Saturday , 27 April 2024
Home mwandishi
8722 Articles1245 Comments
BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Ubunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na uwekezaji wenye tija inaoufanya kuwahudumia wateja kwa ufanisi vimekuwa kivutio kikubwa kwenye mkutano...

Biashara

Meridianbet yatoa msaada Makongo

  MABINGWA wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet imefika kata ya Makongo leo tawi la Mlalakua kuhakikisha wanagawa vifaa vya usafi katika...

BiasharaMakala & Uchambuzi

Kanda ya Ziwa yaonyesha NMB inavyosaidia afya ya mama na mtoto

Mafanikio inayozidi kupata Tanzania katika kupunguza vifo vya mama na mtoto ni moja ya matokeo makubwa ya kuimarika kwa huduma za afya nchini...

Michezo

Piga pesa na mechi za EUROPA leo hii

Hatimaye Alhamisi ya EUROPA imefika ambapo leo hii mechi kibao nne kupigwa kwenye viwanja mbalimbali hatua ya robo fainali kule, na wewe una...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na viti mwendo kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum wa shule ya sekondari ya Jangwani...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza ajira watendaji daftari wapiga kura

  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza nafasi za kazi za muda kwa watendaji wa vituo vya uboreshai daftari la kudumu...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatangaza ruti awamu ya pili maandamano

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema awamu ya pili ya maandamano ya amani yanayotarajiwa kufanyika tarehe 22 hadi 30 Aprili 2024,...

Biashara

Shinda mpaka 1,250,000/= ukicheza shindano la Expanse Kasino

  KUBWA zaidi kutoka Meridianbet ni promosheni ya Expanse ambayo inahusu michezo ya Kasino ya Mtandaoni, kupitia shindano hili unaweza kushinda mpaka 1,250,000/=...

Biashara

Miaka 20 iliyopita luninga ilikuwa ni ishara ya utajiri

  UKINIULIZA nikutajie idadi ya vifaa vya umeme mashuhuri vilivyokuwa vinatumiwa na Watanzania wengi nyumbani kwa kipindi cha miongo miwili iliyopita nitakujibu kuwa...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

JACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza, kwa tuhuma za kumchoma visu hadi kumuua mke wake, Mariam Ulacha (42), chanzo...

Habari Mchanganyiko

Dereva ajali iliyoua wanafunzi Arusha afikishwa kortini, aomba apelekwe rumande

DEREVA aliyehusika katika ajali la basi la Shule ya Msingi ya Ghati Memorial, iliyouawa watu tisa wakiwemo wanafunzi nane, Lukuman Hemed, amefikishwa katika...

Habari Mchanganyiko

Dereva ajali iliyoua wanafunzi Arusha afikishwa kortini, aomba apelekwe rumande

  DEREVA aliyehusika katika ajali la basi la Shule ya Msingi ya Ghati Memorial, iliyouawa watu tisa wakiwemo wanafunzi nane, Lukuman Hemed, amefikishwa...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

  JACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza, kwa tuhuma za kumchoma visu hadi kumuuwa mke wake, Mariam Ulacha (42),...

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo miwili ya UEFA hatua ya robo fainali mechi ya marudiano kupigwa kule Hispania na...

Habari za Siasa

Rais Samia amfariji mjane wa Musa Abdulrahman

Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumanne amempa pole Mwanakheri Mussa Yussuf, Mjane wa Marehemu Mzee Mussa Abdulrahman ambaye alikuwa rafiki wa familia na...

Habari Mchanganyiko

Kamati ya bunge yapigia chapuo kilimo ikolojia

SERIKALI kupitia Wizara ya Kilimo imeshauriwa kushirikiana na wadau wa kilimo ikolojia kutoa elimu kuhusu kilimo hicho ambacho kina tija kwenye soko na...

Habari za Siasa

Nape: Wanasiasa, wanahabari, wafanyabiashara mteteeni Samia

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Nape Nnauye ametoa wito kwa wafanyabiashara, wanasiasa na wanahabari wamtetee Rais Dk. Samia...

Biashara

Malipo kwa njia 40 ndani ya sloti ya Lucky Sevens kasino 

  IRINGA na Tanga Lushoto husifika kwa uzalishaji wa mtaunda kwa wingi hapa Tanznaia, je umewahi kujiuliza ni kwa kiasi gani kilimo cha...

Habari Mchanganyiko

GGML, TAKUKURU wazindua kampeni kutokomeza rushwa

Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wamezindua warsha ya siku nne ili kuongeza...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi ya mechi kibao zinaendelea leo hii abapo Meridianbet tayari wameshakuwekea ODDS KUBWA na...

Biashara

Njia 100 za ushindi na Fruit Salad 100 kasino 

  Ni wakati mwingine tena wa kufahamu kuhusu Michezo ya Kasino ya Mtandaoni iliyopo Merdianbet. Fruit Salad 100 unakupa nafasi ya kushinda kwa...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC, Yanga wazindua kadi  za kimataifa za uanachama

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Klabu ya Soka ya Yanga wamezindua kadi za kimataifa za uanachama wa klabu hiyo...

Habari Mchanganyiko

Biashara kuanza kufanyika saa 24 Dar

UONGOZI wa Mkoa wa Dar es Salaam, unaendelea na vikao vya kuandaa mpango wa wafanyabiashara kutekeleza shughuli zao usiku na mchana (saa 24)....

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

‘Mwanapekee’ wa Rais Samia: Atabadili nini Arusha?

MAPEMA wiki hii, baadhi ya viongozi walioapishwa na Rais Samia Suluhu Hassan, 4 Aprili 2024, Ikulu jijini Dar es Salaam, waliripoti kwenye vituo...

Habari za Siasa

Hivi kweli Ole Sendeka alishambuliwa kwa risasi?

MIMI siamini kwamba yupo mtu mwenye nia ya kuua ambaye amepanga mashambulizi kwa kutumia bunduki anayeweza kumrushia risasi Christopher Ole Sendeka na akamkosa,...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda kung’oka tena

UWEZEKANO wa Paul Makonda, kuendelea na wadhifa wake wa mkuu wa mkoa wa Arusha, ni mdogo mno, Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Taarifa...

Habari Mchanganyiko

AMEND warejea kuwanoa madereva bodaboda

Shirika la Amend Tanzania kwa kushirikiana na Ubalozi wa Uswisi linatarajiwa tena kuanza kutoa mafunzo ya elimu ya usalama barabara ni kwa madereva...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu: Mabeyo awataje waliotaka kuzuia urais wa Samia

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amevunja ukimya kwa kumtaka aliyekuwa mkuu wa majeshi, Jenerali Venance Mabeyo, kuwataja...

Habari Mchanganyiko

DED Msalala: Tukilipa kodi, tumeisaidia serikali

MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Msalala, Khamis Katimba amesema wananchi wakilipa tozo na kodi vizuri, wanakuwa wameishaidia serikali kutekeleza majukumu yake kwao. Anaripoti...

Biashara

TPA yakamilisha mifumo ya TEHAMA, ikiwa ni utekekezaji wa maagizo ya Rais Samia

  MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), chini ya Mkurugenzi Mkuu, Plasduce Mbossa imefanikiwa kutekeleza kwa mafanikio makubwa maagizo ya Rais Samia...

Habari za Siasa

Serikali yaunda kamati kuchunguza mauaji hifadhini Serengeti, Tarime

SERIKALI imeunda kamati ya kitaifa kwenda kushughulikia mauaji ya raia yanayodaiwa kufanyika katika maeneo ya Hifadhi ya Serengeti, mkoani Mara. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Michezo

Jumapili ya maokoto na Meridianbet ni hii

BAADA ya jana kushuhudia mitanange kibao kutoka ligi mbalimbali, pia leo hii utamu wa soka bado unaendelea na wewe una nafasi ya kujiweka...

Habari Mchanganyiko

Dawasa yawafariji wagonjwa wa saratani Ocean Road, Amana

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeunga mkono jitihada za Serikali katika kuchangia matibabu ya wagonjwa wa saratani...

Habari za SiasaTangulizi

Vilio vyatawala miili ya wanafunzi wanafunzi ikiagwa Arusha

HUZUNI na vilio vimetawala kwa maelfu  ya waombolezaji wakiwemo familia waliokusanyika leo Jumapili katika shule ya seokondari ya Sinon jijini Arusha kuaga miili...

Biashara

Bulls Eye Bells inakupa bonasi na Jackpot kubwa

TUNAKULETEA safari ya kasino mtandaoni ya kusisimua sanaambayo imejaa bonasi za kasini za kumwaga. Jukumu lakoni kukusanya ushindi kadri iwezekanavyo, na ukifanikiwa, hautakosa mafanikio...

Habari Mchanganyiko

Oryx Gas, ASAS wawafuta machozi waathiriwa mafuriko Rufiji

KAMPUNI ya Oryx Gas kwa kushirikiana na Kampuni ya ASAS wamekabidhi msaada wa vyakula pamoja na mitungi ya gesi ya Oryx kwa ajili...

Michezo

Piga mkwanja na mechi za leo hii

HATIMAYE Jumamosi ya leo ndio hiyo na mechi mbalimbali Duniani zinaendelea kwa michezo kibao kuanzia pale Epl, Laliga, Ligi kuu ya Tanzana na...

Biashara

Shinda Bajaj cheza Super Heli mchezo mpya wa kasino

  MERIDIANBET mabingwa wa hizi kazi sasa wameshusha mzigo mpya kwa wachezaji wa kasino ya mtandaoni, mchezo wa Super Heli unakupa mzigo mpyaa...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda kuanika mawaziri wanaomtukana Samia

MKUU Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amewataka watu wanaowatuma mawakala wao kumtukana mitandaoni Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, waache mara moja kwani wasipofanya...

Habari Mchanganyiko

Askofu ataka mafisadi, wauza mihadarati washughulikiwe kumuenzi Sokoine

  MHASHAMU Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha, Isaac Amani, ameiomba Serikali kupitia vyombo vyake vya dola kuwashughulikia watu wanaofanya ubadhirifu wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mafuriko yaua 33 Morogoro, Pwani

  SERIKALI ya Tanzania imetoa tathmini ya athari ya mafuriko yanayosababishwa na mvua kubwa inayonyesha mfululizo katika baadhi ya mikoa nchini, ikisema yameua...

Habari Mchanganyiko

Wanafunzi 7 wahofiwa kufariki gari la shule likitumbukia korongoni

  WANAFUNZI saba wanahofiwa kupoteza maisha, huku watatu wakinusurika katika ajali ya gari la shule ya msingi Ghati Memorial, lililotumbukia katika korongo lililopo...

Biashara

Njia za ushindi 81 ndani ya Crystal Fruits kasino mtandaoni

81 Crystal Fruits ni sloti ya kasino mtandaoni kutokaMeridianbet inayojumuisha nguzo nne zilizopangwa katikamistari mitatu na una mistari ya malipo saba. Ili upateBonasi...

Habari za Siasa

Mhagama: Mafuriko Rufiji yametokana na mvua za El-nino

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama amewaeleza wananchi walioathiriwa na mafuriko katika wilaya za Kibiti na...

Biashara

Mchezo mpya wa kasino Wild Mirage na Lucky 7  

  Mbele yako ni safari ya kasino mtandaoni ya kusisimua ambapo utakutana na ishara zinazotawala katika ushindi wa kawaida. Kila kitu utakachoona kutoka...

Michezo

Usiku wa Ulaya kinawak tena leo

  LIGI ya mabingwa barani ulaya itaendelea tena leo ambapo itakwenda kupigwa michezo kadhaa katika hatua ya robo fainali ya michuano hiyo ambapo...

Habari Mchanganyiko

Kesi ya wanandoa kujeruhi jirani yapigwa kalenda tena

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imeahirisha kesi ya kujeruhi na kutoa lugha ya matusi inayomkabili wanandoa Bharat Nathwan (57), Sangita...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia asisitiza amani Sikukuu ya Eid Al Fitr

  RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania wote kuendelee kudumisha haki, umoja, amani na mshikamano kwenye Sikukuu ya Eid al -Fitr. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

TRAMPA yawajengea uwezo watunza kumbukumbu na nyaraka nchini

Mwenyekiti wa Chama cha Menejimenti ya Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania (TRAMPA) Devotha Mrope amezindua mafunzo maalumu yanayolenga kujenga uwezo wa kitaaluma kwa wataalamu...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Askofu Bagonza: Tusichonganishwe; tusichokozane na tusikufuru

JOTO la chaguzi linapanda kila siku hapa nchini. Upo umuhimu wa wanasiasa na viongozi wa dini kujiepusha na uchonganishi, uchokozi na kufuru. Kusema...

error: Content is protected !!