Monday , 29 May 2023
Home mwandishi
6662 Articles1127 Comments
Habari za Siasa

Daktari: Membe hajapewa sumu

  DAKTARI wa aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje nchini Bernard Membe, ameondoa utata kuhusu ya kifo cha mwanasiasa huyo mkongwe na...

Kimataifa

Maofisa 110,000 wakalia koti kavu kwa ufisadi China

  CHAMA tawala cha China (CCP), kimewaadhibu zaidi ya maofisa 110,000, katika mapambano ya ufisadi. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Kwa mujibu...

Habari za Siasa

Wanakijiji Kinyang’erere waepukana na adha ya usafiri

  WANAKIJIJI zaidi ya 4,000 wa Kinyang’erere, Musoma Vijijini mkoani Mara, wameepukana na adha ya usafiri baada ya Serikali kujenga barabara inayowaunganisha katika...

Habari za Siasa

Tanzania, Uingereza zadhamiria kuimarisha biashara na uwekezaji

TANZANIA imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuimarisha ushirikiano wake na Serikali ya Uingereza katika sekta za biashara pamoja na uwekezaji. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari za Siasa

Balozi Shelukindo ateta na mabalozi China, Italia, Denmark…

KATIBU Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dk. Samwel Shelukindo amekutana na kuzungumza na mabalozi wa China,...

Habari za Siasa

BAWACHA waandamana, polisi wawapa ulinzi mzito

  HATIMAYE Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) leo Alhamisi wamekusanyika kwenye viwanja vya posta ya zamani jijini Dar es salaam na kuandamana...

Michezo

Cheza kasino ya Meridianbet ushinde

  UNAHITAJI urahisi wa odds kubwa, michezo mingi ya kasino ya mtandaoni, kuhusu machaguo mengi, ofa na promosheni na bonasi juu, ichague Meridianbet...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango aagiza mawakili wala rushwa ‘vigeugeu’ washughulikiwe

  MAKAMU wa Rais wa Dk. Philip Mpango ametoa wito kwa Chama Cha Mawakili Tanganyika (TLS) na Kamati ya Mawakili kuchukua hatua kali...

Michezo

Majaliwa aipongeza Yanga, aitaka Simba ijifunze

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Klabu ya Yanga kwa kuichabanga timu ya Marumo Galants kutoka nchini Afrika Kusini jumla ya bao 2-0...

Habari Mchanganyiko

Mradi wa 630 milioni kufaidisha wakazi 12,500

  ZAIDI ya wakazi 12,500 wa vijiji vya Milola na Mavimba Wilayani Ulanga mkoani Morogoro wanatarajia kunuafaika na mradi wa maji wenye thamani...

Habari Mchanganyiko

Wabunge watembelea pori la akiba Kilombero, waahidi ushirikiano kulinda mazingira

  MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imesema pori la Akiba Kilombero ni chachu ya kufungua fursa za utalii ikiwemo shughuli za...

Habari Mchanganyiko

GGML Kili Challenge-2023 kukusanya bilioni 2 kudhibiti VVU/UKIMWI

KAMPENI ya GGML Kili Challenge inayoratibiwa na Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS)...

Habari Mchanganyiko

Tanzania, Uganda zakubaliana kuondoa vikwazo vya kibiashara

TANZANIA na Uganda zimekubaliana kuondoa vikwazo vya biashara ili kuendelea kuboresha ushirikiano kati ya mataifa hayo kwenye nyanja mbalimbali. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Makubaliano...

Michezo

Yanga yaizaba Marumo, yaweka mguu mmoja fainali CAFCC

WAWAKILISHI pekee katika Kombe la Shirikisho barani Afrika, Klabu ya Yanga SC imejiweka nafasi nzuri ya kutinga Fainali ya Michuano hiyo baada ya...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa atembelea Banda la NMB, atoa maagizo

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amezielekeza halmashauri zote za wilaya na miji, kwenye maeneo yenye madini ziandae sheria ndogo (by-laws) kwa kushirikiana na wadau...

Habari Mchanganyiko

Polisi wamuaga rasmi IGP Mstaafu, Balozi Simon Sirro

JESHI la Polisi Tanzania, limemuaga rasmi IGP Mstaafu, Balozi Simon Sirro leo tarehe 10 Mei  2023 baada ya kustaafu Utumishi ndani ya Jeshi...

Habari za Siasa

Lissu ashuhudia gari lake polisi, akanusha uvumi wa kuzuiwa kuliona, ataka waliompiga risasi watafutwe

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ameliomba jeshi la polisi nchini kuendelea kumsaka aliyehusika na shambulio dhidi...

Michezo

Meridianbet yamtambulisha mshindi wa milioni 60

  MANENO kidogo pesa nyingi kauli hii inathibitishwa na moja ya mteja wa Meridianbet (Jina lake limehifadhiwa) alicheza Sloti ya Aviator na kupiga...

Habari za Siasa

Waitara alia tena, wabunge wamcheka… atoka bungeni

  MBUNGE wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) leo Jumanne ameangua tena kilio bungeni na kutoka nje ya ukumbi wa mhimili huo kwa...

Habari Mchanganyiko

NMB, ZIPA zasaini makubaliano kukuza uwekezaji Zanzibar

KATIKA kuunga mkono jitihada za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), kuharakisha maendeleo ya kiuchumi, Benki ya NMB na Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji...

Kimataifa

Mahakama yaagiza akaunti 15 za mchungaji mwenye utata Ezekiel Odero kuzuiliwa

  AKAUNTI 15 zinazomilikiwa na Mchungaji mtata, Ezekiel Odero, zimeamriwa na Mahakama nchini Kenya kuzuiliwa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Taarifa zinasema, amri...

Habari Mchanganyiko

Maji yaendelea kusambazwa Musoma Vijijini

  WAKALA wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), umeendelea kusambaza maji katika vijiji vya Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Mara. Anaripoti...

Michezo

Meridianbet yamjengea heshima Awesu kitaani kwake

  KAMPUNI ya Meridianbet katika kuhakikisha inarudisha fadhira kwa kwa jamii, iliandaa shindano la mikwaju ya penati ambapo kila itakayozaa goli inalipwa Sh....

Habari za Siasa

Lissu: Chadema haijawahi kuridhiana na Serikali

CHAMA Cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimeiomba Serikali ianze kutekeleza dhana ya maridhiano mapema kabla ya kubandika kwenye matangazo kuwa wameridhiana  kumbe si...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango akemea viongozi wa dini kuburuzana mahakamani

MAKAMU wa Rais  Dk. Philip Mpango amewataka viongozi wa dini nchini kuwa na utaratibu wa kusuluhisha migogoro yao wenyewe badala ya kuipeleka mahakamani....

Habari za Siasa

ACT wazalendo wampa tano Samia kufufua mchakato Katiba mpya

CHAMA cha ACT Wazalendo kimeunga mkono na kuikaribisha kwa mikono miwili hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan kumuagiza Msajili wa Vyama vya Siasa...

Habari Mchanganyiko

Polisi wachunguza kifo cha mwanamke anayehusishwa katika ajali ya Naibu Waziri

JESHI la Polisi nchini limeanza uchunguzi wa kifo cha mwanafuzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom),  Nusura Hassan Abdallah kinachodaiwa kutokana na kipigo...

Habari Mchanganyiko

Dk. Kiruswa atoa wiki moja kuweka ‘bicon’ eneo la wawekezaji Kilimanjaro

NAIBU Waziri wa Madin Dk. Steven Kiruswa ametoa wiki moja kuweka alama (bicon) kwenye mipaka baina ya wawekezaji wawili wa uchimbaji wa madini...

Habari Mchanganyiko

CWT Igunga: Rais Samia amerejesha ari ya walimu kufanya kazi

CHAMA cha Walimu (CWT) Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, kimesema juhudi za  Rais Samia Suluhu Hassan zinatoa muelekeo chanya wa ukuaji wa sekta...

Kimataifa

Mhuhiri Mackenzie, mkewe walalamika polisi kuwanyima chakula

MHUBIRI mwenye utata kutoka nchini Kenya, Paul Mackenzie pamoja na mkewe ambao wamedaiwa kusababisha vifo vya zaidi ya watu 100 ambao waliwalazimisha kufunga...

Habari Mchanganyiko

NMB yakarabati wodi ya uzazi Muhimbili

BENKI ya NMB imekarabati na kukabidhi wodi ya wazazi pamoja na vifaa tiba kwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Ukarabati huo uliogharimu zaidi...

Kimataifa

Mfalme Charles wa tatu wa Uingereza atawazwa rasmi

MFALME Charles wa tatu wa Uingereza ametawazwa leo Jumamosi huko Westminster Abbey kama ilivyokuwa kwa wafalme wengi wa nchi hiyo waliomtangulia. Mara ya...

Kimataifa

Mhubiri Paul Mackenzie, mkewe, wenzie 16 wafikishwa mahakamani

MHUBIRI mwenye utata wa kanisa la Good News International lililopo kaunti ya Kilifi Malindi, Kenya na mkewe Rhoda Mackenzie pamoja na watuhumiwa wengine...

Habari za Siasa

Biashara kati ya Tanzania na Ufaransa yafikia 94 bilioni

UKUAJI wa biashara kati ya Tanzania na Ufaransa umeongezeka kutoka kiasi cha Sh.  27.8 bilioni kwa mwaka 2015 hadi Sh. 94.5 bilioni kwa...

Habari Mchanganyiko

UNICEF wateta na TEF, “Tz ina mazingira mazuri kulinda watoto”

MKURUGENZI Mkuu wa Mawasiliano wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF), Naysan Sahba amesema Tanzania ina mazingira mazuri ya kulinda...

Habari Mchanganyiko

RC Mwanza ataka FEMATA kuwa kinara wa utunzaji mazingira

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Adam Malima ameliomba Shirikisho la vyama vya wachimbaji Tanzania (FEMATA) kusimamia suala la utunzaji wa mazingira kwa wachimbaji...

Habari Mchanganyiko

Infinix, Vodacom kuwanufaisha wanafunzi wa Vyuo Vikuu kupitia Hot 30

KAMPUNI ya Vodacom kwa kushirikiana na Infinix leo wametangaza uzinduzi wa simu mpya ya Infinix toleo la HOT  30 pamoja na kampeni ya...

Kimataifa

Uhaba wataalam wa kidijitali waitia dosari China

KUKITHIRI kwa uhaba wataalam wa kidijitali nchini China huku mahitaji ya watalaam hayo yakiongezeka wakati wa kujiimarisha kiuchumi kumetajwa kuwa ni dosari nchini...

Michezo

Meridianbet yazindua wa duka jipya Buguruni Malapa

  KAMPUNI ya Meridianbet imeendelea kuwasogelea wateja wake baada ya kufanya uzinduzi wa maduka ya kubetia katika maeneo mbalimbali na safari hii wamezindua...

Burudika

Stonebwoy adondosha ‘Dimension’ kolabo na Stormzy, Davido…

MSANII mahiri wa Afro- Dancehall kutoka nchini Ghana aliyesainiwa na lebo ya Def Jam Records, Stonebwoy ameachia albamu mpya ya 5th Dimension, ikiwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa alitaka baraza la michezo AU kukuza michezo, “tusikubali kushika mkia”

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka Mawaziri wa michezo wa Baraza la Michezo la Umoja wa Afrika Kanda ya Nne kuweka nguvu katika kuhakikisha...

Habari Mchanganyiko

Prof. Muhongo aipa Serikali mbinu ya kumaliza umasikini

WAZIRI wa zamani wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo, ameishauri Serikali kupandisha ukuaji wa uchumi wa nchi ili kuondoa umasikini unaowakabili wananchi....

Habari za Siasa

Spika Tulia: Sugu hanitishi, moto wangu anaujua

Spika wa Bunge, Tulia Ackson leo Alhamisi amesema licha ya kuwepo kwa chokochoko kwamba aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo kupitia Chadema, Joseph Mbilinyi...

Kimataifa

Wabunge wapitisha muswada wa ushoga, wapinga pendekezo la Museveni

BUNGE la Uganda jana Jumanne limepitisha rasimu mpya ya muswada wa kupambana na ushoga nchini humo, huku likibakisha baadhi ya vipengele ambavyo Rais...

Habari Mchanganyiko

TRA yataja viwango vipya kodi ya majengo inayotozwa kupitia luku

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imetangaza viwango vipya vya kodi ya majengo vinavyokusanywa kwa kutumia njia ya ununuzi wa umeme kwa wamiliki. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaahidi kuhakikisha tasnia ya habari inasonga mbele

NAIBU Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Kundo Mathew amesema Serikali imeahidi kuhakikisha tasnia ya habari inasonga mbele kwa kutatua...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mwinyi: Tanzania inatambua umuhimu wa vyombo vya habari

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatambua umuhimu...

Habari Mchanganyiko

UN yaipongeza Tanzania kuimarisha uhuru vyombo vya habari

UMOJA wa Mataifa umeipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuimarisha uhuru wa vyombo vya habari nchini licha ya kukosolewa vikali...

Makala & Uchambuzi

Ulinzi hifadhi za Taifa uwe wa kila mtu

UJANGILI wa wanyamapori bado ni tatizo kubwa katika hifadhi za Taifa. Kwa nchi yetu tuna jumla ya hifadhi 22 zinazosimamiwa na Shirika la...

Michezo

Meridianbet yatambulisha promosheni ya Bonus ya Ukaribisho

MERIDIANBET imetanbulisha promosheni mpya ya bonasi ya ukaribisho kutoka kasino ya mtandaoni ambayo inayompa mteja mpya anapata Sh 25,000 na mizunguko 50 ya bure...

error: Content is protected !!