Monday , 11 December 2023
Home Kitengo Biashara TZ kupata 60% ya mapato DP World
BiasharaTangulizi

TZ kupata 60% ya mapato DP World

Spread the love

Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Usimamizi Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa leo Jumapili amesema katika mikataba hiyo mitatu, serikali itakuwa inapata ada na tozo kutoka DP World ambazo zitaongeza mapato na zitapunguza gharama za uendeshaji. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea).

Amesema hapo awali serikali imekuwa ikitumia takribani asilimia 90 ya mapato yote yaliyokusanywa katika uendeshaji wa maeneo yanayokodishwa na kubakia asilimia 10 tu.

Amesema kutokana na mikataba hiyo serikali itaweza kubakia na asilimia 60 ya mapato yote ya maeneo ambayo yanakodishwa kwa DP World.

“Faida ya mapato kwa serikali inatokana na maboresho ya huduma za bandari kupitia uwekezaji huu pia itaonekana kwa kiwango cha juu kwenye ukusanyaji wa ushuru unaofanywa na TRA pamoja na mamlaka nyingine zilizopewa jukumu la kukusanya ushuru, tozo na ada mbalimbali katika shehena zinazohudumiwa na bandari ya Dar es Salaam,” amesema.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Biashara

Meridianbet yatoa msaada Mwenge

Spread the love  KAMPUNI ya Meridianbet imefika maeneo ya Mwenge jijini Dar-es-salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mpango: Sitakufa bali nitaishi

Spread the loveMAKAMU  wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk....

Biashara

Serengeti yakabidhi mkwanja kwa mshindi wa Maokoto ndani ya Kizibo

Spread the love Mshindi wa Maokoto ndani ya kizibo kutoka Kahama Mjini...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Miaka 62 ya uhuru tujenge upya mioyo yetu

Spread the loveWAKATI Tanganyika ikiadhimisha miaka 62 tangu kupata uhuru, Mwenyekiti wa...

error: Content is protected !!