Monday , 11 December 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Mikataba 3 DP World yasainiwa, haihusu bandari zote
Habari za SiasaTangulizi

Mikataba 3 DP World yasainiwa, haihusu bandari zote

Spread the love

Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa amesema katika kutekeleza mkakati wa Serikali wa kuimarisha shughuli za bandari Dar es Salaam, Serikali inasaini mikataba mitatu ambayo haihusishi shughuli zote za bandari za Dar es Salaam wala bandari nyingine za Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea)

Mikataba hiyo iliyosainiwa leo Jumapili Ikulu jijini Dodoma ni mkataba wa nchi mwenyeji, mkataba wa ukodishaji na uendeshaji wa  gati namba nne hadi saba na mkataba wa gati namna sifuri hadi tatu ambazo zitaendeshwa kwa pamoja kati ya TPA na DP world kwa shughuli za kibiashara na zile za serikali.

Kwa upande wa gati 8-11 tayari tumeanza mchakato wa kumpata mwendeshaji mwingine. Na kama kutakuwa na sifa ambazo tunaziona bora zaidi hivyo kutakuwa na mwendeshaji mwingine na wala sio DP World.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Biteko: Samia ni muumini wa maridhiano sio kwa kuigiza

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mpango: Sitakufa bali nitaishi

Spread the loveMAKAMU  wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk....

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Miaka 62 ya uhuru tujenge upya mioyo yetu

Spread the loveWAKATI Tanganyika ikiadhimisha miaka 62 tangu kupata uhuru, Mwenyekiti wa...

Habari za Siasa

Rais Samia asamehe wafungwa 2,244

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewasamehe wafungwa 2,244, huku akiwabadilishia...

error: Content is protected !!