Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa RC K’njaro ataka ‘spidi’ ujenzi wa madarasa
Habari za Siasa

RC K’njaro ataka ‘spidi’ ujenzi wa madarasa

Anna Mghwira, Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro
Spread the love

ANNA Mghwira, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ameagiza watendaji na wakurugenzi wa mkoa huo kuhakikisha wanakamilisha ujenzi wa madarasa mapema ili wanafunzi waliochaguliwa kuanza Kidato cha Kwanza, wasikose nafasi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kilimanjaro…(endelea).

Ametoa kauli hiyo kwenye kikao maalum cha kujadili changamoto ya uhaba wa madarasa na kwamba, katika wilaya za Hai, Moshi Vijijini, Siha na Same wanakabiliwa na uhaba wa madarasa yapatayo 60.

“Wanafunzi 2,900 hawataweza kuendelea na masomo ya Kidato cha Kwanza ambapo Hai wataishindwa kuendelea ni 890, Moshi Vijijini 350, Same 1,414 na Siha 305,” amesema Mghwira.

Pia amemtaka Ofisa Elimu wa Mkoa, Paulina Mkwama kuhakikisha anarekebisha Ikama ya Walimu katika baadhi ya wilaya kutoka na upungufu mkubwa wa walimu unaokabili mkoa huo.

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!