CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), nchini Tanzania, kimejifungia Visiwani Zanzibar, kuweka mkakati wake wa kisiasa, ili kuweza kukabiliana na Chama Cha Mapinduzi...
By Hamisi MgutaJanuary 28, 2021MAAMBUKIZO ya virusi vya corona (COVID-19) duniani, yamefikia milioni 100.34, waliofariki kwa ugonjwa huo ni milioni 2.15 na waliopona milioni 72.39. Anaripoti Mwandishi...
By Hamisi MgutaJanuary 26, 2021KATIKA kuchukua tahadhari dhidi ya kusambaa kwa maambukizo ya virusi vya corona (COVID-19), Sahle – Work Zewde, Rais wa Ethiopia amepimwa joto...
By Hamisi MgutaJanuary 25, 2021NAIBU Waziri Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), David Silinde ameagiza halmashauri zote nchini Tanzania, kuhakikisha hakuna mwanafunzi...
By Hamisi MgutaJanuary 23, 2021ALIYEKUWA mgombea Udiwani wa Saranga Jimbo la Kibamba, Dar es Salaam kupitia NCCR-Mageuzi, Frank Rugwana ametangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
By Hamisi MgutaJanuary 23, 2021BARAZA la Uuguzi na Ukunga Tanzania, limemwondoa kwenye orodha ya wauguzi na wakunga Tanzania, Valentine Kinyanga wa kituo cha afya Mazwi, Sumbawanga Mkoa...
By Hamisi MgutaJanuary 23, 2021MAKAMO wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amesihi Wazanzibari kuendelea kustahamili shida kabla ya kutarajia matokeo ya haraka ya...
By Hamisi MgutaJanuary 21, 2021TUME ya taifa ya uchaguzi nchini (NEC), imeitaka serikali ya Marekani kueleza, ni namna gani uchaguzi mkuu uliyopita nchini Tanzania ulivyoingiliwa. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....
By Hamisi MgutaJanuary 21, 2021RAIS John Magufuli ameeleza kusikitishwa na kifo cha Martha Umbulla, mbunge wa viti maalumu kupitia ChamaCha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Katika salamu...
By Hamisi MgutaJanuary 21, 2021JAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, ameagiza mahakimu na majaji kuanza kutoa muhtasari wa hukumu kwa lugha ya Kiswahili, kuanzia Februari 2021....
By Hamisi MgutaJanuary 18, 2021RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Matumizi ya Ardhi, Dk. Steven Nindi. Anaripoti...
By Hamisi MgutaJanuary 17, 2021CHAMA cha NCCR- Magezi, nchini Tanzania, kimefanya mabadiliko makubwa katika uongozi wake wa kitaifa. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Katika mabadiliko hayo, Martha Chiomba, ambaye alikuwa...
By Hamisi MgutaJanuary 17, 2021CHAMA cha siasa cha upinzani nchini Tanzania, NCCR-Mageuzi “Katiba Mpya ni takwa la lazima kwa Watanzania, penda usipende.” Anaripoti Hamis Mguta, Dar es...
By Hamisi MgutaJanuary 16, 2021RAIS wa Tanzania, John Magufuli amesema Wilaya ya Chato iliyoko mkoani Geita, ilianza kujengwa na Baba wa Taifa, Hayati Julius Nyerere. Anaripoti Mwandishi...
By Hamisi MgutaJanuary 11, 2021KLABU ya Simba ya jijini Dar es Salaam nchini Tanzania imesema, makocha 55 wametuma wasifu (CV) wakiwania nafasi moja ya kuwafundisha mabingwa hao...
By Hamisi MgutaJanuary 10, 2021HOSPITALI ya Aga Khan imepewa jukumu la kupima virusi vya corona (COVID-19) kwa gharama ya Sh. 275,000 kwa Mtanzania. Anaandika Hamis Mguta, Dar...
By Hamisi MgutaJanuary 8, 2021FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amewataka Watanzania waliosimama na upinzani katika uchaguzi mkuu uliopita mwaka 2020, wasiogope. Anaripoti Mwamdishi...
By Hamisi MgutaJanuary 5, 2021LEONEL Messi, mshambuliaji wa Klabu ya Barcelona na Argentina anawindwa. Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea). Mkufunzi wa zamani wa Klabu ya Tottenham Hotspur ya...
By Hamisi MgutaDecember 26, 2020VYAMA vya siasa nchini, vimetakiwa kumaliza tofauti zao kwa kukaa meza moja na kuzungumza ili kuweza kufikia mwafaka wa kupata amani badala ya kutunishiana...
By Hamisi MgutaDecember 25, 2020MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam imetaifa madini yenye gramu zaidi ya 800 ya mfanyabiashara Haji Hassan (52) na Jamas...
By Hamisi MgutaDecember 23, 2020MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar Es Salaam, imeiamuru Kampuni ya Mwasiliano ya Halotel Tanzania, kulipa fidia Sh. 42 Bilioni. Anaripoti Mwandishi...
By Hamisi MgutaDecember 23, 2020RAIS wa Tanzania, John Magufuli amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani, Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi, kuwa Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa...
By Hamisi MgutaDecember 23, 2020MWAKA 2020 uondoke na usirejee tena, kutokana na jinsi ulivyoacha maumivu, malalamiko, uharibifu na kugharimu maisha ya baadhi ya watu. Anaandika Mwandishi Wetu…(endelea)....
By Hamisi MgutaDecember 22, 2020TUNDU Antipas Lissu, aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu uliyopita, bado yuko kwenye makazi yake nchini Ubelgiji na anasema, “mapambano yanaendelea.”...
By Hamisi MgutaDecember 22, 2020ABOUBAKAR Kunenge, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amstukiza mkandarasi wa ujenzi wa Soko la Tandale ili kujiridhisha kama ametekeleza maagizo ya...
By Hamisi MgutaDecember 22, 2020CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimetuma salamu za pole kufuatia kifo cha Askofu wa Jimbo la Katoliki Tanga, Anthony Banzi. Anaripoti Mwandishi wetu… (endelea). Askofu Banzi...
By Hamisi MgutaDecember 20, 2020ANNA Mghwira, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ameagiza watendaji na wakurugenzi wa mkoa huo kuhakikisha wanakamilisha ujenzi wa madarasa mapema ili wanafunzi waliochaguliwa...
By Hamisi MgutaDecember 20, 2020MWAKA 2020, umekuwa wa vilio na majonzi kwa Watanzania baada ya kuondokewa na viongozi waandamizi mbalimbali akiwemo, Rais mstaafu wa awamu ya tatu,...
By Hamisi MgutaDecember 19, 2020RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi amesema, aliamua kufanya mazungumzo na Chama cha ACT-Wazalendo kinachoongozwa na Maalim Seif Shariff Hamad ili kuunda Serikali ya...
By Hamisi MgutaDecember 18, 2020BALOZI John Kijazi, Katibu Mkuu Kiongozi nchini Tanzania, amesimikwa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Anaripoti Hamisi Mguta…(endelea). Kabla ya nafasi...
By Hamisi MgutaDecember 17, 2020RAIS wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, amemteuwa mwanaye Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba. kuwa mkuu wa kikosi cha ulinzi wa Rais (SFC). Inaripoti mitandao...
By Hamisi MgutaDecember 17, 2020PHILIP Japhet Mangula, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), alichungulia kaburi katika mwaka huu wa 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)....
By Hamisi MgutaDecember 17, 2020KUTANA na Happy Mushi maarufu ‘Dada Bajaji’ akisimulia safari fupi ya maisha yake. Happy anayefanya shughuli zake katika eneo la Goba jijini Dar...
By Hamisi MgutaDecember 16, 2020ALIYEKUWA Mbunge wa Kilwa Kusini kupitia Chama Cha Wananchi (CUF), Selemani Bungara maarufu ‘Bwege’ ametoa msimamo wake wa kisiasa mara baada ya kushindwa...
By Hamisi MgutaDecember 8, 2020BARAZA la Uongozi la Chama cha ACT-Wazalendo, tayari limependekeza jina la Makamu wa Kwanza wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUK), lakini...
By Hamisi MgutaDecember 6, 2020CHAMA cha ACT – Wazalendo, kimekubali kuungana na Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), visiwani Zanzibar. Anaripoti...
By Hamisi MgutaDecember 6, 2020MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Aboubakar Kunenge amewataka wakuu wa wilaya za jiji hilo (DC) kuhakikisha wanasimamia shughuli ya usafiri...
By Hamisi MgutaDecember 2, 2020HALIMA James Mdee na wenzake 18 wamepata kigugumizi kuweka wazi, mchakato uliofanyika kupatikana kwao hadi kwenda bungeni jijini Dodoma kuapishwa kuwa wabunge wa...
By Hamisi MgutaDecember 1, 2020ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha), Halima James Mdee amesema, yeye pamoja na wenzake 18 hawatoondoka ndani ya chama hicho...
By Hamisi MgutaDecember 1, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, kimetangaza kuwafukuzwa uanachama wanachama Halima Mdee na wenzake 18 kwa tuhuma za usaliti. Anaripoti Hamis...
By Hamisi MgutaNovember 27, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amezindua kazi ya uchepushaji maji ya mto Rufiji kwenda handaki ili kupisha ujenzi wa tuta kuu la...
By Hamisi MgutaNovember 18, 2020TUNDU Lissu, aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema, “sikimbii vita, nakwenda kufungua uwanja mwingine wa mapambano...
By Hamisi MgutaNovember 11, 2020TUNDU Antipas Lissu, aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania, katika uchaguzi mkuu uliyopita, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameondoka nchini kwenda Ubeljiji....
By Hamisi MgutaNovember 10, 2020KIONGOZI wa chama cha upinzani nchini Tanzania, ACT-Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe amesema, wananchi wasitegemee kuwaona wabunge wa chama hicho wakienda bungeni. Anaripoti Hamis...
By Hamisi MgutaNovember 8, 2020CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, kinakabiliwa na mtihani mwingine mzito juu ya hatma ya nafazi zake za wabunge wake wa...
By Hamisi MgutaNovember 7, 2020KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania Etienne Ndayilagije ameita kikosi chenye wachezaji 27 kitakacho ingia kambini kwa ajili ya kujiwinda na mchezo...
By Hamisi MgutaNovember 5, 2020BAADA ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Raja Casablanca, klabu ya soka ya Zamalek imetinga hatua ya fainali ya kombe...
By Hamisi MgutaNovember 5, 2020WAKAZI wa Mji wa Geita wanafurahia kuwa sehemu ya mradi wa bustani ya kupumzikia inayoanza kujengwa na Kampuni ya Geita Gold Mining Limited...
By Hamisi MgutaNovember 5, 2020DONALD Trump, Rais wa Marekani amesema, uchaguzi mkuu nchini humo uliofanyika jana Jumanne tarehe 3 Novemba 2020 umekubwa na udanganyifu na kupanga kwenda...
By Hamisi MgutaNovember 4, 2020ALLY Mohamed Keissy, aliyekuwa mbunge wa Nkasi Kaskazini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania amesema, kilichomfanya akashindwa kutetea nafasi hiyo ni hujuma...
By Hamisi MgutaNovember 3, 2020