Dk. Benson Bagonza, amani hailetwi kwa majeshi, itikadi yoyote...

Habari za Siasa

Miradi inayofadhiliwa na China, yayumba Pakistan 

VURUGU za kisiasa, kukua kwa deni la nje na mlipuko wa ugonjwa wa COVID-19, vimesababisha kupunguza uwekezaji wa China nchini Pakistan, ambapo Beijing...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi awasimamisha kazi vigogo Wizara ya Fedha

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi amemsimamisha kazi, Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii visiwani humo(ZSSF), Sabra Issa Machano na watendaji...

Habari za Siasa

Rekodi  inayowaumiza Chadema

MWAKA 2020 unaelekea ukingoni, hata hivyo umeacha jambo ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Ndani ya...

Habari za Siasa

Mwaka 2020 Nenda mwana kwenda – 1

MWAKA 2020 uondoke na usirejee tena, kutokana na jinsi ulivyoacha maumivu, malalamiko, uharibifu na kugharimu maisha ya baadhi ya watu. Anaandika Mwandishi Wetu…(endelea)....

error: Content is protected !!