Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Felchesmi Mramba amesema tatizo kubwa la mgawo wa umeme unaondelea sasa halitokani na udhaifu katika miundombinu ya...
By Mwandishi WetuFebruary 22, 2024Waziri wa Kilimo Hussein Bashe leo Alhamisi amesema jumla ya wafanyabiashara 84 wamekamatwa kutokana na kupandisha bei ya sukari. Anaripoti Mwandishi Wetu …...
By Gabriel MushiFebruary 22, 2024WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema hadi kufikia Juni mwaka huu amepanga kupeleka muswada wa sheria ili kuruhusu kampuni binafsi kutoka nje kuingiza...
By Mwandishi WetuFebruary 22, 2024Mkurugenzi Mkuu, Bodi ya Sukari Tanzania Prof. Kenneth Bengesi ameonja joto la jiwe kutoka kwa wahariri mbalimbali wa vyombo vya habari baada ya...
By Mwandishi WetuFebruary 22, 2024JUMATANO ya leo ni siku nyingine ya kushuhudia kandandasafi la ligi ya mabingwa ulaya ambapo michuano hiyoitaendelea na michezo mikali itapigwa katika viwanja...
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2024Benki ya Exim Tanzania imesisitiza dhamira yake kuhudumia wadau mbalimbali wa sekta ya utalii ndani na nje ya nchi ili kuunga mkono na...
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2024JE, unatambua kwamba kuna Milioni 13 TZS zipo Meridianbet kasino ya mtandaoni hivi sasa zinakusubiri? Na unaweza kuzipata kupitia simu yako yam...
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2024Benki ya NMB imetunukiwa Tuzo ya Benki Bora ya Biashara Ndogo na za Kati Tanzania kutoka Jarida la Kimataifa la Global Finance katika...
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2024WAKALA wa maji na usafi wa mazingira vijijini (RUWASA), umeendelea kusambaza maji katika vijiji 68 vya jimbo la Musoma Vijijini. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2024MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imekutana na wanahabari kutoka vyombo mbalimbali kujadili kuhusu utabiri wa msimu wa Masika (Machi –Mei)...
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2024WAKAZI zaidi ya 4,000 wa mitaa ya Eyasi, TPDC na mtaa wa kwa mawaziri, Mikocheni jijini Dar es Salaam, wanakabiliwa na adha ya...
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2024KUKOSEKANA juhudi za pamoja za Serikali, wadau wa uhifadhi na wananchi kukabiliana na uvunaji haramu wa viumbepori na bahari baada ya miaka mitano...
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2024RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amemteua Shariff Ali Shariff, kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi...
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2024Mkurugenzi wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Raphael Maganga ametoa wito kwa kampuni za sekta binafsi kuiga mwongozo wa Kampuni ya Geita...
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2024SHIRIKISHO la Wenye Viwanda nchini ( CTI) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara (Tantrade), wamezindua mipango ya ushiriki wa Maonesho ya...
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2024KATIKA jitihada za kuunga mkono serikali kupunguza uhaba wa matundu ya choo kwa wanafunzi shuleni, Puma Energy Tanzania imefanya ukarabati mkubwa wa majengo...
By Mwandishi WetuFebruary 20, 2024LIGI ya mabingwa barani Ulaya inaendelea hii leo kwa hatua ya 16 kwa timu ambazo wiki iliyopita hazikucheza. Na wewe mteja una...
By Mwandishi WetuFebruary 20, 2024TAASISI ya Taifa ya Tafiti za Magonjwa ya Binadamu NIMR kwa kushirikiana na Wizara ya Afya hivi karibuni inatatarajia kuanza kufanya utafiti...
By Mwandishi WetuFebruary 20, 2024SERIKALI kupitia Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imesema imepata mafanikio makubwa katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya...
By Mwandishi WetuFebruary 20, 2024MKUTANO wa hadhara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), uliokuwa unafanyika kwenye Viwanja vya Ruanda Nzovwe, umeahirishwa baada ya mvua kubwa kunyesha....
By Mwandishi WetuFebruary 20, 2024ALIYEKUWA Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi “Sugu”, ametumia maandamano na mkutano wa hadhara wa chama chake cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kufikisha...
By Mwandishi WetuFebruary 20, 2024SAKATA la mkataba wa kiserikali kati ya Tanzania na Imarati ya Dubai, juu ya ushirikiano wa uwekezaji kwenye baadhi ya maeneo ya Bandari...
By Mwandishi WetuFebruary 20, 2024Unapotembelea kasino ya mtandaoni ya Meridianbet bila shaka huwa unakutana na michezo mingi ya Poker na kasino lakini mchezo wa All Aces...
By Mwandishi WetuFebruary 20, 2024KADA wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ndolezi Petro amerejesha fomu ya kuomba kugombea uenyekiti wa ngome ya vijana ya chama hicho, na kutaja vipaumbele...
By Regina MkondeFebruary 20, 2024WAZABUNI waliofanyakazi na Halmashauri ya Liwale na kushindwa kulipwa fedha zao, wamembebesha mzigo Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),...
By Mwandishi WetuFebruary 20, 2024MAELFU ya wafuasi na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamejitokeza katika maandamano ya amani ya kudai katiba mpya na tume...
By Mwandishi WetuFebruary 20, 2024MWENYEKITI wa Bodi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Jaji Mshibe Ali Bakari ameipongeza TMA kwa kuendelea kushirikisha sekta mbalimbali...
By Masalu ErastoFebruary 20, 2024KATIKA kudhihirisha dhamira ya kuwajengea wahitimu wa vyuo mbalimbali kukubalika kwenye soko la ajira, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imezindua mafunzo...
By Mwandishi WetuFebruary 19, 2024BENKI ya NMB imetoa msaada wenye thamani ya zaidi ya Sh 80 milioni ukiwa ni madawati 250 pamoja na mabati 368 kwa shule...
By Mwandishi WetuFebruary 19, 2024VYAMA vya siasa vya upinzani vimetakiwa kushiriki chaguzi zijazo hata kama madai yao ya upatikanaji tume huru ya uchaguzi na katiba mpya hayajafanyiwa...
By Mwandishi WetuFebruary 19, 2024HABARI yako mpenzi wa Michezo ya Kasino, leo nataka kukupekea kwenye ulimwengu wa Poker Teen Patti. Kama hujapata fursa ya kucheza poker...
By Mwandishi WetuFebruary 19, 2024SERIKALI imetakiwa kuchukua hatua za haraka kutatua changamoto ya mgawo wa umeme kwa kuwa tatizo hilo linakiuka haki za binadamu hususan ya kufanya...
By Mwandishi WetuFebruary 19, 2024MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Joseph Selasini, amedai Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimewafanya watanzania kutonufaika na Hayati Edward Lowassa, kufuatia hatua yake...
By Mwandishi WetuFebruary 19, 2024LIGI mbalimbali barani ulaya zitaendelea kupigwa leoJumapili ambapo zitakuwezesha wewe mteja waMeridianbet kupiga mkwanja wa kutosha kupitia michezoambayo itapigwa leo,Kwani michezo hiyo imepewa ODDS...
By Mwandishi WetuFebruary 18, 2024BUNDI ameendelea kukiandama Chama cha Walimu Tanzania (CWT) baada ya Baraza la Kuu la chama hicho kumsimamisha ukatibu mkuu Japhet Maganga. Anaripoti Danson...
By Danson KaijageFebruary 18, 2024KAMPUNI bingwa ya michezo ya kubashiri Meridianbet wamefanikia kufika eneo la Coco Beach jijini Dar-es-salaam leo na kuweza kutoa msaada wa vifaa vya usafi...
By Mwandishi WetuFebruary 17, 2024JUMAMOSI ya leo mechi mbalimbali zinaendelea kuanzia kule EPL, Laliga, Bundesliga, Ligue 1 na nyingine nyingi. Huu ndio muda wa wewe kujipigia...
By Mwandishi WetuFebruary 17, 2024ALIYEKUWA Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania, Hayati Edward Lowassa, hakukubali kuyumbishwa katika utekelezaji wa majukumu yake serikalini. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...
By Mwandishi WetuFebruary 17, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema kama historia ya Hayati Edward Lowassa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ingewekwa katika...
By Mwandishi WetuFebruary 17, 2024MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe ameeleza kusikitishwa na hatua ya familia ya Hayati Edward Lowassa kuandika historia ya waziri mkuu huyo mstaafu...
By Mwandishi WetuFebruary 17, 2024PAROKO wa Kanisa Katoliki la Sali, Padri Charles Kuandika, amemshukia Mbunge wa Ulanga Mashariki, Salim Almasi (CCM) na Diwani wa Kata ya Sali,...
By Mwandishi WetuFebruary 17, 2024UZINGATIAJI usawa wa kijinsia kwenye usimamizi wa shoroba saba ambazo zipo kwenye Mradi wa USAID Tuhifadhi Maliasili umewezesha shoroba hizo kuwa salama na...
By Seleman MsuyaFebruary 16, 2024GIANT Wild Goose Pagoda ni mchezo wa sloti kwenye kasino ya mtandaoni yenye nguzo tano zilizopangwa katika mistari minne na ina njia...
By Mwandishi WetuFebruary 16, 2024IJUMAA ya leo mechi mbalimbali zinaendelea kuanzia kule Laliga, Bundesliga, Ligue 1 na nyingine nyingi. Huu ndio muda wa wewe kujipigia mkwanja...
By Mwandishi WetuFebruary 16, 2024MSANII maarufu nchini Nigeria, Cobhams Asuquo ameshirikiana na kundi maarufu nchini Kenya, Sauti Sol kwenye video inayokwenda kwa jina la ‘Lady Fiona’. Anaripoti...
By Mwandishi WetuFebruary 16, 2024VIKAO vya Bunge, vilivyoanza mwishoni mwa Januari 2024, vimeahirishwa hadi tarehe 2 Aprili mwaka huu. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam …...
By Regina MkondeFebruary 16, 2024KIGEZO cha mafunzo katika Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), kutumika katika kuajiri vijana kwenye vyombo vya ulinzi na usalama hasa majeshi, kimeibua...
By Mwandishi WetuFebruary 16, 2024MFANYABIASHARA, mwanasiasa nguli na swahiba wa karibu wa aliyekuwa Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa amewasili nyumbani kwa kiongozi huyo Ngarash wilayani Monduli...
By Mwandishi WetuFebruary 16, 2024KATIBU mkuu wa CCM, Balozi Dk. Emanuel Nchimbi amesema mbali na kumpoteza rafiki, na kaka, pia Taifa na Afrika imempoteza Mwana Afrika...
By Mwandishi WetuFebruary 16, 2024SERIKALI imetakiwa kuwaongezea mamlaka wakaguzi wa ndani ili waweze kuzuia ubadhirifu na wizi wa mali ya umma unaofanywa na baadhi ya viongozi...
By Mwandishi WetuFebruary 16, 2024