Sunday , 5 May 2024

Month: August 2017

Kimataifa

Marekani na Korea wazidi kuvimbiana

Rex Tellerson, Waziri wa Mambo ya Kigeni  Nchini Marekani amejibu juu ya jaribio la pili la kombora la masafa marefu lililofanywa na Korea Kaskazini,...

Habari za SiasaTangulizi

Mbivu na mbichi wabunge wa CUF kujulikana Agost 4

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania inatarajia kutoa uamuzi kuhusiana na mapingamizi yaliyotolewa na upande wa serikali katika kesi iliyofunguliwa na wabunge nane wa Chama...

Habari za SiasaTangulizi

Meya Jacob kama Lissu,  amparura Magufuli

BONIPHACE   Jacob, Mstahiki Meya Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, jijini Dar es Salaama amemtaka Rais John Magufuli, Rais wa Jamuhuri ya Muungano  kuwakemea...

Habari Mchanganyiko

Lugha ya Kichina yasababisha mgomo kampuni ya ujenzi

MGOMO wa wafanyakazi zaidi ya 290 wa Kampuni ya Kimataifa ya Geo Engineering ya China inayotekeleza mradi mkubwa wa ujenzi wa barabara ya...

Habari Mchanganyiko

Wachimbaji madini wapewa somo

WACHIMBAJI wadogo wa madini wametakiwa kuzingatia taratibu za kitalaam wakati wa uchimbaji ili kuepuka ajali  maeneo hayo, anaandika Mwandishi wetu. Haya yamebainishwa na...

Michezo

Barcelona wakubali kumwachia Neymar

KLABU ya Barcelona imemuachia nyota wake Neymar kuondoka katika timu hiyo na kujiunga na Paris St. German (PSG) kwa kitita cha pauni 198...

Habari Mchanganyiko

Bodaboda waanza kuelewa somo

MADEREVA wa Bodaboda katika jiji la Dar es Salaam wameonekana kuanza kuelewa umuhimu wa matumizi wa kofia ngumu wakati wa kuendesha usafiri huo,...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaombwa kusaidia wafugaji Ngamia

SERIKALI imeombwa kuwatambua wafugaji wa Ngamia na kusaidia kuwapunguzia gharama za kuwafuga kwa kuwa wana faida zaidi kuliko wanyama wengine, anaandika Dany Tibason....

Habari Mchanganyiko

Profesa Maghembe atoa neno Morogoro

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe amewahimiza viongozi kuanzia ngazi ya mkoa, wilaya hadi vijiji kuhakikisha wanasimamia uwepo wa bei nzuri...

Makala & Uchambuzi

Wadau wasisitiza kutunza amani Kenya

WITO wa amani umeendelea kutolewa kwa wananchi nchini Kenya kuelekea uchaguzi mkuu, ili kuepusha machafuko yaliyozuka katika uchaguzi wa mwaka 2007, anaandika Catherine...

Makala & Uchambuzi

Marekani, Uingereza kuchunguza kifo cha Musando wa Kenya

MAUAJI ya Kaimu Mkurugenzi wa Masuala Teknolojia wa Tume ya Uchaguzi na Mipaka Nchini Kenya (IEBC), yameziibua nchi za Marekani na Uingereza na...

Habari Mchanganyiko

Serikali yajibu mapigo ya Mbowe

HATIMAYE  hoja zilizotolewa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) zimemuibua msemaji wa serikali wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Hassan Abbas, anaandika...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yafichua siri nzito kukabiliana na Magufuli

HATIMAYE Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimefichua siri nzito kwamba kina program maalum kwa ajili ya kupambana na kandamizaji wa demokrasia unaofanywa...

Habari za Siasa

Madini yampaisha Rais John Magufuli

WAJUMBE wa kamati ya kuratibu rasilimali ya madini kwa nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu wamepongeza Rais Dk John Magufuli kwa jitihada anazofanya...

Habari za Siasa

Wagombea CCM watishiwa nyau Dodoma

MCHAKATO wa kumpata Naibu Meya wa Manispaa ya Dodoma ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), umeanza huku wagombea waliojitokeza katika kinyang’anyiro hicho wakionywa...

Habari Mchanganyiko

Jiji la Arusha yafikia asilimia 60 makusanyo

HALMASHAURI ya jiji la Arusha imekusanya asilimia 60 ya mapato yatokanayo na miradi ya ndani ya maendeleo kwa kipindi cha bajeti ya mwaka...

Habari Mchanganyiko

Kaya 700 Monduli kunufaika na maji

KAYA zipatazo 700 za Kitongoji cha Irmorijo katika Kijiji cha Emairete wilayani Monduli zilizokuwa zinatumia maji ya bwawa zinatarajia kunufaika na mradi wa...

Habari Mchanganyiko

Waziri Mavunde awatua ndoo wananchi Mhande

MKUU wa Wilaya ya Dodoma Mjini Christina Mndeme amezindua mradi wa maji katika kijiji cha Mhande huku akiwaonya watakaoharibu miundombinu ya mradi huo...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa apigia debe uwekezaji nchini

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametembelea kiwanda cha kampuni ya SBC Tanzania Ltd kinachotengeneza vinywaji baridi pamoja na kiwanda cha kukata na kung’arisha mawe...

Habari za Siasa

Wajumbe wamtibua mwenyekiti wa CCM Katavi

MWENYEKITI wa CCM wa Mkoa wa Katavi anayemaliza muda wake mwaka huu, Mselemu Abdallah ameandika barua ya kujiondoa dakika za mwisho madai kuwa...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

‘Tundu Lissu shujaa duniani’

MBUNGE wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tundu Lissu, ametangazwa katika kongamano la kimataifa lililofanyika jijini Lagos, nchini Nigeria, kuwa ndiye mwanasiasa kiongozi...

error: Content is protected !!