Thursday , 18 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Nafasi ya Mkapa yapata mrithi UDOM
Habari Mchanganyiko

Nafasi ya Mkapa yapata mrithi UDOM

Marehemu Benjamin Mkapa
Spread the love

BALOZI John Kijazi, Katibu Mkuu Kiongozi nchini Tanzania, amesimikwa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Anaripoti Hamisi Mguta…(endelea).

Kabla ya nafasi hiyo kutwaliwa na Balozi Kijazi baada ya kuteuliwa na Rais John Magufuli, mkuu wa UDOM alikuwa Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa aliyefariki dunia tarehe 24 Julai 2020.

Balozi Kijazi aliuliwa na Rais Magufuli tarehe 21 Agosti 2020 kushika wadhifa huo.

Balozi John Kijazi

Gaudencia Kabaka, Mwenyekiti wa Baraza la chuo hicho amemsimika Balozi Kabaka kwenye mahafali ya 11 yaliyofanyika leo Alhamisi tarehe 17 Desemba 2020 jijini Dodoma.

Baada ya kusimikwa, Balozi Kijazi amesema milango ipo wazi kwa ajili ya kuwasilisha changamoto zinazokikabili chuo hicho huku akisisitiza kufuata taratibu zilizowekwa na chuo hicho.

2 Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

Spread the loveJACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza,...

Habari Mchanganyiko

Serikali yatoa ajira watumishi 46,000, yatangaza utaratibu mpya kuajiri

Spread the loveSERIKALI imetangaza nafasi za ajira za watumishi wa umma 46,000...

error: Content is protected !!