WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde amesema kutoka na serikali kuweka mazingira mazuri kwenye sekta ya madini, mchango wa wachimbaji wadogo umeweza kufikia asilimia...
By Mwandishi WetuOctober 27, 2023Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, Zelote Stephen amefariki dunia jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....
By Mwandishi WetuOctober 27, 2023Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewaagiza watendaji wa Sekta ya Uvuvi nchini kuifanya Sekta hiyo kuwa nyenzo...
By Mwandishi WetuOctober 26, 2023JITIHADA za Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) katika kuzingatia uwajibikaji wake kwa jamii pamoja na kuzingatia masuala ya usalama kazini, zimeendelea...
By Mwandishi WetuOctober 26, 2023LIGI ya Konferensi inatarajiwa kupigwa leo hii kwa michezo kibao ambapo michezo hiyo itaanza saa 1:45. Hivyo kama unahitaji kujilusanyia maokoto leo ndio...
By Mwandishi WetuOctober 26, 2023RAIA wawili wa Tanzania na mmoja wa Afrika Kusini, ni miongoni mwa mateka 224, wanaoshikiliwa na wanamgambo wa Hamas, baada ya mashambulizi...
By Mwandishi WetuOctober 26, 2023UNAICHEZA ndivyo utamu unavyozidi kuwa mwingi, mchezo mzuri na wenye mandhari ya sinema za Mazombie unakupa uhuru wa kujitafuta mara tu unapouanza...
By Mwandishi WetuOctober 26, 2023Waziri wa Madini nchini Malawi, Monica Chang’anamuno amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan kwa juhudi na mikakati ...
By Gabriel MushiOctober 26, 2023BAADA ya kutazama michezo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya siku ya Jumanne na Jumatano sasa ni zamu ya usiku wa Ligi ya Uefa Europa...
By Mwandishi WetuOctober 26, 2023MWENYEKITI wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Baraza la Mashauriano la Kisiasa la Watu wa China (CPPC), He Ping kesho atakuja nchini...
By Seleman MsuyaOctober 25, 2023MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeendelea kutoa elimu kwa umma na kuhamasisha juu ya usalama mtandaoni. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Akizungumza na waandishi...
By Mwandishi WetuOctober 25, 2023NAIBU Waziri Mkuu, Dk. Doto Biteko ametoa wito kwa wawekezaji wa ndani na nje kuja nchini kuwekeza katika sekta ya madini kutokana na...
By Mwandishi WetuOctober 25, 2023BENKI ya NMB imesaidia wakulima wa tumbaku zaidi ya 400 mkoani Tabora kulipwa kwa wakati fidia ya hasara waliyopata baada ya mashamba yao...
By Mwandishi WetuOctober 25, 2023Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa, (STAMICO) Dk. Venance Mwasse ametoa wito kwa wawekezaji kutoka ndani ya nje ya nchi kuja...
By Gabriel MushiOctober 25, 2023NAIBU Waziri Mkuu, Dk. Doto Biteko ametoa wito kwa wawekezaji kuja kuwekeza zaidi Tanzania katika shughuli za utafutaji, uchimbaji, uchenjuaji, uongezaji thamani na...
By Gabriel MushiOctober 25, 2023Naibu Wazirj Mkuu, Dk. Doto Biteko amesema migodi zaidi ya 350 ya wachimbaji wadogo imeunganishwa na umeme wa gridi ya Taifa na hivyo...
By Gabriel MushiOctober 25, 2023KILA wakati Meridianbet wanajaribu sana kutengeneza njia rahisi kwa wateja wao kuendela kupiga mishindo ya hela kila mara, sasa wamekuja na mchezo...
By Mwandishi WetuOctober 25, 2023MICHEZO ya Kasino mitandaoni ndio imekua kivutiokikubwa kwa wateja na Meridianbet wanakuletea mchezohuu wa kasino ambao utamuwezesha mteja kujishindiamamilioni ya Pesa. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuOctober 25, 2023Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa ameelekeza Uongozi wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka...
By Mwandishi WetuOctober 24, 2023MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema ushindi wa vyama vya upinzani katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, ulitokana na...
By Mwandishi WetuOctober 24, 2023BETI na Meridianbet mechi zako za ushindi hii leo zikiwa tayari zimewekwa kwa kuzingatia ubora wa timu, ODDS KUBWA, Machaguo zaidi ya...
By Masalu ErastoOctober 24, 2023HUENDA usiamini kama ni kweli lakini ni kweli na uhalisia wa Maisha, huwezi amini kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakuletea Sloti...
By Masalu ErastoOctober 24, 2023Mahakama Kuu ya Tanzania Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki Temeke kimetoa uamuzi juu ya urithi wa mali za marehemu Augustino Lyatonga Mrema ambapo...
By Mwandishi WetuOctober 24, 2023RAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amewataka wafanyabiashara wa Zambia, kuitumia Bandari ya Dar es Salaam, kwa kuwa sasa inafanyiwa maboresho ili...
By Regina MkondeOctober 24, 2023Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameungana na Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema, kuweka mashada ya maua kwenye Mnara...
By Mwandishi WetuOctober 24, 2023MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu ya Dar es Salaam, imepanga tarehe 14 Disemba 2023 kutoa uamuzi wa kesi iliyofunguliwa na wabunge viti Maalum 19...
By Regina MkondeOctober 24, 2023LEO hii ligi mbalimbali zinaendelea ambapo tayari Meridianbet wamekuhakikishia mkwanja wa maana endapo utabashiri mechi hizo kwa usahihi kwani hapa kuna kila ambacho...
By Mwandishi WetuOctober 23, 2023BAADHI ya wafanyabiashara kutoka maeneo mbalimbali nchini waliopata fursa ya kwenda nchini China ili kushiriki Maonyesho ya Uagizaji na Uuzaji wa bidhaa za...
By Mwandishi WetuOctober 23, 2023RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amezitaka mahakama za nchi za Afrika zijipange kutatua migogoro itakayojitokeza katika eneo la biashara huru barani humo, huku...
By Mwandishi WetuOctober 23, 2023Umoja wa Mataifa (UN) nchini Tanzania unatarajia kuadhimisha miaka 78 tangu ilipoanzishwa mwaka 1945. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea) Akizungumza na waandishi wa Habari...
By Gabriel MushiOctober 23, 2023UTEUZI wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, katika nafasi ya ukatibu wa itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),...
By Mwandishi WetuOctober 23, 2023MERIDIANBET kasino ya mtandaoni imepanga kukutajirisha Zaidi msimu huu wa kiangazi wakati ligi nyingi zikiwa zimeisha, endelea kupiga mtonyo kwa kucheza kasino...
By Mwandishi WetuOctober 23, 2023“Mara ya mwisho nimewasiliana na mwanangu ilikuwa ni tarehe 5 Oktoba 2023, isipokuwa mara ya mwisho nilimuona ‘online’ tarehe 7 Oktoba saa 4:03...
By Mwandishi WetuOctober 23, 2023SERIKARI imetenga zaidi ya Sh 50 bilioni kujenga barabara kutoka Isongole wilayani Ileje mkoani Songwe hadi Kasumulu wilayani Kyela mkoani Mbeya yenye urefu...
By Mwandishi WetuOctober 23, 2023MCHUNGAJI kiongozi wa kanisa la Tanzania Assembles of God (TAG) URCC lililopo Aread D Jijini Dodoma, Salum Vangast ametoa wito kwa mamlaka zote...
By Danson KaijageOctober 23, 2023WATANZANIA waishio Zambia, wameandaa utaratibu wa kumpokea Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, anayetarajiwa kuwasili nchini humo mchana wa leo tarehe 23 Oktoba 2023,...
By Regina MkondeOctober 23, 2023WANANCHI wa mitaa iliyopo Kata ya Mpemba halmashauri ya Mji Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe wameiomba serikali kupitia halmashauri ya mji huo kuwajengea...
By Mwandishi WetuOctober 23, 2023ASASI ya NMB Foundation na Shirika la Save the Children International zimeunganisha nguvu kusaidia kuboresha maisha nchini kwa kuingia makubaliano ya kushirikiana kuchangia...
By Mwandishi WetuOctober 23, 2023BENKI ya NMB Kanda ya kusini imetoa vifaa vya kuezekea katika zahanati ya polisi iliyopo mkoani hapa vyenye thamani ya Sh17 milioni. Anaripoti...
By Mwandishi WetuOctober 23, 2023CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE) kimeahidi kuiunganisha shule ya St Mary’s Mbezi Beach na Maktaba Kuu ya Taifa ili wanafunzi wa shule...
By Mwandishi WetuOctober 23, 2023KASINO ya mtandaoni ya Meridianbet imekusogezeasloti ya kijanja ya Bursting Hot 5 kiganjani mwakosasa! Bursting Hot 5 ni mchezo unaotumia matundakama zile sloti...
By Mwandishi WetuOctober 22, 2023KWA mara yakwanza nchini Tanzania, Serengeti Lite Oktobafest ilileta pamoja vipaji vya muziki na ubunifu wa hali yajuu wa Afrika Mashariki katika...
By Mwandishi WetuOctober 22, 2023Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa leo Jumapili amesema kwa kawaida Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hukusanya tozo...
By Mwandishi WetuOctober 22, 2023Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Usimamizi Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa leo Jumapili amesema katika mikataba hiyo mitatu, serikali itakuwa inapata ada na tozo...
By Mwandishi WetuOctober 22, 2023Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa amesema katika kutekeleza mkakati wa Serikali wa kuimarisha shughuli za bandari Dar es Salaam,...
By Mwandishi WetuOctober 22, 2023HATIMAYE aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameteuliwa na Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa Katibu wa...
By Mwandishi WetuOctober 22, 2023KAMA unataka kukusanya maokoto leo hii nenda pale Meridianbet suka jamvi lako vizuri kabisa kisha weka dau lako usubiri maokoto ya maana hapo...
By Mwandishi WetuOctober 22, 2023Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Sophia Mjema kuwa Mshauri wa Rais masuala ya Wanawake na Makundi Maalum. Kabla ya uteuzi huu Sophia alikuwa...
By Mwandishi WetuOctober 22, 2023SHULE ya Msingi na Sekondari St. Marys Mbezi Beach imesema imejenga viwanja vya michezo shuleni hapo kama moja ya njia ya kuhamasisha michezo...
By Mwandishi WetuOctober 22, 2023HAYAWI hayawi sasa hatimae yamekua na hiyo ni baada yakampuni ya michezo ya kubashiri ya Meridianbet kufikamaeneo ya Tabata Visiwani na kugawa vifaa...
By Mwandishi WetuOctober 21, 2023