Tuesday , 21 May 2024

Month: August 2023

Biashara

Maabara ya SML yaalika wadau kutumia huduma zake

WADAU wa madini nchini wakiwemo watafiti, wachimbaji wadogo wa madini, kampuni za uchimbaji  wa kati na mkubwa wa madini wameshauriwa kutumia maabara ya ...

Biashara

Waagizaji mafuta: Bila dola tutashindwa kuagiza mafuta

KATIKA kuendelea kuhakikisha bidhaa ya mafuta ya petroli inapatikana kwa uhakika maeneo yote nchini, Chama cha Waagizaji na Wasambazaji Mafuta Tanzania (TAOMAC) wamekutana...

Biashara

Mabilioni ya NMB kusapoti BBT, riba asilimia 9 vyamvutia Majaliwa

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ameipongeza Benki ya NMB kwa kutenga mabilioni ya fedha za mikopo katika kipindi cha miaka miwili kuunga...

Habari za Siasa

NEC: Uchaguzi Mbarali Septemba 19

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza kuwa uchaguzi mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Mbarali na madiwani katika kata sita za Tanzania Bara,...

Kimataifa

Polisi yataja chanzo kifo cha mpishi wa Obama

  POLISI wa Jimbo la Massachusetts, limedai chanzo cha kifo cha Tafari Campbell (45), aliyekuwa mpishi wa Rais mstaafu wa Marekani,Baraka Obama, kilikuwa...

BiasharaTangulizi

Wafanyabiashara waitwa Bandari ya Dar es Salaam

  WAFANYABIASHARA wametakiwa kutumia Bandari ya Dar es Salaam, kusafirisha mizigo yao badala ya kutumia bandari za mbali, ili kuokoa muda na gharama....

Biashara

Mv. Mirembe yazindua huduma mpya usafirishaji majini

  KAMPUNI ya Usafirishaji majini, PMM Shipping Limited imezindua huduma ya kusafirisha makontena kutoka Bandari ya Dar es Salaam, kwenda maeneo mengine ikiwemo...

Michezo

Mabondia wa Tanzania kunolewa Cuba

  TANZANIA kupitia Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo na Serikali ya Cuba kupitia Taasisi ya INDER ya nchini humo zimekubaliana kushirikiana katika...

Afya

Serikali yajipanga kupunguza gharama usafishaji figo

  SERIKALI imesema itahakikisha gharama za usafishaji figo zinakuwa nafuu ili kuokoa maisha ya watanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu,  … (endelea). Kauli hiyo imebainishwa...

Habari Mchanganyiko

Bahi waomba wawekezaji sekta ya kilimo, mifugo

  HALMASHAURI ya Wilaya ya Bahi imewaomba wawekezaji kuwekeza kwenye sekta za kilimo, mifugo na uvuvi wilayani humo ili kuongeza uzalishaji na kuleta...

Michezo

Rais Samia mgeni Rasmi Tamasha la Simba Day

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan atakuwa mgeni Rasmi katika Tamasha la Michezo Simba Day litakalofanyika Jumapili...

Kimataifa

Mmoja afariki, 13 wajeruhiwa vibaya Korea Kusini

KIJANA mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 20 amewashambulia watu 14 kwa kuwagonga na gari na kuwachoma kwa kutumia kitu chenye ncha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mzee amuangukia Majaliwa kutekwa kwa mwanaye, “bora nife”

KATIKA hali isiyo ya kawaida Mzee Isaac Mwasilu mkazi wa Kata ya Iyela – Mbeya Mjini mkoani Mbeya, amesema bora arudi nyumbani na...

Habari za Siasa

Majaliwa atoa maagizo kuhusu mitaji kwa wakulima, ushirika

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Kilimo iweke katika lugha rahisi andiko juu ya upatikanaji wa mitaji na pembejeo kwa wakulima na...

Biashara

Dk. Mpango aipongeza NBC utoaji elimu ya fedha, mikopo kwa wakulima

  MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango ametoa wito kwa taasisi za fedha nchini kutumia vema Maonesho ya Kilimo ya NaneNane yanayoendelea jijini...

Biashara

NMB yatenga bilioni 20 BBT, yamwaga mikopo kwa wakulima

KATIKA kuuunga mkono juhudi za Serikali kuwainua vijana kupitia mradi wa kuwawezesha kulima, kuvua na kufuga kibiashara (BBT), Benki ya NMB imetenga jumla...

Habari Mchanganyiko

Watu 4 akiwemo Mhadhiri Mzumbe wafariki kwa ajali Bagamoyo

  WATU wanne akiwemo aliyekuwa Mwalimu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, Tawi la Dar es Salaam, Nora Msuya, wamefariki dunia katika ajali ya...

Kimataifa

Raia 10,749 wauwa katika vita Ukraine, mazingira yatajwa kuibeba Urusi

  RAIA wa Ukraine takribani 10,749, wamefariki dunia huku 15,599 wakijeruhiwa katika vita inayoendelea nchini humo. Anaripoti Mlelwa Kiwale, TUDARCo kwa msaada wa...

Habari za Siasa

Msajili aendelea kuhakiki vyama vya siasa

  OFISI ya Msajili wa Vyama vya siasa nchini, inaendelea na zoezi la uhakiki wa masharti ya usajili wa vyama hivyo, ambapo hadi...

Habari za Siasa

Mmoja mbaroni tuhuma za kuchoma moto gari la Lissu, uchunguzi waendelea

  MLINZI wa Hoteli ya Twiga, aliyefahamika kwa jina la Cyprian, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Geita, kwa tuhuma za kuchoma gari...

Habari Mchanganyiko

JKT lahimiza wananchi kujifunza shughuli za kilimo

  JESHI la kujenga Taifa Nchini(JKT) limewataka wananchi wa mkoa wa Mbeya na mikoa jirani kuendelea kujitokeza kwa wingi kwenye banda lake lililopo...

Habari Mchanganyiko

GGML: Tupo tayari kushirikiana na TANESCO

  KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imesema ipo tayari kushirikiana kikamilifu na Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kwa kutumia umeme gridi...

Kimataifa

Kesi zazidi kumuandama Donald Trump

  RAIS wa zamani wa Marekani, Donald Trump ameshtakiwa mara ya tatu ndani ya miezi minne iliyopita, sasa anatuhumiwa kula njama ya kutaka...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yashinda tuzo 3 za Kimataifa, yatajwa benki bora Tanzania 2023

  BENKI ya NMB imetambuliwa na kupokea tuzo tatu za kimataifa ambazo ni Benki Bora Tanzania 2023, benki bora ya wateja maalum kutoka...

Kimataifa

Mchungaji Mackenzie afanya vurugu mahakamani

MCHUNGAJI Paul Mackenzie na washtakiwa wenzake 29 wamesababisha vurugu katika Mahakama ya Shanzu wakipinga ombi la upande wa mashtaka kwa mahakama kutaka watuhumiwa...

Biashara

Infinix Note 30 yajizolea sifa kimataifa mwaka 2023

  CHAPA ya simu mahiri inayoongoza kwa ubora  Infinix Mobile LTD imegonga vichwa vya habari wiki hii baada ya Infinix NOTE 30 kushinda...

Habari MchanganyikoTangulizi

Uhaba wa dola wapaisha bei ya petroli

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia...

Biashara

Wakulima watakiwa kufuata ushauri wa maofisa ugani

MHASIBU wa kiwanda cha kuzalisha mafuta ya kula ya alizeti – Malaika Sunflower Oil, Ester Lumambo amewashauri wakulima wa mazao ya alizeti nchini...

Habari za SiasaTangulizi

Vyama vya siasa vyaomba Chadema ifutwe, msajili atoa kauli

BAADHI ya vyama vya siasa vya upinzani nchini vimeitaka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, ivifutie usajili vyama vinavyokiuka sheria katika...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango aanika mikakati kuimarisha sekta ya kilimo

MAKAMU wa Rais nchini Dk. Philip Mpango ameweka wazi mipango ya serikali ya kuimarisha sekta ya kilimo, ufugaji na uvuvi ili kuongeza thamani...

KimataifaTangulizi

Rais awatimua mawaziri kwa kuchelewa kikaoni

RAIS wa Kenya, William Ruto amemtimua Waziri wa Biashara, Moses Kuria na mwenzake wa Usalama wa Ndani Kithuri Kindiki baada ya kuchelewa kwenye...

Habari za Siasa

Rais Algeria ateta na Waziri Tax

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Algeria, Abdelmadjid Tebboune amekutana kwa mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto aitaka Serikali kutoa elimu kwa wanasiasa kuhusu mkataba DP WORLD

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ameitaka Serikali itoe elimu kwa vyama vya siasa, kuhusu mkataba wa uwekezaji bandari nchini, ili kuondoa...

Habari Mchanganyiko

Halima Bulembo amkosha Waziri Mabula kutatua migogoro ya ardhi             

  WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula amempongeza Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Halima Bulembo kwa ubunifu wake wa...

AfyaTangulizi

Puto lampunguza Msechu kilo 17, aongezewa maji

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili Mloganzila imesema hadi sasa imetoa huduma ya kupunguza uzito kwa watu 128 wenye uzito uliopitiliza kwa kutumia puto maalum...

Kimataifa

Ufaransa yaonywa kutoingilia kijeshi Niger

Uongozi mpya wa kijeshi nchini Niger umeituhumu Ufaransa kutaka kuingilia kati kijeshi ili kumrejesha madarakani Rais aliyeng’olewa Mohammed Bazoum. Anaripoti Mariam Mudhihiri kwa...

Habari za Siasa

Baraza la vyama vya siasa laitisha mkutano wa dharura kujadili hali ya siasa nchini

BARAZA la Vyama vya Siasa nchini, limeitisha mkutano wa dharura kwa ajili ya kujadili hali ya siasa nchini. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari za Siasa

RC Dodoma, Askofu wacharuka wanaokejeli miradi ya Serikali

MKUU wa mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amewataka Watanzania kutoibeza na kuikwamisha miradi mikubwa ya maendeleo inayotekelezwa na serikali kwa  kushirikiana na baadhi...

error: Content is protected !!