CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeendelea kuvuna wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF) baada ya kuwapokea 305 kupitia mkutano wake wa hadhara uliofanyika Viwanja...
By Mwandishi WetuMarch 5, 2023MKUU wa mkoa wa Geita, Martin Shigella amesema amekubaliana na wakuu wa wilaya za mkoa huo kwamba hakuna mtumishi yeyote atakayekamatwa na...
By Mwandishi WetuMarch 5, 2023ROEL Degamo (56), Gavana wa jimbo la katikati mwa Ufilipino pamoja na watu wengine watano, wameuawa jana Jumamosi, tarahe 4 Machi, kwa...
By Mwandishi WetuMarch 5, 2023VYOMBO vya habari vya kigeni nchini China vilipitishwa kwenye hali ngumu wakati taifa hilo linatekeleza sera yake ya kupambana na Uviko-19 ambapo inadaiwa...
By Mwandishi WetuMarch 4, 2023NDOA baina ya Jesca David Kishoa, mbunge wa Viti Maalum katika Bunge la Jamhuri na David Kafulila, Kamishena katika wizara ya fedha,...
By Mwandishi WetuMarch 3, 2023MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, imeliamrisha gazeti la kila siku linalochapishwa kwa lugha ya Kiingereza nchini la The Citizen, kumlipa fidia ya Sh. 2.5...
By Mwandishi WetuMarch 3, 2023MKURUGENZI Mkuu wa Baraza la Taifa la Uhifadhi wa Mazingira (NEMC), Dk. Samuel Gwamaka ameitaka miradi ya maendeleo inayoanzishwa iwe inazingatia uhifadhi...
By Mwandishi WetuMarch 3, 2023MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeyataka Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), kuendelea kuzingatia matakwa ya kisheria ili kukwepa...
By Regina MkondeMarch 3, 2023MISINGI imara ya udhibiti wa hali ya usalama katika utendaji kazi ndani na nje ya Mgodi wa Geita Gold Mining Limited. (GGML), imeendelea...
By Mwandishi WetuMarch 3, 2023WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), imekutana na Vyombo vya Uchunguzi kwaajili ya kupitia Kanuni za Wamiliki Manufaa wa Kampuni...
By Mwandishi WetuMarch 3, 2023VIONGOZI wa Vyama vya Ushirika wilayani Mbozi, wamemjia juu mbunge wa Jimbo la Mbozi, George Mwenisongole, kwa kutoa tuhuma za wizi wanazodai...
By Mwandishi WetuMarch 3, 2023MWAKILISHI wa Jimbo la Mtambwe, visiwani Zanzibar, kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Habib Ali Mohamed, amefariki dunia, wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya...
By Mwandishi WetuMarch 3, 2023MASHINDANO ya mpira wa miguu ya Kimwanga CUP ya kuwania ng’ombe yanazidi kutimua vumbi huku timu kadhaa zikiendelea kumenyana katika hatua ya makundi....
By Mwandishi WetuMarch 2, 2023WAKULIMA wa alizeti mkoani Singida, wamemwomba Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, kuishauri serikali iongeze kodi ya mafuta ya...
By Mwandishi WetuMarch 2, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan ameonesha kutoridhika na kitendo cha baadhi ya Mawaziri kuajiri maafisa habari binafsi kwaajili ya kuripoti habari zao na...
By Mwandishi WetuMarch 2, 2023MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), Dk. John Mduma, amesema hadi kufikia tarehe 30 June 2012 umefanikiwa kusajili waajiri...
By Mwandishi WetuMarch 2, 2023KAMPUNI ya Vodacom Tanzania PLC inatarajia kutangaza kampuni bunifu chipukizi tatu zilizoibuka na ushindi wa msimu wa pili wa programu ya Vodacom...
By Mwandishi WetuMarch 2, 2023MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, ameshauri baadhi ya wateule wa aliyekuwa Rais wa...
By Masalu ErastoMarch 2, 2023RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema hana lengo na hapendi kubadilisha viongozi mara kwa mara kwa kuwa anafahamu madhara yake, ikiwemo kuchukua...
By Mwandishi WetuMarch 2, 2023RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewataka mawaziri kueleza mafanikio ya Serikali mara kwa mara, ili kudhibiti baadhi ya watu wanaofanya upotoshaji. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMarch 2, 2023KATIBU Mkuu Kiongozi, Dk. Moses Kusikulika, amesema mada tano zitajadiliwa katika mkutano wa faragha wa siku tatu wa mawaziri na makatibu wa...
By Mwandishi WetuMarch 2, 2023MUDA mfupi baada ya kuwasili Tanzania akitokea uhamishoni nchini Canada, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Kaskazini, Godbless...
By Mwandishi WetuMarch 1, 2023CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema tangu kimechukua madaraka baada ya Tanzania kupata uhuru, kimefanya mageuzi mengi katika sekta ya elimu, kwa kujenga vyuo...
By Mwandishi WetuMarch 1, 2023MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema, amewasili nchini akitokea Canada, alikokuwa akiishi tangu 2020 baada...
By Mwandishi WetuMarch 1, 2023CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kupingana na mwanasiasa mkongwe nchini, Stephen Wassira, kuhusu Serikali za Majimbo, baada ya chama hicho...
By Mwandishi WetuMarch 1, 2023CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeahidi kumjibu hadharani Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, kufuatia kauli yake aliyotoa kuhusu sakata la Uwanja wa Ndege...
By Mwandishi WetuMarch 1, 2023TANGU kuanza utaratibu wa baadhi ya wananchi kukopa mikopo ambayo mingine imegeuka kuwa ‘kausha damu’, changamoto nyingi zimeibuliwa ikiwa ni pamoja na kuvunjika...
By Mwandishi WetuMarch 1, 2023