Sunday , 19 May 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Zaidi ya watu 2,000 Handeni kunufaika na bwawa la maji kwa ufadhili wa SBL 

  NAIBU Waziri wa Maji, Eng. Maryprisca Mahundi ametoa pongezi kwa Kampuni ya Serengeti Breweries Limited (SBL) kwa mchango wake wenye bidii katika...

Habari Mchanganyiko

Kikwete: GGML wameonesha njia udhibiti VVU, vijana jihadharini

RAIS mstaafu, Jakaya Kikwete ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kuonesha njia katika kuunga mkono malengo ya Serikali kwenye mapambano...

Habari Mchanganyiko

Nyuki wadhibiti tembo waharibifu kwa asilimia 99

  IMEELEZWA kuwa matumizi ya uzio wa mizinga ya nyuki umewezesha kudhibiti tembo waharibifu ambao wamekuwa wakitoka Hifadhi ya Taifa ya Milima ya...

Habari Mchanganyiko

Hati 500,000 za kimila kupatikana katika wilaya 6

WIZARA ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia mradi wa Uboreshaji Usalama wa Miliki za Ardhi (LTIP) inakusudia kupanga, kupima na kusajili...

Habari Mchanganyiko

Uongozi wa Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam (DPA) chafanya Thathimini ya uwanja wa Medani Mkomazi

  UONGOZI wa Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam (DPA) Pamoja na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga wametembelea Uwanja wa...

Habari Mchanganyiko

Tume ya Haki jinai yatoa mapendekezo kuhusu dhamana, adhabu ya kifo

TUME ya Kuangalia Jinsi ya Kuboresha Taasisi za Haki Jinai nchini, imetoa mapendekezo juu ya masuala mbalimbali yanayohusu mfumo huo, ikiwemo dhamana kwa...

Habari Mchanganyiko

Polisi yaanza uchunguzi tukio la kifo Mbezi Luis

  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limeanza uchunguzi wa tukio la kifo cha Felix Mgeni, anayedaiwa kuuawa kwa kupigwa...

Habari Mchanganyiko

18 wanusurika kifo ajali Same, dereva atimua mbio

  WATU 18 abiria waliokuwa safarini kutoka Dar es Salaam kwenda Arusha kwa kutumia gari aina ya Coaster, wamenusurika kifo baada dereva wa...

Habari Mchanganyiko

Jeshi la Polisi kuendelea kuimarisha ulinzi na usalama kwa watalii nchini

  JESHI la Polisi limesema kuwa litaendelea kuunga mkono juhudi za Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi la ulinzi na usalama Daktari Samia Suluhu...

Habari Mchanganyiko

Dk. Kikwete kuwaaga wapanda mlima 61 Kampeni ya GGML KiliChallenge-2023

  RAIS mstaafu Dk. Jakaya Kikwete kesho Ijumaa tarehe 14 Julai 2023 anatarajiwa kuwaaga jumla ya washiriki 61 watakaopanda mlima Kilimanjaro kupitia kampeni...

ElimuHabari MchanganyikoMichezo

Ubongo yatimiza miaka 10, yawafikia makazi mil 32 Afrika, nchi 22

  KAMPUNI ya Ubongo inayozalisha vipindi vya elimu burudani Afrika, ina furaha kuwatangazia maadhimisho ya miaka 10 tangu kuanzishwa kwake, ikisherehekea muongo mmoja...

Habari Mchanganyiko

Wastaaafu wengi wanakufa kutokana na kutumia vibaya mafao

IMEELEZWA kuwa kitendo cha wastaafu kuwekeza fedha zao za fao katika miradi ambayo hawana uzoefu nayo imetajwa kuwa ni moja ya chanzo cha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mkataba wa DP – Dk. Slaa aitisha mkutano wa hadhara, “Ubalozi chukueni”

  MWANASIASA mkongwe na Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Balozi Dk. Willbroad Slaa ametangaza kufanya mkutano wa hadhara utakaofanyika jijini Dar es...

Habari Mchanganyiko

Jamii yaaswa kutumia vyoo bora badala ya kujisaidia vichakani

JAMII imeaswa kuacha kujisaidia vichakani na badala yake imetakiwa kujenga na kutumia vyoo bora ikiwa ni pamoja na kunywa maji yaliyochemshwa na kunawa...

Habari Mchanganyiko

Tunduma watenga milioni 377 kununua gari la zimamoto

KATIKA kukabiliana na majanga ya moto, Halmashauri ya mji Tunduma mkoani Songwe umetenga Sh 377 milioni za mapato ya ndani kununua gari la...

Habari Mchanganyiko

DED Ujiji azindua redio mpya Kigoma, awang’ata sikio vijana

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji, Mwantum Mgonja ameipongeza kampuni ya Mainstream Media Limited kwa uwekezaji uliofanywa katika mkoa wa Kigoma....

Habari MchanganyikoTangulizi

Mpango wa BBT kuunganishwa na JKT

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inakwenda kuunganisha mafunzo ya vitendo kwa vijana kupitia mpango wa “Jenga Kesho Iliyobora” Building Better Tomorrow (BBT)...

Habari Mchanganyiko

STAMICO yafungamanisha sekta ya madini na nishati

SHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limepiga hatua katika  kufungamanisha sekta ya madini na nishati kwa kuongeza uzalishaji wa Nishati mbadala ya Rafiki...

Habari Mchanganyiko

TAWA wacharuka ujenzi wa hifadhi

MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imeitahadharisha jamii kuacha tabia ya kujenga makazi yao karibu na hifadhi za wanyamapori zikiwemo shughuli za...

Habari Mchanganyiko

Maagizo ya Rais Samia yashusha bei ya mafuta Tanzania

  MAAGIZO ya Rais Samia Suluhu Hassan yamesaidia kushusha bei ya mafuta ya petroli na dizeli nchini kwa mwezi wa pili mfululizo, huku...

Habari MchanganyikoTangulizi

Papa Fransisco amteua Askofu Mkuu Rugambwa kuwa Kardinali

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francisco amemteua Askofu Mkuu Mwandamizi Jimbo Kuu la Tabora, Protase Rugambwa kuwa kardinali nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Wadau wa TASAF washauri kuondoa dosari

  WADAU wanaofadhiri fedha kwa ajili ya kuwezesha mpango wa kunusuru kaya maskini katika kipindi cha pili kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii...

Habari Mchanganyiko

CCM Kilombero yapongeza urejeshaji ushoroba za tembo

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro kimesema uamuzi wa Shirika lisilo la Kiserikali la Mpango wa Kuhifadhi Tembo Kusini mwa...

Habari Mchanganyiko

Serikali yanunua mtambo wa kuchoronga Jotoardhi

SERIKALI imenunua mtambo wa kisasa uligharimu zaidi shilingi bilioni 13 kwa ajili yakuchoronga visima vya uzalishaji wa nishati jadidifu ya Jotoardhi ambayo ni...

Habari Mchanganyiko

Helkopta yatumika kufukuza tembo

SERIKALI imetumia helkopta kutafuta makundi ya tembo waharibifu waliozagaa katika vijiji 25 vya wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro na kuwavisha vifaa maalum vya...

Habari Mchanganyiko

127 wahukumiwa usafirishaji haramu wa binadamu

JUMLA ya kesi 72 za makosa ya usafirishaji haramu wa binadamu zilifunguliwa mkoani Songwe huku watuhumiwa 127 wakihukumiwa baada ya kukutwa na hatia...

Habari Mchanganyiko

Ileje waiomba Serikali kukamilisha mradi wa maji Itembo

ZAIDI ya wakazi 13,051 wa vijiji vya Ntembo, Msia, Ikumbilo na Mlale kutoka wilaya ya Ileje mkoani Songwe wameiomba Serikali iharakishe ujenzi wa...

Habari Mchanganyiko

Muarobaini wakudhibiti tembo vamizi waja

  WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mchengerwa amezindua programu maalum ya ujenzi wa vituo maalum 16 kwa ajili ya kuthibiti wanyama waharibifu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Drone kutumika ulinzi wa bomba la TAZAMA

NDEGE ndogo zisizo na rubani (drone) zinatarajiwa kutumika katika ulinzi wa bomba la mafuta linalotumika kusafirisha mafuta kutoka Bandari ya Dar es Salaam...

Habari Mchanganyiko

Songwe yatajwa kuwa kinara biashara haramu usafirishaji binadamu

  KUELEKEA maadhimisho ya kupinga usafirishaji haramu wa binadamu duniani yatakayofanyika tarehe 30 Julai mwaka huu, mkoa wa Songwe umetajwa kuwa kinara kwa...

Habari Mchanganyiko

Mkazi wa Kakonko amwangukia Samia, Majaliwa kuingilia mgogoro wake wa ardhi

JUMA Nyakanyenge, mkazi wa Wilaya ya Kakonko Mkoani Kigoma, amemuomba Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  na Rais  Samia Suluhu Hassan kuingilia kati mgogoro wake...

Habari Mchanganyiko

Asilimia 30 ya watoto nchini wana udumavu wa akili

IMEELEZWA kuwa asilimia 30 ya watoto wenye umri kuanzia siku 0 hadi miaka nane wanakabiliwa na udumavu wa akili huku mikoa yenye uzalishaji...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yaanza mchakato wa kuiuzia Zambia gesi asilia, “mawaziri 6 kujifungia”

WAZIRI wa Nishati, January Makamba amesema Serikali za Tanzania na Zambia zipo katika mazungumzo jinsi ya kujenga bomba jipya la mafuta pamoja na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Dk. Nshalla aonya wanaotaka kumuua kisa bandari

ALIYEKUWA Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Dk. Rugemeleza Nshalla, amewataka watu anaodai wanapanga kumuuwa waache mara moja, kwa kuwa wakifanya...

Habari Mchanganyiko

Kisa ng’ombe 2 kupotea, Mama amuadhibu mtoto na kumuua

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida mwanamke aliyefahamika kwa jina la Veronica Paul (27) amedaiwa kumuua kikatili mtoto wa kambo Mageshi Busanda (7) kwa...

Habari Mchanganyiko

Rais Mwinyi azindua huduma ya bima ya Takaful, aipongeza ZIC

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Mwinyi amezindua huduma ya Bima inayofuata misingi ya dini ya Kiislamu (Takaful)...

Habari Mchanganyiko

GGML yaelimisha wadau utekelezaji mpango wa CSR

MAONESHO ya 47 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam, yanayofanyika katika viwanja vya SabaSaba, yamekuwa ni fursa adhimu kwa wadau mbalimbali kushuhudia...

Habari Mchanganyiko

Mradi wa LNG kuzingatia mikataba mitano

  IMEELEZWA kuwa utekelezaji wa Mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi Asilia (LNG) unaotarajiwa kuanza hivi karibuni, utazingatia makubaliano ya mikataba matano. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

RPC ataja chanzo ajali Songwe, majina 6 waliofariki

AJALI mbaya ya gari imetokea leo  Jumatano katika barabara kuu ya Tunduma – Mbeya (TANZAM) maeneo ya Mpakani – Chapwa wilayani  Momba mkoani...

Habari Mchanganyiko

Bei za mafuta ya petroli, dizeli zashuka

BEI za mafuta ya dizeli na petroli yaliyopokelewa katika Bandari ya Dar es Salaam, imeshuka kwa mwezi Julai. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari Mchanganyiko

Vigogo 5 wa AMCOS Songwe mbaroni kwa kutafuna 160 milioni za wakulima

JESHI Polisi Mkoa wa Songwe liliwashikilia na kuwahoji viongozi wa watano wa Chama cha Ushirika wa Kilimo na Masoko (Amcos) cha Isaiso kilichopo Kata...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Mramba atembelea banda la GGML sabasaba, akoshwa na miradi, rekodi za kampuni hiyo

KATIBU mkuu wa Wizara ya Madini, Mhandisi Felchesmi Mramba ametembelea banda la Maonesho la Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) katika maonesho...

Habari Mchanganyiko

Serikali kujenga Bwawa la Yongoma

  SERIKALI imesema kupitia Bajeti ya mwaka 2023/2024, imepanga kufanya upembuzi yakinifu, usanifu wa kina kwa ajili ujenzi wa Bwawa la Yongoma lililopo...

Habari Mchanganyiko

Serikali kuja na mpango wa kuongoa shoroba

  KAMATI ya Kitaifa ya Kuongoa Shoroba (NWCRC) imesema Serikali ipo katika mchakato wa kuandaa mpango makakati wa kuongoa shoroba 61 zilizopo, huku...

Habari Mchanganyiko

Polisi wapata maarifa na mbinu ukatili wa kijinsia kutoka Tengeru

  JESHI la Polisi kupitia Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam kimeendelea kupata elimu na maarifa kutoka kwa vyuo mbalimbali ndani...

Habari Mchanganyiko

Makamu Rais Zanzibar awataka wahariri kuweka misingi kukuza kiswahili, “mbwembwe zinatia dosari”

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdullah ametoa rai kwa wahariri wa vyombo vya habari kuweka misingi imara ya kukuza...

Habari Mchanganyiko

RPC atinga kanisani, awafunda vijana

KAMANDA wa polisi mkoa wa Songwe, Kamishna msaidizi wa Jeshi la polisi, Theopista Mallya amewaasa vijana kujiepusha na vitendo vya kihalifu ili kuishi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kesi kupinga mkataba wa DP World yaanza kuunguruma

KESI ya kupinga mkataba wa kiserikali wa ushirikiano juu ya uendeshaji bandari nchini, ulioingiwa kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Lori laparamia daladala, bodaboda, machinga, laua zaidi ya 55 Kenya, Rais atuma salama za pole

WATU zaidi ya 55 wanahofiwa kufariki dunia baada ya lori lenye trela kugonga daladala nchini Kenya pamoja na waendesha bodaboda na watembea kwa...

Habari Mchanganyiko

NGO’s zatoa vilio vya kodi, TRA yaziita mezani

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imetakiwa kutatua changamoto za kodi zinazokabili Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), zisizoingiza faida. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

error: Content is protected !!