Sunday , 28 April 2024
Home Kitengo Biashara TPA: TRA itakusanya trilioni 26.7 bandarini
BiasharaTangulizi

TPA: TRA itakusanya trilioni 26.7 bandarini

Bandari Kuu ya Malindi Zanzibar
Spread the love

Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa leo Jumapili amesema kwa kawaida Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hukusanya tozo kutokana na meli 90 zinazohudumiwa kwa mwezi na uboreshaji utakapofanyika kupitia kampuni ya DP World wataweza kuhudumia meli 130. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea).

Akitoa taarifa kuhusu mikataba mitatu iliyosainiwa leo Ikulu jijini Dodoma, amesema mapato yaliyokuwa yanakusanywa na TRA yataongeza kutoka Sh tirilioni 7.8 ambazo zinakusanywa eneo la bandari peke yake kwa mwaka 2021/2022  hadi kufikia trilioni 26.7 itakapofika mwaka 2032.

Amesema ushirikishwaji wa sekta binafsi sio kitu kipya katika mkataba huo ambao ni wa aina yake.

Amesema mkataba huo umezingatia changamoto za serikali kupitia mkataba wa awali kati ya TPA na TICTS ambao ulikoma tarehe 31 Disemba mwaka 2022.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Biashara

Maisha ya kasino ni furaha, cheza Book of Eskimo kujichukulia utajiri 

Spread the love  KUPNGA ni kuchagua, chagua kuwa mshindi kila siku kupitia...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jacob, Malisa waachiwa kwa masharti

Spread the love  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,...

Biashara

Sloti ya Mega Jade kasino njia 10 za malipo unaposhinda

Spread the love  TUNAKULETEA mchezo wa kasino wa kufurahisha sana ambapo unapewa...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

error: Content is protected !!