Sunday , 28 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Urusi yafanya uchaguzi wa urais
Kimataifa

Urusi yafanya uchaguzi wa urais

Spread the love

Raia nchini Urusi kuanzia leo Ijumaa wanapiga kura katika uchaguzi wa urais utakaofanyika kwa siku tatu na unaotarajiwa kumuongezea muda zaidi, Rais Vladimir Putin. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Uchaguzi huo hata hivyo, unafanyika huku kukiwa na ukandamizaji mkubwa dhidi ya upinzani, vyombo huru vya habari na makundi maarufu vya haki za binadamu na kumfungulia mlango Putin wa kuudhibiti kikamilifu mfumo wa kisiasa.

Raia wanapiga kura kwenye vituo karibu 100,000 kuanzia hii leo Ijumaa hadi Jumapili ndani ya taifa hilo na kwenye maeneo yaliyonyakuliwa na Urusi huko nchini Ukraine katikati ya vita vilivyoingia mwaka wa tatu sasa.

Waangalizi hata hivyo hawatarajii kwamba uchaguzi utakuwa huru na haki kwa kuwa wapiga kura hawana uwanja mpana wa kuchagua.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

error: Content is protected !!