MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, kanda ya Morogoro imemhukumu miaka 25 jela John Mwaseba Mwasikili baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kusafirisha...
By Yusuph KayandaMarch 19, 2024Mahakama ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imemhukumu kifungo cha miezi sita jela mwandishi wa habari wa Congo, Stanis Bujakera baada ya kukutwa...
By Mwandishi WetuMarch 19, 2024Wagombea udiwani 127 kutoka vyama 18 vya siasa wanatarajiwa kupigiwa kura katika uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata 22 za Tanzania Bara unaotarajiwa...
By Mwandishi WetuMarch 19, 2024Makamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro ambaye pia ni Diwani wa kata ya Olbalbal iliyopo ndani ya hifadhi ya Ngorongoro, Emmanuel...
By Mwandishi WetuMarch 19, 2024Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mafunzo maalumu kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana Geita (Geita Boys) kwa lengo...
By Mwandishi WetuMarch 19, 2024WAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video ya wimbo wao mpya unaoitwa Bwana Wastahili. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Video...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2024SERIKALI ya Zanzibar, imekamilisha mchakato wa uchimbaji wa mafuta na gesi asilia baharini ambapo imeanza kutangaza utoaji wa leseni za uchimbaji na vitalu...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2024WIZARA ya Afya imetaja mafanikio 10 iliyoyapata ndani ya miaka mitatu ya uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, aliyeingia madarakani Machi 2021,...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2024JOKER Ice Frenzy Epic Strike ni sloti iliyopo kwenye kasino ya mtandaoni ya Meridianbet ina nguzo tano zilizopangwa kwenye mistari mitatu yenye...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2024SUDAN Kusini imeamuru kufungwa kwa shule zote kuanzia leo Jumatatu, ikiwa ni hatua ya tahadhari kutokana na joto kali linalotarajiwa kudumu kwa wiki...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2024HALMASHAURI ya wilaya ya Mbozi mkoani Songwe imeeleza dhamira yake ya kuomba kupandishwa hadhi kuwa manispaa pamoja na kupatikana majimbo matatu, kwamba ni...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2024BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linatarajia kukusanya fedha za kujenga shule ya wavulana ya vipaji Maalum kupitia mashindano ya mbio ‘marathon’....
By Faki SosiMarch 18, 2024Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara, NBC Premiere League jana Jumapili...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2024SERIKALI, wadau kutoka sekta binasi, vyombo vya habari na jamii wameshauriwa kushirikiana kuhifadhi, kutunza mazingira na wanyamapori ili vizazi vijavyo viweze kurithi na...
By Seleman MsuyaMarch 18, 2024WIZARA ya Maliasili na Utalii inamatarajio makubwa ya kuimarika kwa shughuli za doria za kudhibiti wanyamapori wakali na waharibifu na hivyo kupunguza...
By Yusuph KayandaMarch 17, 2024SERIKALI imetoa Sh 1.8 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa Hospital ya wilaya ya Moshi inayojengwa katika Kata ya Mabogini ukanda wa...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2024SERIKALI ya Tanzania na Italia zimeahidi kuimarisha ushirikiano katika sekta za kimkakati ambazo ni kilimo, nishati, elimu pamoja na uchumi wa buluu...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2024KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeliagiza Shirika la Maendeleo ya petrol nchini (TPDC), kuongeza kasi ya kuunganisha wateja...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2024BENKI ya Exim imeandaa futari ya pamoja kwa wateja wake katika hafla iliyofanyika katika hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam mnamo...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2024ALIYEKUWA Mkuu wa Majeshi nchini (CDF), Jenerali Venance Mabeyo, amesema Hayati Dk. John Magufuli, alijua kama siku zake za kuishi duniani zimekisha....
By Mwandishi WetuMarch 17, 2024SUPER Heli moja ya mchezo bora na pendwa kabisa kwa wachezaji wote wa Meridianbet kasino ya mtandaoni, moja ya miujiza ya mchezo...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2024SERIKALI imeitaka Kamati ya Maandalizi ya Siku ya Misitu Duniani pamoja na Siku ya Upandaji Miti Kitaifa kuhakikisha inafanya kazi kwa bidii, ufanisi...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2024MABINGWA wa michezo ya kubashiri kampuni yaMeridianbet wamefanikiwa kufika eneo la Mwenge na kutoamsaadfa katika Zahanati inayopatika katika eneo hilo Mlalakuwa. Kama ilivyo kawaida...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2024SERIKALI imesema imeondoa dawa 178 katika kitita cha Mfuko wa Taifa wa Bima (NHIF), ili kupisha dawa bora zaidi zinazoendana na wakati wa...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2024KAMATI ya Kudumu ya Miundombinu ya Bunge la Tanzania imeipongeza Serikali kwa uwekezaji mkubwa kwenye sekta hali ya hewa wakati wa ziara...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2024Serikali imeanza zoezi kusasisha, kuhuisha na kukusanya taarifa mpya za Anwani za makazi katika manispaa ya Kigoma ujiji mkoani Kigoma. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2024MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umedai malalamiko yanayotolewa na wananchi waishio wilayani Ngorongoro mkoa wa Arusha, kuhusu ukiukwaji wa...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2024WATU 12 wamefanyiwa upasuaji rekebishi wa macho kwenye kambi ya macho iliyoendeshwa na Hospitali Muhimbili Mloganzila kwa kushirikiana na taasisi ya utalii tiba...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2024AZMA ya kiongozi wa Azimio La Umoja-One Kenya, Raila Odinga kuwania wadhifa wa Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Afrika (AUC) imepata nguvu...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2024Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeandaa hafla ya futari mahususi kwa wateja wake wa Kiislamu Visiwani Zanzibar ikiwa ni muendelezo wa jitihada...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2024RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa viongozi mbalimbali ikiwamo utenguzi Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2024KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, amezitaka kampuni za usafiri mtandaoni kuajiri vijana wenye sifa ya kudadisi abiria...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2024MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Maftaha Nachuma amesema kuwa Serikali ya umoja wa Kitaifa (SUK)-imetokana na maridhiano ya chama chao (CUF)...
By Faki SosiMarch 15, 2024SERIKALI imetakiwa kuhakikisha magari ya viongozi wa umma wakiwemo mawaziri, yanabadilishwa mfumo wa matumizi ya mafuta kwenda gesi ili kubana matumizi. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2024Haujawahi kuwa mwezi wa kinyonge hata kidogo inapofika mwezi Machi. Ni promosheni na bonasi za kasino deilee. Na hatimaye unapocheza michezo ya...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amesema licha ya Tanzania kuongeza jitihada za kuongeza ushiriki wa wanawake katika vyombo vya maamuzi, bado kuna ombwe...
By Regina MkondeMarch 15, 2024JESHI la Polisi Mkoa wa Geita, limesema linamshikilia Imamu wa Msikiti wa Nyamkumbo Lake Oil, ulioko mkoani humo, Sheikh Abdulrahman Yasini na kwamba...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2024Equity Group, taasisi kubwa zaidi ya kifedha ya Afrika Mashariki na Kati, imeimarisha nafasi yake kama mojawapo ya chapa imara zaidi za kibenki...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2024Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Stephen Byabato ametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2024Chama cha wafugaji wilaya ya Igunga mkoani Tabora kimefanya uchaguzi wa viongozi ngazi ya kata na wilaya watakaoongoza kwa kipindi cha miaka mitatu....
By Mwandishi WetuMarch 15, 2024SERIKALI imekitaka Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kuweka mikakati ya kujiimarisha kiteknolojia, uvumbuzi na ubunifu ili kuendana na mahitaji ya soko la...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2024CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimemhoji maswali nane Rais Dk. Hussein Mwinyi, kikimtaka atoke hadharani ayajibu, kuhusu madai yao ya kutaka kujiondoa katika Serikali ya...
By Regina MkondeMarch 15, 2024Watu zaidi ya 50 wanaoshutumiwa kwa ‘uchawi’ wamefariki dunia nchini Angola baada ya kulazimishwa kunywa mchanganyiko wa mitishamba ili kubaini kama wanafanya vitendo...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2024Raia nchini Urusi kuanzia leo Ijumaa wanapiga kura katika uchaguzi wa urais utakaofanyika kwa siku tatu na unaotarajiwa kumuongezea muda zaidi, Rais Vladimir...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2024KIONGOZI mkuu wa upinzani nchini Senegal, Ousmane Sonko, aliachiliwa kutoka jela jana Alhamisi jioni ikiwa ni siku chache kabla ya uchaguzi mkuu wa...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2024Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko leo Alhamisi amezindua mradi mkubwa wa umeme jua utakaozalisha megawati 150 katika Kijiji...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2024Alhamisi ya leo EUROPA inaendelea ambapo ni mechi za marudiano ambapo hizi zitakuw azikiamua nani kwenda hatua inayofuata na nani kubaki. Liverpool,...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2024WATU watano wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kwa tuhuma za kuandika uchochezi dhidi ya viongozi wakuu serikalini,...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2024PROMOSHENI ya Pragmatic Play ya Drop&Win sasa imeanza tangu Machi 6, 2024 na itadumu mpaka 2025 Promosheni hii ni maalum kwa wateja...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2024BAADHI ya wajane, yatima na watu wenye ulemavu waishio katika Kata ya Kivule wilayani Ilala mkoani Dar es Salaam, wamepewa msaada wa vyakula...
By Regina MkondeMarch 14, 2024