Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Michezo Rais Samia mgeni Rasmi Tamasha la Simba Day
Michezo

Rais Samia mgeni Rasmi Tamasha la Simba Day

Spread the love

 

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan atakuwa mgeni Rasmi katika Tamasha la Michezo Simba Day litakalofanyika Jumapili ya tarehe 6 Agosti, 2023 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Anaripoti Isaya Temu, TURDARCo … (endelea).

Kupitia machapisho yao katika mitandao ya kijamii klabu ya Simba wameandika “Karibu kwenye kilele cha Wiki ya Simba. Karibu kwenye Simba Day, Mheshimiwa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan (@SuluhuSamia). Hii ni siku muhimu kwa Klabu ya Simba na wapenda michezo wote nchini Tanzania.

Tunakushukuru na tanakukaribisha kwa furaha kubwa isiyo na kifani. Kwa kipekee kabisa, tunakushukuru sana kwa mchango wako mkubwa kwenye sekta ya Michezo na Maendeleo ya Taifa kwa ujumla. Karibu sana Mheshimiwa Rais”.

Tarehe 06.08.2023 ni kilele cha wiki ya Simba Day na muendelezo wa matamasha yao ya kila mwaka ambayo hutumia kujumuika na washabiki wao, kutambulisha wachezaji wapya, benchi la ufundi, malengo na matarajio yao kuelekea msimu mpya.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!